Mkasi - SO3E07 with Nakaaya & Nancy Sumari

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2012
  • Mkasi S03E07 Wageni wetu ni Nakaaya na Nancy Sumari ambao ni ndugu, wakizungumzia maisha ya Muziki , siasa na mitindo.
    Pia walizungumzia kuhusu maisha ya mahusiano ya kimapenzi na wapenzi wao.
    Usisahau kusubscribe kwenye channel.
    / @mkasitv
    our website: mkasi.tv/
  • Zábava

Komentáře • 48

  • @fettyzing5777
    @fettyzing5777 Před 5 lety +2

    Nakaaya mzuri jaman

  • @TatyanaCelestinefashiontime

    I LIKE THEM GIRLS, SO TALENTED AND BEAUT, ITS NICE SHOW SALAMA.

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Před 12 lety +2

    i love naakaya, she is sooo relaxed....i did not know nancy is sooo nervous....hahaa

  • @debrawanjala5277
    @debrawanjala5277 Před 11 lety +2

    this two sisters have morals and dignity,i'm so proud of you two gorgeous ladies

  • @ZuberiusChaila
    @ZuberiusChaila Před 10 lety +2

    Nancy nakukubali sana kiukwel umejaliwa mengi sana!

  • @dianamakorenda8008
    @dianamakorenda8008 Před 11 lety +1

    Nakaaya I love you my sister ni binti mzuri sana na usiyekuwa na skendo yeyote hongera sana dada. Take care. Upo juu kuliko mamiss wote wa Tz ulliwakilisha nchi mpaka nje Arusha tuko juu sana hakika Arusha sisi ni warembo.

  • @shanisshow1864
    @shanisshow1864 Před 9 lety +2

    yani nacy nakukubali sana dah! huna skendo sana kama warembo wengine

  • @isacksumari2536
    @isacksumari2536 Před 8 lety

    I love nakaaya ,good interview

  • @rosa629
    @rosa629 Před 7 lety +1

    much love kwa Nakaaya

  • @sarahrashidirashid9384
    @sarahrashidirashid9384 Před 8 lety +1

    mtangaze nchi yetu wasanii mnazidi namnaboa

  • @hexadmedia
    @hexadmedia Před 11 lety

    Love this sisters and I envy the family background and up bring. Pole sana Nakaaya with the accident and wish u maximum recovery.

  • @anta.kessy3
    @anta.kessy3 Před 10 lety

    Napenda maendeleo ya Nakaya xana, i wish to be like her... I real love Nakaya

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 6 lety +9

    why is it mtu akizungumza kiingereza Tanzania anasemwa ovyo?? wivu ni mbaya acheni hizo..hawa wadada wameipeperusha bendera ya Tz internationally. wewe unaelalamika umeifanyia nn nchi yako?

  • @folodhanitv2575
    @folodhanitv2575 Před 10 lety +1

    Juma tatu ijipita na sija tazama MKASI Dah....hiyo siku sinto pata usingizi kamwe.Nawapenda,wote

  • @ngutujuma2411
    @ngutujuma2411 Před 9 lety +1

    Nimependa sana interview ya nakaya anajiamn

  • @kareemauni5121
    @kareemauni5121 Před 9 lety

    Yupo juu

  • @ahmadabdallah2226
    @ahmadabdallah2226 Před 9 lety

    Jamani Mme nampenda xana Nakaaya..

  • @briannaswedi2651
    @briannaswedi2651 Před 12 lety

    aaww cute

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před 12 lety

    John throws hard question like always, i like this dude.

  • @maikojacobkimaki
    @maikojacobkimaki Před 12 lety +1

    muosha miguu ndio anae faidi mazee hivi na mm siwezi kupata job hyo. ;)

  • @Diana-cn6cf
    @Diana-cn6cf Před 10 lety

    salama... love your show... makes me connected with tz ^_^

  • @modelka222
    @modelka222 Před 11 lety +3

    jamaa anaemuosha nancy miguu kama hajadinda choko

  • @gomakuu
    @gomakuu Před 11 lety +1

    Jamani kumbukeni kwamba kuna jamii ya Watanzania ambayo imeanza kuibuka bila uwezo wa lugha ya Kiswahili na hili sio swala la hutuma. Haya yote yameletwa na mfumo wa elimu, ukoloni mamboleo, utandawazi na masuala mengine.

