ONE ON ONE PART 3 NA ALI KAMWE: AHMED ALI ANAWAKE WAWILI/AMENIPONZA NAONAKENA NAPENDA WANAWAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 83

  • @frankaugustine2568
    @frankaugustine2568 Před 2 lety +10

    Nimeiyangalia hii vedeo kwasababu ya Aly Kamwe, unanispire sana Aly Kamwe kwenye uchambuzi na namna unavojibu interview zako. Congratulations🎉.

  • @saidaramadhan5963
    @saidaramadhan5963 Před rokem +6

    The way he talks…pure gold🙌🏾

  • @allykingu6954
    @allykingu6954 Před rokem +5

    Ally kamwe umetoa somo kubwa Sana katk maisha , Allah akuhifadhy na kukulinda

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 Před 2 lety +15

    Mazungumzo sahihi kwa maadili ya kitanzania. Inafundisha jamii yetu

  • @renatuspeter9099
    @renatuspeter9099 Před 2 lety +11

    Safi sana Ali kamwe una maono ya mbele nakupongeza sana.

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 Před 2 lety +13

    kamwe leo umetupa mawaidha allah akuongoze ktk njia ya sawa hdi kufa kwako nimejifunza mengi kutoka kwako

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o Před 10 měsíci +2

    Bwana mdogo mungu amekujalia upeo wa utambuzi wa mambo endelea na tabia hiyo

  • @theclambiki110
    @theclambiki110 Před 3 měsíci +2

    Unajibu vizuri sana Ally

  • @bashirsalum6644
    @bashirsalum6644 Před 2 měsíci +1

    Mke mwenye hofu na Mungu sio hofu na mume iyo point kali sana

  • @JacobGagir
    @JacobGagir Před 3 měsíci +2

    Ulijbu vzr sana hapo

  • @mariamwaisaka8748
    @mariamwaisaka8748 Před rokem +2

    Ally Kamwe is so wise kweli Mungu hana dini Mungu ni Mungu tu he talks about Godwisdom❤️❤️🙏

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Před rokem +2

    Aliy kamwe kama mwanangu kama unamjua mungu unatakiwa kusemehe kwa nn usimsalimie km kweli ww ni mcha mungu unatakiwa kusemehe

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 Před rokem +1

    Ally hongera. Natamani watoto wangu wangekuwa kama wewe ni vijana lakini mhh Wacha tuhawapishi warembo Allah akujaalie na awabadilishe wanetu inshallahl

  • @suleymanally1465
    @suleymanally1465 Před 2 lety +4

    Ally nimekukubali saaana bro uko vzr mno ktk kujieleza mungu akusimamie ktk misimamo yako duuh,

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 Před 2 lety +11

    ALI KAMWE, umeongea kama mtu anaemuogopa ALLAH SUBHANAHU WATAALA, ila rekebisha jambo moja na Omba saaana ISTIGHFAR ili upige kwenye MSHONO kwa sababu pia wewe umetumia SILAHA KALI MNO kwa kusema.....
    " Wallahi wabillahi na mimi sintomsalimia tena". Kila Ukikutana nae .....Msalimie na mkumbatie. Wabillahi Tawfiiq

    • @mahadshekh398
      @mahadshekh398 Před 2 lety +3

      Manara hana sifa za kiislamu, muongo mlevi na mchonganishi.Hayupo kwenye hiyo nasaha.Akifa hasaliwi sio kusalimiwa.

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před 2 lety +1

      Ali hana kosa, labda amemvumilia sana amechoka,,manara ni munafikina

  • @mwendafrances7722
    @mwendafrances7722 Před 2 lety +5

    Daaa akili mingi sna saluti kwak Ally kwamwe

  • @fatumaali4275
    @fatumaali4275 Před rokem +1

    Ali Kamwe njoo Pemba uchague mke tutakupatia 💝💝💝

  • @eliusmakasi4103
    @eliusmakasi4103 Před 2 lety +2

    Broo Ally kamwe nakuelewa sana mungu akubaliki

  • @fredaboud7838
    @fredaboud7838 Před 2 lety +4

    Nakubali Sana brooooo...akiri mingi mafunzo makubwaaa

  • @archipe1378
    @archipe1378 Před rokem +1

    Ali kamwe uko vzr Allah akusimamie

  • @mankambise2000
    @mankambise2000 Před 2 lety +3

    Anaetaka kujifunza akikusikiliza lazima ajifunze hongera sana

  • @nassirnassor7932
    @nassirnassor7932 Před rokem +1

    Nice conversation. Head with brain

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před 2 lety +1

    Haji mkorofi sanaaa,,sema anajificha kwenye mgongo wa hizi team mbili,,ipo siku yake na yy

