BAMBO AMCHANA DIAMOND NI MCHOYO WEWE SIO MUNGU/HAKUTUTAKA SISI ALITUMBANIA/BABALEVO/TULIANO KIDOGO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Tumepiga story na Bambo

Komentáře • 130

  • @dollsouthtv2136
    @dollsouthtv2136 Před 4 měsíci +8

    Watoto wa juzi hawawezi muongelea vizuri bambo hawamjui

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 Před 4 měsíci +9

    😂😂bambo hata akiwa serious unajikuta unacheka tuu

  • @baizobaizo6638
    @baizobaizo6638 Před 3 měsíci +1

    Naisubir Hiyo Lugha Mmun'gunyo Inaonekana Itakuwa Balaa Sana

  • @jameswissa9981
    @jameswissa9981 Před 4 měsíci +5

    Bambo katoa ya moyoni mwacheni aseme ukweli.
    Bambo ni Msanii mkubwa,lazima aumie kufanyiwa hivyo na watoto wadogo waliomkuta.

  • @Heisfeisalmwema
    @Heisfeisalmwema Před 4 měsíci +3

    Kanumba alikuw ana bumshiti mamaee 😂😂😂

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick Před 4 měsíci +4

    Mbona mzee wangu kakasirika

  • @Kushgang-cr4pv
    @Kushgang-cr4pv Před 4 měsíci +2

    Bambo kakasirika kwasabab dai mabaunsa wake walimzuia aspande kwa stage wakat anaparform.

  • @ramiatebe8373
    @ramiatebe8373 Před 4 měsíci +2

    C uandae show zako we kazee😂 eti nae kapiga piano😂😂

  • @suncheafrica
    @suncheafrica Před 3 měsíci

    I love this guy 💪🏿

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed7556 Před 3 měsíci +1

    Hahaha eti Bambo kisa mkongwe anamuelekeza mondi kupga show hahahah

  • @jerrymfinanga3773
    @jerrymfinanga3773 Před 4 měsíci +1

    Etii mzaziii wetuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @EzekielTv49
    @EzekielTv49 Před 4 měsíci +2

    Watanzania mtu akifanikiwa wanahisi anatakiwa awasaidie na wao!!!mtu akifanikiwa sio lazima akusaidie na kama unaona ni rahisi kusaidia mtu fanikiwa na wewe awasaidie wengine,,,,sasa mtu anasema diamond hataki wengine wafanikiwe wale wasanii hawajafanikiwa!!,,aliiwaajiri je,,
    Watanzania wengi ni wapumbavu sana

    • @mudibojaffar9269
      @mudibojaffar9269 Před 3 měsíci +1

      Asante sana,, Nadhani watajifunza kupitia Comment Yao .sasa wanataka Diamond awasaidie Kila mmoja anaye taka Msaada,,alafu kingine nikuwa,,huezi famia show ya mtu bila mpangilio

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před 3 měsíci

      Ukiwemo na wewe

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 4 měsíci +1

    Wewe Bambo acha kutafuta kiki zisizo na msingi!

  • @salimrashidy3513
    @salimrashidy3513 Před 3 měsíci

    Iyo mmung’unyo na izo akili za Bambo😅😅

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 Před 3 měsíci

    Mzee bambo naye kaingia kwenye mapiano 😅 toaizo pigachini mpaka bakuli

  • @ananiamwatebela3159
    @ananiamwatebela3159 Před 3 měsíci +1

    Sio kila mtu atasaidiwa na mond afu bambo umefilisika vibaya mzee mzima ovyo sana ww hivi huyo unayemsifia katokea wapi mpuz kweli huyu

    • @stevensosipita
      @stevensosipita Před 3 měsíci +1

      WEWE FARA BAMBO HAKUTAKA MSAADA KWA MOND ISIPOKUWA MTANGA NA BAMBO WALIPATA MWALIKO NA WAZRI AWESU LAKINI MOND KAWABANIA WASIPANDE KUFANYA YAO MJINGA WEWE

  • @ngolocomedian
    @ngolocomedian Před 4 měsíci

    Bambo wala hujakosea mimi mwenyewe yamenikuta hayo ...alikuja kigamboni huku ..ulikuwa mda wangu wa kupanda stagini kupafom comedy wakaanza kupanda wao aisee tangia saa nane hawakushuka mpaka show inaisha

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone Před 4 měsíci

    Bambo nimtu wakale sie vijana wakale namjua saan,toka 99 bambo yupoo anaimba anafanya music pia

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 Před 3 měsíci

    ukweli lakini umefika hongera Bambo utuuzima dawa

  • @gideonemmanyi9593
    @gideonemmanyi9593 Před 4 měsíci +1

    Kwamba mngepanda siku hile show ingezaraulika au?

