Rayvanny 'Harmonize ADUI Sana' Vita ilikuwa Kubwa hadi kupatana na kufanya Wimbo wa Sensema. Part 2
Vložit
- čas přidán 23. 06. 2024
- Rayvanny asimulia ugomvi wake na Harmonize ulivotokea hadi kupatana kwao na kufanya Wimbo wa Sensema! Tulikua tunamsema Diamond kwenye Simu, ikawa Vita kubwa sana, Akanipeleka Kesi nifungwe miaka 30 Jela! Harmonize ADUI Sana!
- Zábava
Nimekuelewa sana vivavanny boy kua na moyo wakisamehe💪💪💪 my brother
Umetishaa sanaa leyvanny na pia kondee boy mii namkubarii sana jeshii mii ndoo shabikii yakee sanaa Na nimeimbaa rimx kibaoo nyimbo zake badoo sijazitoa broo ni saprt broo Lil ommy
Kama kwahyo umeimba remix? Unataka nn
Kumbe ray anamoyo kama Wang..wakutokasilika hata kama mtu akiwa anakuuzi kiasi gan ..na anamoyo wakusamehe napia kutokasilika kitu chakukasilika
.wow. Ray moyo wake unafanana Saana na mim
Daah nakukubali sana bro wajina huna kingeleza kiswahili ndy kipo mbele nakubali sanaa✊
Naombeni like nyingi jmn kwa omy
Unyama sana
@@LilOmmyTVkaka angh Tambwe Nakubaligi Saan Interview Zako kinyama
Naombeni like ata 3 tu Kwa @rayvany mpenda amani
Likes zitakusaidia Nini aisee
King of Interview 🔥🔥🔥
Lets gooo
👍👍👍👍
Vizuly Sanaa,RA.....,kua sababu Luana maisha keshoo.🎉🎉🎉
Harmonize ndo alie nileta hapa💯💯to the caption 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakkbali kaka leo nimekua wakwaza kucheki kipindi
... Jamaa kumbe ni matured vby mno respect broh... Really is better than perfect
V Vanny Boy! ❤👑🤴🐯🐅🔥🌎🔥
Senge sana nyie lukuga mnamsemdje kat alipotez mda wake kuwatengeneza#vistuli hamnga shkran sana
Mbna vistur sasa wakati van ndio anaongea? Na kama swala la wema ubaya unakuwa rahisi kuupoteza wema wako, kama mwema kuwa mwema na mbaya kuwa mbaya tu.
Ray nakukubali sana broo pambana kaka angu daima ntakuombea ufikie malengo yako kaka i love you a lot ❤❤❤
Nimekuja hapa kusikiliza harmonize alifanya nini c rayvan
😂😂😂
Nenda kwa interview ya hamo😅
Kuma lako
Rayvanny ilikua akitoa ngoma dai lazima alikua aposti toka atoke wcb bt hii ya sensema diamond hajaposti kabisaaa 😂😂why?ama kisa kuna konde kashirikishwa?
King Of Interview ❤
Ray nakuenzi kwa roho Yako safi, much love
one love vanny boy all the best manze you are more than a man
Best interview
Namkubali vany hataki bifu ..mungu akulinde ❤
My brother rayvany unajua San yani up smat
Brothers 🇹🇿 for everything 💯🫶🏾
Best interview the mvp king of ,......🎉
Jmaa anajisahau sana😅😅😅😅 sema yuko openly
Nitakushangaa saana utakapo msikiya yule mnafiki mchonganishi harmonize.Fanya kazi saana tu na uzidi kumuheshimu tu Diamond aliyekutowa
Nakupnda sn Lily omy naomba usiondoke wasafi
Ray van alivyoongea mind set kama yng Yan ...najisikiliza Mimi nakujikubali Mimi Zaid napia ninanjia yng Mimi kama mim na mungu wangu tuu..
