Marioo & Alikiba - Love Song (Audio)
Vložit
- čas přidán 26. 07. 2023
- Out now: africori.to/lovesong
Subscribe: @MariooOfficialMusic
‘The Kid You Know Deluxe' out now: africori.to/thekidyouknowdeluxe
Follow Marioo:
/ marioo_tz
/ marioo_bad
/ tz_marioo
open.spotify.com/artist/4ZTqT...
/ artist .
/ thisismarioo
More from Marioo:
Tomorrow - • Marioo - Tomorrow ( Of...
Lonely (ft. Abbah) - • Marioo & Abbah - Lonel...
Dear Ex - • Marioo - Dear Ex (Off...
Naogopa (ft. Harmonize) - • Marioo & Harmonize - N...
Mi Amor (ft. Jovial) - • Marioo x Jovial - Mi A...
#marioo #lovesong #alikiba - Hudba
Ngoma Kali Sana 👊👊👊👊
Kama Unaamini Kuwa Huu Wimbo Unaenda Kuwa Trending Namba Moja Muda Sio Mrefu Gonga Like Mfululu 😎
Mbona hii combination imekuwa nzuri wafanye watoe hata albamu ya pamoja kama na wew unapenda watoe albamu gonga like kubwa😮
👍
❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@@khadija5761a @
Bonge la like kutok kwangu
Let be honest, Diamond Platinumz killed the bongo music but Marioo came and resurrected it! Give Marioo his flowers 🌺🌹
💕💕👑👑👑he's a young king and alikiba is the elder 🤩👌
Utter nonsense
The chemistry between King Kiba and Marioo is Unmatched ,they always deliver 🔥🔥🔥🔥🙌
Ila Alikiba 🎉🎉🎉 Wanao kubali kua Kifaransa ni lugha namba moja yenye ladha nzuri inayo toa matamshi matam ya nyimbo za Mapenzi wagonge like hapa
Have tried spanish 😹
❤
unakijua ki spanish
Kwa ninyi wanaoshi na chembechembe za kukoloniwa
hiyo ni Spanish
Hii ngoma ni kali mpaka inaniumiza kuwa taratibu usikilize huu mzigo mtakuja kunishukuru
Gonga like za kiba-mario
Boa música ❤ obrigado pela boa música, curtindo de 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
It's verse 1 ya Mariooo for me 🔥🔥💪 .... Above all producer Lex we ni mnyamaaaaaaaaaaaaaaa.... Kuna sound Fulani special kwa hii beat.... Yenye imeintroduce beat🔥🔥🔥 big up tu sanaa 💪💪💪💪
Ndagukunda je t'aime❤ gonga like kama umusikiya kiba akiimba Kirundi n french
Cio kirundi jamn ni kinyarwanda
@@aliceaugustine1327😂😂😂Kwani Kirundi kinaandikwa aj?
Unazinguwa kwani unishinde rugha yangu by the way kinywanda n Kirundi nikama rugha moja
Hicho Ni kiha.. KIGOMA-1
ich liebe dich ki jerumani 🙌mwamba sana
Mumeuwa king na mario nda gukunda kiba hatali sana Burundi🇧🇮💯❤️
Ndagukunda, je t,aime big up Alikiba🔥🔥🔥nawa miss pamoja na lolilo😍from buja
Dah nimesikia mziki mtamuuu kinoma sio makelele hawa wajomba ni noma sanana ndio wasanii wa 🇹🇿 sio wakimbizi wa 🇳🇬 Big up 👆
Ivi nyie watanzania mnajua Alikiba akiamua kuimba muziki seriously. 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mtu wa Kwanza naombeni likes zangu
Kula chuma hicho
Like uliziwekeza😅
izo chukua ❤❤❤❤❤❤
@@hosea7919😂😂😂
TAFUTA ELA SIO LIKES
Never disappointed this two kings in every beat💥💥
Melody, Rythems, Puch, Voice, Beats, lines arrangements are all killing lovers zone and made a day with great happiness.....Be blessed brothers for sure you made it..🎧🎧🎧
ni mwendo wa back to back mario ft alikiba l miss you ❤❤ alikiba ft mario sumu 🇹🇿🇹🇿 mario ft alikiba love song naombeni like zao 💯💯💯
Wote wanaopenda muziki mzuri twende apa na LIKE za good music🎶 ❤❤❤
Chemistry imekubali🔥🔥🔥
Sumu and now this alikiba and marioo teaching us and the rest follow in line am proud of my East African brothers ❤
Kama umekubalii mario kweny hizii ngoma ndy zakee wekaa like za kutosha kwa ajilii yakeee #TOTOBADIE❤
Namapenda Muziki wa Tanzanie toka congo DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 naombeni like jamani
Kaliiii kombisheni mzuriii sana Mario ft king kiba
@@ramadhanjamal628 kabisaaaa
Dah mmefanya vizuri tunaitaji musicians kama marioo na aliiii in industry🎉
Ako ndagukunda niko kavyitsa warundi tujuane🎉❤
Hii migoma mfululu combination imekwenda unyama mwingi sana 🔥🔥🔥
Sema huyu Kingkiba 👑💪sauti zake hatari sana mwisho nikahisi wimbo wote kaimba marioo💪💪💪
Hawa ni waandishi wawili ninaowapa heshima sana na naona wamerudi kuiheshimisha bongo fleva tena, big up my brothers bravo👊🏽💯
These two are taking over the TZ music industry.