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd Před 3 měsíci +1

      hahaaaaaaa kweli bn show ingechuka thamani kinoma watu wangesema duh mpaka yupo kweli huu niutoto

  • @fabianmainchanyangachika5017

    Kibakuri alienda wapi?

  • @j...876
    @j...876 Před 4 měsíci +3

    Bamboo ahujawayi ku msemeya diamond kizuri hata sisi wa Kongo tuna lifahamu hilo

    • @dannylema3125
      @dannylema3125 Před 4 měsíci +1

      Nyie wakongo si miyayesho amuwezi elewa

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Před 4 měsíci

    Noma

  • @samirakashililika4223
    @samirakashililika4223 Před 3 měsíci

    Nawewe kua mchoyo

  • @princebulas737
    @princebulas737 Před 3 měsíci

    Babalevo ni mwanamke

  • @Larrytzatza
    @Larrytzatza Před 3 měsíci

    Hakuna mtu aliyemzuri kwa watu wote.....kila mtu ana story mbaya kwa mtu fulani... that's life.....Bambo n mtu mzima sana hakutakiwa kuongea yote ayo maan pia kuna kesho.....Km yeye anajiona ana roho mzuri atuoneshe vijana wenzake au wazee wenzake aliowashika mkono wakapata ridhiki wakatoboa😂😂maan uyo mwenzake anayemsema kafanya tumeona na yeye atuoneshe......Maisha yako ni jukumu lako....pambana tu anko bambo😂😂😂

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 Před 4 měsíci

    Tunalijua hilo kitambo..

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 4 měsíci

    Umbea uwo

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před 3 měsíci

    Ss wee naye shida minis na dai

  • @apollolwoga9019
    @apollolwoga9019 Před 4 měsíci

    Sawa umefuta nyimbo zake,umekusaidia nini sasa

    • @ngolocomedian
      @ngolocomedian Před 4 měsíci

      Acha izo ndugu acha aseme ukweli mi mwenyewe yamenikuta Hayo

    • @emiliuskifigo3062
      @emiliuskifigo3062 Před 3 měsíci

      We mtoto mdogo humfaham au umechelewa kuingia mjinii diamond kalalamikiwa na Ommy dimpoz kalalamikiaaa na Chidbenz Aya hermonize kama mmerogwa mnatetea ujinga

  • @mugishasteve325
    @mugishasteve325 Před 4 měsíci

    Maisha yanafunza vitu vingi malafiki wanakupenda kwasababu ya kile ulichonacho.wachache wanakuthamini ukiwa hauna kitu.kikubwa ni kupiga moyo konde ukapambana na Mungu anakuwekea wepesi unafanikiwa yeye atakuletea watu sahii

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry Před 3 měsíci

    achausenge bambo tafutamaishamapya basi ww unalonzuli ungepereka uchafu stejini ulitakaufanyenini stejini

  • @dollsouthtv2136
    @dollsouthtv2136 Před 4 měsíci

    Tuache unafiki uchoyo sio kwamba sababu kawaajili watu eti sio mchoyo anaweza kuajiri kuizuga Jamii ila ukweli wa nafsi huonekana kwa baadhi ya matendo mi sibishi ila lisemwalo lipo kama halipo laja

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před 4 měsíci +2

    BAMBO NAE ANATAFUTA KIKI TU

    • @dronemiguel2230
      @dronemiguel2230 Před 3 měsíci

      Toka lin bambo akatafuta kiki mapenz yanakuzid na ww kias kwamba kila m2 akizungumza ukwel unaona kama anaonewa

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Před 3 měsíci

      @@dronemiguel2230 Ukraine BWA wake wasanaa anatataka kupanda BILA mualiko Kwa stage kwakuwa bamboo noooooo

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před 3 měsíci

      ​@@mashramadhani1989alialikwa na wewe acha chuki za wazi

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Před 3 měsíci

      @@agnesjohn9382 simchukii lkn muda wake wa kisanaa sio Mambo anatakiwa kupambana mayo sasa Kwa watoto zake.

