MARUFUKU KUTEMBEA NA BASTOLA NA KUMILIKI ARDHI ZANZIBAR “KWA MAMA KIZIMKAZI HAPA HAIPO”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 02. 2024

Komentáře • 469

  • @opportunities2767
    @opportunities2767 Před 5 měsíci +15

    Wazungu mnawauzia Ardhi ila sisi ni marufuku sio😂 sheria za hovyo sana.

    • @rashadmohamed4357
      @rashadmohamed4357 Před 5 měsíci

      Wazungu hawajauziwa ardhi, wanakodishwa

    • @opportunities2767
      @opportunities2767 Před 5 měsíci

      @@rashadmohamed4357 Nashukur kama ni hivyo sawa

    • @surusuru1994
      @surusuru1994 Před 5 měsíci

      😂tatiza .wanaasira baya hao wanajaziba alafu wanawevu na wabogo

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj Před 5 měsíci +2

      Anasema tuu mbona wabara Tele tuu wanamiliki Ardhi ZANZIBAR 😂😂

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 Před 5 měsíci

      Wanyamwezi na Wamakonde kibao wanamiliki ardhi Zanzibar, tena ardhi yenyewe ni ya kugaiwa bure na serikali ya Mapinduzi. Je, Mzanzibari gani kagaiwa ardhi huko bara?

  • @jeandezanzibar
    @jeandezanzibar Před 4 měsíci

    My beloved teacher 🎉❤ long time 💓

  • @osupatkarenolesieku
    @osupatkarenolesieku Před 5 měsíci +3

    Hahaha mkuu Asante kwa hilo la mfano wa kimasai

  • @200Stella
    @200Stella Před 5 měsíci +1

    Very good move....

  • @JamalSleiman-yc1er
    @JamalSleiman-yc1er Před 5 měsíci +2

    Wazanzibar tukimpata huyu Jamaa kama raisi hapa visiwani tuta enjoy sana 😂

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 4 měsíci +2

    sasa mbona wao wapemba wana miliki viwanja nyumba na biashara sasa kunamaana gani kua na muungano wa znzbar mungano ni koti lililotubana watanganyika

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda Před 5 měsíci +13

    Mimi natokea Tanganyika, hizo sheria safi sana nawapa big up. Zanzbar mko safi sana kwenye sheria, haki na misimamo, sema mnaharibiwa na muungano

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 5 měsíci +1

      Sasa siwavunje huo mkataba?

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 5 měsíci

      Sila hatuwataki wsrudi kwao hawa walioko huku warudi hatutaki muungano kinachotakiwa ziwe Serikali 3

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 5 měsíci +1

      Mlioko kwetu nyie Wanzanzibar rudini kwenu mmejaa huku mpaka bandari zetu zinauzwa kwa warabu kauzeni bandari zenu hatuwataki jamani muungano ufe kabisa

  • @marwajoseph8060
    @marwajoseph8060 Před 5 měsíci +36

    Nimarufuku mtu kutoka zanzibar kumuliki eneo Tanzania Bara natowa onto

    • @shahabdallah9407
      @shahabdallah9407 Před 5 měsíci +2

      nna mpango wa kununua kiwanja kigamboni kule😂😂😂😂😂

    • @mangofish9079
      @mangofish9079 Před 5 měsíci +7

      @marwajoseph8060 wee mpumbavu sasa raia milioni 1 tu wakinunua ardhi znz hao waznz wenyewe wakakae ktk bahari su?

    • @user-tq2rk8jw3s
      @user-tq2rk8jw3s Před 5 měsíci

      😅😅😅😅

    • @Hasnspop
      @Hasnspop Před 5 měsíci

      ​@@mangofish9079😂

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p Před 5 měsíci +1

      Tatizo mumezidiwa akili na viongozi wenu mtanganyika hapigi kura zanzimbar lkn mzanzibari anapiga kura tanganyika na aridhi ndio hivo hivo lkn yy hamuna serekali ya tanganyika ipo ya muungano tu ndugu

  • @salumhaji1906
    @salumhaji1906 Před 5 měsíci +4

    Nyerere na Karume walikubaliana kutotokea kumezwa kwa Zanzibar,
    wazanzibari wapo kidogo kiidadi,ukiruhusu wabara kumiliki ardhi wazanzibari watapoteza haki na na nchi yao, Zanzibar iliunganishwa na Tanganyika kwa lengo la kulinda mapinduzi na sio kuifanya usiwepo tena.

