Mbunge wa Daadab Farah Maalim atimuliwa kutoka kwa chama cha Wiper
Vložit
- čas přidán 9. 07. 2024
- Mbunge wa Daadab Farah Maalim ametimuliwa kutoka kwa chama cha wiper kwa kile kinachodaiwa ni ukiukaji wa maadili ya chama. Mbunge huyo pia atatakiwa kufika katika makao makuu ya tume ya mshikamano wa kitaifa NCIC baada ya tume hiyo kumtaka ajieleze kuhusu kanda ya video inayomnasa akitoa matamshi ya chuki yanayolenga vijana wa gen z na maandamano yao.
Tel him this is nt juba land
Hata senate inafaa imtimue hatihitaji viongozi kama hawa kenya na ICC inafaa imchunguze
Ata Hamia UDM Party
There is no way you can make kalonzo a democrat in any tricky way, anatafuta kupitia katikati kama miaka ishirini ishirini iliyopita.
Maybe it was deep fake...I don't believe Farah can say those things.