KISA CHA KWELI!! Siri ya matajiri wa Korea hii hapa
Vložit
- čas přidán 29. 11. 2021
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Kumbe huyu mtu ni mzuri hivi bhana!!! Akitulia hivi, Mungu atamuinua zaidi sana. Mungu na am bariki zaidi Ndg. Josephat Gwajima.
Ukimsikiliza ndio utajua, ila ukisikiliza maneno ya mtaani bila kumsikiliza, utahukumu isivyo haki.
Mtumishi naomba uniombe nipate kazi ninakazi mshahara mdgo sana arafu ayinipi nafasi yakwenda kanisani nataka niwe nakazi yinayo nipa nafasi yakwenda kanisani nimechok mtumishi mwaka wapili sjati mugu nyumbani mwaBwana naumiya sana nikubukekwenye maombi naitwa Nelson Brydon
Mchungaji Gwajima ni mstarabu sana mno. Ila mpaka umchokoze au ulitukanishe jina la Bwana wake hapo ana amsha Dude.
Nabarikiwai na mafundisho yako hasa unapoyanena katika utulivu wa Roho Kama unenavyo Leo.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
AMEEN AMEEN ASANTE BISHOP NIMETIWA MOYO SANA😭😭😭🤲🏻🤲🏻🤲🏻🙌🙌
Alijitoa sadaka kwa mungu na kizazi chake kimeinuliwa na mungu yupo nimkubwa sanaaaa
Mungu azid kukuinua mtumish
Kwali kabisa Askofu matendo mema yanane
Imani ya kiwango cha juu sana.
Munguwako na awe Mungu wangu,ubarikiwe baba.
Amen
My brother Bishop. This blind man's sacrifice moved me to tears.
Amina bishop somo hili ni ufunguo wa maisha ya mkristo
Hallelujah hallelujah hallelujah
Asante baba kws kutunoa juu ya swala hili "" Damu inenayo mema'
Barikiwa na Mungu wa mbinguni akulinde zaid na zaidi Mtumishi wake🙇🙏🙏🙏
Umenifariji Sana baba askofu Kumbe shida yetu inakwenda kuisha huwa najiuliza tunakosea wapi
Amina baba ubarikiwe
Amen 🙌🙌🙌🙏🙏🙏nimebarikiwa Sana baba
Nimekuelewa na Ahsante
Amen Amen Baba.
Amen Baba!
mwenyezi MUNGU tuwekee Huyu mtu Bado tuna muhitaji Sana......
Ameen
Nakuaminia Ukisema imeshakua
Hallelujah hallelujah
Ameeeen asante Baba Barikiwa Sana
Amen
WAOOO👏👏👏
AMINA KUBWA
Mungu azidi kukubariki baba yangu
Amen dady
Ameni
Amina
Mungu akubariki mtumishi
😭 Duh mtu katoa hd macho kwaajili ya kazi ya Mungu Mungu tusaidie nasi tuwe watoaji wa Mali zetu.
Nabarikiwa sana pastor
Ikiwa ni kweli Mungu ainuliwe
Mungu atubarikiiiiii
Amen 🙏
Ameen mtumish
Aminaaa
Hakika Bwana ni mwema kila siku na fadhili zake ni za milele
Tumemis mawe mzee
Ameen
Glory be God
👏👏👏👏nakuelewa
This is worth listening 👍
Baba kauli wamekunyamazisha una lolote
Amn
Somo zuri.. shukran bishop gwajima
Sio kwa hapa bongo
Ange bernad
Duh hadi macho watu wanaweka skuizi bana
Nimejifunza kitu hapa nimebarikiwa hapa
Ama hakika yaliyopita hayawezi kubadilishwa, kusahauliwa, kuhaririwa, au kufutwa. Unaweza kukubalika tu
Hv kuna watu wanamuamini huy mtu kweli aisee
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Eti shida za Tanzania zinaenda kuisha wakati pamoja na kupata uhuru miaka 50 na iliyopita matundu ya choo bado ni ngumu.Tanzania hata ipewe miaka 1000 hamna kitu kinaweza tokea.
