MCHINA ANAYETRENDI KWENYE BOTI za ZANZIBAR - KILA ANACHOKIUZA LAZIMA UTANUNUA - ''NINA MIAKA 63''...
Vložit
- čas přidán 1. 07. 2024
- MCHINA ANAYETRENDI KWENYE BOTI za ZANZIBAR - KILA ANACHOKIUZA LAZIMA UTANUNUA - ''NINA MIAKA 63''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Anashawishi baba hyu 👌 na anafurahisha
Huyu jamaa me namjua vzr snaaa nimekaa nae anaitwa baba aishaaa,mama ake huyu ni mzabzibar,mama ake huyu alizaa na mchina yye kwao ndo wa kwanzaaa,wamexaliwa tisaaa kwaoo hao wengne wote nane baba yao mwingne huyu mzee alikaaa kinondoni shamba kwa mdogo wake anaitwa muradi wote wa pemba haoooo
Kwahy
😢Why jamaa anatufahamisha tu sababu watu wanaitaji kujua bro @@Victor-rb8yc
Jamani kama umetumwa khaaaas@@Victor-rb8yc
Mtanzania halisi huyu inawezekana Baba yake mchina, ila ni Mtanzania huyu halisi na mjuwa saana toka miaka hiyo
Huwa anafurahisha Sana tuuu..... Kwa matangazo yake kwenye boti aiseee yupo vzur mnooooooo tumia boti ya azam zanzibar to Dar utamkutaaa
Anafaa pia kuwa mwandishi wa habari 🎉🎉
Sana
Safi sana jet lee
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂👍👍👍👍
😅😅😅😅watu mnavisa😂
Halafu kunamtoto wa kiume tena kijana na nguvu zake yupo nyumbani kwao anasubiria chai na ugali wa mama yake aliyedamka asubuhi saa 12 kuunza mboga za majani apate hela ya unga. dah tutafute hela wanangu
Waallah nimechekaa Hadi machoziii
Huyu mwenzetu bwana 🇹🇿
Ndio wazee wake wachina lkn kasoma zenji kakulia zenji ..kaowa zenji kazaa pia.
Safi sana, anajua biashara
Huyu alikuwa anaishi dar, na alikuwa anaimba taraab, tulikuwa wote kwenye kikundi, znz amekwenda baada ya kupata kazi kwenye maboti ya bakharesa ni mtu wa dar.
Mashaallah upo vizuri unaongea vizuri sana
@@fatmaally7252 Lazima aongee vizuri Mchina wa Unguja huyo 😂😂😂
Class mate wa babangu huyo Tumekuja School
Kweli kabisa ni msheshi mno mashalllhh
huyu jamaa namjua tangu niko mdogo 1999 kkoo alikua akiimba kwenye nyumba za waarabu na guitar lake ni wazamani alafu ni famous kkoo mpaka leo
Baba wa hovyo uyu nimecheka sana kweli tunakupenda
Mzee konki huyu alishawai kunisaidia....🙏
😂😂😂 nimempenda buree😂😂😂 eti koroshi oyeee😂😂😂
Huwa namkubali sana huyu baba😂😂Mzee wa Pipi na chocolate
Yaani huyu mzee namuungishaga kwasababu ya ucheshi wake 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂❤safi sna
😂😂😂😂😂😂😂😂 wallah nimechekq leo
❤❤waooooooooo
Kumbe hata hufaii😢
😂😂😂😂😂😂😂 namkubali sana huyu mwamba❤
tumefurahi
Kazi ipo hapo😂
Mdogo wa bolo young huyu kwe van dame 🤣🤣🤣
Jamani huyo ni mtazania mimi nazaliwa namkita ni rafiki wa wajomba zangu rafikiayao anajulikana unguja nzima
😂😂😂😂😂😂😂safi sana
😂😂😂huyu babu Njoo Mozambique
😂😂😂😊
😂😂😂😂😂😂❤❤❤
Uyu mzanzibar halisiiiii check anavyofanya mikono
Yes Malindi Zanzibar
@@AbeleBausingi hahaha 🤣🤣 kalegea mtu mzima mikono anavo ifanya kama mauzinde hatari Sana
@@umsulaiman7468Mmmmh we nae kwa kuyakuza
Bjk
Lol 😅😅😅😂 kihindi safi
Hawani machinations wa malindi zanzibar
Wapo zaidi ya miaka 200
Ungemuuliza kabila lake na mzailiwa wa mji gani na jina lake nani?
Kabila ni mshirazi,mzaliwa wa unguja mjini,kikwajuni..
Makabila ya nini tena alishakwambia yeye ni mbongo hiyo tosha @@salimmzee1164
Kuna mtu kaelezea hapo juu anasema mama yake ni mzanzbar
Jina lake Hussein china. Ni mzaliwa wa unguja , amesoma na kukulia visiwani zanzibar. Namjua very well
@@salimmzee1164kila mtu Zanzibar ni mshirazi, mshirazi maana yake nn? Nakunafichwa nini hapo?
😂😂😂😂😂wow
😊😅
Mtanga uyo
😂😂😂😂😂
😂😂😅
Ila amamake alidanga na mchina
😂😂😂
😂😂😂,
Huyu mwamba aisee
😅😅😅😅😅
Was korosho oyeeeee necessary
Au mfilipino
Huyu jamaa aaah safar Inakuwa fupi
korosho oyeeee
Mchina hujajuwa kujieleza vizuri ungesema asili yako wapi umetoka.
👍
Kasema mtanzania,
Unguja mkunazini
@@gloriakilonzo4706 Si ndo hapo hata hao Wa Tanzania wana ma kwao wengine kutoka Kigoma, Iringa na pengine ni kijana wa Zanzibar tuu huyo anajulikana.
sasa mtu mama mzanzbar kazaliwa zanzbar kasoma zanzbar atakuwa anatoka wapi?
Si mchina huyu, ni mtanzania mwenye asili ya China
Tupo wengi sana duniani me kama huyu ni mjerumani kabisa......
Mchina yukopoa
Kazaliwa zanzibar au tanganyika
Znz
Ukijua alipozaliwa itakusaidia nini?
Kazaliwa zanzibar namjua vizur xana
Yan anavyoongea tu haihitaji kuuliza alipozaliwa😂
Yan anavyoongea tu haihitaji kuuliza alipozaliwa😂
Anaongea na mipasho kwa mbaliik
Mbona mabega na mikono na vidole hivyo
😂😂😂😂jmn
Huyu so mchina huyu Ni muarabu au muhindi lambda mama ndio TZ
Huyu ni Mchina kweli wa Zanzibar (Unguja) amekuja Dar es Salam kwa kutafuta maisha. Hana cha Uhindi 😂😂😂
@@awatifalghanim1106 kumbe mchina lakin kachanga labda baba mchina mama TZ ah sote ndugu Allah ampe umri tawil
Upended au
Dume Jike
Kampe ilo tundu ndio utajua kua dume jike
Huyo ni mchina tena ni mpemba.
Huyu mzee Alisha left group anaonekana tuu
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