    • @surusuru1994
      @surusuru1994 Před 5 měsíci

      Ila wazungu wanarusi
      Wa😂 hatuna heda naarizi zakibinasi sisi wa bogo tunawajuwa yee niwebinasi mno ila mnasitirika kw jina lakisilam

    • @kheirdulla9046
      @kheirdulla9046 Před 5 měsíci +2

      ​@@surusuru1994wazungu hawauziwi ardhi bali wanakodishwa au wanatumia kwa jina la mtu, Zanzibar mgeni yoyote haruhusiwi kumiliki ardhi

  • @binmussahaji4932
    @binmussahaji4932 Před 5 měsíci +3

    Safi Sana

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Před 5 měsíci +26

    Yaani mimi hua nawashangaa sana ndugu zetu wa damu...Kwani inchi kua na kanuni zake kuna ubaya?...Kwani hamuoni inchi kama vile Brunei, Singapore si wana sheria zao...Sasa kwanini mshangae na sheria za Zanzibar??
    Mfano mwengine: **Pale T.bara unaweza kula mchana Ramadhani na baa hua ziko wazi na ndio utaratibu wao na hawajaingiliwa na wazanzibar ila njooo ule Zanzibar uone**..Sasa kila races ina tabia zao

    • @AhmedHassan-vl5zf
      @AhmedHassan-vl5zf Před 5 měsíci +4

      Waarabu na wahindi na wazungu NI Sawa kuwapa

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před 5 měsíci

      KUTEMBEA NA BASTOLA NJIA
      YA
      KUWAUWA WAZANZIBARI
      @hamadsuleiman5177.Mimi nawaita ndugu wa jirani sio wa damu kwa sababu wanakuja kumwaga damu zetu kulinda
      Ukoloni kwa jina la Muungano.
      Wanatuharibia mila zetu na kutulazimisha mila zao kwa kizingizio cha nchi moja. Ndio maana wameondosha Kadi za Uraia wa Zanzibar baada ya Rais Karume kuondoshwa😂😂

    • @hanifahkhamiss8485
      @hanifahkhamiss8485 Před 5 měsíci +1

      ​@@AhmedHassan-vl5zfhao wote wana kodi hakuna muhindi wala muarabu anaemiliki ardhi....hat ukiona muarabu ana miliki ardhi ujue ni mzanzibar.......

    • @Worldunite
      @Worldunite Před 5 měsíci

      Wakija wawekezaji wazungu wakitaka kununua ardhi znz mtawanyima?

    • @MarckyCholla
      @MarckyCholla Před 5 měsíci

      Nashindwa muelewa kiongozi anasema sheria sheria atuambie ilitungwa mwaka gani na iliptishwa na bunge gani

  • @othmankhalfan9675
    @othmankhalfan9675 Před 5 měsíci +3

    Hii sio fair kabisa.. i love u my natural nation TANGANYIKA

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 5 měsíci +6

    Daah mimi ta nunua bastola maaana naona ntakuja ibiwa 😂

  • @AbdallahMohamed-bs7gb
    @AbdallahMohamed-bs7gb Před 4 měsíci

    Mashallah, Mkuu wa mkoa uko Sawa

  • @Pemba680
    @Pemba680 Před 5 měsíci

    Safi sanaaa

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi Před 5 měsíci +8

    Mm mzanzibar lakin kwa mbongo asimiliki arthi sio haki mbona mm namiliki aridhi bongo

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Před 5 měsíci

    ahhh maneno ya mfamaji wabongontele.wanamiliki ardhi

  • @fadhilhamdu7063
    @fadhilhamdu7063 Před 5 měsíci

    Safi sanaaaaaaaaaa ,hatutaki majambqziii
    Kwann utembeee na silahaaa tena ZANZIBAR ?

  • @stellanyamuhogota1832
    @stellanyamuhogota1832 Před 5 měsíci +15

    Na wenywe wasimiliki ardhi bara😮

    • @MaNsaMMs
      @MaNsaMMs Před 5 měsíci +2

      Tatizo Tanganyika haipo tena ila Zanzibar bado ipo. Ndio maana Zanzibar ina sheria zake na TANZANIA bara inatumia sheria za Tanzania na wazanzibari ni watanzania pia. Kama hamutobadilisha ilo wazanzibari wataendelea kumiliki ardhi na vyenginevyo uko bara

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p Před 5 měsíci

      Tatizo hamuna raisi wa tanganyika yupo wa muungano tu

  • @djbare2421
    @djbare2421 Před 4 měsíci

    Perfect Zanzibar ni kisiwa kidogo tumilki wenyewe tu

  • @NuruJara
    @NuruJara Před 5 měsíci +1

    Kenya pia twatumia security na hapa ipo eti

  • @donpablo7698
    @donpablo7698 Před 5 měsíci +2

    Sasa muungano Gani huo?

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před 5 měsíci +1

    ❤ zanzibar

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao Před 3 měsíci

    😎

  • @AbdallahMohamed-bs7gb
    @AbdallahMohamed-bs7gb Před 4 měsíci

    Maji ya bahari hayaathiriki kwa kuingiliwa na maji mto, Ispokuwa maji yamto yanaharibika yakiingiliwa na maji ya bahari, Mkuu wa mkoa wa mjini Maghrib apandishwe cheo kwani ni msema kweli hamung'unyi maneno, acheni chuki binafsi , kazi iendelee.

