VIDEO: DIAMOND Alivyoikagua OFISI Mpya ya BABA LEVO/Apagawa NAYO/Ni KALI BALAA
Vložit
- čas přidán 4. 06. 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp - Zábava
Baba levo tangu ajiunge wasafi maisha yake yamechange sana congratulations
Munguu akusimamiee Baba levoo Na Diamond ni boss mzuri Sasa baba levoo uige mfano Bora wa Boss wako Diamond
Da...hongera...b levo ba...NAMI one day nitafika..tu.....ngoja nipambane Zaid...,🙏
Big achievement B Levo, sema unanikera ulivokazania kusema utawala uliopita ulikufunga jela lakin utawala huu umekupa studio huo ni usenge aliekufunga sio magufuli na aliekupa hyo studio sio samia.
Kufungwa jela ni wewe mwenyew na kufungua media ni ww mwenyew hakuna kumsingizia mtu
Hongera pro papalevo❤❤❤ mungu akutanguliie ungae mataifa yote ya dunia
Hongera sana B Levo Baba 👊👊🎺🎺🎺🎺🎺🎺
Watu wanakuchkuliaga Koro, chawa Kumbe hawajajua nilijitu lenye akili👊 saf sana
Hongera sana Fundi majumba
Be level baa mungu akutangulie sana Huna makuu Wala Nini safi sana
Wakati wa Mungu ni sahihi ...Kila mtu Mahangaiko yake yana malipo yake mbeleni
Mwenewachu umepatia: Kigoma tunakuombea baraka
*baba levo nakuomba usiweke bondi ofs
😂😂😂😂
Kabisa maana mtaji wenyew kaupat kwenye kamari😂
Congraturation baba levocatus
Congratulations
Hapo zuchu unamuoa lini UMETISHAAA😂😂😂😂NAMPENDA SANA BABA LEVO.
Hongera babalevo
Congrats
Safi
Hongera sana sana sana, Diamonds juwa kama Joseph Kusaga, ingiza hisa hapo.
Sema uchawa kazi sana sasa nn maana ya kusema utawala uliopita ulikufunga jela acha kumzihaki marehemu ulifungwa uwenda kwa ujinga wako
Baba levo nimnyenyekevu
Hongera baba levo😂😂❤❤❤❤
sauti moja daima
Baba levo anakiri sana
Sasa hiv utachezea kamali hi media😂😂😂
Acha kumuweka mtu mbele kuliko mungu .... mapuwa weee ! Yani unamnyenyekea mondi kama ni mtu na mumewe bhana 😢😢😢
Rick Media wacha tuone kama watahoji Dotto Magari🤣🤣🤣
zuchu unamuoa lini
Si ajabu hii pia ni ya diamond
Mzee mtoto 😅😅😅uchawa kazi
Usije ukaiweka Bond sasa hiyo Media!!!
😂😂😂
Congratulations b baba levo ba mtaalamu fundi majumba 😂🙌
Vinn ivyo vinaendelea kukiwa akuna huduma
ILA HARMONIZE😅😅😅😅😅😅
Sasa hii ni lebo ya music ama ni media house ,juu mi naina tu ka lebo ya music
Bro hii ni hatua kubwa mno mno tena sana toka nakfaham kimziki mpaka leo hata kesho nilitarajia kuona hiki leo kaka uishi milele sana cjuî ni kwa sababu ulikja kuwa semaji wa Diamondi nikajikta nimekuweka akilini mazima bro ila tukumbuke tu na wasanii wa mikoan
Utawala ulikufunga au ulimpiga polisi
7media 🤣🤣🤣🤣umeme umekatika dadek ata haijaanza utopolo umeanza
Ako wapi H baba 😂
atakuunghanisha
Achelewi kuweke ofisi bondi. Maana mtaji wenyew kaupat kwenye kamari 😂😂😂
Watu wanae jua kutumia fulsa had mond anacheka mwenyew watu wakutembelea upepo
Luku imeisha
Hapo kwazuchu ndio umezingua unataka amuoe marangapi wakati wanaoana kila wiki 😂😂😂?
Zuchu utamuiwa lini mmependa nn jachukukia mfano suo kama anspnda au hapndi penfine hapndi
kachumba ka studio umekabana sana
Hamkosagi visababu navikasolo vyakukosoa kafungue yakwako uipanue
sio uongo uchawa unalipa
Kidbway huwezi mwacha ktk history Yako ya maisha wewe..... P funk kaja baadae sana
Mwijaku nae atatafuta yake
YAANI MEDIA ZA BONGO ZINAKUA ZAKISENGE SAANA. ATA NDO MEDIA 😂 KWA LEVO IPI IYO IKAWA MEDIA BORA💥
Acheni usenge wakitoto jameni fanyeni kazi kama harmonize guys
Hiyo pia nikazi
😂😂😂😂😂
Wewe Kama waktambua harmonize basi mfuate hukohuko na chuki zako za kisenge
Anakazi gani anayo ufanya zaidi yakushika matako nasophie😅😅😅😅😅
Kwani harmo bado ni msanii