This is a masterpiece.
Ali Kiba namkubali 👌🏾
Mariooo is always something else on this love vibes
Kama umeona unyama alio ufanya Kingkiba 👑 kwenye sauti naomba like 5 tano🙏
Jamaa anachezea sauti kibabe sanaaa🔥🔥🔥
@@allenonesmomwebembezi6248sana
yooooooooooooooooooh
Yaani Dah! Huyu King ametoka sayari nyingine
❤
If you are one of the people who are proud to be African, you believe that Africa has talent and you support good music, please don't leave without your like.
Weka like
Makopaaa
Kali
czcams.com/video/O0IALZfelFc/video.html
❤❤❤❤❤
Sema tuache utan@Alikiba ni Melody ya tz🇹🇿 anajua kuchezesha sounds yoyote🔥🔥hii ndo maan halisi ya chiiii na yeeeah👀
No janjajanja no ungaunga mwana ni checheee gonga LIKE KUBWA MORE THAN MILLION TIMES....SIIIICHOKI HATA IWE MWAKA MZIMA NGOMA HII TU INANITOSHA
Alikiba na Mario ni Ronaldo na Messi Yani hii nyimbo lazma iwaingie mpka upande wa pili🔥🔥🔥 hivi ni vichwa Yan naomba wazid kushikna nakutoa nyimbo yenye imebeba utamu wa royco ndani kma hii Yan 🔥🔥🔥🔥
Umemaliza vyote huu ni Moto WA kuotea mbaliii🎉🎉🎉
Wacha King KIBA achome Huo msitu Simba anajigamba nayo💪💪💪.
Mwambie askize iyo awache kutusbua ety yatapita,Kwa KIBA ndo yaja Sasa❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
King Kiba anyday anytime ❤️🎼🔥🔥🔥🔥🔥... it's a Banger 🥶🔥🔥🔥🔥
This combo they never disappoints us🌹🙌
Good Music 🎶 🎵 👌
Good Melody 👍
Good Emotion 👍
Good vibe ✨️ 😌
Kama umekubaliana na mimi gonga Like hapo
Hii combination ifike mwisho basi maana kunapoelekea hatutosikia wasanii wengine 🤣🤣🤣
Alikiba mtu mbadi
Marioo totobadi
🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Eti NDAGUKUNDA.. Ali Kiba Mburundi wa Rumonge kwetu
Upewe maua yako kk nyimbo kali ksenge 🔥‼️🙌🏽
Hawa mafundi wa music wameamua huu mwaka..naomben like zangu jaman
Yeah babah,,,,,,ONLY KING 👑👑 OF BONGO WE KNOW IN KENYA
Kuna uwezekano mkubwa wa Marioo kuja kurithi MIKOBA ya king kiba...Tena ikiwa zaidi..
King KIBA💪💪💪...
Lipua tz mbaka Simba bandia atoke mafichoni🙄..👏👍🤝👌👌👌.
....Love the song my King 👼
Kula chuma iki hapa. Nawakubari sanaaa kaka zangu from Moz🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿
Baad na king kiba wakishiriki wimbo huwaga ni mkali sana... Je nani anakubalia hili 💯💯💯💯💯💯💯❣️
sending love from Kenya. 🇰🇪🇰🇪
I l(r)aaaavu youuuuu watanzania wotee😂. Aki watanzania tunajua kukandamiza hizi r na l ila ndio hivyo muziki wetu, kivyetu vyetu. Mario unajua sana na hilo beat ni amazing. Bora umetumpumzisha na ma amapiano. Keep giving us hits
#Ndagukunda 😅😅😅😅❤❤❤ burundi na rwanda tujuane hapa na likes❤❤
#Je t'aime 😂tuko hapa 🇧🇮❤❤❤
Am here bro 🇧🇮
Magoma Kama haya nayapendaga saaana😂😂😂😂 MARIOO, ALIKIBA pamoja na produce LEXVANNY👏👏👏🔥🔥🔥🙌🙌🎉🎉
We Omari&Alikiba tambueni Dini yetu haitaki mziki mujue tu huko munakojitafutia riziki musiewe munatafuta ktk njia ambazo Mungu katukataza Mungu atujalie tuweze kuimbia maasi na kwenda kwenye haki.
