KAHABA WA SIRI PART ONE
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- #kahabawasiri#newbongomovie#swahilifilamu
Filamu hii inazungumzia maisha ya binti aliekuwa na tabia za uasherati lakini akawa anaonekana ni binti mwenye tabia njema nzuri Sana watu wengi walimuamini kwa jinsi alivyokuwa Ila mwisho wa siku tabia yake mbaya ikadhihirika na kila mtu akaifahamu
Hii team nikihiona ua nafurai sana kwani filamu zao au tammtilia zao ua wamejipanga vizuri sana, ongereni sana kipaji kisonge mbele.🤲🤲🤲🤲
Mm nikishaona neno Sanau baasi sipotexi mda
Piga kerereee kwa wajina wangu salima🙏🙏💪💪💪😘
Wale Wa kusoma coment kabla muvi tujuane 😁😁😁
Tupo wengi tu😅😁
🤣🤣🤣🤣
Hahaaa
Tupoooo🤣🤣🤣
Tupo 😂😂😂😂😂
Sanau mko vizur mashaallah, napenda movie zenyu zina mafunzo 👌🇰🇪
Hahaaaa sio kwa miunga hiyo au na nyie mlikua mnajisaga🤣🤣🤣🤣🤣🤣kutuchekesha tu
Daah mie nilivunjwa moyo walipoikatisha moyo hubeba mengi
Hatamimi kabisa Moyo hubeba mengi bado naifkiria saana,pamoja na masumbuko
mashaalh hongreni mmejitahid sana pg up
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nimekua wamwisho naombeni like zenu jman
Big up SANAU nawapenda washiriki wote
Hatukatai mwasaga unga lakin mbona muuooge huo jamani si kwa weupe huo kma chokaa vile anyway hongereni sna sanau🥰🥰🥰
😂😂😂😂😂🥰🥰
Hawa wacha mungu wa kuswali swala tano hua sio watu wazuri
Khaaaaa kumbe ndio hivyo
Mko vizur sana
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
Usisite kutoa maoni yako juu ya filamu zetu
hako kakita kanachunwa vizuri.
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies tunajivunia kuwa mwanafamilia wa sanau Swahili movies hakika wewe niwathamani kubwa kwetu nakuomba uendelee kutazama sanau Swahili movies kwani tumejipanga kuweka filamu mpya kila wakati Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wow so nice movie mafunzo kibao nimepata jambo
Jicho kinyimbo TU Mimi..aah moyo wangu tuliaa🤗🤗🤗
Sauti iko vizuri Sana pia movie inamafunzo makubwa
Hao wasagaji sasa wateja siwatakimbia mbona wachafu ivo. Embu mpunguze kujipaka sana miunga maana kila kazi inausafi inahitaji pia . Sasa wamekua kama wanga😂😂🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Kaz njema mola azidi kuwapa kila mtakacho
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗kuku wako mwenyewe manati yann🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Haha mapenzi bn
Msimeno nakubari ndg yangu kazana IPO cku utakuwa kanumba mwingne kaz nzur saaaaaaanaaaaaaaaa by Cleo apa
Hahahahahaaaaa shitiii,,,, mzee kijogoo shikamooo🤝
Je mmemuona shakaaaa mfugaji afuge mwengine mkamuaji awe mwengime hahaaaaa shitii🤣😂🤣😂😂
Waooooh 😋😋 Asanten kwa movie nzur🥰❤️
Sijawah kujutia mb zangu asanten kwa kazi nzuri
Sanau vipolo vyetu wap jmn
Yani sanau sinaga wasiwasi na nyinyi kabisa, sijisumbuagi kuanza kusoma comment yani hamjawahi kuniangusha, hongereni sana ila hatujasau kuwa mmetunyima MASUMBUKO no 4
Kweeel
Ww kama mm
JAMANI SANAU WAMEWEKA CHUMA KIPYA CHA MOTOO #NIACHIENI LIKE ZENU HAPA NA NIKIWA KAMA DR PITENI NA KWANGU MUONE MAAJABU YA DUNIA.
😛😛🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️wachatucheck kwaza
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sanau swahili mnajua sanaa ila ninaombi moja kwen na mim naiman najua kuigiz naomben support yen km amto jl naiman ombi lng mtalikubl
Jamani mkovizuri sana allah awaongoze kwakila jambo muweze kufika mbali zaidi ila naomba mtupe masumbuko namba 4 pz
Ata mm naisubiri masumbuko jamani
Mko vizuri Sana kila siku lazima nipitie filamu zenu💯💝💝💯🔥🔥🔥🔥🔥
Habari Asante Sana kwa kuangalia Sanau Swahili movies hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru watazamaji wetu kwa kutuwezesha kutapa tuzo Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe Sasa na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii kawaida na WhatsApp +255658570788
Sanau movies ís next level
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
Nice
Sanau hamjawah kosea love so much
ndo kwnz naangalia ila nahic iko poa
Maa Shaa Allah, Shukran Sana Kwa Picha Nzuri.Njooni Huku Kwa Sanau Mambo Ni 🔥🔥.
Mwanahalima mambo kila kona nakuona ww duu
@@semenimohamed8156 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Poa ,Mi Kwa Sanau Sipitwi Wako Vizuri Sana.