Mh uongo mweupeeee hauna hata dowa
Wanakondoo mnaishi kwa Hop, Gwajima anawapoteza huyu ni muhuni amkeni ndugu zangu wa Tanzania.
Acha bangi
MUNGU Akurehemu kwa maana hujui ulisemalo
Wew ni wa motoni tu ipo siku watajua
Kwanini, nieleweshe
Hii ndio kazi ulitakiwa ufanye sio siasa
Lakini pia hata kwenye Biblia Daudi alikuwa Mfalme at the same time alikuwa mtumishi wa Mungu,inategemea Mungu amekwambia nini.
Hujui usemalo
Mpaka sasa hakuna technology ya kubadili macho sjajua hii history ni yakimwili au yakimani ..
Jitoe ccm mtumishi uje uwe rais wa nchi hii kwa kuwa mgombea binafsi
Kumbuka ahadi kawe chuo cha uvuvi na zile bot
Kumbuka Hapo hahubiri kuhusu siasa na uchumi
Mwongo huyu amewadanganya watu wa Kawe, stori tu.
Gwajima kamfufue Jembe Mangufuli..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtumishi nunua sasa tren leli imesha jengwa uliongea ckunyingi kabla hata reli ya umeme ilikuwa hamna timiza maono yako
Haha 😂 kuna mijitu inajua kuunda vitu kweli haha 😂
Gwajima anampenda sana Magufuli mbona haendi kumfufua..? Hamjiulizi swali nyinyi watanzania?
Mwenye uwezo wa kufufua ni MWENYEZI MUNGU pekeee!
Fred
Gwajima ahubiri uwongo na anaongea uwongo mpaka uwongo umeisha, anarudia uwongo..huyu anamatatizo ya akili.
😂😂😂😂acha bangi wewee umeandika pumba ata ivo u si wazee wa kibakuli kuchwani mnao penda kuwa magaidi dini ya kishoga tuu alf uyo mwamedi wenu akulawitiwa kweli mbon watu wake mnaongea kama mashoga🙄🙄🙄
Gwajima atakuwa na matatizo ya akili..
Kumbuka unavidole vitano...Kimoja kwa gwajima vinne vyakuangalia wewe...
Hivi huyu jamaa mbona kang'ang'ania?
Ungemtaja huyu mtu ili yumgoogle
Tusome taarifa zake kama n kweli mtumish
Zile meli za uvuvi ulizotuahidi Kawe, ile treni ya umeme na Ndege viktig wapi wee tapeli, vitu vingapi vya uongo unavyoonge hao masikini wasiojielewa wakuamini..gwajima wewe ni tapeli acha kupotosha watu masikini
Mnamwamini huyu koro,hata hii story sijui ya jamaa kuuza jicho ili ajitolee anataka waumini wake wauze figo ili wamletee pesa.
@@africanmandetraveler2847 kila siku ana Story mpya.😂😂😂😂
Kasahau anahitaji kukumbushwakumbushwa gwajima ni mkweli sana hadi anasahau ahadi alizozitowa, tunamsubiri 2025 atuletee ahadi za kutupeleka america .
Misimu huamua
Upo sawa Baba yangu barikiwa
ASKOFU MFUFUA WAFU 😄😄😄😄
Dugu zangu Waikristo mnakubali kuingia Motoni na huyu mwehu..tunakuwa vipofu na viziwi kiasi hiki..Mungu hafanyiwi Dhihaki, kama alihubiri South korea au japani aweke video tuone na lile treni la umeme, zile boti za uvuvi alizo tudanganya wana wakati wa uchaguzi..🤣🤣🤣
Nakusikitikia ww maana huijui njia, bali Yesu alisema yeye ni njia kweli na uzima, lakini shida iko kwako unamuamini mtume Muhammad ambaye alisema hajui aendako.
@mGamingMemories. sasa wewe huwezi kumuuliza mtume Gwajima lile treni la umeme, zile Meli za uvuvi ziko wapi.😅😅
Huyu Mheshimiwa Nilikuwa Namuelewa lakini baada ya kushiriki na kuingia bunge kwa hila mh! +na huo Mfano jicho alioutoa hapo Ananimaliza kabisa Maana sijawah kusikia Opereshen ya kupandikiza jicho na likaona!
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen