Shukrani wa jazakallah kheri sheikh Kishki kwa elimu ya dini na hakika yeyote atakae jaaliwa kusikiliza hii darsa yako hakika hatotoka patupu Allah akuhifadh akupe afya na umri mrefu tuzidi kuelimika kupitia wewe sheikh wetu.
Mashallah sheikh Nurdi kwa darsa nzuri na elimika yenye bado nilikuwa siyazuwi inshallah Mwez Mungu atufanyie wepesi tuwisome dini yetu na mtume wetu inshallah Na Mwez Mungu akulipe apadunia na kesho ahera na atukutanishe sote inshallah 🤲🏾❤
Allahumma Amiin Yaa Rabbi 🤲, Shukran sheikh wangu kwa elimu.kwa kuchukuwa nafasi Hii ya kunielimisha Mimi mwanamke Mwenyezi Mungu akulipe Pepo ya firdaus Allahumma Amiin
Maaashallah Allah azidi kukuongoza sheikh kishiki na atuongoze na ss umma wa kiislam shukrani sana twakupenda kwaajili ya Allah kwa darsa zako za kuelimisha Allah atujaalie imani zetu zipande
Mashaalah shekh wangu nureedin kushik Allah akubariki akupe afy ya kufanya ibada na kulingania dini ya Allah amiin jazakumllahu khayra 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Allah akupe elimu iliyo Bora Ameen 🥰
Tena wapenzi wangu kaane na daftari na kalamu uwaandike vitu vya muhimu sana ambavyo utaweza kuvisahau. Huezi jua sheikh anaweza kutoa swali katika kipind cha maswali mtaani na vipenzi wetu lsmail didasi, Abdurahman msawe, yahya tweitin kipind changu pendwa.ukawa umefaulu duniani na akhera.
Masha Allah masha Allah masha Allah sheikh wangu mwenyew jazakallahu kheir, namuomb Allah Akujaalie life ndefu ilojaa afya njema, furaha kheri na barka tele🤲 hakika kwak 2napat darsa nzuri sana, hua nikikuonag live hio cku hua like eid 😊 how I wish ijirudie tena ,
MashaALLAH darsa saafi sana Sheikh KISHKI twashukuru sana kukusikiza kila wakati hapa somalia, barikiwa
Mashallah 🤲🤲🤲
mashallah mashallah mashallah shekhe wetu allah akuzidishie kila la kher Katika maisha yako pamoja na family yako inshallah
Shukrani wa jazakallah kheri sheikh Kishki kwa elimu ya dini na hakika yeyote atakae jaaliwa kusikiliza hii darsa yako hakika hatotoka patupu Allah akuhifadh akupe afya na umri mrefu tuzidi kuelimika kupitia wewe sheikh wetu.
Amin
⁸
@@naimamazuri462 00
Masha'Allah 🤲, Swadakta Shekh Allah akupe kheri, akujaze ilmu bora kwetu sisi, akupe umri mwafaka yenye kheri 🙏🙏🙏
Mashallah sheikh Nurdi kwa darsa nzuri na elimika yenye bado nilikuwa siyazuwi inshallah Mwez Mungu atufanyie wepesi tuwisome dini yetu
na mtume wetu inshallah Na Mwez Mungu akulipe apadunia na kesho ahera na atukutanishe sote inshallah 🤲🏾❤
Allahumma Amiin Yaa Rabbi 🤲, Shukran sheikh wangu kwa elimu.kwa kuchukuwa nafasi Hii ya kunielimisha Mimi mwanamke Mwenyezi Mungu akulipe Pepo ya firdaus Allahumma Amiin
Mashaallah x2. Mwenyezi Mungu akujaze kheri kwa mafunzo mazito kama haya.Innshaallah Mwenyezi Mungu ukazidishie umri uzidi kuelimisha ummah!.
Maa shaa Allah
Shukran ❤ kwa ajili ya Allah
Maaashallah Allah azidi kukuongoza sheikh kishiki na atuongoze na ss umma wa kiislam shukrani sana twakupenda kwaajili ya Allah kwa darsa zako za kuelimisha Allah atujaalie imani zetu zipande
Alhamdulillah ,Allah akujaalie afya.uzidi kutuelimisha.
Mashaallah Mashaallah shekhe kishik
Mashaallah allah akulipe kwa elimu nzuri nimeelimika
Mashallah mashallah Mashallah Darsa mzur Inshaallah Kesho niikalie kitako tena ni iskilize vizur shukran Sheikh Nurdin Jazakallah kher 🤲😘😍😍😍
Mashaallah .sheik na mimi nakupenda kwa ajili ya allah
Mashaalah shekh wangu nureedin kushik Allah akubariki akupe afy ya kufanya ibada na kulingania dini ya Allah amiin jazakumllahu khayra 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Allah akupe elimu iliyo Bora Ameen 🥰
Shukran Sheikh wetu Allah akujaze kheri Duniani na Akhera namuomba Allah atukutanishe🇧🇮🇹🇿 kwa kheri 🤲
Manshaalah darasa zuli sana Mollah akujarie kira la kheli , uzid kutufundisha .
