Neema kubwa kwa watu wa Dar . Mwaka 1973 Serikali ya Tanzania ilimzuia DrvMorris Cerulo kuhubiri Dar ,baada yabwatu waliokuwa wanagawa vipeperushi kugawa maeneo ya TAZAMA walikokuwa wachina wakigengeneza reli ya Tazama ,hivyo wachina wakalalamika . Kilikuwa kipindi cha giza . Soma kitabu cha Dr Morris Cerulo THE CHOSEN GENERATION
Pia haturusu mtu kumuamini ukiamini Amin kama Huamini acha kejeli na dharau usije PATA mapigo kumi acha tunaoami Mungu kupitia nabii huyu tuamini inatosha usitutoe kwenye uwepo
Mungu akupe maisha mrefu sana katika huda yako uende kimataifa zaidi Mtu wa mungu
waoo is very nice
My Dady love you so much God bless you so much
Karibu sana Tena na Tena Dar es Salaam Mtumishi wa Mungu, Nabii BG.Malisa
mungu akupe maisha mrefu ktk Hudama yako
Amen
Haleluya naona upako MKUBWA sana kesho.
Ufike mbali baba,ur dedicate much.
Be blessed 🙌 prophet
Nikweli baba
Baba upo vizuri , Mungu akupaishi kimataifa❤❤
Neema kubwa kwa watu wa Dar .
Mwaka 1973 Serikali ya Tanzania ilimzuia DrvMorris Cerulo kuhubiri Dar ,baada yabwatu waliokuwa wanagawa vipeperushi kugawa maeneo ya TAZAMA walikokuwa wachina wakigengeneza reli ya Tazama ,hivyo wachina wakalalamika .
Kilikuwa kipindi cha giza .
Soma kitabu cha Dr Morris Cerulo THE CHOSEN GENERATION
AMINA BABA HAKIKA MUNGU AZIDI KUKUTUMIA
Acha uongo. Wewe ni nabii wa uongo
utapata rahana ambayo itatesa kizazi chako siku zote usijaji mtu usie m jua historia yake huwezi jua Mungu alimkusudia nini mpaka kufika apa alipo
AKILI YAKO HAIKO SAWA
AKILI YAKO HAIKO SAWA
Pia haturusu mtu kumuamini ukiamini Amin kama Huamini acha kejeli na dharau usije PATA mapigo kumi acha tunaoami Mungu kupitia nabii huyu tuamini inatosha usitutoe kwenye uwepo