Masanja MONICA ft Walter Official Video

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • Directed by: Link Reuben

Komentáře • 171

  • @rehemasimba5731
    @rehemasimba5731 Před 3 měsíci +1

    Hii nyimbo ninzuri sana kila wakati tunaisikiliza na ina upako mkubwa sana barikiwa sana na BWANA YESU KRISTO ALIE HAI

  • @josiakatende3941
    @josiakatende3941 Před 4 lety +1

    Nakukubali masanja natamani siku moja nikuone hata kanisani mito ya baraka,

  • @sillasngimba5903
    @sillasngimba5903 Před 7 lety +2

    Barikiwa ndg yangu Masanja na idumu ndoa yenu......

  • @wakanaiautomotive
    @wakanaiautomotive Před 4 měsíci +2

    Nice music

  • @matumaincomedy5094
    @matumaincomedy5094 Před 6 lety

    Huwezi kujifunza kitu kwenye injili usipokuwa rohoni ukiwa mwilini lakizima kila nyimbo utaiona niyamwilini ushauli wangu kwenu nyote mnaojifanya mko kiroho zaidi ya masanja kumbe mko kimwili zaidi na mnamwangalia mchungaji kimwili zaidi zameni rohoni mtajifunza zaidi kuliko kusikiliza nyimbo kimwili zaidi

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack2558 Před 3 lety +1

    😁😁😁😁😁😁mchungaji umetisha duuuh hatariii sana lkn nimeipeda stali yako ww na monica 💝💝💝

  • @glorychitumbi187
    @glorychitumbi187 Před 5 lety +1

    kwakweli nitawakaba kwajina la Yesu ngoma nmeilewa saaaaaana ahsntee Baba waludewa msalimie mama yangu monica. nawapenda mwaaaaaah

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan9466 Před 5 lety +2

    *Sababu 5 zinazosababisha uume kuwa mdogo*
    *Na kukosa nguvu za kiume.*
    Kundi kubwa la wanaume ambao wanashindwa kufurahia tendo la ndoa kutokana na kuwa na uume mdogo kupita kawaida.
    Wanaume walio na tatizo hili wengi wao huwa hawana confidence ya kuingia katika mahusiano na wasichana ama wanawake wanao fahamiana nao kutokana na kuogopa " siri" zao kujulikana hususani pale uhusiano wao unapofika mwisho.
    Ikitokea mwanaume akiwa katika uhusiano na mwanamke "mcharuko" ( asiye mstaarabu ) mwanamke huyo anaweza kuanza kumvua nguo hadharani kwa kumtangazia kwa watu kuwa na uume mdogo. " Mwanaume utakuwa wewe!" na lugha za namna hiyo hutawala midomoni mwa wanawake hawo.
    Matokeo yake sasa wanaume walio na tatizo hili huamua kutokuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake wanao fahamiana nao, na badala yake huamua kuanzisha tabia ya kuwa wanajamiiana na wanawake wanaouza miili yao amakujihusisha na upigaji punyeto n.k.
    *NINI CHANZO CHA UUME KUWA MDOGO.*
    1. Kupiga Punyeto kwa muda mrefu..
    Hali hii husababisha kusinyaa kwa uume na hatimaye uume kurudi ndani.
    2. Kuugua chango la uzazi.
    3. Magonjwa ya utotoni.
    4. Kutahiriwa mapema
    5. Kurithi kutoka kwa wazazi.
    Wanaume wengine wana maumbile madogo kwa sababu wamerithi maumbilehayo kutoka kwa wazazi wao.
    Kwa waliopata tatizo hilo ukubwan linaweza kuisha ndani ya mda mfupi kwa kutumia njia salama kwa kutumia virutubisho haswa kwa ambao imetokana na punyeto na ambao tatizo lao wamezaliwa nalo linaisha lakini linahitaji mda siyo chini ya miezi 3 mpaka 6. Na pia wenye shida ya nguvu za kiume utasaidiwa tatizo lako litaisha ndani ya siku 30 tu.
    Ili uume uwe mkubwa utahusisha mazoezi ambayo utayafanya kwenye uume (utapewa video maalum ambayo inaonesha mazoezi hayo) pili utapewa virutubisho ambavyo vitarahisisha hilo ili uume uludi kawaida.
    Ninatumia virutubisho
    #argi+
    #aloeverageltube
    #multimaca
    Whatsapp 0628942717
    Nipo arusha ungalimited

