Tunakumbushwa wakristo,kuandaa ukamilifu wa imani zetu hapa duniani.tusiwe wakristo wa majina,waimbaji mbarikiwe sana.william Cresent wa Vatican haydom-manyara 03-11-2020.
Nakumbuka nilikuwa darasa la pili mwaka 2002 Kwa mara ya kwanza naisikia hii nyimbo,kweny sherehe za kipaimara meru Arusha huko,sahv ni zaidi ya miaka 20 bado naisikiliza
Rest in Peace, peaceful George, man of God. I always remember your beautiful if not nice song. Hakikisha Jina limeandikwa kwenye kitabu cha uzima mbinguni
Kama huu wimbo unazidi kukubariki 2023 gonga like tukiendelea
Dah kama kwaya hii imekukumbusha mbali kama mimi gonga like ya nguvu hapa 😄
Hatari 2024 nipo nayo mkuu
nani ako hapa 2021 i miss that life ni kitambo sana ...leteni traffic hapa
2022 hapa
2024
Tunakumbushwa wakristo,kuandaa ukamilifu wa imani zetu hapa duniani.tusiwe wakristo wa majina,waimbaji mbarikiwe sana.william Cresent wa Vatican haydom-manyara 03-11-2020.
i really love this song,it makes me feel the real salvation, glory to God
amina
Hakikisha jina lako limeandikwa mbinguni amen Hallelujah
Munitumiye,jina,yawaimbaji,Hawa,nawapenda,sana,
my all time greatest song. It makes me see the real salvation
Enzi hizo nilikuwa najiona kama MUNGU kesho tu anashuka.
This song reminder me back 2005 when i was in kigoma I still listening 🎧 woow it is amazing God bless 🙏 from Australia 2021
True Gospel of Jesus Christ ! May God Lord help us to leave according to His Holy Word !
7th Jan 2024 2:18am listening to this Gem God bless you all for administering His work🙏🙏🙏
Inanikumbusha mbali sana
George Njabili Bonge. Wa Kiwira huyu pale mabuchani ! Marehemu. Aliushusha kweli wimbo huu.Eti jamanii.
Amakufa line George? 😭
No one is talking about the vocalised and harmonised lead guitar and the marimba voice on the keys wow!😂😂😂 my all time favourite choir of all time.
Halelluhya mbarikiwe kabsa naupenda huo wimbo with my heart❤
Glory n honour to God for the wonderful message.
Amen
Be blessed lulu choir for excellent songs God bless you so much
Women of God can dance that good... hakikisha.... lovely song
Tusiwe wakristo wakubatizwa tukipata majina,kanisani hatuendi wala kumwabudu mungu tena.tumebatizwa nakumkataa shetani tuhakikishe majina yapo mbinguni tupate uzima wa milele,tusiwe wasindikizaji.12/2/2021
Thank you for sharing this great song
It really touch my heart...
Thanks, 😘
Much love from Uganda🙏🙏🙏
Naomba,sananyimbozifwatazo,najina lahawa,waimbaji,asante,
Nice
Ujimbe mzuri sana na huu wimbo kama ni WA muda kidogo 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Hallelujah God bless you so much,,powerfully song
Amina hakikisha jinalako limeandikwa mbingunii. Ili siku ukifa usiwe ktk wenye kujuta
UHAKIKA NI Kuachana na Maigizo na Injili za Faraja za Unyongeeeee.(KEMEA NA KUONYA DHAMBI)
❤nawapenda kwa wimbo huu
Hongereni sana watumishi Mungu ajuaye kutenda kwa ukamilifu awatendee mapenzi yake milele amina
Ni kweli kabisa mbarikiwe sana watumishi wa Mungu, nyimbo hii inanibariki sana.
Kweli kaka! Amina
Asnte MUNGU kwa ajl yenu nlkua mdgo xn akt nackia hizi nyimbo bt tunaamini bado kile mlchohubiri knaishi,,,
The songs that were real and very educative Zama zile
Ujumbe ni mzuri sana hiyo ndiyo Injili
Hakikisha jina lako
Nimeandikwa mbinguni
Among of amazing song.
2023 here I come...are you with me here?
Mungu ibariki hii kwaya
Hallelujah 🙏🙏
The Year 2021 tuko wapu
Namungu awabaliki saana mumeanda nyimbo mzuli yakudukubusha wakristu
Barikiwa
Mungu ni Mungu sifa na utukufu ni zako milele🙏
When gospel was real nowadays it’s all about money n nothing else.
2023 listening to this gem music
Hakikisha jina lako limeandikwa mbinguni
Hakika Bwana anaweza na kupitia wimbo huu unanifanya nisimame katika Imani bila kukata tamaa
I love this song the most
I love this song
Huu wimbo ni faraja yangu katika maisha ya kumjua mungu
Baraka hii
2024 here
Nakumbuka nilikuwa darasa la pili mwaka 2002 Kwa mara ya kwanza naisikia hii nyimbo,kweny sherehe za kipaimara meru Arusha huko,sahv ni zaidi ya miaka 20 bado naisikiliza
2023🥰🥰🥰
Long time sana
Amen🙏🙏
Zab 105:8,19
Yibuka isezerano rye iminsi yose,Ijambo yategetse aryibuka ibihe ibihumbi.
Kugeza aho ijambo ry'Uwiteka ryasohoreye,Isezerano rye ryaramugeragezaga.
Amina
To everyone thank god
Imenitoa machozi
Nyimbo za roho
Hi
RIP Bonge
❤❤❤❤❤❤
Kwnya ya vijana kibigili
Tape/deck/compact if you know you know
Waoh
true gospel
Unylankuruu Barbara yakumi natatu
Can someone translate this lovely piece? Please.
make sure your name is written in heaven
Hakika safari ni nauli mabegi ni mbwembwe tu. Ukristo ndo huu wa kuyaishi matendo yake siyo jina.
Rest in Peace, peaceful George, man of God. I always remember your beautiful if not nice song. Hakikisha Jina limeandikwa kwenye kitabu cha uzima mbinguni
@@jeddymzungu9393
Amakufa line George ?he was so amazing R.l.P 😭😭
Hakika huu wimbo unanikumbusha nikiwa Sunday school 2002 uko n ujumbe mzito xn kwa wale waliowatakatifu
Nikisikiliza nackia kutokwa n machizi really salivation
Amen