MCHINA ANAYETRENDI KWENYE BOTI za ZANZIBAR - KILA ANACHOKIUZA LAZIMA UTANUNUA - ''NINA MIAKA 63''...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • MCHINA ANAYETRENDI KWENYE BOTI za ZANZIBAR - KILA ANACHOKIUZA LAZIMA UTANUNUA - ''NINA MIAKA 63''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 109

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 12 dny +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @ZuleykhaIsmail-rc5ly
    @ZuleykhaIsmail-rc5ly Před 13 dny +13

    Anashawishi baba hyu 👌 na anafurahisha

  • @danielimeshack3712
    @danielimeshack3712 Před 13 dny +12

    Huyu jamaa me namjua vzr snaaa nimekaa nae anaitwa baba aishaaa,mama ake huyu ni mzabzibar,mama ake huyu alizaa na mchina yye kwao ndo wa kwanzaaa,wamexaliwa tisaaa kwaoo hao wengne wote nane baba yao mwingne huyu mzee alikaaa kinondoni shamba kwa mdogo wake anaitwa muradi wote wa pemba haoooo

    • @Victor-rb8yc
      @Victor-rb8yc Před 11 dny

      Kwahy

    • @therealkingo
      @therealkingo Před 8 dny

      😢Why jamaa anatufahamisha tu sababu watu wanaitaji kujua bro ​@@Victor-rb8yc

    • @user-wv5pe1xv5h
      @user-wv5pe1xv5h Před 4 dny

      Jamani kama umetumwa khaaaas​@@Victor-rb8yc

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 Před 13 dny +8

    Mtanzania halisi huyu inawezekana Baba yake mchina, ila ni Mtanzania huyu halisi na mjuwa saana toka miaka hiyo

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 Před 12 dny +4

    Huwa anafurahisha Sana tuuu..... Kwa matangazo yake kwenye boti aiseee yupo vzur mnooooooo tumia boti ya azam zanzibar to Dar utamkutaaa

  • @user-yh7ui7hw1i
    @user-yh7ui7hw1i Před 12 dny +5

    Anafaa pia kuwa mwandishi wa habari 🎉🎉

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Před 13 dny +9

    Safi sana jet lee

  • @Laurent_chenza_Tz
    @Laurent_chenza_Tz Před 12 dny +5

    Halafu kunamtoto wa kiume tena kijana na nguvu zake yupo nyumbani kwao anasubiria chai na ugali wa mama yake aliyedamka asubuhi saa 12 kuunza mboga za majani apate hela ya unga. dah tutafute hela wanangu

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 Před 12 dny +4

    Waallah nimechekaa Hadi machoziii

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 Před 12 dny +4

    Huyu mwenzetu bwana 🇹🇿

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Před 11 dny +1

      Ndio wazee wake wachina lkn kasoma zenji kakulia zenji ..kaowa zenji kazaa pia.

  • @boscomtani1006
    @boscomtani1006 Před 12 dny +2

    Safi sana, anajua biashara

  • @azizasaid5255
    @azizasaid5255 Před 11 dny +3

    Huyu alikuwa anaishi dar, na alikuwa anaimba taraab, tulikuwa wote kwenye kikundi, znz amekwenda baada ya kupata kazi kwenye maboti ya bakharesa ni mtu wa dar.

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před 12 dny +3

    Mashaallah upo vizuri unaongea vizuri sana

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 11 dny

      @@fatmaally7252 Lazima aongee vizuri Mchina wa Unguja huyo 😂😂😂

    • @lageettamim4415
      @lageettamim4415 Před 9 dny

      Class mate wa babangu huyo Tumekuja School

  • @Misanyahidaya
    @Misanyahidaya Před 12 dny +2

    Kweli kabisa ni msheshi mno mashalllhh

  • @abdulmuhsin9166
    @abdulmuhsin9166 Před 12 dny +3

    huyu jamaa namjua tangu niko mdogo 1999 kkoo alikua akiimba kwenye nyumba za waarabu na guitar lake ni wazamani alafu ni famous kkoo mpaka leo

