Marioo & Alikiba - I Miss You (Audio)
Vložit
- čas přidán 7. 12. 2022
- Marioo & Alikiba - I Miss You
‘The Kid You Know' out now: africori.to/thekidyouknow
Follow Marioo:
/ marioo_tz
/ marioo_bad
/ tz_marioo
open.spotify.com/artist/4ZTqT...
/ marioo
/ thisismarioo
More from Marioo:
Dear Ex - • Marioo - Dear Ex (Off...
Naogopa (ft. Harmonize) - • Marioo & Harmonize - N...
Mi Amor (ft. Jovial) - • Marioo x Jovial - Mi A...
Beer Tamu (ft. Tyler ICU, Abbah Process & Visca) - • Marioo - Beer Tamu (ft...
WOW - • Marioo - WOW (Official...
#marioo #thekidyouknow #imissyou - Hudba
Kama ww n team kiba gonga like tukisonga 👑🔥
Only one King 🇹🇿
@@idrisashelimo307 y
@@idrisashelimo307 y8
czcams.com/video/EIdVcQM9dk0/video.html
czcams.com/video/6aNbKjhXq6Q/video.html
Mfalme umeuwa sana saluti kwako wapi like za marioo ft alikiba l miss you 👑👑🔥🔥🔥💯💯🌎🌎🇹🇿🇹🇿
Alikiba made me support mariooo ..from 🇰🇪
courage vraiment
King kamshika mkono bwana mdogo hizo high notes zitaishi milele Nipe likes za King
OYAAA BONGE LA COLLABO WANAOJUA MZIKI MZURI NDIO HUU KING KIBAA UMEFANYA HAKI KWA HILI GOMA
Ali ana lead flan hivi hakuna msanii bongo anapita
Jaman nani anasikilizaa huu mziki huku akisoma za wadau kam mm😔....❣️... Mko wap kujeni hapa niwaone Nawapenda wote Mwaaah😘
Fire
Mim kabisa huyo 🤣😂🤣 lazima nipitie Comments tu.
nakupenda pia mwaaaaaaahh mwaaaaaaah😘😘 kiss for you princess
nakupend pia
ntakuja kukuita tena siku video inaachiwa
HII ngoma ni noma . KING na Marioo ni 🔥 tusemezane Kwa likes za kutosha
Hii nyimbo itasumbua sana kama unakubal like hapaaa
Mbn aijasumbua
Kweli aisee
Safi kinoma
Kama unakubali iyi ngoma ni kali gonga like za marioo and kiba 🔥🔥👑🏆
Team kiba nipeni like niwakilishev🏃♂️🙌🙌🙌 ngoja nimsikilizeshe mke wangu
King kiba jamani
No2 on trend in South Africa 🇿🇦
Team KIBA twenzetu na makopa ❣️ hapa🙏
King kama king like chini wanaomkubal king of tz🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔨
King kiba in the house,nice collaboration this is the Tanzania we want umoja ni nguvu
Na utengano??😂😂😂🇰🇪
You gonna get more than ten your the best brother
Jamani likes kwa wingi. Strong love from Kenya maze
Duh hii ngoma nimeludia zaid ya mala 3 ni noma hawa watu chemistry yao iko bomba 🔥🔥 team mariooo njooni uku✅
Hii ni unstoppable jamani 🙌 sisi ndio team king kiba so hope video itakuwa moto sasa
Mziki mzur 🎶kazi hii ni ya kimataifa🌍 ngoma kama izi ndo tunazoziitja wa tanzania moja ya colabo itakayoisumbua Africa nzima 2023💥💥💥
Hii Ni Kwa niaba Ya wale Wote Tulio Subiri Hii Kitu Kwa Mda Mrefu Kingkiba Ft Marioo Ngoma Kali Bila kasoro
🔥🔥🔥🔥
Pride of Africa
Haki Ya Mungu I've Miss this
Alikiba ni msanii wengine watafutie majina muwape.