Sawa hta mmi nafatlia sana na muvi nzur za kuelemisha
@@mwanahalimamwachili9679 hilo kweli maa shaa Allah ila huwaga wananikera huwaga hawamalizii
@@semenimohamed8156 Kabsaaaa Yani.
msaga mashine bwana Msumeno kaniacha hoi hiyo sura 32:44
Mambo ayooo nc move
Munatupa ujumbe ulio hai Safi kabisa sanau
Mambo ni fire
Sina lakusema zaidi hongereni nawapenda nyote aki❤❤❤❤❤
Ninawapenda sana na kaz zenu nazipenda sana zote hamjawahi feli
Soma komenti kwanza😅
Nimeipend
Nzuri sana hamujawahi kosea sanau
Movie nzr yeny magunzo
Sanau nawapenda sana movie zenu uwa zinanifunza mambo mengi.
Hamjawahi kukoseaga tatizo lenu ni moja hammaliziagi movie Kama masumbuko tumeisubiria weee mpaka tumechoka
Wako ivyo mpka ile namzika mwanangu hawajamaliza
Sanau ni nomaaa
Alafu SANAU mko na kisolo kizur nmekipenda jaman c mmnitue plz 🙏🙏🙏
Hongereni, Sanau minatuelimisha🙏🙏
movie.mashaailaah.tamu.sana.ongereni.sana.washitiwote
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Waoooooh jamani patitu lini sas 😥🔥🔥
Mpo vizuri
Waoooooh mambo mzur hayoo tayari asanten
Hawa jamaa hawajawai feli
Haha🤣🤣🤣 hayomaji mnapeleka wapi guy
Nafkiri kufyatuwa matofari hahahha
Movie nzuri hongereni sana💪💪💪💪
Jamani huyu dada napenda sauti yake na nampenda sana kwa ujuzi wake na pia nawapenda wote kikundi kizima maana wanajuwa sana🙏🏼Huyo dada hapo polini anaitwaje jina lake? Na ni sinema za kutoka mkoa gani? Anaejuwa tueleweshane jamani😍
Wanafki hao kaka wanakuaribia ndowa yako
Nawakubali San sijamaliza kuangalia lkn naon n nzuri Masha Allah
Nimewamis kuona kz zenu nc sanau
Asanteni Kwa kazi mnazo zifanya na MUNGU abariki kazi ya mikono yenu
Jamani vitu vzr nawapenda sana from Iraq
Part 2 jaman pambeeee
Sanau, nyinyi vipi,,,part 2 I wapi
@@sanauswahilimovies
Ok asanteni kwa kunijulisha, Basi na nyinyi pia mu-upload masumbuko na moyo hubeba mengi
🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️huyo ndo wa swala tano😭😭😭😭😭😭😭😭waaa kahaba wa chini yamaji 😭
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mko vizuri Ila Wasaga unga so kwa kujipaka uko jamani 🥰🥰 hongereni
Duu umalaya chini yamaji☹☹☹☹☹☹☹mhusika hataki kusikia hilo kabisaa waona anadanganywaa
Kbla kuchek flam huwaga natabiya ya kusoma koment kwaza ilakwahili kund nalikubali naliyamin haswa Kwa sababu halijawah kuharbu
Upo kama mimi hapa kumbe hhhhhh yani nikiona comment mbaa siangalii kbsa
Muvi nzuri Sana'a yanii
Alomuona babu laiki kwangu
Apo sasa
Nzuri sn
Nimewahi💓💓💞💞💞
Watu wabayaa kweli hawa wadada wasikupate ukijisaidia 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄mana utajua hujui ila hatujui mbele yapazia kweli mwali ama wazugaa tuu😄😄😄
Good xanau
Mihigo 😋😋😋
Mpaka kuonA hawaoni🤣🤣🤣
Jamani unga huo
Kwani watu wakiwa mashine wanakuwa kama watoto sio kwakupaka ungahuo😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣
Umeona ee unga kama wote 😂😂😂
@@hanifandungutu3739 😄😄😄😄😄😄😄😄😄yani hata mtoto akipitia hapo hiyo mbio🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️
Nilidhan wanacheza🤣🤣😂🤣🤣
Muvis nzur hatar Ina mafunzo
Sasa huo unga ndo ili tujue wasagaj wazur ama🤣🤣🤣🤣
Nimewamic
Y
Wow comments zenu apo chini 👇👇👇👇
Nayako kwaza itangulie🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Sanau cute ☺️👌
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ninzuri
Hiiiii hata kama ni kusanga unga 🤓🤓🤓🤓🤓
Hapa ndo na elewa sasa
Hayo maji kumbe kote nikafikiri nikenya pekee halafu hawa wadada jaman Salam sunnah tuu kuitika tuu nishidaa jamani
Wivu utawauwa alafu mama anavyo mtetea mtotoake. Duh hatR
🧡🧡🧡🇦🇪
Mukovizur
Jamany hii timu mm naipenda
❤❤❤🔥🔥
katika dakika ya 32:07 idrisa kaniacha hoi sna hapooo, maana co kwa kupendeza huko
🇲🇿🇲🇿
Habari Asante Sana kwa kuangalia Sanau Swahili movies hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru watazamaji wetu kwa kutuwezesha kutapa tuzo Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe Sasa na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii kawaida na WhatsApp +255658570788
Hao wenye hofu yamungu ndowanaficha makucha yao wachafu wakutupaa mama anamtetea mwanae mana hajui nn nyuma ya pazia🙄🙄🙄🙄mama Salma ss husema kusenyue mwana mghule yani usimwamini mtoto kabisaaa
Mashaallah Allah awaongoze
nouma
💗🙏
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nice
Jamani niliwamis
Nice