  • @queenraphaher7736
    @queenraphaher7736 Před rokem +1

    Uko vizuri kaka

  • @championtv4581
    @championtv4581 Před 2 lety +2

    Congratulations to you alikamwe

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před 2 lety +10

    Wanawake wenye mitako wakisikia wanaume wanaulizwa unataka mke wa aina gani,wakijibu wenye khofu na Mungu wananunaa😂

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 Před rokem +1

    Hongera

  • @aminasalim8708
    @aminasalim8708 Před rokem +2

    Mimi Amina ., nina hofu ya mungu jmn Aliy...tena tutakuwa double A, 😅🙏

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před rokem +1

    Kijana ukopoa sanaaaa umefunzwa nawazazi yani mwanamke unaemtaka hata mimi namtaka mwanamke wahivyo

  • @allykarupa1411
    @allykarupa1411 Před 3 měsíci +1

    Nimejifunza kitu Somo. Ususani swalazima la mke

  • @championtv4581
    @championtv4581 Před 2 lety +2

    Ali kamwe tofaut na soka hata maisha ya kawaida anajua kuchambuaaa

  • @makamelila
    @makamelila Před 2 lety +3

    Pole broo huyo ndio haji katawaliwa na ubinafisi na rohombaya ndiomana kahama simba

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před 2 lety +2

    Achana na jinga la taifa aly yule hamnazo

  • @baluulada4884
    @baluulada4884 Před 2 lety +2

    Asante Sana umejibu vizuri Sana Baki na msimamo wako Alla ataendelea kukulinda

  • @edomiteda5151
    @edomiteda5151 Před 2 lety +1

    Ally Kamwe..safi sana

  • @elizabethmathias8661
    @elizabethmathias8661 Před rokem +1

    Daah

  • @davidbahati3748
    @davidbahati3748 Před 2 lety +2

    Ally nakushauri sijajua Imani yenu waislam ipoje Ila kwa sisi wakristo yatupasa tusamehe 7×70 kwa siku. Japokuwa Haji alikasirika kwa NB yako lkn mkionana we msalimie tu kiroho Safi, akijibu Wala asipojibu atajua mwenyewe na Mungu wake. Wewe timiza yakupasayo kutimiza. Wote tunamjua Haji alivyo anagombana na kila mtu, mchukulie ivoivo alivyo Kama ndo madhaifu yake koz hakuna aliekamilika apa Duniani,

  • @queenraphaher7736
    @queenraphaher7736 Před 2 lety +1

    safi sana

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před měsícem

    Et wanawake uliowah kudate nao tukiwaweka v.i.p A wanaweza kujaa??hili swal🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwandishi umetisha

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 Před 2 lety +2

    Kwenye habari ya mke uko vizur mzee, unajua juu ya ao viumbe

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Sound tu hizo 😀

  • @Nasmaabdala-oz2su
    @Nasmaabdala-oz2su Před 25 dny

    Ali wewe nimuongo ulisema unaangalia mwanamke anaeshikika na sura sasa ivi Tena unataka mwenye hofu na mungu😅

  • @hermanmkamilo939
    @hermanmkamilo939 Před 2 lety +2

    jamaa ulisema huongeagi uongo, ila hapa umeongea uongo. muwe na akiba ya maneno, unasema huna mpenzi hata mmoja lkn umekaribia kuoa

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Hapo mwenyewe kanichanganya.