Nakuelewa sana lily ommy na sipendagi kipindi chako kinipitee
My brother lilomy unajuw kuongeya namt vizuri
Lily ommy fanya siku umlete lavalava kw podcast
Kwer kk afany mpang amuit lavalav
Ray vanny wa kukaya 🎉🎉🎉nakubali kaka
You won bro umetisha Sana bro
Hahahaha wakati ana kucheki alikua hajalewaaa😂😂
😅😅nmechekaaa😂
Interview bila kuulizwa utajua tu mwana ni wa mbeya maana anapangilia maneno kama mchungaji Hananja😂😂😂😂😂😂one love ma men
Ni kweli jamaa anafanya makubwa ila awa matako wanapost ujinga me naumiaga siku moja ndamkili mtu
Ktk maswali yko mengi unamchuma vanny amseme jeshi kwa ubaya ila vanny ashajielewa tyr
Mavoco ndiyo aliyetoka wa kwanza
Fresh🤗🤗🤗
Iil omy ❤
Chui 🎉❤
Sita kwingne tisa 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉 powerful point
Vanny the best
Ombeni interview ya pamoja mmakonde na mnyachusa ili tuone harmonize bdo anakinyongo sanaa
Ntaoa siku nkimuona lil0mmy amevaa tisheti 🙌🙌
Harmonize ni msanii wa pil kutoka kwenye Lebo ya WCB
Huyu hata aseme nn aende huko kwa konde cc team wcb sahii tuna raha kama nn
Good👍🏾
et wakati anakucheki alikuwa hajalewa hahaahah
True story
Part 3
Likes nyingi kwa lil omy
uko vizur
Tunataka kolabo ya diamond na harmonize ili game ichangamke kama enzi ya kwangwaru
Harmonize ni mnafiki usentegueme sana
Hata mamaako mnafiki sana 😂
Na ww lil mommy mbona bado una kinyongo na harmonize?coz ikija swala la kumuongelea konde you seem to be too happy on that na ww ni mtangazaji so haupaswi kuweka chuki na wasaniii...ama coz uko wcb ndio dai akikosana na wengine pia nawe wayavalia njuga?
Point 😅
tuletee lavalava na mbosso
✊
Kasema 😅
Sema na ww unajiskia xana tayari unajiona jamaa ndo kajishusha vitu vingine piga kimy tu
Hakuna aliyekujua kabla ya WCB wakati huo unajiita raymond kumbuka ni juzi tu na tumeona kwa macho yetu
Alikuwa ajalewa😂😂😂 kwa nn pombe jaman
SHUKRANI kwenu
Rayvanny 🧠 kubwa
Kaka interviews zako nazielewa sana MVP bt dm ndo hjb Kaka
What happen to mack voice?
ILA
Lei Vani kaka
Ila mziki ni siasa kumbe akuna beef kat ya mondi na konde wala vanny biashara ya mondi bado dah nimee elewa k2 kumbe tunatengenezewa story ila akili kubwa sn bg up kwenu wcb
😢
Hamo alikua si kwanza kutoka wcb alikua mavoko
Kwer kk lilomy unajuw kuongeya ila turetee lavalav
Nmekuja kumsikiliza atasema nn kuhusu konde
Hivi nikitaka kuwa mwanachama wa NLM nifanyaje?
Cjapenda kichwa cha habari kumuita konde adui ww lilyommy bado ni chawa tuu
ila rayvanny
Wanyakyusa ndo tulivo
😅😅😅😅😅
We mtangazaji nyamaza basi mwache mtu aongee kwanza
Hivi kati ya Mmakode na Mavoco nani alikuwa wakwanza kutoka wcb?
Mavoco
Mavoko
@@ClifuMitindo0753 Chui kajikanyaga kdg hapo
Mavoko
Mavoko
Mnapatana nini nyie😅😅 inAbd mpigane, uyu atoe jicho yule abaki na mkono mmoja
mbona bado hamnajitoa
muache ungovi wa kaka
😂😢😮😅
🎉6 9❤❤👀🇨🇩💋
Unabagua wasanii wa kuhoji bro....so vzuri piga kazi acha zako
Hapo kwenye kulewa panaingilianaje fala kweli😅😅😅
Jitahidi kutembelea akaunt yangu
Tokea mondi amshike mkono harmo pale ikuluu nyota inangaa kapata komasava
🤣🤣🤣 kweri
Rey mshamba tu
Wewe je kuchukua maumbie ya mwenzio kupost Tena mtto wa kiume mwenzio au ujaenda jando dogo
Sasa wewe mshikaji Mbona interview zako haumwiti Harmonize au kisa hana maelewano na Bosi wako ifike pahali wandishi msichague Chaka its unprofessional for the industry na Hili lipo sana Tanzania
zamu yako diamond platnumz
Kaishi huko ambako halipo hili.
Akiitwa hataki
oya waambie walinzi wako..nakuja kwako😊