KIJANA WA CHADEMA AWAWEKA KIKAANGONI SUGU NA MSIGWA AFAFANUA SABABU ZA JONGWE KUMPIGA MSIGWA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Tumefanya mahojiano na Eng. Lumola Steven Kahumbi, ambaye ni mwanachama wa CHADEMA, anawapa changamoto viongozi wakongwe wa chama hicho, Mbunge wa zamani wa Mbeya mjini Mhe. Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu na Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini Mhe. Mch. Peter Msigwa, kwa kutoa maoni yake kuhusu uchaguzi wa Wenyeviti wa Kanda za CHADEMA. Lumola anatoa maelezo ya kina na ufafanuzi kuhusu sababu zilizochochea tukio hilo kuzua mjadala mkubwa kwenye siasa za Tanzania.
    Tazama video hii kwa undani zaidi juu ya malumbano haya ya kisiasa ndani ya CHADEMA kutoka kwa kijana mwenye msimamo na maono makini.
    Mwandishi: Junior Deo Filikunjombe
    Cameraman: King Mwetta (Frank Bryson)
    Mhariri: John Mwonga
    Production: Swahili Online.

Komentáře • 20

  • @mahubiritv
    @mahubiritv Před 2 měsíci +3

    Ni tumaini kubwa sana kuona Taifa lina vijana kama huyu. Nimependa hayupo biased ni facts tupu hata kama anakupiga unaweza kuwa una-enjoy safi sana.👏👏

  • @dinosaurtz2597
    @dinosaurtz2597 Před 2 měsíci +1

    Nimetazama hii interview ni madini tu mwanzo mwisho hakika CHADEMA ina vijana wenye uwezo mkubwa sana. Hongera Lumola

  • @johnmwongatz
    @johnmwongatz Před 2 měsíci +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 Před 2 měsíci +1

    Kijana Yuko vzr Sana huyu sema usihame chama

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven Před 2 měsíci

      Nashukuru kaka, nitaendelea kusimama upande wa MAGEUZI chini ya CHADEMA

  • @tumainijipyaafrika
    @tumainijipyaafrika Před 2 měsíci +1

    Hii ni interview nzuri sana muulizaji maswali katulia sana na mjibuji katulia sana. Kila kitu kwenye mstari wake. Nimejifunza mengi kupitia interview hii

  • @EliasCharles-r2b
    @EliasCharles-r2b Před 2 měsíci +1

    Ndugu usikate tamaa utafika mbali sana tena sana

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven Před 2 měsíci

      Amein 🤲. Nashukuru ndugu yangu

  • @MCAYANI
    @MCAYANI Před 2 měsíci +1

    Nimevutiwa sana na huyu kijana nitaomba mwenye mawasiliano yake anipatie. Vijana kama huyu ni tumaini kubwa kwenye Taifa lenye uozo kama hili. SWAHILI ONLINE mpeni hongera huyu Bwana mdogo

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Před 2 měsíci +1

    Msigwa ana wivu tu kwa sugu 3:21

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Před 2 měsíci +2

    Utaaibika ndugu yangu msigwa, ccm mara hii haina nafasi vijana wenye umri chini ya miaka 35 ni asilimia 70 na wote hawaitaki ccm, kwa hiyo chadema itashinda tu.

  • @BoxingTanzania
    @BoxingTanzania Před 2 měsíci +1

    Kwani Msigwa mwenyewe anasemaje😅