  • @moxmed5539
    @moxmed5539 Před 5 měsíci +1

    Kuna kitu huyu hajafafanua vizuri katika kumilik ardhi zanzibar,ili umiliki ardhi zanzibar ni lazima uwe na kitambulisho cha mzanzibar ,kwahiyo hata waliozaliwa zanzibar ambao asili ni wazanzibar lakin wanaisha tanzania bara basi pia hawaruhusiwi kumiliki ardhi ikiwa hawana kitambulisho na kwa mtanzania bara akienda kukaa na kupata kitambulisho cha mzanzibar nahisi kama sijakosea kwa muda wa mwaka anapata kitambulisho na anamiliki ardhi,so kuna watu wengi wanamiliki ardhi kutoka tanzania bara na haikatazwi kwa mtanzania kumiliki ardhi kwani hata hao wazawa wa zanzibar kama hawana vitambulisho vya pale hawamiliki ardhi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 5 měsíci +5

    .bona nyie Wazanzibar mnamiliki ardhi zetu ondokeni kwetu rudini kwenu na mama yenu awe Rais wa huko kwenu na Hussein Mwinyi arudi kwetu awe Rais wetu tumewachoka rudini kwenu mtoke huku hatuwataki kabisa

    • @makamekhamis871
      @makamekhamis871 Před 5 měsíci

      Pombe zako hizo!!!!

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před 5 měsíci +1

      ​@@makamekhamis871ulimnywesha wewe 😏😏😏

    • @suleimanomar6214
      @suleimanomar6214 Před 5 měsíci

      Wewe mchukue hussen Mwinyi tuletee samia Zanzibar sir tutampokea kama una uwezo

    • @ZalkhaRawahi
      @ZalkhaRawahi Před 5 měsíci

      Ivi hw waandishi wa habari huchunguzwa ss hapa imekuwa kioo kwa jamii au mchonganishi wa jamii
      Mana tujue kila mmoja na uelewa wke huko mitaani wanaoishi ni mchanganyiko huoni km icho kitu so sw habari nyengine so kuzimwaga mitandaoni km humu msiangalie hapa angalieni pia mtakuja kuonana wachungu kisa mtu mmoja tu

    • @ZalkhaRawahi
      @ZalkhaRawahi Před 5 měsíci

      Mana huko znz wapo watanganyika wengi tu wanamiliki ardhi na washajenga tena nyumba za kudumu kabisa wanamiliki nyiwanda wanalima bukheri ila habari km izi wizara husika wangekuwa wakiziangalia kwa makini tusipojenga ufa .......

  • @suleimansaid769
    @suleimansaid769 Před 5 měsíci +1

    Upo sawa mkuu hususani kwnye ardhi

    • @happynesssamwel2917
      @happynesssamwel2917 Před 5 měsíci

      Mbona tushanunua na hayo miliki tunazo na Bado tunaendelea kununua😂😂😂😂 sote wa moja bhana lol

    • @saidmohamed4619
      @saidmohamed4619 Před 4 měsíci

      ​@happynesssamwel2917 Siku utayoambiwa acha kiwanja au nyumba usije sema umedhulumiwa, ni sawa na watu wanaojenga kwenye barabara, siku ukiambiwa vyunja uondoke unasema tunadhulumiwa.

  • @user-qt3sk6pj7j
    @user-qt3sk6pj7j Před 5 měsíci +1

    DOTTO MAGARI TYPING 😅😅😅

  • @YamunguMuha
    @YamunguMuha Před 5 měsíci +3

    Duuu,k na hapa haipo Zanzibar 😢

  • @najashdawood9680
    @najashdawood9680 Před 5 měsíci

    Mmmh mbona wapo wabara wana ardhi muheshimiwa..kama kweli hawatakiwi..basi wacha tukupe urais akimaliza hussen mwinyi ..ww uta tufaaa pengine 😂

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 5 měsíci +10

    YAANI KATI YA WATU WABAGUZI HUYU ANAONYESHA DHARAU WAZIWAZI NA KWA KWELI SIMPENDI KAMA JINI VILE,

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 Před 5 měsíci +1

      Wabara hawawezi kuwa na ardhi zenji hatuendani Mila kwanza nyinyi mmefanya Hadi zenji iwe finyu kimaendeleo

    • @izack9191
      @izack9191 Před 5 měsíci +1

      Kuongea ukweli sio ubaguzi, tanganyika na zanzibar ni muungano wa mdomoni tu

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 Před 5 měsíci

      ​@@hamicpina1151😂😂😂uvivu umewajaa mnataka kuzaa tu

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 Před 5 měsíci

      @@hamicpina1151matako nyie

    • @Official83640
      @Official83640 Před 5 měsíci

      ​@@hamicpina1151KWAHY WAZUNGU MNAOWAUZIA NAO MAENEO VP MMEWAPA URAIA?