  • @shakirashakira-gc2yw
    @shakirashakira-gc2yw Před 13 dny +2

    Baba wa hovyo uyu nimecheka sana kweli tunakupenda

  • @AmbokileFumigation
    @AmbokileFumigation Před 10 dny +2

    Mzee konki huyu alishawai kunisaidia....🙏

  • @tukuswigaikasu5227
    @tukuswigaikasu5227 Před 8 dny +2

    😂😂😂 nimempenda buree😂😂😂 eti koroshi oyeee😂😂😂

  • @user-re2em2zd2u
    @user-re2em2zd2u Před 5 dny

    Huwa namkubali sana huyu baba😂😂Mzee wa Pipi na chocolate

  • @nipaelmgaya9913
    @nipaelmgaya9913 Před 12 dny +5

    Yaani huyu mzee namuungishaga kwasababu ya ucheshi wake 😂😂😂😂

  • @user-te5jr1rz7w
    @user-te5jr1rz7w Před 9 dny +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 wallah nimechekq leo

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer Před 7 dny

    ❤❤waooooooooo

  • @faizaa155
    @faizaa155 Před 4 dny

    Kumbe hata hufaii😢

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Před 13 dny +3

    😂😂😂😂😂😂😂 namkubali sana huyu mwamba❤

  • @wahidabakar
    @wahidabakar Před 12 dny

    tumefurahi

  • @Cryptocurrency_bitcon_Pi_Coin

    Kazi ipo hapo😂

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y Před 12 dny +1

    Mdogo wa bolo young huyu kwe van dame 🤣🤣🤣

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před 7 dny

    Jamani huyo ni mtazania mimi nazaliwa namkita ni rafiki wa wajomba zangu rafikiayao anajulikana unguja nzima

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 6 dny

    😂😂😂😂😂😂😂safi sana

  • @user-gy9uf5wm1c
    @user-gy9uf5wm1c Před 11 dny

    😂😂😂huyu babu Njoo Mozambique

  • @MauaDumba
    @MauaDumba Před 12 dny

    😂😂😂😊

  • @NeemaMatisho
    @NeemaMatisho Před 13 dny

    😂😂😂😂😂😂❤❤❤

  • @AbeleBausingi
    @AbeleBausingi Před 12 dny +3

    Uyu mzanzibar halisiiiii check anavyofanya mikono

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv Před 12 dny

      Yes Malindi Zanzibar

    • @umsulaiman7468
      @umsulaiman7468 Před 11 dny

      @@AbeleBausingi hahaha 🤣🤣 kalegea mtu mzima mikono anavo ifanya kama mauzinde hatari Sana

    • @SalmaBinyaga
      @SalmaBinyaga Před 9 dny

      ​@@umsulaiman7468Mmmmh we nae kwa kuyakuza

    • @sitiabas2686
      @sitiabas2686 Před 8 dny

      Bjk

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Před 10 dny

    Lol 😅😅😅😂 kihindi safi

  • @khalidibrahim4579
    @khalidibrahim4579 Před 8 dny

    Hawani machinations wa malindi zanzibar
    Wapo zaidi ya miaka 200

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před 13 dny +7

    Ungemuuliza kabila lake na mzailiwa wa mji gani na jina lake nani?

    • @salimmzee1164
      @salimmzee1164 Před 13 dny +2

      Kabila ni mshirazi,mzaliwa wa unguja mjini,kikwajuni..

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Před 12 dny

      Makabila ya nini tena alishakwambia yeye ni mbongo hiyo tosha ​@@salimmzee1164

    • @zenasalum2231
      @zenasalum2231 Před 12 dny

      Kuna mtu kaelezea hapo juu anasema mama yake ni mzanzbar

    • @Queen-be1uf
      @Queen-be1uf Před 12 dny

      Jina lake Hussein china. Ni mzaliwa wa unguja , amesoma na kukulia visiwani zanzibar. Namjua very well

    • @salimali-rf9er
      @salimali-rf9er Před 12 dny

      ​@@salimmzee1164kila mtu Zanzibar ni mshirazi, mshirazi maana yake nn? Nakunafichwa nini hapo?

