Mbunge wa Daadab Farah Maalim atimuliwa kutoka kwa chama cha Wiper

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 07. 2024
  • Mbunge wa Daadab Farah Maalim ametimuliwa kutoka kwa chama cha wiper kwa kile kinachodaiwa ni ukiukaji wa maadili ya chama. Mbunge huyo pia atatakiwa kufika katika makao makuu ya tume ya mshikamano wa kitaifa NCIC baada ya tume hiyo kumtaka ajieleze kuhusu kanda ya video inayomnasa akitoa matamshi ya chuki yanayolenga vijana wa gen z na maandamano yao.

Komentáře • 7

  • @amrash9179
    @amrash9179 Před 14 dny +2

    Tel him this is nt juba land

  • @beirut9750
    @beirut9750 Před 14 dny

    Hata senate inafaa imtimue hatihitaji viongozi kama hawa kenya na ICC inafaa imchunguze

  • @shariffomar968
    @shariffomar968 Před 14 dny

    Ata Hamia UDM Party

  • @aliathmani7165
    @aliathmani7165 Před 14 dny

    There is no way you can make kalonzo a democrat in any tricky way, anatafuta kupitia katikati kama miaka ishirini ishirini iliyopita.

  • @Spark88-l6y
    @Spark88-l6y Před 14 dny

    Maybe it was deep fake...I don't believe Farah can say those things.