Representing 254 Hapa. Sauti nyoroooro🎉🇰🇪
Marioo Na King 😭😭 mnaimba sana 🔥
nilikuwa nasikiliza SUMU mko hapa tena 😭
Aiseeee this chemistry nooma saaana walai ALIKIBA & MARIOO THE BEST DUO🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Maunyama mwingi kinoma huu mwaka hatupoi team kiba
Ni nouma san marioo nyoko nyie 💥🔥🔥🔥🔥🔥✍️🔞
Mziki mzuri hakuna kucop wa kupest mario ft alikiba love song unyamwezi mwingi❤❤💯💯💯🔥🔥🔥🇹🇿
Haya mabo yenu ya kutengeneza ushabiki na uteam kwenye mziki mtakuja kuua mziki mzuri. Alikiba na marioo wametoa nyimbo nzuri tu ya sumu, Dimond nae akatoa ya kwake na jux, cha ajabu dimondi akaanzisha makelele kibao ili nyimbo yake na jux isikike ya ali na marioo izime.
Itafika kipindi ali hatokuwepo, pengine atakufa; hapo sasa ndio watu wataanza kusikiliza nyimbo zake na kugundua namna alivyokuwa na juhudi kutunga nyimbo nzuri. Muda huo mtu husika hayupo na hamuwezi kupata tungo zake. Na si kwa Alikiba pekee hata Marioo na mtu mwingine yeyote anaye fanya mziki mzuri.
Dimond kaharibu sana mziki wa bongo, kajitengenezea mazingira ya kuwa mwanamziki mkubwa alafu anafanya kila aina za fitina kuwa haribia wengine wanao jaribu kujitafutia ugali wao.
Zamani kulikuwa na wasanii wengi na kila mtu anapendwa, hakukua na msanii mkubwa kuliko wengine ila kila mmoja alikua msanii mkubwa na alipata riziki yake.
Utamsikia mr blue, mandojo na domo kaya, alikiba, chidi benzi nk.
Wote hao walienda na kila mtu aliteka kijiji.
Leo hii dimond anataka yeye tu ndio abakie kuwa msanii, wakati fleva zake zinachosha na watu wanataka kuskiliza vitu tofauti tofauti.
Ana fanya kila mbinu kuwashusha wenzie, akifika kwenye tuzo za kimataifa anajikuta yupo mwenyewe anaanza kujitiisha huruma kwamba najikutaga nipo peke yangu.
Aache ushamba, watu wa namna hii ndio amabao wakifa wanaua na mziki kwa sababu hawakutaka wengine waonekane. Ina maana na yeye akifa watu wata ondoa focus kwenye mziki wa bongo.
Upewe mauwa yako umeongea fact tupu hapa duh..
Wanao fuatilia comments jaman mm nimechelewa naomba like tu
Mana ngoma imeenda shule na melody kali
Marioo & alikiba best musician ever keep it up that way @diamond you need to grow up dogo bibi yah mtu sumu
Hizi melody ziko fire 🔥 Hatari na nusu hii.. Piga like kama wewe unanikubali hii collaboration 💯🔥🔥💯 Karibuni sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa 🌊🌊🌊
kumbe upo mzeee hehehe team kiba wewe banaa nimekujua
Team mziki mzuri team bahariaa team utaliii🔥🔥🔥
Ndagukunda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🔥🔥🔥nimeipenda kirugaa
Team Mario and kiba
Tujuane kua Like zetu
Ba ndagukunda mko wapi nawangine wote kiba anatuita 🥰🥰
Marioo fundi Ila Alikiba n masterclasses..wew angalia hiyo bridge wameimba maneno sawa Ila Kiba daaah
I'm so mesmerised by Ali Kiba on how he mixes languages in his songs. This shows how artfully he his. This one touches different part of our hearts. A good one. 🤗🤗
Mizigo kama hii ndo inatupa nguvu mashabiki zenu kuvimba mtaani❤️🔥🔥🔥
Marioo never disappoints. Nice piece alikiba ❤
Waoooooow wimbo wangu pendwa sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kila mmoja ameitendea kazi sehemu yake, uandishi, vocals and everything 🔥🔥🔥
Marioo is the specialist and lyrical blender of 🔥🔥🔥bongo vibes...
