KAHABA WA SIRI PART ONE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • #kahabawasiri#newbongomovie#swahilifilamu
    Filamu hii inazungumzia maisha ya binti aliekuwa na tabia za uasherati lakini akawa anaonekana ni binti mwenye tabia njema nzuri Sana watu wengi walimuamini kwa jinsi alivyokuwa Ila mwisho wa siku tabia yake mbaya ikadhihirika na kila mtu akaifahamu

Komentáře • 148

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 Před 3 lety +11

    Hii team nikihiona ua nafurai sana kwani filamu zao au tammtilia zao ua wamejipanga vizuri sana, ongereni sana kipaji kisonge mbele.🤲🤲🤲🤲

    • @lydiamuli3328
      @lydiamuli3328 Před 3 lety

      Mm nikishaona neno Sanau baasi sipotexi mda

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 Před 3 lety +5

    Piga kerereee kwa wajina wangu salima🙏🙏💪💪💪😘

  • @saudahamad7481
    @saudahamad7481 Před 3 lety +56

    Wale Wa kusoma coment kabla muvi tujuane 😁😁😁

  • @chunaamina8719
    @chunaamina8719 Před 3 lety +7

    Sanau mko vizur mashaallah, napenda movie zenyu zina mafunzo 👌🇰🇪

  • @asamunique7075
    @asamunique7075 Před 3 lety +6

    Hahaaaa sio kwa miunga hiyo au na nyie mlikua mnajisaga🤣🤣🤣🤣🤣🤣kutuchekesha tu

  • @rukiajumaa574
    @rukiajumaa574 Před 3 lety +4

    Daah mie nilivunjwa moyo walipoikatisha moyo hubeba mengi

    • @irankundayusra2329
      @irankundayusra2329 Před 2 lety

      Hatamimi kabisa Moyo hubeba mengi bado naifkiria saana,pamoja na masumbuko

  • @aminamambi6816
    @aminamambi6816 Před 3 lety

    mashaalh hongreni mmejitahid sana pg up

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @zuleamikidadi6312
    @zuleamikidadi6312 Před 3 lety +12

    Nimekua wamwisho naombeni like zenu jman

  • @saudahamad7481
    @saudahamad7481 Před 3 lety +5

    Big up SANAU nawapenda washiriki wote

  • @rizikladyherson8451
    @rizikladyherson8451 Před 2 lety +1

    Hatukatai mwasaga unga lakin mbona muuooge huo jamani si kwa weupe huo kma chokaa vile anyway hongereni sna sanau🥰🥰🥰

  • @rizikladyherson8451
    @rizikladyherson8451 Před 2 lety +1

    Hawa wacha mungu wa kuswali swala tano hua sio watu wazuri

  • @jephtersulus5780
    @jephtersulus5780 Před 3 lety +1

    Mko vizur sana

  • @pishmogan9456
    @pishmogan9456 Před 2 lety +1

    hako kakita kanachunwa vizuri.

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies tunajivunia kuwa mwanafamilia wa sanau Swahili movies hakika wewe niwathamani kubwa kwetu nakuomba uendelee kutazama sanau Swahili movies kwani tumejipanga kuweka filamu mpya kila wakati Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @amidawere9398
    @amidawere9398 Před 3 lety +2

    Wow so nice movie mafunzo kibao nimepata jambo

  • @mwanamisirama1836
    @mwanamisirama1836 Před rokem

    Jicho kinyimbo TU Mimi..aah moyo wangu tuliaa🤗🤗🤗

  • @reaganouma5543
    @reaganouma5543 Před 3 lety +1

    Sauti iko vizuri Sana pia movie inamafunzo makubwa

  • @dshhdbehej8259
    @dshhdbehej8259 Před 3 lety +2

    Hao wasagaji sasa wateja siwatakimbia mbona wachafu ivo. Embu mpunguze kujipaka sana miunga maana kila kazi inausafi inahitaji pia . Sasa wamekua kama wanga😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +2

    🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗kuku wako mwenyewe manati yann🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Haha mapenzi bn

  • @cleomachota2691
    @cleomachota2691 Před 3 lety +1

    Msimeno nakubari ndg yangu kazana IPO cku utakuwa kanumba mwingne kaz nzur saaaaaaanaaaaaaaaa by Cleo apa

