ALLY KAMWE: NIMEZAWADIWA SIMU YA GHARAMA/ MTU KACHEZA DK 30 TU KASUSA/HAKUNA MAISHA YA SHIDA NA RAHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally Kamwe akitamba Kumiliki Gari la Gharama kubwa pamoja na Simu Kali aliyopewa Zawadi na Rais wa Yanga SC,Eng Hersi Said kwa Utendaji wake Mzuri wa Kazi.
    Ameongeza kusema kwamba Simu anayotumia Sasa kwa Tanzania hii Wanayo Watu Wanne tu,Yeye,Eng Hersi Said,GSM pamoja na Diamond Platnumz.

Komentáře • 115