I say anaujua mziki mzuri. After King ni Marioo💥💥
Mariooo naomba hii video iwe ya kwanza pleaseee kutoka iwe ya kwanzaaa
#team kiba kama mimi piga like hapa za kutosha
Full love for kibaa
Depuis aux iles des comores felicitation pour Les deux talentueux artistes kING & MARIOO good job..
Mario. Ft king kiba.
Never disappoint. Much love from Kenya 🇰🇪.
Gonga like ya ushabiki tukisonga👍
King kiba 👑kwan kuna mtu anataka kupinga kwamba King n mmoja tu??
Just take time repeat his verse awoooo💥
Team Kiba like here👑👑
Kiba ana vocal hatar sana
Akuna
Hakuna asee
Hakuna
Marioooo kauaaaa snaaaaaaa umu Ila kiba nyoooookoooo🔥🔥
Iyi nyimbo ni Kali sana kabisa Congo bukavu tuna ikubali sana kabisa alikiba munyama sana kabisa tuna injoy good m'y music
Kiba amenituma huku NAMI sikuwa na budi ila kuja kusupport bro marioo for sure this is a bang'a..king never disappoint 🇰🇪💯
Mahali Kuna marioo must be fire 🔥 always 🔥 booom ,naacha hii comment hapa nakam kumaliza wakati team marioo na Kiba wakilike 🤝🤝🤝
Mario nakubali iyi nyimbo ukafanya collabo na legend king kiba 🙏🔥🔥🔥💀💀😅😅😅i miss you 🇧🇮🇧🇮🏆🏆🏆
Siku king anarekod hizi vesi alikunjua rooh kiukweli daa bonge la vocoooo👑🙏❤️
King anajenga urafiki then ana chemistr inaendana na wasanii wengi mfano. Nandy, Maua, OtileBrown, Darada,Sauti Soul, RudeBoy, PatoranKing e.t.c zaid ana vocal ya kipekee inayompandisha juu kila akisikika kwa ladha tofauti tofauti...we call him KingKiba👑🎶🙌🔥💕
Hakuna wa kupinga kwamba hii track ni nooma 🔥❤
King ameuwa sana 🔥
Who needs WCB ndio Album eti ipenye?? and we have the King, Yow...#TheKidYouKnow is FIRE!!
My ally umeshindikana ujuwe king umetisha sana mfalume 🔥🔥🔥
Kama umekuja kwaajili ya kuinjoy mziki nzuri marioo x king gonga like tujuane
Kings wamekutana an niunaenjoy hadi machozi😢😀
Chiiiiiiii!! Kuimba tumuachie King Kiba maana vocals zake ni kaliiiiii 🔥🔥🔥
Umesem kwel the king kiba
Kwa hii nimekubali Huyu #Mfame Marioo walai hii hutawai sahau kwa historia ya safari Ya mziki wako perfect match Forever Aprooooooved 100%
The problem with kiba is that he sings so much 👑🙌🔥🔥
😀😀
He is talented so much
Yan mpaka washamba wanakuwa hawamuelewi kings hatuimbi ngololo
Kama wewe ni shabiki wa kweli wa marrio like 👍 acha na comentie tu fikishe 500k ya like na 700k ya COMETIE
King kiba From 🇿🇦 nimeipenda ✊
Salute king Kiba salute from mozambique
King Kiba ni king 🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿...good job Marioo
Unyama..Hawa sasa nawakubali..TZ Kings..Marioo with my favorite artist..One love my niggas..Likes zikam
Wa watanzania kwa mapenzi wayafahamu 💯. From Kenya 🇰🇪 much love
Where's my team king 🤴 Kiba are?🥳✊️
Tupo, mi napitia tuh comments natafuta vinega or haters wa King nipambane nao😂😂😂. Goma kali xanaa
King kiba kauwa kinoma ♥️🇨🇩💪♥️🇨🇩💪
Bonge la Goma mtu Badii Ft King 🤴 of Bongo flavour Alikiba ♥️
Funs of king 👑 Kiba & Marioo inside and outside Tanzania 🇹🇿 Gather 📌 here
Marioo🇹🇿 Ishi katika mziki Mtanzania mwenzangu ... Hakika daima kazi yako inasambaa hata Siku moja nyimbo hizi zipigwe Bungeni kabla hawajaanza Na kumalizia vikao vyao...🙏