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před 5 měsíci +5

    Mnafeli xhana ndugu zetu

    • @AwatifAly-gw9qo
      @AwatifAly-gw9qo Před 5 měsíci +3

      Hatuna ndugu sisi wenztu pemba

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p Před 5 měsíci

      Munafeli yy hamujielewi mzanzibari anapiga kura tanganyika lkn mtanganyika hachangui raisi wa zanzimbar ni uzembe wenu yy wenyewe hamuna raisi wa tanganyika yupo wa muungano tu

    • @user-vz4xj2ci2w
      @user-vz4xj2ci2w Před 5 měsíci

      lakini anahangaika na maendeleo ya bara kuliko visiwaniutaelewa raisi ni wawapi ukitafiti vizuri hata wanaopata uraisi wakuchaguliwa wengi ni wabara hivyo maakamu ndo wazenji mwinyi ni mbara mkapa nyerere kikwete magufuli kwahiyo adi kufikia sasa raisi mzanzibari ni mama samia tena hakuchaguliwa amepita kikatiba haya endelea na mswada wako binafsi@@user-sl2hk8wp1p

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 5 měsíci +2

    Ardhi yao ndogo bora ununue nyumba tu za Bakharesa

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube Před 5 měsíci +4

    Uyu kiongozi ndie mzanzbar halisi sio mzanzbar mkaazi

    • @hanifahkhamiss8485
      @hanifahkhamiss8485 Před 5 měsíci

      Eeeeee......mzanzibar halisi uyo

    • @user-vz4xj2ci2w
      @user-vz4xj2ci2w Před 5 měsíci

      hhahahah ukute huna ata kibanda unasapoti upuuzi wa majumba ya wenye pesa mtz anamiliki nyumba south africa ije ashindwe kumiliki ardhi zanzibar em toeni upuuzi@@hanifahkhamiss8485

  • @Tawazone
    @Tawazone Před 5 měsíci +1

    Mwenyewe anajiona ameongea point kabisa kumbe pointless, huyu kiongozi anaonekana ana ubaguzi wa ndani kwa ndani kabisa, anaichukia Tanzania bara

    • @chibudenga8977
      @chibudenga8977 Před 5 měsíci

      Mshamba uyooo anaonekana anachuki malaya uyoo

  • @salumally663
    @salumally663 Před 5 měsíci +3

    Wadanganye wasiojitambua....kwanini mnatafutaa watu WAGENI KUJA KUMILI ARDHI ZNZ?!

  • @Pemba680
    @Pemba680 Před 5 měsíci +1

    Hii ni nchi ya kistaarabu

  • @mohddelo
    @mohddelo Před 5 měsíci +7

    Zanzibar ni nchi ya kula bata tu

  • @asyachetu2388
    @asyachetu2388 Před 5 měsíci

    Wako wa bara tele wananunua viwanja tena wengi hawana lolote story tu hz

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před 5 měsíci +1

    Yaani huyu jamaa anajiona kwamba wazanzibar ni watu flani special sana..!! Kumbe Kuna njaa sana na umasikini uliopitiliza.

    • @AwatifAly-gw9qo
      @AwatifAly-gw9qo Před 5 měsíci

      Zanzibr kuwa na njaa vp lakin tofaut na uko bara maan kazi zote za kuuza njugu embe mbichi , machungwa ukwaju nyiny ndo mnakuj kufny huku na kuchoma mahind mzanzibr humkuti kutoka nchi yke kenda sehem akapiga debe

    • @YosephAndrew-zm8zw
      @YosephAndrew-zm8zw Před 5 měsíci

      Sio kweli iyo yakusema et amna mzanzibar anaefnya ukonda bara mbna wapo wengi sana nawengine wanauza juice zamiwa wapo wengi tuu nawanafnya kaz zakawaida tuu

    • @AwatifAly-gw9qo
      @AwatifAly-gw9qo Před 5 měsíci

      @@YosephAndrew-zm8zw unawatuma weye hoja so kazi za kawaida hoja njaaa zanzibr na bara wapi kwenye njaa ndo alivosema zanzihar njaa zaid kuliko bora kwa akili ya kawaida icho kitu hakiwezekani

  • @DrOmaryJuma-zj6se
    @DrOmaryJuma-zj6se Před 5 měsíci +1

    Kiongozi anaongelea sheria lakini zanzibar mitaani watu wanatishiwa kwa mapanga.anachozungumza angewakumbusha wakuu wa wilaya wenzake wafike maeneo yao ya kazi na kupata maoni ya wananchi wasikilize wataelezwa kama ni kweli hiyo sheria ya silaha inafuatwa

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 5 měsíci +3

    asa kama kuna mtu nataka nimalizane nae uko uko

  • @user-mc8rz4yp4r
    @user-mc8rz4yp4r Před 5 měsíci

    Unhuu mdogo wangu amenunua kiwanja Million mia mbili na amejenga hoteli Sasa itakuwa ngunu basi na wazanzibar wasiruhusiwe kununua viwanja Tz Bars,

