Nape mbona unakwepakwepa?CCM hawatak ukweli wanapenda mficha ukweli ulitumbuliwa baada yakusema ukweli kuhusu bashite alipoingia kimakosa krauz ukweli wako ukakuponza hama hilo li CCM kuwa CCM ukubali kuwa msema uongo usitoe taarifa za ukweli.wakati unatolewA kwenye uwazili wengine tulikuwa na akilitimamu mpaka nakesho.ulisema ukweli ukatumbuliwa hama tu.toka kwa wasio nahuruma
Nape! Amin kuwa kambi ni popote! Ndivyo ilivyo historian ya maisha ya mwanadamu toka kitambo! Hivyo sometime umepigwa teke la chura! Namaanisha unapaswa kusonga mbele ukisimamia ulichokiamini!
acheni uongo MWANZA hawazuia bomoabomoa majengo MWANZA yamebomolewa kama kawaida msipotoshe wananchi pale Kirumba opposite na kabisa LA AICT jengo LA ghorofa LA madaraka lilivunjwa sasa ni wapi ambapo MWANZA wazuia bomoabomoa na ni mradi gani umekwama kwa kuzuia bomoabomoa acheni uzushi usiokuwa na ushahidi serkali iwachukulie hatua kW kutoka takwimu za uongo
Nape hongera sana, JPM anakupenda, na pia watanzania nikiwemo Mimi tunakupenda, hiyo kukosa uwaziri wala isikutese moyoni. hongera sana na bado tunakuhitaji.
Apotezeetu, nape ni mzuri hata Mimi kwa akili zangu sikutegemea kama angetumbuliwa, lakini pia siwezi kumulaumu rais maana yeye ndio anafahamu kila kitu.
i know Im asking the wrong place but does anybody know of a tool to get back into an instagram account?? I was dumb forgot the login password. I love any assistance you can give me!
Asante mh, Mohamed Khelef kwa mahojiano dhidi ya mh Nape Nnauye kuonesha msimamo katika chama chake ccm
Congratulations to you Mr nape,,,,I like your opinions coz has fact's!!!
Nape mbona unakwepakwepa?CCM hawatak ukweli wanapenda mficha ukweli ulitumbuliwa baada yakusema ukweli kuhusu bashite alipoingia kimakosa krauz ukweli wako ukakuponza hama hilo li CCM kuwa CCM ukubali kuwa msema uongo usitoe taarifa za ukweli.wakati unatolewA kwenye uwazili wengine tulikuwa na akilitimamu mpaka nakesho.ulisema ukweli ukatumbuliwa hama tu.toka kwa wasio nahuruma
Yes ukosawa njoo kushoto useme zaidi yahayo
Safi Sana Mkuuu
Nape uko safi wewe I CCM.
Nnape bwana ulikua unafiti lakini uliteleza nakushauli tu endelea tu kumuunga mkono mh rais magufuli
aliteleza nin ulitaka aunge mkono. makonda kuvamia crouce
Hawezi kuapa kwamba hatohama ccm😁😁😁
tatizo la Nape ni unafiki
Nape! Amin kuwa kambi ni popote! Ndivyo ilivyo historian ya maisha ya mwanadamu toka kitambo! Hivyo sometime umepigwa teke la chura! Namaanisha unapaswa kusonga mbele ukisimamia ulichokiamini!
Umeongea kweli kaka
Kaka mi nakuelewa Sana ila mbona watakuumiza hao ccm wenzio mbona unachoongea tunakuelewa wachache. sawa nape ila.......
Ulifiti sana kwenye uenezi na uwaziri wa habari
Safi sana Nape nadhani wengi watakua wamekuelewa.
Nape Mimi binafsi namkubali sana tena zaidi Ya Sana ni mtu ambye anajitambu
Gd Nape njo CDM
safi San
Nape we we ni Fundi PGA kazi nausihame
Safi sana kiongozi
nape unajua wewe bado unafiti kuwa MWENEZI mana,uko nje lakini unafanya kazi ya MWENEZI.hongera endelea kukieneza chama cha mapinduzi.
paul vicent
Uchokozi huo
Simama imara kaka yetu.
acheni uongo MWANZA hawazuia bomoabomoa majengo MWANZA yamebomolewa kama kawaida msipotoshe wananchi pale Kirumba opposite na kabisa LA AICT jengo LA ghorofa LA madaraka lilivunjwa sasa ni wapi ambapo MWANZA wazuia bomoabomoa na ni mradi gani umekwama kwa kuzuia bomoabomoa acheni uzushi usiokuwa na ushahidi serkali iwachukulie hatua kW kutoka takwimu za uongo
Katunge Nyanda kumbe misukule mko wengi!!
Nape nimeona unaongea kwa tahadhali funguka
yes
Umenena,
nape hongela kwamusimamo 2020 njougombee kigoma mujini iliukawakilishe matatizoyetu yakiwemo maji hatunamwakilishi upitie ccm usihame uongozi nikunyanyana
sio hongela ni Hongera kwa msimamo.
Novat Maiko mchimbe visima
Asante sana nape
mh nape nakuelewa sana
Nape hongera sana, JPM anakupenda, na pia watanzania nikiwemo Mimi tunakupenda, hiyo kukosa uwaziri wala isikutese moyoni. hongera sana na bado tunakuhitaji.
Hongera
Peleka Nzalia sidhan kama anaumia kuukosa ila hasa sababu iliomfnya atoke ndio inayomuumiza
Apotezeetu, nape ni mzuri hata Mimi kwa akili zangu sikutegemea kama angetumbuliwa, lakini pia siwezi kumulaumu rais maana yeye ndio anafahamu kila kitu.
+Peleka Nzalia anafahamu nin uonevu tu kuongelea makonda ndo afukuzwe
nakuelewa
Amegoma kuapa kufia ndani ya ccm.....teh teh
Congratulations to you Mr nape,,,,I like your opinions coz has fact's!!!
i know Im asking the wrong place but does anybody know of a tool to get back into an instagram account??
I was dumb forgot the login password. I love any assistance you can give me!
safi San
safi San