Bungeni kabisaa😂😂😂Kaka umetisha
Kiba for life king 👑👑👑 kiba
Alikiba is so underrated he makes songs so melodious 👑👑🇹🇿🇹🇿🌎🌎🔥🔥🔥🔥🔥🔥like 👇
Ali kiba nakubali kaZ yako saf fz
We cant say alikiba is underrated broda
My East African singer Alikiba 💕
P9p
@@madeforyou100 9p99
Kama wana team kiba we never get old 🥰🥰 forever young
Pale my favorite artist wanapokutana bas mie kamoyoo kanaenjoy kinomaa, gonga like twende sawa
Safi Sana Marioo hivi ndivyo unatakiwa kufanya mziki usiwe mvivu kuandika mashairi makali kama haya 🔥🔥🔥🔥
Nairudiaa mara ya tano saiv❤️ the melodies are wonderful all the way from USA🇺🇸🇺🇲
Kwanj KING KIBA inakitu gani? Mbona kila ngoma unahuwa sana merci beaucoup ma star Toujours avec vous from DRCONGO
Wow nice one good job good music and good sound kwapamoja sana marioo ft king Kiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kiba bhna siku ukija acha kuimba bac sijui nitakuwa mgeni wa Nani unajua mwamba, always I,m on your side salute
Kwel mwanangu
Kumbe tunaowaza iv tupo wengi...Mungu amuweke aish miaka mingi na afya tele
Marioo kaua humu kama unamkubali nipe like 5 zinanitosha ❤️
Mh. Jaman kweli king ni king mpaka kufa tuache mazalau gonga like apo chin kama unamkubali king
Mario big Up with a king 👑 of melody alikiba noma
My mentor King Kiba,.........really inlove,.......KENYA PRESENTS
I MISS YOU LYRICS 🔥❤️.
I miss your love
Baby girl I miss your love
Baby girl I miss your love oooh yeah
I miss your love
Baby girl I miss your love
Baby girl I miss your love ooh aaah
Hata kupiga magoti niombe radhi
Oooh yes I do
Kama unaamini itakuw sawa
Hat nibaki na wewe niache kazi
Oooh yes I do
Uko na thamini kwangu sawa(sawa sawa)
Ona pigo linavonienda mbio
Ila niwako sitosheki
Nimekuzoea Sana najutia
Kila ninachotaka taka kutenda sio
Sieleweki sisomeki
Nimekuzoea Sana najutia oooh
If you lie to me I go lie to you
Then it’s over
If you die for me
I go die for you we’ll be forever
If you lie to me I go lie to you
Then it’s over
If you die for me I go die for you
I miss your love
Babe girl I miss your love
Haki ya Mungu I miss your love ooh ooh
I miss your love
Babe girl I miss your love
Babe girl I miss your love oonana Nana
Heeei
First time I saw you love
And you belong to me
And I belong to you yeeh
Have seen so many around
Gut I choose you (choose you)
Girl ukikata Kona nipo
Ukikata kamba me hoi(me hoi)
And now nikikata Kona haupo
Umekata kamba me hoi (me hoi)
Bado mpaka Sasa una trend
Ndani ya moyo nilifanya sipo
Nilikuchosha I know
Kuna vitu vinamiss ooh burudan
Leo sipati Tena
Nilikuchosha I know
Najiona nakonda
Nikikwona nitapona
I miss you I miss you
najiona nakonda nikikwona napona
I miss you girl I miss you
I miss your love
Babe girl I miss your love
Oooh I miss your love
Babe I miss your love
I miss your love girl
Oooh I miss your love
Baby girl I miss your love
Good job
Uko vizuri buddy
Good job bro do this to all trending songs
King's music record forever
This gyz is just a vibe wakenya tusanye likes a hapa
