NAPE AHOJIWA, ATAJA MATATIZO YA MAGUFULI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 11. 2017
  • Created with tovid.io

Komentáře • 47

  • @richardzakaria2270
    @richardzakaria2270 Před 6 lety +5

    Asante mh, Mohamed Khelef kwa mahojiano dhidi ya mh Nape Nnauye kuonesha msimamo katika chama chake ccm

  • @charlesmataba6931
    @charlesmataba6931 Před 6 lety +1

    Congratulations to you Mr nape,,,,I like your opinions coz has fact's!!!

  • @fransicsamson106
    @fransicsamson106 Před 6 lety +2

    Nape mbona unakwepakwepa?CCM hawatak ukweli wanapenda mficha ukweli ulitumbuliwa baada yakusema ukweli kuhusu bashite alipoingia kimakosa krauz ukweli wako ukakuponza hama hilo li CCM kuwa CCM ukubali kuwa msema uongo usitoe taarifa za ukweli.wakati unatolewA kwenye uwazili wengine tulikuwa na akilitimamu mpaka nakesho.ulisema ukweli ukatumbuliwa hama tu.toka kwa wasio nahuruma

  • @marcellorichard4793
    @marcellorichard4793 Před 6 lety +3

    Yes ukosawa njoo kushoto useme zaidi yahayo

  • @allenikaduma1488
    @allenikaduma1488 Před 6 lety +6

    Safi Sana Mkuuu

  • @yahayakanali4923
    @yahayakanali4923 Před 6 lety +1

    Nnape bwana ulikua unafiti lakini uliteleza nakushauli tu endelea tu kumuunga mkono mh rais magufuli

    • @sumanlugwila5913
      @sumanlugwila5913 Před 6 lety

      aliteleza nin ulitaka aunge mkono. makonda kuvamia crouce

  • @promramson80
    @promramson80 Před 6 lety +1

    Hawezi kuapa kwamba hatohama ccm😁😁😁

  • @willemshumbusi5061
    @willemshumbusi5061 Před 6 lety +1

    tatizo la Nape ni unafiki

  • @juliusamani1468
    @juliusamani1468 Před 6 lety

    Nape! Amin kuwa kambi ni popote! Ndivyo ilivyo historian ya maisha ya mwanadamu toka kitambo! Hivyo sometime umepigwa teke la chura! Namaanisha unapaswa kusonga mbele ukisimamia ulichokiamini!

  • @tumainimango8140
    @tumainimango8140 Před 6 lety +1

    Umeongea kweli kaka

  • @listasimfukwe3979
    @listasimfukwe3979 Před 6 lety +6

    Kaka mi nakuelewa Sana ila mbona watakuumiza hao ccm wenzio mbona unachoongea tunakuelewa wachache. sawa nape ila.......

  • @mahamudumgongolwa3539
    @mahamudumgongolwa3539 Před 6 lety

    Ulifiti sana kwenye uenezi na uwaziri wa habari

  • @swedykukumo2202
    @swedykukumo2202 Před 6 lety

    Safi sana Nape nadhani wengi watakua wamekuelewa.

  • @omarykajuna5954
    @omarykajuna5954 Před 6 lety

    Nape Mimi binafsi namkubali sana tena zaidi Ya Sana ni mtu ambye anajitambu

  • @saidih2916
    @saidih2916 Před 6 lety +1

    Gd Nape njo CDM

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Před 6 lety +1

    safi San

  • @dionizbaya619
    @dionizbaya619 Před 6 lety

    Nape we we ni Fundi PGA kazi nausihame

  • @mercyemmanuel8536
    @mercyemmanuel8536 Před 6 lety +1

    Safi sana kiongozi

  • @paulvicent6538
    @paulvicent6538 Před 6 lety +7

    nape unajua wewe bado unafiti kuwa MWENEZI mana,uko nje lakini unafanya kazi ya MWENEZI.hongera endelea kukieneza chama cha mapinduzi.

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Před 6 lety +2

    Uchokozi huo

  • @manyangagrace4342
    @manyangagrace4342 Před 6 lety

    Simama imara kaka yetu.

  • @katungenyanda6177
    @katungenyanda6177 Před 6 lety

    acheni uongo MWANZA hawazuia bomoabomoa majengo MWANZA yamebomolewa kama kawaida msipotoshe wananchi pale Kirumba opposite na kabisa LA AICT jengo LA ghorofa LA madaraka lilivunjwa sasa ni wapi ambapo MWANZA wazuia bomoabomoa na ni mradi gani umekwama kwa kuzuia bomoabomoa acheni uzushi usiokuwa na ushahidi serkali iwachukulie hatua kW kutoka takwimu za uongo

  • @philimonindinadyo6882
    @philimonindinadyo6882 Před 6 lety +1

    Nape nimeona unaongea kwa tahadhali funguka

  • @napoleonmutungi608
    @napoleonmutungi608 Před 6 lety +1

    yes

  • @johnbruno1043
    @johnbruno1043 Před 6 lety

    Umenena,

  • @novatmaiko7653
    @novatmaiko7653 Před 6 lety

    nape hongela kwamusimamo 2020 njougombee kigoma mujini iliukawakilishe matatizoyetu yakiwemo maji hatunamwakilishi upitie ccm usihame uongozi nikunyanyana

  • @teddyjaneth9078
    @teddyjaneth9078 Před 6 lety

    Asante sana nape

  • @msumbamdesa8538
    @msumbamdesa8538 Před 6 lety

    mh nape nakuelewa sana

    • @pelekanzalia1388
      @pelekanzalia1388 Před 6 lety

      Nape hongera sana, JPM anakupenda, na pia watanzania nikiwemo Mimi tunakupenda, hiyo kukosa uwaziri wala isikutese moyoni. hongera sana na bado tunakuhitaji.

    • @lyge.r99alle38
      @lyge.r99alle38 Před 6 lety

      Hongera

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 Před 6 lety

      Peleka Nzalia sidhan kama anaumia kuukosa ila hasa sababu iliomfnya atoke ndio inayomuumiza

    • @pelekanzalia1388
      @pelekanzalia1388 Před 6 lety

      Apotezeetu, nape ni mzuri hata Mimi kwa akili zangu sikutegemea kama angetumbuliwa, lakini pia siwezi kumulaumu rais maana yeye ndio anafahamu kila kitu.

    • @sumanlugwila5913
      @sumanlugwila5913 Před 6 lety

      +Peleka Nzalia anafahamu nin uonevu tu kuongelea makonda ndo afukuzwe

  • @christianshoki3691
    @christianshoki3691 Před 6 lety

    nakuelewa

  • @nkudwanabakejohn7505
    @nkudwanabakejohn7505 Před 6 lety

    Amegoma kuapa kufia ndani ya ccm.....teh teh

  • @charlesmataba6931
    @charlesmataba6931 Před 6 lety

    Congratulations to you Mr nape,,,,I like your opinions coz has fact's!!!

    • @jerryroy5121
      @jerryroy5121 Před 2 lety

      i know Im asking the wrong place but does anybody know of a tool to get back into an instagram account??
      I was dumb forgot the login password. I love any assistance you can give me!

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Před 6 lety

    safi San

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Před 6 lety

    safi San