KIJANA WA CHADEMA AWAWEKA KIKAANGONI SUGU NA MSIGWA AFAFANUA SABABU ZA JONGWE KUMPIGA MSIGWA.
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- Tumefanya mahojiano na Eng. Lumola Steven Kahumbi, ambaye ni mwanachama wa CHADEMA, anawapa changamoto viongozi wakongwe wa chama hicho, Mbunge wa zamani wa Mbeya mjini Mhe. Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu na Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini Mhe. Mch. Peter Msigwa, kwa kutoa maoni yake kuhusu uchaguzi wa Wenyeviti wa Kanda za CHADEMA. Lumola anatoa maelezo ya kina na ufafanuzi kuhusu sababu zilizochochea tukio hilo kuzua mjadala mkubwa kwenye siasa za Tanzania.
Tazama video hii kwa undani zaidi juu ya malumbano haya ya kisiasa ndani ya CHADEMA kutoka kwa kijana mwenye msimamo na maono makini.
Mwandishi: Junior Deo Filikunjombe
Cameraman: King Mwetta (Frank Bryson)
Mhariri: John Mwonga
Production: Swahili Online.
Ni tumaini kubwa sana kuona Taifa lina vijana kama huyu. Nimependa hayupo biased ni facts tupu hata kama anakupiga unaweza kuwa una-enjoy safi sana.👏👏
🙏🙏🙏🙏
Nimetazama hii interview ni madini tu mwanzo mwisho hakika CHADEMA ina vijana wenye uwezo mkubwa sana. Hongera Lumola
Tunashukuru
🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏🙏🙏🙏
Kijana Yuko vzr Sana huyu sema usihame chama
Nashukuru kaka, nitaendelea kusimama upande wa MAGEUZI chini ya CHADEMA
Hii ni interview nzuri sana muulizaji maswali katulia sana na mjibuji katulia sana. Kila kitu kwenye mstari wake. Nimejifunza mengi kupitia interview hii
Tunashukuru
Ndugu usikate tamaa utafika mbali sana tena sana
Amein 🤲. Nashukuru ndugu yangu
Nimevutiwa sana na huyu kijana nitaomba mwenye mawasiliano yake anipatie. Vijana kama huyu ni tumaini kubwa kwenye Taifa lenye uozo kama hili. SWAHILI ONLINE mpeni hongera huyu Bwana mdogo
0769-92 92 92
Msigwa ana wivu tu kwa sugu 3:21
😂😂😂😂
Utaaibika ndugu yangu msigwa, ccm mara hii haina nafasi vijana wenye umri chini ya miaka 35 ni asilimia 70 na wote hawaitaki ccm, kwa hiyo chadema itashinda tu.
Definitely true kaka
Kwani Msigwa mwenyewe anasemaje😅
Msigwa kaona arudi CCM