  • @selfambassador1638
    @selfambassador1638 Před rokem +1

    Hongera Sana kaka ALLAH akuongoze unajitahidi Sana kuwa na msimamo sahihi ninaimani ALLAH ataongeza Imani yako sahihi
    Ushauri wangu kuwa makini katika kazi epuka haramu katika kazi kwani utafutaji wetu ni mgumu Sana kwani haramu Zina tufuata zenyewe cha mwisho usitishike na binadamu yeyote hata Kama ni boss wako hao wakina Haji wanajifanya wamesoma dini lakini ukweli ni kwamba hamna elimu ya dini kwa Haji kwa sababu eliyesoma ni yule aliye elimika peke yake asante
    Nina mengi ila Kama hutojali naomba whatsap namba yako tushauliane zaidi

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 Před 2 lety +1

    8:5🔥🔥🔥🔥✌️

  • @gerfasiamwingira4827
    @gerfasiamwingira4827 Před 2 lety +1

    Tunasubiri 4

  • @shedrackmbilinyi
    @shedrackmbilinyi Před 2 lety +1

    hapo anatutia sound

  • @kakawane8822
    @kakawane8822 Před 2 lety +1

    Mna zingua mna post video fupi sana

  • @rashidkhamisjuma3714
    @rashidkhamisjuma3714 Před 2 lety +2

    mustukoseshe muendelezo

  • @Karimuabduli2293
    @Karimuabduli2293 Před rokem

    Kaongea kitu cha maana sana

  • @bernardsaguti9577
    @bernardsaguti9577 Před 2 lety +1

    Inatskiwa msameheane wote wawili

  • @renatuspeter9099
    @renatuspeter9099 Před 2 lety

    Naomba nitumie namba yako alikamwe

  • @rammyvongarcia1056
    @rammyvongarcia1056 Před 2 lety +1

    Naomben mzitume video zote za mahojiano na Ally kamwe tunajifunza kupitia ayo mahojiano

  • @rizikially9535
    @rizikially9535 Před 2 lety

    Naomba uwe mumewangu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 2 lety

    Mbona suala la kuwatafuna watoto wa watu unazungukazunguka?

  • @jj-nj7gg
    @jj-nj7gg Před rokem

    Utasema kimtu kweli kinafki hiko

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 2 lety

    Hivi ulifikiria mara mbili kumtaja Ahmed Ally Kwa staili hiyo?,,,,nadhani ushamharibia Kwa familia yake!!

  • @JumaSundi
    @JumaSundi Před 12 dny

    Z

  • @queenraphaher7736
    @queenraphaher7736 Před 2 lety

    kamwe Mimi ni shabiki wako saaana

  • @jameskorogo118
    @jameskorogo118 Před 2 lety

    Kaka kamwe komaa uko poa xana

  • @samgiant6905
    @samgiant6905 Před 2 lety +1

    Umri na umbo dogo akili mingi

  • @ibrahimbenedict1513
    @ibrahimbenedict1513 Před 2 lety +2

    Ww km ni kicheche kicheche tuu usituchafulie Semaji letu

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Před 2 lety

    Hapo katufunga kamba 🤣🤣🤣🤣

  • @footballtv9988
    @footballtv9988 Před 2 lety

    KUMBE MNA BIFU NA MANALA

    • @mamapi9216
      @mamapi9216 Před rokem

      MwenyeziMungu kakataza muislam kumchukia muislam mwenzie kwa kuapia kiapo kwa kumshirikisha mwenyezi mungu kuwa hutamsalimia Manara umekosea bwana mdogo jitafakari rudi kwa ALLAH

  • @sabrusule3714
    @sabrusule3714 Před 2 lety

    Hofu ya ALLAH iko wp Ali? Na unatumia platform huko mitandaoni kwa kutangaza na kuhamasisha kamari, riba na mziki

    • @jasmineeomary2041
      @jasmineeomary2041 Před 2 lety

      Ulitaka ale wape

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 Před 2 lety

      @@jasmineeomary2041 jasminee

    • @thabitisimba1143
      @thabitisimba1143 Před 2 lety +1

      Fact swali zuri sana ila wasio jua iman ikoje wataropoka kwa ufupi waislaam wengi wana uislaam wa kiswahili ila tauheed ni sifuri

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      @@jasmineeomary2041 kama wewe ni musilam ukiuliza swali hili ni ajabu sana