  • @matumaincomedy5094
    @matumaincomedy5094 Před 6 lety

    Wote mliocomment kukosoa nyimbo ya Masanja niwape pole kwa wanawake naweza hisi kuwa labda mmekabwa sana roba imewaingia ndio maana mmedissaponted nyimbo hii na wanaume mlioiponda nyimbo kuwa haifundishi chochote pole maana mimi nimejifunza kuwa wachawi walioninenea maneno mabaya kuwa sitaolewa ama sitafanikiwa nilazima niwakabe kwenye maombi kisawasawa ili maneno yao yawamarudie wao na kizazi zao wote waliosema sitazaa niwakabe kwa maombi ya kufunga na niwatolee sadaka ili kila kilichosemwa kwangu kiwarudie vibaya sijui wenzangu mmejifunza nini?

  • @faithphanuel5545
    @faithphanuel5545 Před 5 lety +1

    Msanja nakupendaga bule

  • @jeff_nails1
    @jeff_nails1 Před 6 lety +1

    Wawoooooooo God mimi napenda kukushukuru Sanaaa kwaajili ya huyu mtumishi wako masanja mungu zidi kuinua kipaji chake

  • @getrudenkinda1492
    @getrudenkinda1492 Před 4 lety

    Kwakweli na wamekabwa aiseee Monica enjoy mama

  • @annastaziaemmanuel744
    @annastaziaemmanuel744 Před 7 lety

    Jamani masanja natamani nisali kanisani kwako sijui niwapi. Naomba nipajue. Unanifrahisha san

    • @gamingcasbet1
      @gamingcasbet1 Před 6 lety

      annastazia Emmanuel mito ya baraka kko km unaenda club ya yanga uliza utaelekezwa

  • @jibunisimba415
    @jibunisimba415 Před 4 lety

    Ahhahjaj haya myawe

  • @kulwakalendera7987
    @kulwakalendera7987 Před 6 lety +1

    Eeee Big up masanja and chilambo bila kusahau pastor nickoson shaboka.

  • @asiimweanthony9057
    @asiimweanthony9057 Před 5 lety +1

    Nakaba wote wanaenda kinyume nami Kwa jina la Yesu

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 Před 7 lety +1

    Siachi ku penda wangu na mimi jamani! Barikiwa mchungaji wangu Masanja wakabe eee! !!!

  • @awarddavidmwamelo8658
    @awarddavidmwamelo8658 Před 3 lety

    😃😄😄 barikiwa Sana wameshaelewa

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Před 5 lety

    Yafaa wakabwe sawasawa hao wanaozuia mafanikio ya wenzao yesu atawaziba midomo yao na kuwa mabubu kwa Nina LA yesuuuuu

  • @mombiajumaa6765
    @mombiajumaa6765 Před 6 lety +1

    hongera masanja una mdimamo unao umiliki mwenyewe hongera

  • @sarafina6656
    @sarafina6656 Před 7 lety +6

    Barikiwa sana Mtumishi kwa kumpenda mke wko kwa viwango vya juu..Hongera sana mama Mchungaji Monica.

  • @masterkey536
    @masterkey536 Před 2 lety

    Asante masanja

  • @emmanuelshalua98
    @emmanuelshalua98 Před 7 lety +1

    nimemuona hpo ndg yng mo1 shida tunayo mtaan hku unafikil

  • @hellennjombo5010
    @hellennjombo5010 Před 7 lety +4

    mungu ni mwema kwa kweli aya mlinde monica

  • @happystephen7878
    @happystephen7878 Před 5 lety

    mkandamizaji umeadvance sana ulipofikia sio ulivyokuwa mwanzo
    Mungu aendelee kukuinuaaaa

  • @sarafinaemanuel3240
    @sarafinaemanuel3240 Před 6 lety +5

    Waooooo nawapenda bhulebhule

  • @salmaanathalie1218
    @salmaanathalie1218 Před 7 lety +8

    hahaaha masanja wekaka ninavyo kupenda nibasi tu kweli mungu awape upendo nakuvumiliana

  • @gamingcasbet1
    @gamingcasbet1 Před 6 lety +1

    Pastor Nick hiyo suti 😂😂😂😂😂 mama mchungaji Rose shaboka nadhan alivunja mbavu

  • @jacksonkayombo7121
    @jacksonkayombo7121 Před 7 lety +7

    Hahahahaaaaa,,,,, sawa Mr mkandamizaji,,, sema Monica ni mkali kinyama yaan khaaaaa,, no make up nyng Ila bado 😋😋😋😋😋