  • @bintihassan6534
    @bintihassan6534 Před 3 lety +3

    Hahahahahaaaaa shitiii,,,, mzee kijogoo shikamooo🤝

    • @rizikladyherson8451
      @rizikladyherson8451 Před 2 lety

      Je mmemuona shakaaaa mfugaji afuge mwengine mkamuaji awe mwengime hahaaaaa shitii🤣😂🤣😂😂

  • @gigyesther6132
    @gigyesther6132 Před 3 lety +3

    Waooooh 😋😋 Asanten kwa movie nzur🥰❤️

  • @joycekaducha5803
    @joycekaducha5803 Před 3 lety +2

    Sijawah kujutia mb zangu asanten kwa kazi nzuri

  • @elizaberthkiwela687
    @elizaberthkiwela687 Před 3 lety +2

    Sanau vipolo vyetu wap jmn

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 Před 3 lety +7

    Yani sanau sinaga wasiwasi na nyinyi kabisa, sijisumbuagi kuanza kusoma comment yani hamjawahi kuniangusha, hongereni sana ila hatujasau kuwa mmetunyima MASUMBUKO no 4

  • @sisi-watubwana
    @sisi-watubwana Před 3 lety +5

    JAMANI SANAU WAMEWEKA CHUMA KIPYA CHA MOTOO #NIACHIENI LIKE ZENU HAPA NA NIKIWA KAMA DR PITENI NA KWANGU MUONE MAAJABU YA DUNIA.

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 Před 3 lety +1

      😛😛🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️wachatucheck kwaza

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hafidhomary1582
    @hafidhomary1582 Před 3 lety +1

    Sanau swahili mnajua sanaa ila ninaombi moja kwen na mim naiman najua kuigiz naomben support yen km amto jl naiman ombi lng mtalikubl

  • @lindaziti7545
    @lindaziti7545 Před 3 lety +1

    Jamani mkovizuri sana allah awaongoze kwakila jambo muweze kufika mbali zaidi ila naomba mtupe masumbuko namba 4 pz

  • @heriethgasper9201
    @heriethgasper9201 Před 3 lety

    Mko vizuri Sana kila siku lazima nipitie filamu zenu💯💝💝💯🔥🔥🔥🔥🔥

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante Sana kwa kuangalia Sanau Swahili movies hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru watazamaji wetu kwa kutuwezesha kutapa tuzo Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe Sasa na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii kawaida na WhatsApp +255658570788

  • @othumaryemanuel296
    @othumaryemanuel296 Před 3 lety +1

    Sanau movies ís next level

  • @abigaeldaud9255
    @abigaeldaud9255 Před 3 lety +1

    Nice

  • @saraphinampoma5945
    @saraphinampoma5945 Před 3 lety

    Sanau hamjawah kosea love so much

  • @mwanambarouk2486
    @mwanambarouk2486 Před 3 lety +2

    ndo kwnz naangalia ila nahic iko poa

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 3 lety +5

    Maa Shaa Allah, Shukran Sana Kwa Picha Nzuri.Njooni Huku Kwa Sanau Mambo Ni 🔥🔥.

  • @nassibchatta651
    @nassibchatta651 Před 3 lety +1

    msaga mashine bwana Msumeno kaniacha hoi hiyo sura 32:44

  • @nuruheartamani4560
    @nuruheartamani4560 Před 3 lety +1

    Mambo ayooo nc move

  • @mwanaidiamanzi7187
    @mwanaidiamanzi7187 Před 3 lety

    Munatupa ujumbe ulio hai Safi kabisa sanau

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c Před 3 lety

    Mambo ni fire

  • @zeddydaqueensy4612
    @zeddydaqueensy4612 Před 3 lety

    Sina lakusema zaidi hongereni nawapenda nyote aki❤❤❤❤❤

  • @mamakomangonakumbukambalis954

    Ninawapenda sana na kaz zenu nazipenda sana zote hamjawahi feli

  • @richardsalm7734
    @richardsalm7734 Před 3 lety +1

    Soma komenti kwanza😅

  • @snailahemedi2551
    @snailahemedi2551 Před 3 lety +1

    Nimeipend

  • @anethwilliam1526
    @anethwilliam1526 Před 3 lety

    Nzuri sana hamujawahi kosea sanau

  • @mwakahassan7685
    @mwakahassan7685 Před 3 lety

    Movie nzr yeny magunzo

  • @jeannehakizimana2811
    @jeannehakizimana2811 Před 3 lety

    Sanau nawapenda sana movie zenu uwa zinanifunza mambo mengi.