Jazakallahu. Kher Allah akulipe ukila nimejifunza mengi kupitia darasa hii shukran Allah shahid
Shukran Allahu barik,Nimepata Faida ndani yake
Nakupenda kwaajili ya allah allah akubaliki wewe na kizazi chako
Tena wapenzi wangu kaane na daftari na kalamu uwaandike vitu vya muhimu sana ambavyo utaweza kuvisahau. Huezi jua sheikh anaweza kutoa swali katika kipind cha maswali mtaani na vipenzi wetu lsmail didasi, Abdurahman msawe, yahya tweitin kipind changu pendwa.ukawa umefaulu duniani na akhera.
Mashallah tabaraka llah Shukran sana shekh Nurdin 🤲 Allah akufanyie wepesi Kwa Kila jambo amiin 🤲 ya Allah ❤️
Masha Allah masha Allah masha Allah sheikh wangu mwenyew jazakallahu kheir, namuomb Allah Akujaalie life ndefu ilojaa afya njema, furaha kheri na barka tele🤲 hakika kwak 2napat darsa nzuri sana, hua nikikuonag live hio cku hua like eid 😊 how I wish ijirudie tena ,
Mashaallah mwenyezi mungu akupe kheri
Mashaallwa mungu akujaze kila la kheli,
Kishki huwa nakuelewa sana, mawaidha Yako huwa yananiimarisha sana na yalifanya nislim
Shukran jazzaka Allah kheri 🤲💕
A.alykum naomba kuuliza je yafaa kwa dactari mwanamme kumtibia mwanamke kwa ushahidi
AashaAllah, yani shekhe anaeleza kitu mpaka unaridhika, Allah akuhifadhi na atuhifadhi sisi
MaashaAllah
Ma SHA Allah ❤
Allah barak
Masha Allah
Shukraan sana sheikhe kishki
Allah ni mwingi wa kukubali toba yarabi mashallah
Mashalaa
Alla akulinde na akuifadhi shekhe nakupenda kwa ajili ya alla
Mashallah mashallah shukraan shehewetu kwakutukumbusha kakika binaadamu tunakua tunajisahau
Maashaallaah
Bismillahi MashaAllah
Mawaidha mazur sana
Jazaka llahul kheir Sheikh 🌴🌴🌴
Mashallah mawaidha mazuri
Jazakallah khair
MashaAllah
Shukraan kwa kutuelimisha
Allah akupe Afya njema
Nakupenda kishik Wang bi izini llah
Mashallah jazakallahu khala
Allah akulipe Pepo she wetu
mashaallah jazakkallah kher
Amiin yaarab
Aaaaamiiin yarabiiii takabali duaaaah
Asalamualaykum jamia nawapenda nyote kwaajili ya Allah
Jazaqalahu khaira
shukrani sheikh wetu
Jazaka Allahu kheri
Shukran shekh
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh wetu kipenz. Shukran ALLAH akuhifadh
Mashaallah tabarak Allah
Asalam alaikum wa rahmatullah wa barakatuh. Shukran sheikh
YARABB atufufue tuwe niwenye kuifuata Qur an
Swadata
Mashallah Allah akulipe kwaerim zur
Jazakallah khayran
Allahumma amiin mwenyewezi akupe hitaji lako na familia yako
Amiin yarbi Amiin 🤲🤲
Allah akulipe kheri
Tunakusihi shieh wetu
Mung akujarie kila la her ishallaah twashukur sana sis ni ummat muhamad swr
Mashallah ALLAH akuweke shekhe wetu darasa nimeiyelewa vizuri
Mashaallah shukran sana
Allahuma Amin
Mashaallah dalasa zuli allah akujalie afya njema na umri mlefu inshaallah
Mashallah🤲🤲
Sheikh Nurdeen kishk 2nakupend 4 de sake of Allah
MAASHA ALLAH
Ameeeeen thumaa ameeen
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Aamiiin
Darsa nzuri kweli kweli ila Mimi Nina swali, waeza ita mtoto wa kischana Jannah? Hilo jina nalipenda sana
Mimi nilikua wakwanza kuuchuna
0:00
Chapa dawah sheikh
Nakukubali sana kishki
@@hadilimahamudmkulu27 naam kishk anajtahidi sana
Shukran
Aaaaamiiin yarabiiii takabali duaaaah