  • @witnesswilliammwakilasa6890

    kaba kaba wote ki hip-hop

  • @jamilanimbona3692
    @jamilanimbona3692 Před 4 lety

    Waooo vizulu sana😍😍😍😍

  • @neemamayila3096
    @neemamayila3096 Před 6 lety +3

    Love the way u treat your girl😍😍

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 Před 7 lety +2

    haka kawimbo nakapenda pale inapoamza tumewakaba uuuu tumewakaba weweeee tumewakaba

  • @sabinagerold9962
    @sabinagerold9962 Před 4 lety

    Hakika

  • @pastor_bedondickson
    @pastor_bedondickson Před 7 lety +7

    nawapenda sana nyie watu ha ha

  • @asiimweanthony9057
    @asiimweanthony9057 Před 5 lety

    Amen Mtumishi wa Mungu

  • @alicetozzy3794
    @alicetozzy3794 Před 4 lety

    Upo vizur broo nimekuelew

  • @silvanussteven813
    @silvanussteven813 Před 5 lety

    uhuuuuuuuu kiduku kwa sana

  • @deborakamsi
    @deborakamsi Před 7 lety +5

    Haaaa congratulations pastor

  • @rachelalinda7007
    @rachelalinda7007 Před 5 lety

    Nzuri sana nimeipenda.

  • @samsonjohn332
    @samsonjohn332 Před 6 lety +2

    Penda sana masanja

  • @elizabethpeter254
    @elizabethpeter254 Před 6 lety +5

    tixhaaa xanaaa bomba 1 la song bab kubwaaa!!!!