  • @hawwasandale1935
    @hawwasandale1935 Před 3 lety +1

    Hamjawahi kukoseaga tatizo lenu ni moja hammaliziagi movie Kama masumbuko tumeisubiria weee mpaka tumechoka

  • @gendaekafilmproduction4678

    Sanau ni nomaaa

  • @saudahamad7481
    @saudahamad7481 Před 3 lety +1

    Alafu SANAU mko na kisolo kizur nmekipenda jaman c mmnitue plz 🙏🙏🙏

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 Před 3 lety +1

    Hongereni, Sanau minatuelimisha🙏🙏

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 Před 3 lety

    movie.mashaailaah.tamu.sana.ongereni.sana.washitiwote

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @khdijaahmed8458
    @khdijaahmed8458 Před 3 lety +1

    Waoooooh jamani patitu lini sas 😥🔥🔥

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 3 lety

    Mpo vizuri

  • @khdijaahmed8458
    @khdijaahmed8458 Před 3 lety

    Waoooooh mambo mzur hayoo tayari asanten

  • @zainabumsoga5957
    @zainabumsoga5957 Před 3 lety +2

    Haha🤣🤣🤣 hayomaji mnapeleka wapi guy

  • @kumbukakibidu5612
    @kumbukakibidu5612 Před 3 lety

    Movie nzuri hongereni sana💪💪💪💪

  • @hadija846
    @hadija846 Před 3 lety +2

    Jamani huyu dada napenda sauti yake na nampenda sana kwa ujuzi wake na pia nawapenda wote kikundi kizima maana wanajuwa sana🙏🏼Huyo dada hapo polini anaitwaje jina lake? Na ni sinema za kutoka mkoa gani? Anaejuwa tueleweshane jamani😍

  • @hawahmohhmed5431
    @hawahmohhmed5431 Před 3 lety

    Wanafki hao kaka wanakuaribia ndowa yako

  • @كاامااحج
    @كاامااحج Před 3 lety

    Nawakubali San sijamaliza kuangalia lkn naon n nzuri Masha Allah

  • @msisilionlinetv7622
    @msisilionlinetv7622 Před 3 lety

    Nimewamis kuona kz zenu nc sanau

  • @coolwaveac7659
    @coolwaveac7659 Před 3 lety

    Asanteni Kwa kazi mnazo zifanya na MUNGU abariki kazi ya mikono yenu

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 Před 3 lety

    Jamani vitu vzr nawapenda sana from Iraq

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 3 lety +1

    Part 2 jaman pambeeee

  • @sunrisecity1212
    @sunrisecity1212 Před 3 lety +2

    Sanau, nyinyi vipi,,,part 2 I wapi

    • @sunrisecity1212
      @sunrisecity1212 Před 3 lety

      @@sanauswahilimovies
      Ok asanteni kwa kunijulisha, Basi na nyinyi pia mu-upload masumbuko na moyo hubeba mengi

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety

    🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️huyo ndo wa swala tano😭😭😭😭😭😭😭😭waaa kahaba wa chini yamaji 😭

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @magejoseph9258
    @magejoseph9258 Před 3 lety +1

    Mko vizuri Ila Wasaga unga so kwa kujipaka uko jamani 🥰🥰 hongereni

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety

    Duu umalaya chini yamaji☹☹☹☹☹☹☹mhusika hataki kusikia hilo kabisaa waona anadanganywaa

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 Před 3 lety +8

    Kbla kuchek flam huwaga natabiya ya kusoma koment kwaza ilakwahili kund nalikubali naliyamin haswa Kwa sababu halijawah kuharbu

