Mkasi - SO3E07 with Nakaaya & Nancy Sumari
Vložit
- čas přidán 1. 07. 2012
- Mkasi S03E07 Wageni wetu ni Nakaaya na Nancy Sumari ambao ni ndugu, wakizungumzia maisha ya Muziki , siasa na mitindo.
Pia walizungumzia kuhusu maisha ya mahusiano ya kimapenzi na wapenzi wao.
Usisahau kusubscribe kwenye channel.
/ @mkasitv
our website: mkasi.tv/ - Zábava
Nakaaya mzuri jaman
I LIKE THEM GIRLS, SO TALENTED AND BEAUT, ITS NICE SHOW SALAMA.
i love naakaya, she is sooo relaxed....i did not know nancy is sooo nervous....hahaa
this two sisters have morals and dignity,i'm so proud of you two gorgeous ladies
Nancy nakukubali sana kiukwel umejaliwa mengi sana!
Nakaaya I love you my sister ni binti mzuri sana na usiyekuwa na skendo yeyote hongera sana dada. Take care. Upo juu kuliko mamiss wote wa Tz ulliwakilisha nchi mpaka nje Arusha tuko juu sana hakika Arusha sisi ni warembo.
yani nacy nakukubali sana dah! huna skendo sana kama warembo wengine
I love nakaaya ,good interview
much love kwa Nakaaya
mtangaze nchi yetu wasanii mnazidi namnaboa
Love this sisters and I envy the family background and up bring. Pole sana Nakaaya with the accident and wish u maximum recovery.
Napenda maendeleo ya Nakaya xana, i wish to be like her... I real love Nakaya
why is it mtu akizungumza kiingereza Tanzania anasemwa ovyo?? wivu ni mbaya acheni hizo..hawa wadada wameipeperusha bendera ya Tz internationally. wewe unaelalamika umeifanyia nn nchi yako?
Juma tatu ijipita na sija tazama MKASI Dah....hiyo siku sinto pata usingizi kamwe.Nawapenda,wote
Nimependa sana interview ya nakaya anajiamn
Yupo juu
Jamani Mme nampenda xana Nakaaya..
aaww cute
John throws hard question like always, i like this dude.
muosha miguu ndio anae faidi mazee hivi na mm siwezi kupata job hyo. ;)
salama... love your show... makes me connected with tz ^_^
jamaa anaemuosha nancy miguu kama hajadinda choko
khamis peter hahahah
Ebana hyo miguu atary
Jamani kumbukeni kwamba kuna jamii ya Watanzania ambayo imeanza kuibuka bila uwezo wa lugha ya Kiswahili na hili sio swala la hutuma. Haya yote yameletwa na mfumo wa elimu, ukoloni mamboleo, utandawazi na masuala mengine.
wabongo bwana hv kuchanganya lugha sijui ndio nini,mkae mkijua kimombo ni kama lugha nyingine tu,mbona amchanganyi lugha zenu za kiasili.huu ni ujinga mtupu.kweli tembea ujionee,nimetembea nchi nyingi za ulaya sijaona tabia hii,nimeona mara nyingi ktk tv za kidachi wanapomuoji mtu anayeongea kimombo uwa wanatafsili kwa mdomo au kwa
maandishi na sio siri asilia 96 ya wadachi wanajua vizuri kimombo ila wanacho jaribu kufanya ni kulinda heshima ya lugha yao,wakenya wanatucheka sana kwa tabia hii
JAMANI YULE JAMAA ANAYEOSHA ANAFAIDI KIAINA
jitaidini kuwa mnaongea kiswahili
nakaaya has more character... nancy, more beauty
Nancy punguza kuongea sanaa wanawake wa Arusha tupo Kama NAKAAYA.
jamani watanzania tukizungumza lugha ya kiswahili tusichangi na kizungu
Mimi ni Mkenya na nimeshangaa sana kutazama mahojiano haya. Nilidhani kuwa Watanzania wanajivunia kuongea lugha ya Kiswahili. Hapa Kenya vitabu vingi tunavyovisoma katika shule ya upili vimeandikwa na Watanzania kama vile Shaaban Robert (Kusadikika) na Mohamed S. Mohamed (Nyota ya Rehema, Kiu). Mbona Nakaaya na Nancy wanajibu kwa Kiingereza wanapoulizwa swali kwa lugha ya Kiswahili? Wamekengeushwa kiasi cha kuaibika kuwa Waafrika? Jameni, tujivunie lugha zetu za kiasili.
watanzania wanaukasumba sana kwa lugha ya kiswahili
yah nyumbani kwanza lazma tu value lugha zetu za nyumbani
kumbe nancy anaongea sana
Nancy is this much nervous on Mkasi???how does she stand international interviews then?????
Need to dig more on the kid and ''snatching'' someone's husband story..i ''had'' a lot of respect for her
Kwa ujumla tunafahamu ya kuwa watanzania wako nyuma sana kwa lugha ya kiingereza lakini jambo la kushangaza siku hizi imekuwa kama mtindo kuchanganya lugha ya kiingereza kidogo na kiswahili wakati wanaongea kiswahili ,tafadhali jaribuni kuongea kiswahili bila kuchanganya lakini msifikiri ni maendeleo kuchanganya tema kiswahili tu wengi wakuelewe .
please salama, watu wako wajtahid kuongea kiswahili
Once you dig, what are you going to achieve? a degree? putting food on the table? How old are you again? You don't even know the whole story, you don't know her yet you have the nerve to judge.
I dont know whether u r a dude ama chick, but I got to give it to you... "you sound uneducated, accident doesn't make you gain weight". Got nothing to do with stress. IT IS THE SIMPLE FACT THAT YOU SPEND MOST OF THE TIME RELAXING/SLEEPING AND MOST OF THE TIME EATING WELL. HENCE U DONT BURN THE FAT IN THE FOOD U TAKE IN. - Daah... Next time think before you talk crap! Nakaya is miles away head of you in intellect.
Jamaa wa pedicure anafaidi ilembaya, tena hapo alifaidi kinomaa