  • @jeff_nails1
    @jeff_nails1 Před 6 lety +1

    You a man of God masnaja

  • @happybeneth297
    @happybeneth297 Před 7 lety +1

    jamani nampenda kweli monica

  • @lovenessedward6733
    @lovenessedward6733 Před 7 lety +6

    nmependa mavazi yenu pastor hahahhaahhaahhahahahahahahahahaha tisha sanaaa

  • @issadesmond477
    @issadesmond477 Před 6 lety

    Mungu awalinde kwenye ndoa yenu

  • @neemakawogo7153
    @neemakawogo7153 Před 4 lety

    Kaba kihiphop

  • @annastaziaemmanuel744
    @annastaziaemmanuel744 Před 7 lety +3

    Sio kwa kabari hiyo yakihip hop

  • @doreenmalesi6039
    @doreenmalesi6039 Před 7 lety +1

    hahahaaaa iko poa sana napenda sana hii couple

  • @ntutapaliji9396
    @ntutapaliji9396 Před 6 lety +1

    masanja mtata Sana be blessed

  • @christinalinusy3208
    @christinalinusy3208 Před 6 lety +1

    Kwa kweli mmewakaba

  • @samwelmaridadi7754
    @samwelmaridadi7754 Před 5 lety

    Kaba kwelikweli usifanye mzaha

  • @kitulatvonline3854
    @kitulatvonline3854 Před 6 lety +3

    Roba ya Ukweli

  • @hawachora3015
    @hawachora3015 Před 6 lety +1

    Mnatukabaa

  • @lusekelomwampangwa5982

    Masanja we hatar sana kaka

  • @vj8313
    @vj8313 Před 5 lety +4

    ha haa masanja vinyimbo vyako mweh😂😂😂

  • @mango.jayzo.
    @mango.jayzo. Před 7 lety +1

    nice work masanja

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 Před 4 lety

    Masanjaaaa

  • @calskim4173
    @calskim4173 Před 5 lety

    Hah yan nyimbo zako zinachekesha kabla hta dk 10 hazijaisha

  • @petershigemelo4973
    @petershigemelo4973 Před 6 lety +4

    😂well done masanja

  • @elizabethkamala832
    @elizabethkamala832 Před 6 lety

    Barikiwa

  • @Thebatony-a
    @Thebatony-a Před 7 lety +2

    kiukukweli masanja unauwaga kwa style ulio anzanayo pale tumewakaba

  • @karirekinyana9759
    @karirekinyana9759 Před 4 lety

    Nagupenda sana masanja🤣🤣🤣🤣

  • @zaharasayyid5724
    @zaharasayyid5724 Před 4 lety

    Hahahahaaaaa jembe hilo masanja

  • @abuuabeid3647
    @abuuabeid3647 Před rokem

    Lakini bado wakakuchapia dah wanawake bwana

  • @ernestmass923
    @ernestmass923 Před 3 lety

    Masanja

  • @michaelmweta9055
    @michaelmweta9055 Před 6 lety

    upo juu mkandamizaji

  • @rejoicejoshuan
    @rejoicejoshuan Před 7 lety +2

    nice song kaka God bless this couple now and forever more

  • @innocenciabinamungu8576

    Leo katika pitapita zangu nimekutana na hii video😄😄😄😄😄

  • @mlyambisipaul8399
    @mlyambisipaul8399 Před 5 lety

    Duuuuh hatar

  • @mauaseleman7219
    @mauaseleman7219 Před 4 lety

    Asante mtumushi wa mungu

  • @amanamburu3480
    @amanamburu3480 Před 5 lety

    Tunalindwa

  • @mdogomoja7009
    @mdogomoja7009 Před 5 lety

    Kwakweli wamekabwa kisawasawa

  • @calisteraugustine8838
    @calisteraugustine8838 Před 7 lety +1

    wat a nc couple may ur love last forever may our God bless ur union

  • @ericklaiton2763
    @ericklaiton2763 Před 5 lety

    Hahahaaa live it love it

  • @fadhiliidafa5044
    @fadhiliidafa5044 Před 5 lety

    Jaman hiyo arusi 8menikumbusha aina yaarusi zetu kijijini ful shangwe

  • @consolatamedard2777
    @consolatamedard2777 Před 5 lety

    kweli mmewakaba

  • @Crispusthomas
    @Crispusthomas Před 7 lety +6

    hahaha 😁 😁 😁 nyc song

  • @beloyalbert5238
    @beloyalbert5238 Před 5 lety

    Kaba mpaka jicho nyanya hahahahaha

  • @intifadamwaigombe3838
    @intifadamwaigombe3838 Před 6 lety

    CHAGUO LAKO HALISI NI HUYO KAKA DAIMA NA MILELE NIAMANI ITAWALE MAISHA YENU YOOTE

  • @thecooldude4689
    @thecooldude4689 Před 3 lety

    Kumbe Monica wa ukweli 😅😅

  • @ufunuomwilenga9645
    @ufunuomwilenga9645 Před 5 lety

    Tumewakaba mpaka mwisho

  • @sylvanussebastian6209
    @sylvanussebastian6209 Před 5 lety +1

    Tumewakaba!!!!! ila sasa ulisema hauli ugali vp,mbona nimeona unatia tonge mdomoni Aaaaaaaah nimekukaba

  • @neemajoseph8935
    @neemajoseph8935 Před 6 lety +1

    Nc

  • @byaromajagi7631
    @byaromajagi7631 Před 4 lety

    HIko vzr

  • @audreymax2021
    @audreymax2021 Před 7 lety +2

    Hhhhhhhh mme wakaba kweli

  • @shebinajulius7782
    @shebinajulius7782 Před 7 lety +1

    Nyx couple....

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza5339 Před 5 lety

    Tumewakaba....NI WIVU TU!!

  • @estheridassi7379
    @estheridassi7379 Před 7 lety +3

    Usiache kaka Monika wako

  • @williamludovick5143
    @williamludovick5143 Před 5 lety

    kk nc stay strong blessed over

  • @rachelmbeyela9079
    @rachelmbeyela9079 Před 7 lety +1

    nawapenda sana, hakika mmewakaba

  • @MrJsuarez07
    @MrJsuarez07 Před 7 lety +1

    iko poa kwa nafas yake

  • @africafrank4993
    @africafrank4993 Před 6 lety +1

    😂😂😂😂😂😂😊 aiseeeeeee

  • @monicalaiser1707
    @monicalaiser1707 Před 7 lety +1

    Monicaaaaaaaaaaa💪💪💪💪💪

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 7 lety +1

    Good song

  • @ashaakidotkidotlyova2881
    @ashaakidotkidotlyova2881 Před 7 lety +1

    imependeza

  • @joelnyangwa3523
    @joelnyangwa3523 Před 5 lety

    bongo fleva au wa dini

  • @salomepwele4962
    @salomepwele4962 Před 5 lety

    Tumewakaba wotee

  • @masungasalum5369
    @masungasalum5369 Před 6 lety +1

    kwel umewakaba

  • @lidiatsaxara175
    @lidiatsaxara175 Před 5 lety

    Nice guys