PAMEWAKA TANZANIA! TLS WADAI MAASKOFU WAMAASAI WANANYIMWA HAKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Rais wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika(TLS), wakili Boniface Mwabukusi amesema TLS itaungana na yeyote kuhakikisha haki za Wamaasai wa Ngorongoro zinapatikana hasa kwenye mchakato wa kupiga kura na kuchagua viongozi wao.

Komentáře • 57

  • @ZakayoJoseph-g5p
    @ZakayoJoseph-g5p Před 23 dny +6

    Mnahaki ya kupigania ngorongoro yetu ninahizi kulia nikiona jamii yangu ya Tanzania ikinyanyazika poleni sana sana mungu anayesikia kilio ya Kila mtu atawasikia. Kingine tuwe makini hao viongoz wetu nao hawako vizur

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před 23 dny +5

    Ndio maana mimi nakubariana na chifu mwambipile from mbeya anasema ccm ya mwalimu nyerere ilikuwa na utu lakina sasa hivi majambazi wengi wamekimbilia ccm hawana huruma wanafiki kazi kusifia hata kama unakosea ccm sio chama tena ni wapiga dili tu

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg Před 22 dny +1

    Hap hakuna udini acha ujinga kufagilia wezi ila haki itasimama kama walivyovushwa wana waisrael na farao kuangamia.nchi hii dhulma mpka wastafu wanalani kwa kikokotoo?
    Mungu atatenda haki itasimama

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be Před 23 dny +2

    Macho yangu yanatoa machozi kwa ajili ya hawa ndugu zetu as if si nchi yao! So sad, Mungu uwe muamuzi wewe, irehemu Tanzania ili machozi ya wenye haki yasigeuke laana katika nchi!
    HAKI HUINUA TAIFA!

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 23 dny

    Asante jamii ya Maa leo mmeamua kumwambia Mungu, na dunia yote nzima ni mashaidi" Engai Narok toningo olmaa lino.

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 Před 23 dny +2

    Watanzania walijengwa na Chamapinduzi chini ya mwalimu Leo kinatugeuka lakini Naona ni Hatari kweli nao siku wanaweza wakageuka tulihitaji viongozi wenye hekima wanaoelewa haya mambo toka zamani lakini Asiwe tundulisu

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 Před 23 dny

      Tundu Lissu ni combo cha Mabadiliko ya kweli yataofuata sheria na utamaduni weti.

    • @tidomilinga3750
      @tidomilinga3750 Před 22 dny +1

      Tundulisu wa zamani huyu wa sahizi kibaraka w magharibi ulaya Hana tofauti na the lenski asije akatuingiza Mkenge Huyo mwangalie Kwa jicho LA tatu sana ashakua n mtu Hatari sana

  • @FriminiKimario
    @FriminiKimario Před 22 dny

    Inauma inazikitisha mtz unanyanyaza kiasi hiki ila mungu atawapa haki yaoo

  • @RamboDotto
    @RamboDotto Před 21 dnem

    Muungu asantee , kutuletea mwambugusi tanzania make ndo magufuri wa sasa

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Před 23 dny +1

    Nalo bunge limejaa michumia tumbo, watanzania wananyanyasika kwa maslahi ya Samia, wazungu watoe fedha za kitalii yeye fedha hizi awamwagie Wazanzibar. Hii siyo siri, mara moja Rais Mwinyi mwaka huu alijinasibu kuwa sera yao kwa mwaka serikali ilikuwa ni kujenga km 200, lakini wamejikuta wanajenga km 800, ni baada ya Samia kuwamwagia fedha nyingi. Zanzibar ina nini kiuchumi zaidi ya kuvuna mali zetu. Tumefika hapa kuwa koloni la Zanzibar. Bangladeshi.

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Před 22 dny

    Mazingira, wanyama, uchumi wa nchi vyote vitizamwe. Maslahi binafsi ya watu wachache wanaotumia udhaifu wa binadamu wa mazoea kuwalazimisha Wamasai walio wengi waendelee kubaki na maisha duni. Huyu padri, Mwambukusi, ni Wanachama hai wa Chadema. Hao watashindwa , future haiko nao. Taasisi zao hao watu hazijawatuma, ni wale wanaojiita sisi kumbe ni Mimi, dalili za nafsi za udikteta.

  • @user-ec8qn3cv1l
    @user-ec8qn3cv1l Před 23 dny +1

    Naamini watuwanaanza kuamka Sasa viongozi jitambueni cheonizamana kaenimjue mdautafika

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 Před 23 dny +1

    Mtu Kama Mkapa tulipoteza mtu muhimu sana ambaye alikua anaona muhimu wa haya mambo Kwa Sasa siji yupo nani aliyebaki

  • @FriminiKimario
    @FriminiKimario Před 22 dny

    Haki IPO ila Iman na uimara wao uta wafusha mungu watie nguvu ndugu zetu maana Leo wao kesho yaweza kuwa ni sisii

  • @OtuniTuroto
    @OtuniTuroto Před 23 dny

    Unaongea kweli mtumishi wa Mungu , ngorongoro Masai eviction is common katika Wilaya nzimanya Ngorongoro

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 Před 21 dnem

    Hii serikali imegeuka kuwa genge la uporaji, unyanyasaji, kudhulumu haki , kuumiza na kutoa uhai wa wananchi

  • @SamwelLotuno-xo1jy
    @SamwelLotuno-xo1jy Před 23 dny +1

    Serikali ya Tanzania angalieni maana Mungu wa mbinguni hapendi jambo hili machozi ya hawa watu Mungu anasikia

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 20 dny

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Před 23 dny +1

    Kwanza haki hakuna sasa hivi

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay8946 Před 23 dny +1

    MOLA ilinde Tanzania.