    • @igiranezagerard5624
      @igiranezagerard5624 Před 3 lety

      Upo kama mimi hapa kumbe hhhhhh yani nikiona comment mbaa siangalii kbsa

  • @mkjnmnjkl814
    @mkjnmnjkl814 Před 3 lety

    Muvi nzuri Sana'a yanii

  • @raudhanaly1352
    @raudhanaly1352 Před 3 lety

    Nzuri sn

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 Před 3 lety

    Nimewahi💓💓💞💞💞

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety

    Watu wabayaa kweli hawa wadada wasikupate ukijisaidia 🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄mana utajua hujui ila hatujui mbele yapazia kweli mwali ama wazugaa tuu😄😄😄

  • @hidayamakuka5819
    @hidayamakuka5819 Před 3 lety

    Good xanau

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 Před 3 lety

    Mihigo 😋😋😋

  • @dshhdbehej8259
    @dshhdbehej8259 Před 3 lety

    Mpaka kuonA hawaoni🤣🤣🤣

  • @mamakomangonakumbukambalis954

    Jamani unga huo

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    Kwani watu wakiwa mashine wanakuwa kama watoto sio kwakupaka ungahuo😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣

    • @hanifandungutu3739
      @hanifandungutu3739 Před 3 lety

      Umeona ee unga kama wote 😂😂😂

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 Před 3 lety

      @@hanifandungutu3739 😄😄😄😄😄😄😄😄😄yani hata mtoto akipitia hapo hiyo mbio🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️

    • @rizikladyherson8451
      @rizikladyherson8451 Před 2 lety

      Nilidhan wanacheza🤣🤣😂🤣🤣

  • @zainabufaidhi4799
    @zainabufaidhi4799 Před 3 lety

    Muvis nzur hatar Ina mafunzo

  • @robenapomola2395
    @robenapomola2395 Před 3 lety

    Sasa huo unga ndo ili tujue wasagaj wazur ama🤣🤣🤣🤣

  • @safially2646
    @safially2646 Před 3 lety

    Nimewamic

  • @sibatirashidi3281
    @sibatirashidi3281 Před 3 lety +1

    Y

  • @shilangida4330
    @shilangida4330 Před 3 lety +2

    Wow comments zenu apo chini 👇👇👇👇

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 Před 3 lety

      Nayako kwaza itangulie🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗

    • @chunaamina8719
      @chunaamina8719 Před 3 lety

      Sanau cute ☺️👌

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sheikhaalmandhari125
    @sheikhaalmandhari125 Před 3 lety

    Ninzuri

  • @mariamjosef8452
    @mariamjosef8452 Před 3 lety

    Hiiiii hata kama ni kusanga unga 🤓🤓🤓🤓🤓

  • @zainabufaidhi4799
    @zainabufaidhi4799 Před 3 lety

    Hapa ndo na elewa sasa

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    Hayo maji kumbe kote nikafikiri nikenya pekee halafu hawa wadada jaman Salam sunnah tuu kuitika tuu nishidaa jamani

  • @maisaramaulid4668
    @maisaramaulid4668 Před 3 lety +1

    🧡🧡🧡🇦🇪

  • @khimfarawaytz6910
    @khimfarawaytz6910 Před 3 lety +1

    Mukovizur

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 Před 3 lety

    ❤❤❤🔥🔥

  • @nassibchatta651
    @nassibchatta651 Před 3 lety

    katika dakika ya 32:07 idrisa kaniacha hoi sna hapooo, maana co kwa kupendeza huko

  • @joaojaimejaime7310
    @joaojaimejaime7310 Před 2 lety

    🇲🇿🇲🇿

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante Sana kwa kuangalia Sanau Swahili movies hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru watazamaji wetu kwa kutuwezesha kutapa tuzo Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe Sasa na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii kawaida na WhatsApp +255658570788

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +2

    Hao wenye hofu yamungu ndowanaficha makucha yao wachafu wakutupaa mama anamtetea mwanae mana hajui nn nyuma ya pazia🙄🙄🙄🙄mama Salma ss husema kusenyue mwana mghule yani usimwamini mtoto kabisaaa

  • @DULLAHMASTER
    @DULLAHMASTER Před 3 lety

    nouma

  • @zawadiagape9762
    @zawadiagape9762 Před 3 lety

    💗🙏

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sheilamdachi9346
    @sheilamdachi9346 Před 3 lety +1

    Nice

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 Před 3 lety

    Jamani niliwamis

  • @imanipatric35
    @imanipatric35 Před 3 lety

    Nice