Polisi ajichimbia kaburi lake, Kilimanjaro / asisitiza hakuna aliyemshawishi.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our CZcams Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Komentáře • 37

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 2 lety

    Hongera!!

  • @elizabethelisaria6730
    @elizabethelisaria6730 Před 2 lety +5

    Ukiandaa kaburi, jeneza unawapinguzia kazi ndg ukifa. Ila yataka moyo aisee!
    Pesa uwe nazo pia.

  • @venancegaspatv1961
    @venancegaspatv1961 Před 2 lety +2

    Balaa linakuja unaenda field unaliwa na Simba,utafia wapi ama utazikwa wapi anajua Mwenyezi Mungu pekee

  • @rachelmliwa9830
    @rachelmliwa9830 Před 2 lety

    Asante Tanzania na dunia kwa ujumla nimechoka sasa

  • @evordmussa1155
    @evordmussa1155 Před 2 lety +3

    Mungu ibariki Tanzania pamoja na uongozi wake amina

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před 2 lety

    Kwa imani yangu yupo sahihi sana sana,

  • @daluchiwingadaluchiwinga185

    Pole kaka

  • @salimmatala1027
    @salimmatala1027 Před 2 lety +2

    Upo sahihi ujakosea wasio jua ndowatakushangaa

  • @dadamkubwa1087
    @dadamkubwa1087 Před 2 lety

    Mungu akilundi kabla ujafa kaburi litaluwa la nani kuna mandiko yasema amuezi jua siku wala saa nitarudi na nitarudi kama mwizi je akuje leo uende mbinguni kaburi lakuaje????

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 2 lety +1

    Umeshatubu zile rushwa ulikua unapokeaga

  • @lalisaaaaaaa1004
    @lalisaaaaaaa1004 Před 2 lety +1

    Ukiwa na pesa hushidwi na chochote

  • @silivesattesha4837
    @silivesattesha4837 Před 2 lety

    Ufeharaka

  • @msafirimatingo4447
    @msafirimatingo4447 Před 2 lety

    Anahisi kama hela zake watakula watakaobaki ni bora azitumie mwenyewe,mali zake zinamuuma.

  • @maglansaisai5745
    @maglansaisai5745 Před 2 lety +1

    Pot hahaha hofu ya nini ufi leo wala kesho lazima utoboe miaka 150 utaendlea kulitunza......

  • @joelnicas3133
    @joelnicas3133 Před 2 lety

    Tunatembea sisi ni marehemu tayari,kikubwa nikuacha dhambi aiseee

  • @marthagabriel3417
    @marthagabriel3417 Před 2 lety

    Saba sita mbona umekata tamaa badala ya kumtanguliza Mungu

  • @dodomacomputerrepairservic1675

    ubiinafsi uliozidi kiwango aisee. Hiyo 4m so bora angetoa mtaji kwa ndugu zake au watu wenye kuhitaji.

  • @fadhyylhassan5732
    @fadhyylhassan5732 Před 2 lety

    Unaliwa na chewa hahaha

  • @longinemuhumba3804
    @longinemuhumba3804 Před 2 lety

    Anajihukumu maana kazi ya police ni kazi ya shettani .

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Před 2 lety

    Duh sabasita

  • @Veni584
    @Veni584 Před 2 lety

    Bado ni mtundu vilevile

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Před 2 lety

    Sawa babu yake Lola. a.k.a baba Tunda.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 2 lety

    Mbona yakwakotu mbona hujengei mke wako

  • @farajagordon4724
    @farajagordon4724 Před 2 lety

    Shida hujamjengea na mkeo sasa si ninyi ni mwili mmoja? Au wote mtazikwa humohumo yaani wewe na mkeo

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Před 2 lety

    Huna akili wewe"umelogwa"askari gani wewe?kwanza unamkufuru mungu"huwezj kumpangia mungu"

  • @johnsombi545
    @johnsombi545 Před 2 lety +4

    1 Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
    Ayubu 14:1
    2 Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.
    Ayubu 14:2

  • @franciscaaugustino4305

    Huyu atakuwa jambazi

    • @laliapamba4187
      @laliapamba4187 Před 2 lety

      mmmmh huyo ni Police tena enzi zake za ujana alikuwa mchapa kazi balaa maarufu kwa jina la sabasita na ndio baba yake Tunda aka mama Lola

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 2 lety

    Makubwa kumbe niww saba Sita Usijal utaish miak 1000 🙏🙏

  • @elvistabula5512
    @elvistabula5512 Před 2 lety

    Je kama utapotelea baharini? Je ukiwa kwenye ndege ikawaka? Nimecheka sana maana wachaga mbege inawaharibu akili

    • @innocentlegos4530
      @innocentlegos4530 Před 2 lety

      Acha kuchanganya ukabila ndugu.hujalazimishwa kuchangia mada.