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Před 23 dny

      Kivipi kwa Manor. Wewe ungekuwa Mungu ungebariki madhambi?

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m Před 20 dny

    Tuache kuwachekea Hawa CCM watatumaliza tuamke

  • @JumaSafari-x5l
    @JumaSafari-x5l Před 22 dny

    Aibu uongo hiali kufukuzwa muende na mitutu kama mbeya mkale nchale

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela Před 23 dny +2

    TANZANIA IMEFIKA HAPA? KUWAKUBALI NA KUWAAMINI WARABU KULIKO WAMASAI

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 20 dny

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

  • @HappyAnt-oq1kr
    @HappyAnt-oq1kr Před 23 dny

    Wasikilizwe

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 Před 23 dny

    Kama wasomali Bhana kunasehemu kunatatizo

  • @ZakayoJoseph-g5p
    @ZakayoJoseph-g5p Před 23 dny

    Kufa na kupona hakuna kifo zuri kupelekwa msomera ni kifo ni heri mfe hapo ngorongoro Kwa maana hakuna kitu huko msomera kama edaa oo sutwa , nokiteng. Noselingin, ramati kingiteee epapa sidai matwata tine itung'ang lepapa nipo mbali sana ila Kila siku macho yangu kwenu

  • @WatsonNganiwa-kg9ir
    @WatsonNganiwa-kg9ir Před 22 dny

    Huo ni unyama

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 Před 23 dny

    Kwa hiyo tujuwe kuwa Maaskofo wameamua kuweka rehani.amani

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 20 dny

      CHAWA wasemao FULANI MPENDA HAKI WAKO WAPIIIII,
      CHAWA WANAOMTUKANA MAGUFULI WAKO WAPI,
      HII NDIYO TAFSIRI YA KAULI - NCHI IMEFUNGULIWA MIPAKA
      ATC WAZALENDO MUKO WAPIIIIII….MULIMSAKAMA SANA MAGUFULI
      WANASHERIA MASHANGAZI MUKO WAPIIIII….MULIMUITA MAGUFULI DIKITETA
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 20 dny

      Marais wenu wa kiislamu ni shidaaaaa. Cheka Cheka alikuwa shidaaaaa, Huyu naye shidaaaaa

  • @NginanaOloyembei
    @NginanaOloyembei Před 23 dny

    Ngorongoro leo

  • @ambrosemrema8084
    @ambrosemrema8084 Před 23 dny

    Unauliza wamasai ni watu gani.we uko nchi gani.?

  • @user-mn2et2pf6z
    @user-mn2et2pf6z Před 23 dny

    😢huu ni upumbavu kabisa.ivi Masai utoe kwao kwa kuuza alafu umpereke upareni tanga? Sasa huu ni ujinga kabisa.

  • @ambrosemrema8084
    @ambrosemrema8084 Před 23 dny

    We umetokea dunia ipi

  • @goromamussatvonline
    @goromamussatvonline Před 23 dny

    Kwan wamasai n watu gani

    • @felixboniphace
      @felixboniphace Před 23 dny

      Rudi shule ukatoe ujinga maana naona haujielewi

    • @MageAwe-hl5zb
      @MageAwe-hl5zb Před 23 dny

      We mjinga nini huwajui wamasai nenda kawaulize wewe mwarabu?

    • @AdamKadiri-pw9kn
      @AdamKadiri-pw9kn Před 23 dny

      Kamuulize mamaako atakuambia

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 Před 23 dny

      WAMAASAI NI WATU WA MUNGU NDIYO MAANA WAKO NGORONGORO ,ACHA UJINGA AU UPEWA FEDHA ZA WAARABU??

    • @veronicalaiser7869
      @veronicalaiser7869 Před 21 dnem

      Endelea tu na kebehi. Tuko duniani ndugu.

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Před 23 dny

    Fukuzeni samia aende kwao zanzibar immediately

  • @YesuKristu-y5w
    @YesuKristu-y5w Před 23 dny

    Wamesema vema kuhama kwa hiyari inakuwaje,kwa wasiotaka ulazimishe,na sio elfu saba elfu tatu hata kama saba laki na kitu hawataki,,uongo ni mwingi ranzania yetu

  • @HusseinSuleiman-g3b
    @HusseinSuleiman-g3b Před 23 dny

    Wazungu waoga ajashuka hata mmoja kwenye gari kudadeki

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 23 dny

    Hebu nisaidieni masikofu wa Roma ndio wenye nchi? Mbona akitawala mtu wa imani nyingine wanakuwa wakali? Kwa Mkapa kwa Magufuli hawakuwa na mdomo iweje leo? Nawaomba sana acheni ubaguzi. Tanzania sio yenu peke yenu.

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 Před 23 dny +3

      Acha mambo yako ya udini unatafuta pa kujificha WaTanzania wanajadil issues, walipokuwa wanauana Zanzibar ni mtu dini jingine anatawala??

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 Před 23 dny +1

      Apo hakun udin,Kwan uon wamasai wanaonew? Wew Leo wakija kuku hamishq kweny uko visiwn utakubali?

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson Před 22 dny

      Wewe kweli kichwa maji hujitambui. Wakati wa JPM waliomwambia aache kitumbua watumushi hadharani ni Mama yako? Acha ujinga wewe.

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 Před 22 dny

      @@NtamamiloGibson sas inauhusiano gan ya mwiz na kufukuzw kwenu kwel SKUIZ Matahira ni weng

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 20 dny

      Waislamu wauza nchi ndo Ukweli huo. Wakiristu wamejificha nchi ndo Ukweli huo.
      “NIMEJITOLEA KUFA KWA AJILI YA WATANZANIA MASIKINI” alisema MZALENDO MAGUFULI.
      “IKULU SIYO PANGO LA WALANGUZI” alisema MZALENDO NYERERE