ULEVI NI ULEVI TU KUNA WATU NI WAPUMBAVU KULIKO SHETANI MWENYEWE WANAUTETEA "PASTOR MGOGO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024
  • Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
    Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
    CZcams : Pastor Daniel Mgogo www.youtube.co....
    #PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo

Komentáře • 58

  • @user-nd8ui3xj7h
    @user-nd8ui3xj7h Před 8 měsíci +1

    Amina pastor nabarikiwa sana na mahubili yako

  • @user-tc4yj2ku5c
    @user-tc4yj2ku5c Před rokem +2

    Mungu akuongoze usiwe Kama moto wa jiko la gesi na ujue kwamba watetezi wa wanyonge hawaachwi kuishi

  • @user-qk3mz7uq2k
    @user-qk3mz7uq2k Před rokem +18

    Nimebarikiwa sana pastor.ninacho omba ni Mungu akomboe mume wangu atoke kwa kifungo ya pombe maana inanikosesha amani pamoja na wanangu,kwa Imani Mungu atatenda Amen

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 Před rokem +1

      Mungu akackie ombi lako Mpendwa.

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 Před rokem

      @@yukundapeter8200 hivi naomba niulize kanisa la mgogo kwa hapa dar lipo maeneo gani? mimi mwisilamu ila huwa nabarikiwa sana huyu mchungaji naombeni anaejuwa lilipo anijibu nataka niwe naenda kanisani kwake kwakweli

    • @denisgerevas4277
      @denisgerevas4277 Před rokem +1

      Naww pia si tu mumeo.

    • @rojazijoachim2101
      @rojazijoachim2101 Před rokem +2

      Mungu atakusaidia mama zidi ya kumuombea

    • @theresiakaruhanga364
      @theresiakaruhanga364 Před rokem

      Nimecheka juu ya ng,'ombe tusi la familia Hadi mbavu zikauma 😂😂I nakupenda sana mtumishi wa Mungu, Ubarikiwe sana

  • @samuelchirani
    @samuelchirani Před 6 měsíci

    powerfull masage pastor God bless u

  • @simiyugeorge-wj1pt
    @simiyugeorge-wj1pt Před 3 měsíci

    I like your words for this world thank you so much pastor Daniel m

  • @AlexAlex-kf1eg
    @AlexAlex-kf1eg Před 10 měsíci +3

    Ubarikiwe niombee niache pombe na sigara

  • @loisemacharia
    @loisemacharia Před 11 měsíci +3

    Amazing,Amen,Amen,Amen🎉

  • @melaniebarengayabo7068
    @melaniebarengayabo7068 Před 10 měsíci

    Asantiiii yaani pastor sijui Mungu akuongezee Nini tena habari yote ndio hio❤❤ imeingiana kabisa na maisha yangu mwanzo mwisho wa hii mahubili

  • @kmtcuniversity9310
    @kmtcuniversity9310 Před 5 měsíci

    ☆❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤MY GOODNESS true sema
    Father..wasemee ukweli waokolewe❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢

  • @FaustinBizimungu-wq2vh
    @FaustinBizimungu-wq2vh Před 9 měsíci

    Amen mungu akubariki Sana kwaku sema ukweli umenibariki Sana , mungu akutiye nguvu na akuongezeye mafuta

  • @judithlugongo8804
    @judithlugongo8804 Před 10 měsíci

    Hongera sana mchungaji ni kweli ulevi unaleta shida ktk familia Mwenyezi Mungu akusimamie ktk kuelimisha

  • @user-hr8hr7dr2i
    @user-hr8hr7dr2i Před 10 měsíci

    Nakushukuru sana mchungaji ubalikiwe sana Nakufuata kutoka nchini Rwanda🎉🎉 tunakupenda sana

  • @user-uo9yk5dt7b
    @user-uo9yk5dt7b Před 8 měsíci

    Amen barikiwa xna

  • @Ironsonic-vn8yj
    @Ironsonic-vn8yj Před 7 měsíci

    Mungu akubariki

  • @kalwira-ws
    @kalwira-ws Před 10 měsíci

    Mungu akizidishiye baba tuna kufwata kutoka drc goma ville

  • @user-qw4om8us2e
    @user-qw4om8us2e Před rokem +2

    Amen

  • @user-ib1sk9km1s
    @user-ib1sk9km1s Před 9 měsíci

    Amina sana mchungaji mungu azidi kukubaliki

  • @gerishonkaristusi2360
    @gerishonkaristusi2360 Před rokem +6

    Nimekua wa kwanza leo like zenu hapa

    • @chiranzidaudi907
      @chiranzidaudi907 Před 11 měsíci

      Evn in preaching the likes of you exist. Shameful!