  • @josonwakitaa2092
    @josonwakitaa2092 Před 12 lety +3

    wabongo bwana hv kuchanganya lugha sijui ndio nini,mkae mkijua kimombo ni kama lugha nyingine tu,mbona amchanganyi lugha zenu za kiasili.huu ni ujinga mtupu.kweli tembea ujionee,nimetembea nchi nyingi za ulaya sijaona tabia hii,nimeona mara nyingi ktk tv za kidachi wanapomuoji mtu anayeongea kimombo uwa wanatafsili kwa mdomo au kwa
    maandishi na sio siri asilia 96 ya wadachi wanajua vizuri kimombo ila wanacho jaribu kufanya ni kulinda heshima ya lugha yao,wakenya wanatucheka sana kwa tabia hii

  • @mkingaluis
    @mkingaluis Před 11 lety +1

    JAMANI YULE JAMAA ANAYEOSHA ANAFAIDI KIAINA

  • @sarahrashidirashid9384
    @sarahrashidirashid9384 Před 8 lety +2

    jitaidini kuwa mnaongea kiswahili

  • @mikedidas7269
    @mikedidas7269 Před 3 lety

    nakaaya has more character... nancy, more beauty

  • @florakaaya4559
    @florakaaya4559 Před 3 lety

    Nancy punguza kuongea sanaa wanawake wa Arusha tupo Kama NAKAAYA.

  • @ndegesha
    @ndegesha Před 11 lety +1

    jamani watanzania tukizungumza lugha ya kiswahili tusichangi na kizungu

  • @TheSirToady
    @TheSirToady Před 10 lety +7

    Mimi ni Mkenya na nimeshangaa sana kutazama mahojiano haya. Nilidhani kuwa Watanzania wanajivunia kuongea lugha ya Kiswahili. Hapa Kenya vitabu vingi tunavyovisoma katika shule ya upili vimeandikwa na Watanzania kama vile Shaaban Robert (Kusadikika) na Mohamed S. Mohamed (Nyota ya Rehema, Kiu). Mbona Nakaaya na Nancy wanajibu kwa Kiingereza wanapoulizwa swali kwa lugha ya Kiswahili? Wamekengeushwa kiasi cha kuaibika kuwa Waafrika? Jameni, tujivunie lugha zetu za kiasili.

    • @shanisshow1864
      @shanisshow1864 Před 9 lety

      watanzania wanaukasumba sana kwa lugha ya kiswahili

    • @aaronmakaveli2062
      @aaronmakaveli2062 Před 8 lety

      yah nyumbani kwanza lazma tu value lugha zetu za nyumbani

  • @kmtenga
    @kmtenga Před 12 lety +1

    kumbe nancy anaongea sana

  • @TheApraries
    @TheApraries Před 12 lety +1

    Nancy is this much nervous on Mkasi???how does she stand international interviews then?????
    Need to dig more on the kid and ''snatching'' someone's husband story..i ''had'' a lot of respect for her

  • @mohamedomar4037
    @mohamedomar4037 Před 11 lety +1

    Kwa ujumla tunafahamu ya kuwa watanzania wako nyuma sana kwa lugha ya kiingereza lakini jambo la kushangaza siku hizi imekuwa kama mtindo kuchanganya lugha ya kiingereza kidogo na kiswahili wakati wanaongea kiswahili ,tafadhali jaribuni kuongea kiswahili bila kuchanganya lakini msifikiri ni maendeleo kuchanganya tema kiswahili tu wengi wakuelewe .

  • @kedekosimon8449
    @kedekosimon8449 Před 8 lety

    please salama, watu wako wajtahid kuongea kiswahili

  • @eccentricchic85
    @eccentricchic85 Před 11 lety

    Once you dig, what are you going to achieve? a degree? putting food on the table? How old are you again? You don't even know the whole story, you don't know her yet you have the nerve to judge.

  • @hexadmedia
    @hexadmedia Před 11 lety

    I dont know whether u r a dude ama chick, but I got to give it to you... "you sound uneducated, accident doesn't make you gain weight". Got nothing to do with stress. IT IS THE SIMPLE FACT THAT YOU SPEND MOST OF THE TIME RELAXING/SLEEPING AND MOST OF THE TIME EATING WELL. HENCE U DONT BURN THE FAT IN THE FOOD U TAKE IN. - Daah... Next time think before you talk crap! Nakaya is miles away head of you in intellect.

  • @Franknjzzz
    @Franknjzzz Před 12 lety +1

    Jamaa wa pedicure anafaidi ilembaya, tena hapo alifaidi kinomaa