alikiba ni mumoja tuu hapa tanzania huyu jamaa anajua music sanaa na hapa wamekutana mafundi watupu wanao jua kuupiga mwingi ✊✊✊✊
Hii ndio ngoma inayoenda kubebe Albam mzee Marioooo mmeua sana
Yebaba always like Kenyan Airways 🥰🥰🥰
Toto badie on top 🙌... King kiba na njia zake 💯 hit song 👍
King ni king2 kama hutaki basi Asante sana Mario na king kibaa umeua Sana
Ungeimba na mond najua ingekuwa amapiano kawaida sana broh ila hpa bongo limeumia la kuishi hili kk💯💯🇰🇪🇰🇪🇧🇭
Sure 🤝✌🙏😍😘
@@missindependent1893hatar
Leo jioni itakua number 1 trending what a massive hit
Dedicate to Eac young generation✌️🇺🇬
Mafundi wawili wamekaa kwny ngoma moja n 🔥 🔥 🔥 🔥 bonge la wimbo had raha
King kiba é do outro mundo 🌍🌍🌍🌍🔥🇲🇿🇲🇿
King Kiba ni mtu na nusu🔥🔥🔥🔥
Song of the year...much love form 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wangapi walisubilia hii collaboration kwa miaka mingi gonga like hapaa💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
Mmetisha mmeuwaaa nibongeea nyimbo Album kubwa sana hongera 💯🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏 nambakumi naishinayo
Kama uko na Mtu unampenda,You'll press Repeat.. Abbaahh!!🔥🔥
Daaaah!! Hili goma la moto sana mafundi wawili wamekutana hatareeeeeee
Wooow aki wacha Ali kiba aitwe king wa Bongo music
hii kzi kaitendea hki Marioo hukukosea kufany hii collabo na kiba Mondi ange harbu na matusi na mistry ya kitto
Can someone please hug my comment so that I will come back here and watch this masterpiece again 😂
Miziki ya kiutu uzima ndio kama hii🥰🥰🔥🔥
These two should do more collaborations their voices blend so well ,muy perfecto ❣
Good music#king kiba😘
Sureee
King with bad it's a disaster u killing it 💪👑
Dunia kujeni huku kiu ya mziki inakata marioo🙌🙌🔥🔥
Wanangu wote wanajua eyoooh king🔥🔥🔥🔥
Ni jux na harmonize tu ndio nasubiri wafanye collaboration na king kiba sijui itakuaj 🔥🔥
Alikiba's voice tastes different!
Marioo ft Alikiba 🔥🔥
Cio kuwa eti zingine mbya baddie ila hii Kali zaid🔥🔥
🤴 kings music 🎶 for everyone ✌️💕🎈 yoooo!!
Jamaa ana njaa utasema ndo anaanza kufany mziki Kama unakubali gonga like
Brother uko na team POA don't make a mistake of joining any Tanzania Label if you must sign deal with recording label then do international brands.....umetoka mbali as a solo artist na mtaani unapendwa kinoma🤑🔥🔥🔥
first time I saw you love
and you belong to me
and I belong to you yeeh
have seen so many around
but I choose you (choose you)KingKiba👑
I'm listening from Mozambique
Song is hot . Big up to Alikiba
Nimeipokea vizuri sana hiii nyimbo mana heeeeeeee. Mchizi from Moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 apa
Kama urikua ume mumiss kiba gonga lile 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wakali wawili wamekutana
Good Melody 🎶
Pande za Burundi 🇧🇮 tuko pamoja ❤💚
Kings music
Sou um dos melhores fãs de ali kiba from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 sucessos
Estamos juntos, sempre que escuto eles m sinto tao orgolhoso de ter dupla Nacionalidade
Maning ❤
Kama unataka kutapika imba kama 👑 KING chamoto utakiona