Kazi Safi mariokiba🥰
Uwiiii Mtoto wa Mzee MANENO Goma linaniingiza kwenye fillings kinoma jamani hapo anapoingia mtu mzima King ndio kabisaaa. Uwiii DUNIA niachie MOYO wangu.
Uweeeeeh hapa mikono nainua!mariooo skuhizi mapenzi ya paula yanamtessa mpaka inspiration yakuimba inakua siku kwa siku👌💞💞💞hummmm
Shout from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪..great minds think alike...noma sana
The king's of bongo ndo Hawa sasa,ngoma tamu sana
Familia kabisa sema tofauti yao na mm bado chafu pozi
Ngoma kali sana❤song
Mistari ya kuwakunda marioo keshanipa.....much love this is 2023
Mziki mzuri 🎧❤️ uwa ujifichi yani kama unakubalina mimi like apa
We need more musicians like Alikiba and Marioo in the music industry
You see🎉🎉🎉
Like seriously
Sijawai kuacha kukusikilza bro your so talented unajua na fahamu hauwezi kureply my comment ila utaona tu your my favourite arts in tz one day tutafanya kazi bro am Obarola🇹🇿 na me ni mwanamziki pia japo sijapata support bado ila na imani ni tafika tu ipo cku kila ni kitaka kukata tamaa huwa na sikiliza ila nyimbo yako ya my life inanipa nguvu ya küzidi kupambania ndoto zangu.👍
Haki hii song ni 🔥🔥🔥Mzee wa lovey dovey king kiba kamaliza,,,mmetisha🔥🔥
Likes Kwa King 👑 kiba na Marioo Tafadhali!!!
🙌🙌🙌🙌
Marioo and Alikiba are most wanted
Because they kill every beat
Most wanted ya nyoko
Sure😄
@@narlynorva4654 unaumia Ukiwa wapi Miomba!??
Akuna Ngoma hapo Aina. Maana au utamu Hata kidogo Tuli tenge meya Mawe kumbe Mandazi tu😅😅😅
@@Lulubyamungpunuza jealous ufanikiwe bro
Another banger hamtoi hata halftime 🪫😂😂🙌🏽💔
Hii ndo maana ya bongo fleva nyimbo kalii kinoma. Respect Marioooooo🎧🎧
From Congo 🇨🇩 nakubali sana hii ngoma 🤜🤛💪💪💪
FROM JULY TO JANUARY (number 1 Trending) 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 🦁🦁🦁🦁toujour LIKOLO 🙏🙏🙏
BAD!!! 2023 it's your year! Love from 🇰🇪 ! my house is filled with your amazing voice ! My kids love you! ❤❤❤
Kiba Na Bad Amjawah Kufany Kitu Kibaya Hat Mara Moja Lazim Hii Iwachome Wasopenda King Music And Mtoto Bad
Wasani ninawo wakubali tanzaniya nzima marioo na alikiba respect 🙏🙏🙏❤️❤️
Bad & kiba Never disappoint 💫🤞🏿
Bado most trending tu kk😂😂🔥
Mixing Abbah hajawah feli 😂😂🫶🏽‼️
Kama uko kama mmi umerudia zaidi ya mara tano like 👍 hapa
Hii chemistry ya Omary&Ally iko powa sana wakiamua kufanya bongo fleva amapiano itapotea wana tone nzuri za kuenjoy waimbapo,sema tu kwenye hii ngoma Omary angepita mwenyew ingekuwa kizazi sana 💥
King ndo kainogesha zaidi na Sauti yake❤️❤️❤️🌺🌺🌺
Chukiii duuh zitatuua
😂😂😂😂
Km ndoto yao ya kushindana kimataifa imeshaifa bx waendelee kuimba hvo hvo
King kaifanya I sound better than you think 😂😂😂
Dah hii nyimbo angeimba Marioo peke ake ingekuwa nzuri sana verse ya alikiba ndo amefanya nyimbo nzima imekuwa yakawaida
Someone please remind our Tanzanians brother that we South Africans love their tunes 🔥🙌🏿
Sa wa mchongo
Sesifikile mfondeni🔥🔥🇿🇦 Hyde Park Sandton City
Syabonga
❤❤❤
❤❤🎉
A best Combination Ever💯💯💯💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Leo nimekuwa wa kwanza jamani naombeni likes zang 🔥🔥
melodies 🥰💯
king & marioo kazi safi sana
from kenya with love
hi itakuwa special kwa mpenz wangu
Marioo muimbaji bora wa muda wote sasa hiv 👉 button
Prince wa Bongo freva nakubali Sana
King ni mmoja tu