  • @AsendeNyota
    @AsendeNyota Před 4 měsíci +1

    😂bambuu

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 Před 4 měsíci

    Duuuh

  • @KashindeKilovele
    @KashindeKilovele Před 4 měsíci

    Wewe wakati wako uliwajar wangap mzeee tuoneshe hata nmoja uliyemshika mkono wakati wako

  • @marokeyLFM
    @marokeyLFM Před 4 měsíci +10

    Diamond platinumz sio mchoyo angalia ajira alizo wapea kwanza watu wengi wasafi 😂

    • @bfofficial1735
      @bfofficial1735 Před 4 měsíci

      Acha shobo na wasafi

    • @musiccaentertainment100k8
      @musiccaentertainment100k8 Před 4 měsíci +3

      Hyo ni kazi na biashara tofautisha biashara na kusaidia

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 Před 4 měsíci

      Duh we naeee

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 Před 4 měsíci

      ​@@bfofficial1735kwaiyo tz mzima mwenye roho mbaya ni mondi. Amuoni wale walio pandishwa kwenye show asubui. Wacheni basi kumuongea mtu abaye hata time na porojo zenu

    • @farzanarashidrashid
      @farzanarashidrashid Před 4 měsíci +2

      Ametowa Ajira Kwa manufaayake Ili Nayeye Anufaike Wacha Ukuma

  • @michaeljames403
    @michaeljames403 Před 4 měsíci

    Kwani hapo Bambo anafanya comedy ama yuko serious!!? maaana nahisi kucheka

  • @danrappergangamaa1190
    @danrappergangamaa1190 Před 4 měsíci +4

    Bambooo kaongea pointi tupuuuu Diamond Platnumz roho mbaya....
    Ila bambooo sahizi umerudi kwenye chati SAFI

  • @mudibojaffar9269
    @mudibojaffar9269 Před 4 měsíci +2

    Huyu Katumwa Na Mataira wenzake kina Konde GIRL

    • @alibachirofficial3939
      @alibachirofficial3939 Před 3 měsíci

      Q chief alitumua piya?
      Mond sio mtu mzuri

    • @mudibojaffar9269
      @mudibojaffar9269 Před 3 měsíci +1

      @@alibachirofficial3939 Udhibitisho unao kama sio mtu mzuri.. Listen in this world not everyone will like you...Wengine wanamchukia kutokana na Wivu...So F*ck them All

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před 4 měsíci

    Sasa nyie ikiwa mlimtangulia huyo diamond sasa mna nini?

  • @slymsameer5415
    @slymsameer5415 Před 4 měsíci

    Kwani unafuta wapi kwenye CZcams au inakuwaje ok sasa hiyo show alipanga yeye ilikuwa yake au nae alialikwa tuu maana mnampango wakuchukia watu

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry Před 3 měsíci

    kazizawatu ww ulitakaushukenanini

  • @atunselu2401
    @atunselu2401 Před 4 měsíci

    Wakati wako ulishapita,acha makasiriko baba

  • @T-Fellow
    @T-Fellow Před 4 měsíci +2

    We Bambo, wewe kunamtu amekutuma kusema hayo.

  • @ramiatebe8373
    @ramiatebe8373 Před 4 měsíci +1

    Nawe ushazeeka

    • @PatrickEmanel
      @PatrickEmanel Před 4 měsíci +1

      Siku baba yako akikukalisha kukushaur mwambie umezeeka ndo utajua ulimwengu ni nini

    • @ramiatebe8373
      @ramiatebe8373 Před 4 měsíci

      @@PatrickEmanel sawa babu ushauri

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před 3 měsíci

      ​@@PatrickEmanel😂😂😂😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 4 měsíci

    8:38 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Před 4 měsíci

    Anatafuta Kik kwa pikipik huyo inaonekana mkundu wake unamuwasha huyu mzee

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před 4 měsíci +4

    Domo ana roho mbaya q chif pia ashalalamika

    • @hoseanobocka7140
      @hoseanobocka7140 Před 4 měsíci

      Huwezi kupendwa na Kila mtu hata yesu alikataliwa sembuse, hafu bambo anatafuta kiki anataka Diamond aongee hawezi kumjibu chochote na

  • @ismailisungura3491
    @ismailisungura3491 Před 4 měsíci

    Tafuta pesa yako acha majungu kenge m1 we

  • @nangondoson1367
    @nangondoson1367 Před 3 měsíci

    😂

  • @DeogratiusMadeje-os5ur
    @DeogratiusMadeje-os5ur Před 4 měsíci +1

    Kwenye ukweli mtu aambiwe ili ajilekebishe, kwan mwambino yeye n MUNGU? Hakuna binadam mkamilifu kwaiyo punguzeni ushabiki

  • @ashantinicas
    @ashantinicas Před 2 měsíci

    mziki ni biashara kila mtu anapambana kivyake ili afanikiwe sasa nyie mnataka msaidiwe pumbavu nyie pambaneni mpate na nyie mnalaumu watu kwa matatizo yenu shenzi nyie.