  • @user-te5jr1rz7w
    @user-te5jr1rz7w Před 9 dny

    😂😂😂😂😂wow

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c Před 7 dny

    😊😅

  • @SharifuTaric
    @SharifuTaric Před 11 dny

    Mtanga uyo

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 Před 13 dny

    😂😂😂😂😂

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 8 dny

    😂😂😅

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 12 dny

    Ila amamake alidanga na mchina

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před 12 dny

    😂😂😂

  • @user-pk8bp7th9e
    @user-pk8bp7th9e Před 12 dny

    😂😂😂,

  • @thejoeclassicsoldier
    @thejoeclassicsoldier Před 8 dny

    Huyu mwamba aisee

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g Před 9 dny

    😅😅😅😅😅

  • @EvartWilson34
    @EvartWilson34 Před 12 dny

    Was korosho oyeeeee necessary

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před 12 dny

    Au mfilipino

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 Před 11 dny

    Huyu jamaa aaah safar Inakuwa fupi

  • @moodjeco5844
    @moodjeco5844 Před 7 dny

    korosho oyeeee

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 12 dny +2

    Mchina hujajuwa kujieleza vizuri ungesema asili yako wapi umetoka.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 10 dny

      👍

    • @gloriakilonzo4706
      @gloriakilonzo4706 Před 9 dny

      Kasema mtanzania,

    • @keyla3641
      @keyla3641 Před 7 dny

      Unguja mkunazini

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 7 dny

      @@gloriakilonzo4706 Si ndo hapo hata hao Wa Tanzania wana ma kwao wengine kutoka Kigoma, Iringa na pengine ni kijana wa Zanzibar tuu huyo anajulikana.

    • @jumayusuf1694
      @jumayusuf1694 Před 6 dny

      sasa mtu mama mzanzbar kazaliwa zanzbar kasoma zanzbar atakuwa anatoka wapi?

  • @Mr-GMB
    @Mr-GMB Před 7 dny

    Si mchina huyu, ni mtanzania mwenye asili ya China

  • @FujoohTV
    @FujoohTV Před 11 dny

    Tupo wengi sana duniani me kama huyu ni mjerumani kabisa......

  • @mohamedhaji4827
    @mohamedhaji4827 Před 12 dny

    Mchina yukopoa

  • @NassorMohammed-oy7bc
    @NassorMohammed-oy7bc Před 13 dny +1

    Kazaliwa zanzibar au tanganyika

  • @directorrgprofessional

    Anaongea na mipasho kwa mbaliik

  • @111dudi
    @111dudi Před 12 dny

    Mbona mabega na mikono na vidole hivyo

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Před 7 dny

    😂😂😂😂jmn

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před 12 dny

    Huyu so mchina huyu Ni muarabu au muhindi lambda mama ndio TZ

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 12 dny

      Huyu ni Mchina kweli wa Zanzibar (Unguja) amekuja Dar es Salam kwa kutafuta maisha. Hana cha Uhindi 😂😂😂

    • @umsulaiman7468
      @umsulaiman7468 Před 11 dny +1

      @@awatifalghanim1106 kumbe mchina lakin kachanga labda baba mchina mama TZ ah sote ndugu Allah ampe umri tawil

  • @user-nn8nn6dk8u
    @user-nn8nn6dk8u Před 12 dny

    Upended au

  • @hudhaifamsafiri8731
    @hudhaifamsafiri8731 Před 12 dny

    Dume Jike

  • @KhalidKhan-y9n
    @KhalidKhan-y9n Před 11 dny +1

    Huyo ni mchina tena ni mpemba.

  • @AbduMohammed-fn6ot
    @AbduMohammed-fn6ot Před 6 dny

    Huyu mzee Alisha left group anaonekana tuu

  • @fatimaharoun-np8uv
    @fatimaharoun-np8uv Před 13 dny

    😂😂😂😂

  • @rukiangilla3113
    @rukiangilla3113 Před 9 dny

    😂😂😂

  • @khadijakheir9323
    @khadijakheir9323 Před 7 dny

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g Před 9 dny

    😂😂😂