    • @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh
      @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh Před 5 měsíci

      Bara ndio wameweka sheria hio na Zanzibar wao ni nchi ndogo sana kama wataruhusu nchi watu watajibana 😂

  • @edwardgafachu8932
    @edwardgafachu8932 Před 5 měsíci

    Ni kosa pia mzanzibar kununua ardhi ya Tanganyika, siyo Tanzania hapo ndipo wote tunapokosea. Kama ilivyo ardhi haiuzwi kwa wageni vilevile wazanzibar kwenye masuala ya ardhi ya Tanganyika si wenyeji ni wageni vilevile. Tubadili katiba na sheria zetu zitende haki kila upande.

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 Před 5 měsíci +8

    Wazungu, wahindi, warabu wamenunua sana aridhi Zanzibar na wanaishi, si kwamba wanaishi kama wawekezaji hapana, wamenunua wamejenga nyumba na wanakaaa, na wakati huo huo watu kutoka Bara hawaruhusiwi, sheria imewabagua kwa kigezo cha zanzibar ni kisiwa kinalindwa. Mh. Mkuu wa wilaya hii sheria kwa upande mwingine haiko fair kwa upande mwingine wa muungano tunaheshimu sana sheria na taratibu za Zanzibar lakini kuna haja ya kuliangalia upya. Je wale watanganyika wanaouziwa viwanja hapa na wazawa wanatapeliwa? maana sheria iko wazi haiwapi haki ya kumiliki aridhi Zanzibar.

    • @josephfungwa5719
      @josephfungwa5719 Před 5 měsíci

      Hawajatapeliwa, watu wanamiliki aridhi na wanajenga! Sheria inamtambua mtu wa Bara kuwa Mzanzibar mkaazi, baada ya kukaa Zanzibar Kwa muda usiopungua miaka 10! Na uwe registered kutoka ngazi za chini na ushiriki shughuli mbali mbali za shehia na mitaa!! Anachoongelea mkuu wa wilaya ni Ile MTU amajisikia kuja kununua aridhi kutoka Bara na kupata ardhi hiyo ni ngumu! Ukifuata masharit ni rahisi na watu wanajenga vzr!. Ukija Kwa jina la mwekezaji unapata Kwa utaratibu ulio wekwa!
      Kwani Tanzania Bara Kwa mjibu wa sheria za aridhi kuna MTU anamiliki aridhi au tunakodisha?.

    • @user-nq2np6de6l
      @user-nq2np6de6l Před 5 měsíci +1

      Si kwel ukiangalia hati zAo ni kwa ajili ya udhibiti ila mzanzibar imeandikwa kuimiliki nenda kaangalie

    • @ahmedalbalushi6239
      @ahmedalbalushi6239 Před 5 měsíci

      Passport pia irudishwe wanaoingia wawe na passport

    • @mohamedally5225
      @mohamedally5225 Před 5 měsíci +1

      Hamjamuelewa mbn raia wa kawaida wapo kibao wamejenga zanzibar mm ninaojiran zang watatu na washikaji pia ni watanganyika na wamenunua na wanejenga

    • @user-pm7yo3xi3h
      @user-pm7yo3xi3h Před 5 měsíci

      Hiyo sheria ya ardhi zanzibar haifuatwi na si sheria hiyo tu .sheria nyingi za zanzibar zimetiwa kapuni. Katika makubaliano ya muungano pia mengi yamevunjwa.

  • @loycealute8283
    @loycealute8283 Před 5 měsíci

    Kumbe Zanzibar haipo Tanzania kabisa n nchi nyingne 😂😂😂

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 5 měsíci +1

    Ndio Kwa maana mama anauza tuu ardhi ya bara

  • @DaudiHamisi-un2uu
    @DaudiHamisi-un2uu Před 5 měsíci +1

    Mimi naona viongozi wetu ni wabinafsi sana hii nchi ilitakiwa kuwe na Raisi mmoja tuu kuanzia Pemba mpaka Ruvuma pesa ya dhahabu Geita itengeneze hospital Zanzibar na pesa ya karafuu ifike mpaka Mbeya Bunge liwe moja tuu nchi iwe moja tuu

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 Před 5 měsíci

      Ile pesa ya Zra na TRA inayokusanyw bot inaenda wp

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před 5 měsíci +1

    Na mama anakabizi na kuingia na lungu?

  • @Djroja_mo
    @Djroja_mo Před 5 měsíci +1

    Anaongea nini huyu mim sio mzanzibar na niko na nyumba nungwi nimenunua kialali kiwanja nanikajenga mwaka wa 7 sasa

  • @denismvamba7480
    @denismvamba7480 Před 5 měsíci

    Duh, wao Tanganyika wanamiliki, ila kwao no, udumu muungano.