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry Před 3 měsíci

    uingiekufanyanini sasa

  • @mpsanga2914
    @mpsanga2914 Před 4 měsíci +2

    Hiyo kauli ya kufeli wewe hataufanyeje diamond atabaki kuwa mkubwa mbwa wewe

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Před 4 měsíci +1

    yani hili zee pumbavu sana, alitaka diamond apite anagawa hela, bola mond kiki haopo linatafuta kiki kwanza hata halichekeshi halina hela njaa inalisumbua saa hz lawama we hela zako ulimpaga nani tuachie mond wetu pumbavù wewe

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 Před 4 měsíci

    Weee zombi simba la masimba dangote yaani mkimsema ndio mnampa kiki

  • @jumachacha1439
    @jumachacha1439 Před 4 měsíci +2

    Acha njaa bambo

  • @bonita329
    @bonita329 Před 4 měsíci

    Sijawai kumuona bambo kakasirika kiasi hiki😂😂😂😂

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Před 4 měsíci

    mond ana management yake na ni mkubwa, siyo akimuona bambo amwite, futa kwani ukifuta we nani ? peleka njaa zako huko swaini

    • @stevensosipita
      @stevensosipita Před 3 měsíci

      CHAWA KAMA CHAWA MTAFILIKA SIKILIZA NDO UTOWE COMMENT BAMBO HAKUTAKA MSAADA ISIPOKUWA MOND KAWABANIA WASIPANDE JUKWANI KUTOA COMEDY YAO NA MTANGA BOYA WEWE

  • @simba9563
    @simba9563 Před 4 měsíci

    😂😂😂povu

  • @melcksedeki1012
    @melcksedeki1012 Před 4 měsíci

    Bambo anaroho mbaya sana

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 Před 4 měsíci

    Mond jambazi sio wewe tu mulize chidi

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Před 4 měsíci

    Daimon angekuwa mkristo wangekuwa washamuabudu

    • @cathbetsolomon3151
      @cathbetsolomon3151 Před 3 měsíci

      Matako nn unauhakika na unachosema have respect na dini za watu kiande weee

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Před 3 měsíci

      @@cathbetsolomon3151 ukiambiwa usibitishe ukristo dini unalo andiko aw unasema tu

  • @MgeniMawazo
    @MgeniMawazo Před 4 měsíci

    We mzee punguza shobo wewe na familia yako mkifuta nyimbo za simba sisi na uko wetu wote tuna download 😂😂😂sasa cakufanya aca maneno tuko bize na comment ça va na raha 😛🤪🤪🤪🤪🤪

  • @ramiatebe8373
    @ramiatebe8373 Před 4 měsíci +3

    Kwani bambo ndio nani😂

    • @PatrickEmanel
      @PatrickEmanel Před 4 měsíci

      Wewe motor wa 2ooo huwezi mjua huyu mwwamba tulia

    • @stevensosipita
      @stevensosipita Před 3 měsíci

      UTAJUWA WAPI MTOTO MDOGO WEWE?

  • @chekakizenjyzanzibar4153
    @chekakizenjyzanzibar4153 Před 4 měsíci

    ukute bambo jina lake ni bambi😂

  • @S1rb0ny
    @S1rb0ny Před 3 měsíci

    😀😀 Futa kabisa mbwaa yule

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před 4 měsíci

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @luckybarbershop2342
    @luckybarbershop2342 Před 4 měsíci +2

    Oyawe muzeh mbambo kafanye comedy achana kwongea ushuzzzz www mzehe au do unska kufa

  • @MussaSongo
    @MussaSongo Před 4 měsíci

    Huyu d Mond ni umbwa kabisa kama umbwa wengine

  • @khamisidowany6262
    @khamisidowany6262 Před 4 měsíci

    Shabiki yangu diamond ila yanayo ongelewa abadilike bamboo kama bambooo ni mkongwe sana hawez kumsemea uongo pltnum abadilike

  • @user-je8iw9jk1v
    @user-je8iw9jk1v Před 4 měsíci

    Mxenge sana huyo domo

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 Před 4 měsíci

    Njaa huleta lawama ⛷️😂

    • @emiliuskifigo3062
      @emiliuskifigo3062 Před 3 měsíci

      Ommy dimpoz alimlalamikia Chidi dyna nyange bambo Q chief wote Wana wivu nae?

  • @raphaelmwaura1648
    @raphaelmwaura1648 Před 4 měsíci +2

    Mjinga wewe wapi kasema yeye mungu ubwa wewe wivu tu una kusubua

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 3 měsíci

    ila bambo naww bn hivi kweli mtu andae show ya mamilion watu kibao Naww nae et upande pale sasa ww ukafanye Nini hebu acha utoto mzeee hii ww vp