  • @betekenya7456
    @betekenya7456 Před rokem +2

    Amen Amen Amen.

  • @AsendeRehani-jg3jw
    @AsendeRehani-jg3jw Před 11 měsíci

    Nakupenda sana mtumishi wamungu nakufata kutoka congo u

  • @mkaiphilip3597
    @mkaiphilip3597 Před rokem +2

    Amina , mungu ni mkuu

  • @user-uc1ct1zk3o
    @user-uc1ct1zk3o Před rokem +2

    God bless you pastor 🙏🙏

  • @simiyugeorge-wj1pt
    @simiyugeorge-wj1pt Před 3 měsíci

    Good advice for people

  • @anaramadhani-pf1ns
    @anaramadhani-pf1ns Před 11 měsíci

    Ubarikiwesana mtumishiwamungu

  • @didierk7341
    @didierk7341 Před 10 měsíci

    Natamani kukuona 🙌🏻🙌🏻

  • @joyceotiso5142
    @joyceotiso5142 Před rokem +1

    Naebdelea kubarikiwa sana barikiwa sana pastor

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před rokem +1

    Mchungaji nilitamani sana siku moja baada ya ubatizo wa mwana, j2 nipige picha na Askofu WETU, sijafanikiwa, siku nyingine CHRISTMAS nikatamanii picha MADHABAHUNI n na askofu, alinipiga picha hakuniletea hadi leo alipiga zero hewa. Picha ni uhalisia na KUMBUKIZI nzuri. Iko SIKU ntafanikiwa. Asante pastor kuruhusu watu huko wapige picha nawe. Protocal wasumbufu tu wakati mwingine kuzuia picha. Why any seriousness at the compound, alter, surrounding area of workshops!

  • @Manishimweelvis
    @Manishimweelvis Před 11 měsíci

    Mimi nakungoja ukukwet razma tupigep 🇧🇮🇧🇮

  • @kemodacomedy4137
    @kemodacomedy4137 Před rokem +2

    Bwana abewe sifa natamani sana nikuone coz nimebalikiwa mbaka nataka uwe babayangu ya kiroo huniombee na nianshe kubili njili kwa soko niko kenya Nairobi sina mama wara baba niko 2 na shosho yangu 2 96 years nataka kuhubili neno la bwana naomba 2 uniambie kanisa lako liko wapi nikuje tanzania ntakwa nikifagia church begeangu

    • @gudilahshirima5070
      @gudilahshirima5070 Před rokem

      Shosho ako wa 96yrs utaachia nani.... mm nakuombea Mungu akupe baba wa kiroho huko huko kenya ili umtumikie Mungu huku ukilea shosho wako....Mungu akutendee mema mwinjilist wa Bwana

  • @didierk7341
    @didierk7341 Před 10 měsíci

    😂😂😂❤❤ mugu akubariki

  • @kennedymaende5297
    @kennedymaende5297 Před 11 měsíci

    That's true,pombe,sigara,umalaya.....pu😮

  • @IsaacKayira-tc9el
    @IsaacKayira-tc9el Před rokem

    ASANTE SANA !!!
    Kweli kabisa !

  • @AbuubakariSureboy
    @AbuubakariSureboy Před rokem

    Na mimi pia nabarikiwa na mahubir yake

  • @user-jm8rd2bi8j
    @user-jm8rd2bi8j Před 5 měsíci

    Mchungaji, Inamaanisha ukipokea fedha za wauza pombe ni dhambi

  • @RebeccaObadia-km7kx
    @RebeccaObadia-km7kx Před rokem +1

    Pombe.inarudisha.watu.nyuma.uwezi.inuka.😢😢😢😢😢

  • @AndreasMhagama
    @AndreasMhagama Před 8 měsíci

    Najiulisa kilasku huyu mtumishi was mungu haha anayosema mbona hakuna anaposoma

  • @DanielMwadime-dz3yx
    @DanielMwadime-dz3yx Před rokem

    Pastor mgogo umefika Kenya ukarogeka unaogopa ogopa Kwa nini? Mchungaji tutafusirie Hilo la Manga na giza hizo zingine achia wenyewe mchungaji

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem

    Sisi wanawake tu n a akili fupi kama ya kuku ndiyo maana tunanyanyaswa. Siku zote.😅

  • @nelsonbaraka-fb4jj
    @nelsonbaraka-fb4jj Před rokem

    Ukweli mtupu nimegusiwa naomba namba yenu ya whatsapp

  • @stephenkinyalili3828
    @stephenkinyalili3828 Před rokem

    Amen