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 Před 5 měsíci +1

    Hizo ni propaganda tu za serikali lakini wapo wabongo wengi sana wanamiliki majumba na mashamba sisi wananchi tunawajuwa na hao wanasema hawaruhusiwi kumiliki ardhi ndio wanaowapatia haki za kumiliki

  • @zangzang1574
    @zangzang1574 Před 5 měsíci

    Sisi atuna mawazo ya kufikilia mbele wazungu tunawamilikisha aridh ila sisi kwa sisi atuna ruhusa ya kumiliki aridh hii ni fky 😂😂😂

    • @kheirdulla9046
      @kheirdulla9046 Před 5 měsíci

      Mzungu gani unamjua anamiliki ardhi Zanzibar

  • @ericmitti2649
    @ericmitti2649 Před 5 měsíci

    😂😂Na hapa ipo ardhi kamilikini bara uku njoo utusalimie ila mie nikija uko mtanimilikisha😂😂😂 any way zanzibar ni nchi naiheshimiwe

  • @richardjosh2636
    @richardjosh2636 Před 5 měsíci

    Haya yanaubinafisi sana

  • @salmabasil385
    @salmabasil385 Před 5 měsíci

    Iwepo sheria pia mzanzibar asimiliki ardhi Zanzibar wamalizie kununua ardhi kwao

  • @tatumzelela5515
    @tatumzelela5515 Před 5 měsíci

    Nimesema hivi kama Mtanzania bara marufuku Mzanzibar kumiliki eneo huku wala kupiga kura olewenu niwakute ntawanyoosha

  • @Askari22
    @Askari22 Před 5 měsíci

    Yoooo wow 😢manaake wao wanaweza miliki tz lakini sisi hatuwezi kumiliki zanzimbari

  • @kiri5807
    @kiri5807 Před 5 měsíci

    Ardhi ya Znz almodt inamilikiwa na watanganyika walioko kwa madaraka hiyo sheria iko kwa kitabu tu . Wazanxibar wenyewe wanaondoshwa kwa ardhi zao .zikitakiwa .Hadithi za jaba hizo .

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před 5 měsíci +1

    Mbona wapenba Wana ardhi huku ...huu ujinga sana

  • @mohammednyemaga4793
    @mohammednyemaga4793 Před 5 měsíci

    Mmmmh

  • @raymondmichael8805
    @raymondmichael8805 Před 5 měsíci

    Sasa vipi inakua ni nchi moja?

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf Před 5 měsíci

    Ndo maana huyu mother anauza tu

  • @MnaitheBigname
    @MnaitheBigname Před 5 měsíci +2

    Jamani leo mi wakwaza

    • @godlistenJohn
      @godlistenJohn Před 5 měsíci +1

      Acha ushamba, wenzio wameona mda tu, hawana mambo mengi wametulia

  • @zangzang1574
    @zangzang1574 Před 5 měsíci

    Mimi hilo napinga mbona kuna watu wanamiliki bastora na sio asikali

  • @jumashedafa
    @jumashedafa Před 5 měsíci +19

    Hayo yote yataisha soon as possible...Sheria si msahafu..Umilik wa bastor ni muhim kwa ulinz binafsi...Mwenye nia ovu ata kwa bisibis atakuchom mithir wamasai na fimbo, virungu na sime....Suala la ardhi nalo mkisema hivy ni ktk kuwabagua wabara then uku tuwachukulie poa...Kama TZ ni moja kwann tuwekean mipaka...Mzazibar ana uwezo anunue hana adje bara na huu ndio muungano...Hii sheria haitadumu ila wawekezaj toka nje mnawamilikisha...None sense....inabid mjitathmin... Kama itawezekan muish kama kisiwa bila mashirikian nasi basi iwe hivyo...Na kwa hiz scenario zenu zinalet chuki baina ya vizaz vya bara na kisiwan na huu ubaguz unaend kuanzia mashulen ad vyuo vikuu...Kuwen makini

    • @DicksonIgnas-pq1rj
      @DicksonIgnas-pq1rj Před 5 měsíci

      Shida nini hawaaminiki au wabala

    • @josephvenus3259
      @josephvenus3259 Před 5 měsíci

      Umeongea sahihi

    • @dondallas6683
      @dondallas6683 Před 5 měsíci

      Hujamuelewa

    • @jumashedafa
      @jumashedafa Před 5 měsíci

      @@DicksonIgnas-pq1rj Hawa wenzetu wanakasumba san...Zandaaani kbs tuish nao tu halafu pia wanahis kuwa bara bahat mbaya yan bora wangekuw karibu na wakomoro ila si wabara

    • @jumashedafa
      @jumashedafa Před 5 měsíci

      @@dondallas6683 Nifahamishe akhy

  • @dulatizo2970
    @dulatizo2970 Před 4 měsíci

    Sio kweli hakuna tajiri uyo atakae nunua kisiwa hichi wwe acha zarau iyo serikali haina uwezo wa kuwalipa raia kwakila mmoja wabara 3 wawenauwezo acha zarau hakuna kisiwa masikini

  • @WATUWAMJUEMUNGU
    @WATUWAMJUEMUNGU Před 5 měsíci

    kwenye ardhi hapo mh! ila chamuhimu Amani kama kumiliki ardhi kwa wa Bara ni hatari kiusalama basi wacha tuenzi wazee

  • @japhetmathayo7594
    @japhetmathayo7594 Před 5 měsíci

    Uyu ana chochote na anakuwaga na masifa sana ajui kitu

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Před 5 měsíci +3

    Mm sion faida ya huu muungano cjui wann na ili iweje cye tz tunajtosheleza vyakula madin hifadh za taifa bahari maziwa mito nk so yann kuwa na muungano na hawa

    • @user-tq1jz3wm3f
      @user-tq1jz3wm3f Před 5 měsíci

      Tulokuwa tunajiuliza ni wengi hata huku zenj tulokuwa hatujuwi ukwelini tunajiuliza Nyerere lengo lakin kutaka muungano na visiwa hivi ila hapo ukifatilia ndugu ndo utajuwa, SISI ni watu wakusema alhamdulillah ukivunjika wew unaringia Mali sisi tunaringia imani Kwa MOLA wetu hatuna shobo na maisha

    • @bilalkhamis_
      @bilalkhamis_ Před 5 měsíci

      Mm ata leo ukivunjika sawa tu hamn ttz

    • @tinejuxfrancis729
      @tinejuxfrancis729 Před 5 měsíci

      Ni sababu za kiusalama Kaka Ila hakuna faida kiuchumi Wala nini

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 Před 5 měsíci

      @@tinejuxfrancis729 kiusalama hapo sawa imani tuidumishe

    • @abuuridhwan3661
      @abuuridhwan3661 Před 5 měsíci

      Hamna bahari bara

  • @zangzang1574
    @zangzang1574 Před 5 měsíci

    Kuna busara,kuna kiongoz, hivi vitu tofauti

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Před 5 měsíci

    Hata wao wasimiliki bara aridhi

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 Před 5 měsíci

    Ukitaka kuishi zanzibar ufake sheriya huwezi ondoka ndomana mkatuona wazanzibari wakarimu na wastaarabu sana ila mnakuja kutoka bara sasahivi zanzibar imekuwa tafrani tupu machangu dowa walevi wauwaji majambazi kila kona. HONGERA MKUU WA WILAYA KAZI IYENDELEE

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 5 měsíci

    Imeeleweka hyo ndio shida ya kutoelewa sheria

  • @RamadhanMohamed-jz6xm
    @RamadhanMohamed-jz6xm Před 4 měsíci

    Wewe ni Kati waznzri nnaowataka mm mana nazani tulizaliwa siku moja nakupongeza Sana na exclusive km hizi unatakiwa uzifanye nyingi sana

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před 5 měsíci +1

    Huyu si mzanzibar kumbe mkuu wa mkoa mbara 😂😂😂😂Zanzibar kwisha

    • @SALEHSALEH-lk5jr
      @SALEHSALEH-lk5jr Před 5 měsíci

      Mkuu wa wilaya not mkuu wa mkoa

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p Před 5 měsíci

      Munafumbuliwa akili yy wajinga km yy lkn bado hamujielewi zanzimbar kwisha lkn tanganyika jee ipo?

  • @hajially4527
    @hajially4527 Před 5 měsíci +3

    Zanzibar inasheria zake bara tungeni zenu pia tutazifatz

    • @Officialjidaa-sn9cs
      @Officialjidaa-sn9cs Před 5 měsíci

      Kwani nyie nao Sasa nchi

    • @Worldunite
      @Worldunite Před 5 měsíci

      Tukitunga za kwetu mtaweza kufuata? Km wabara hawqwezi kumiliki ardhi znz, basi hivyo hivyo na wazenji wasimiliki ardhi bara,na waliokwishamiliki ikiisha lease warudishe hizo ardhi serikalini huku bara wauziwe wamilikishwe wabara na wasiweze tena kumiliki

  • @ChristopherEmanuel-os1xw
    @ChristopherEmanuel-os1xw Před 3 měsíci

    MBONA SS WANAMIRIKI AONIMATAPELI

  • @abuuyasir4684
    @abuuyasir4684 Před 5 měsíci

    Ubaguzi huu kwa nini wao huku bara wamiliki huko tusimiliki ila ipo siku yatafika mwisho na iwe haki sawa

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Před 5 měsíci

    Tz yangu. Eti tu wamoja 🤔🤔 aliye kuambia nani! Tunabaguana hadi ktk sheria itakua kidini na ndio mana ni kawaida kwa Makanisa kuchomwa moto Znz. Ila yaja siku ya haha yote kukoma!

    • @kheirdulla9046
      @kheirdulla9046 Před 5 měsíci

      Ww ndio unaongelea chuki kanisa gani hilo Zanzibar kumeanza makanisa kabla uko bara na yapo mpaka leo unajua kanisa la mkunazini au minara 2 yana miaka mingap na yapo usikariri maneno pengine hata zanzibar yenyewe hujafika

  • @Mosses8
    @Mosses8 Před 5 měsíci +1

    sasa mbona nyiye mnamiliki ubaguzi wa rangi

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 Před 5 měsíci

    Hizo sheria zipo kwenye makaratasi tu lkn wangapi kutoka tanganyika wanamiliki ardhi

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392 Před 5 měsíci

    Iyo roho mbaya uku kwetu wapemba na wazanzibar wamejazanatu na wanaendelea kujazana wananunua km wapo kwao alafu wao kwao wanagingia

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 Před 5 měsíci +2

    Mtanganyika haruhusiwi kumiliki aridhi ila waarabu wazungu mnawapa unagizi udini acheni

    • @sports007tv4
      @sports007tv4 Před 5 měsíci

      Wazungu pia ni waislam ndiomana wanapewa

  • @lilraizo9597
    @lilraizo9597 Před 5 měsíci

    ni bora watanganyika musimiliki ardhi Zanzibar muje huku tuwatume murudi mukajenge kwenu uko hatutaki immigrants.

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n Před 4 měsíci

    CCM na watanganyika je kwanini wazanzibari wamiliki kwetu tunataka selikari 3

  • @TECHSMARTSWAHILI
    @TECHSMARTSWAHILI Před 5 měsíci

    Hivi munajua hata wachezaji wa bara kwenye kulipa kodi ni tofauti pale ZFF

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 Před 5 měsíci +4

    Daimond alikuwa nayo mbona

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p Před 5 měsíci

      Ile wanapewa watu wenye akili ww umemuona nayo lini

    • @khamismgunya4519
      @khamismgunya4519 Před 5 měsíci

      @@user-sl2hk8wp1p wewe angalia video akiwa zanzibar utaona anaitowa

  • @revocatusbahatibussiah5201
    @revocatusbahatibussiah5201 Před 5 měsíci

    Wazanzibar pia wasimiliki ardhi bara!!!! Wanafanya ubaguzi wa kumiliki vitu..
    Kwann wao watukataze halafu kwetu wakubaliwe.??
    Why???? Kwann??? How???

    • @fakihdarusi4385
      @fakihdarusi4385 Před 5 měsíci

      NI WATANZANIA ILA SIO KILA MTANZANI NI MZANZIBAR

  • @ismaildavid6970
    @ismaildavid6970 Před 5 měsíci

    hawa wabaguzi sana nao hakuna kumiliki ardhi bara.

  • @Official83640
    @Official83640 Před 5 měsíci

    Je mliomiiki huku bara inakuwaje aisee nyie mnapenda ubaguzi sana hambadiliki kamwe doh yaani viwanja vilivyokuwa bei huko kwenu wazanzibar wengi wanakuja kujenga bara kutokana na unafuu wa bei ya viwanja na maisha yake rahisi mbona mpo hivyo

    • @kheirdulla9046
      @kheirdulla9046 Před 5 měsíci

      Hajabaguliwa mtu ni mambo ya sheria tu ambazo ni makubaliano ya huo muungano fatilia historia

  • @seifomar1477
    @seifomar1477 Před 5 měsíci

    Mzee hawana uwezo huo wa kumiliki zanzibar mzima

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 Před 5 měsíci +1

    Sasa mnaanza mambo ya ubaguzi

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 5 měsíci

      Ubaguzi upo sanaa sisi tumewachoka warudi kwao wauze hizo au mashamba walioyamiliki wabaguzi aana hawa ni waarabu wanyamwezi muungano gani huu

  • @user-ht6wt6kt5f
    @user-ht6wt6kt5f Před 5 měsíci

    Uyu jamaa hana akili vzr Ana sifa sana

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Před 5 měsíci

    kisichowezekana duniani zanzibar kinawezekana makamo 2 waraisi 😂 .❤ zanzibar

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d Před 5 měsíci

    Basi wote wakae iwao zanzibar watuachie bara kwetu hata sisi hatuwataki kwetu wamiliki ardhi

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 5 měsíci

    Kwanini tu muungano usivunjwe?😂

  • @user-jt7uv6vu1d
    @user-jt7uv6vu1d Před 5 měsíci

    Ndio ubaguzi wenyewe huo

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 Před 5 měsíci +1

    Wapo wengi tu watanganyika wanamiliki ardhi Zanzibar

    • @user-vz4xj2ci2w
      @user-vz4xj2ci2w Před 5 měsíci

      wabongo sisi tanganyika ndo mdudu gani🤣🤣🤣🤣