GIGY MONEY, JACKLINE WOLPER WAFANYIWA MAOMBI MAZITO NA NABII MALISA
Vložit
- čas přidán 7. 09. 2024
- GIGY MONEY, JACKLINE WOLPER WAFANYIWA MAOMBI MAZITO NA NABII MALISA
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Dada Jacky inaonekana tok kitambo anajuwa Mungu ❤❤❤❤
I'm so excited 😢😢😢😢. Mungu bila ya wewe Mimi si kitu hapa duniani
Hongera jack. Kwa Mungu hakuna star ⭐️ wala Tajiri
Ooh giggy!!! Hapo umenimaliza walai!!!! Eeh umetafuta UFALME wa Mungu
Gigy I'm so happy for you, you're too humble 💗
Jack kavaa nguo nzur san maashaaallah
MADADA WA IMAANI😭😭😭tunatambua kila mnachokifanya na tunachokifanya ni njia ya utafutaji😭😭LAKINI TUNAE MUNGU ALIYE HAI😭😭😭na aendelee kumulika ndani mwenu na ndani ya nyumba zenu na awazidishie rizki ili mtunze viumbe vyake kwa uaminifu na uadilifu
Mungu ni mwema mvua yake hunyesha kwa wema na wabaya 🎉
Mathayo 7:15 ...Roho Mtakatifu anafanya kazi sehemu safi ...manabii wa uongo Wanaombea mafanikio sio watu kuwapatia wokovu Kwa ajili ya Ufalme wa Mbinguni ..
Mungu azidi kuwavuta kwake maana yy ndo kila kitu na mbarikiwe kwa kumjua Mungu ktk maisha yenu🙏
Kizazi na uzao wenu ni matunda mema ya Mola🙏🙏🙏yatunzeni kwa nguvu zenu zote na msiruhusu watu wa dunia wala wa mataifa wavitende ubaya🙏🙏🙏mkawe wamama bora na fimbo na funzo kwa wengine
Amina kwao🙏🙏🙏
MUNGU Awasimamie mahisha ni mwenu❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Giggy money Hongera sana
Hakuna Mungu hapo ni Dramas tu hapo. Major churches ni tatizo kubwa sana DUNIANI watu hawafuati Mungu wanafuata mtu na kuji show off tu. Tusubiri siku ya huku ya mwisho. Mungu tusaidie kwenye kizazi hiki cha Zinaa.
Mungu akawainuwe daima
Gigi umejuwa unaenda kabisa kwa nn uvae nguwo ambayo hupovhuru nayo
Ameeeen Mungu ni mwema kwa kila jambo
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen I receive
Mungu awe na gigy naona amevaa nguo ya heshima kwa nnavomjua mmmh kapendeza na kaenda mbele y mung
Mungu asant kwa yot
mungu awasimamiye maishani mwenu mmefanya kitu kizuri sana
❤❤❤❤Mungu wa rehema awalindee na kututunza soote
Mungu bariko gigy kujitolea ninehema kwamungu patamu gigy
I receive
Ameen hakika nimebarikiwa sana
Hongereni sana apo ni mahali sahihi mmechagua sehemu sahihi kabsa
Am so proud of u Jacky and gift
Amen mungu awabariki
Nawapenda sana
Mubarikiwe sana hawa wadada nawapendaga sana
Amina Baba
Mungu awabariki sana
Ameen 🙏
Gigy karibu kwa yesu Kuna uzima wa milele
Khaaa tuasali sana na tumuombe mungu kwenye roho na kweli, Gigy gigy gigy kanisani??????
Watoto wa Mungu😍😍
Amen
Yan maisha ya usanii ni maisha ya maigizo tu
We waombee tu Kaka.
Ongereni sana
Amina ❤❤❤❤🇹🇿
Nguruwe ni wengi sana saivi, wanazidi kula na kunenepeana kwa kuzidi kuwa na mavumbi mengi maana wapo wengi ila sio muda kondoo watazidi kuongezeka zaidi. 💯
Nice
Mungu hubadilisha kila mmoja ju yeye ndie alie tuumba
Ameen
Mbalikiwe mnoooo dada zaguuu Nataman Niwaone mkiend church kilsiku
NAMIMI NATABIRI TENA GIGY AKI ENDELEA HIVYO ATAOLEWA NA MWAMAUME MWENYE PESA.
Hawa wote ni member wa freemason ko sishangai
Yani gigy .uko church n win princess uko nayo kifuani bado watangaza kamare
Fight money tena😂
Wamelipwa au mbona sielewi nikama wanaigiza tu mungu tusamehe tu maana hatujuwi tulitendalo
Mchungaji kaweka angle za jux daaah 🤣🤣
Gigy uliniliza asubuhi unaistoria ngumu kipenzi ila nizidi kukusihi usimwache Mungu
Hao wako hapo wanawaza pipe kama hujui wakitoka hapo kesho mitandaoni wanachezea pipe😂😂😂
Wokovu hauji moja kw moja akipata mafunzo Kila mara akahuzuria na Ibada atakuwa vizur
YANI MAKAFIRI WANA TATIZO LA MENTAL HEALTHY KWELI WAPO NYUMBA YA IBADA NA MANYWELE BANDIA NGUO ZINAZOENESHA MAUMBO IHESHINUNI DINI YENU NYUMBA YA IBADA HUENDI TU NA NGUO UNAZO ZITAKA
Tatizo wewe unaitazama DINI, Mtazame Mungu na ujione ikiwa ata ww unastahili Mbele zake? Alafu ndio utajua km ni sawa kuwaita wenzio majina ya siyofaa..
Na kuhusu mavazi jifunze zaidi
😂😂😂
Kafiri ni Mama Yako Na Baba yako walio kunyima Akili
@@evamlay8997 mjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake asije akajiona mwenye Hekima machoni pake, usimjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake usije ukafanana naye
Jiheahimuno jmn unaeza kuta ww ni mchafu kuliko yy bora ufunge bakul ilo
Ila dada kavaaa ki,,,,,😂
Sawa 😂😂😂
Kwahiyo gigy money hatakuwa Kama zamani kimuonekano hasa Yale mavazi ya uchi au???
Usikute gg hapo anataka kukata mauno akijua yuko shoo😂😂
Hi nchi stal sana😂😂😂
Tapeli
Nabii mwenye amepaka super black hatari 😢😢😢😅😅
Mbona ushangai nabii kuvaa suti? Maana yangu ni kwamba zama zinabadilika kuwepa superblack ni utanashati tu haimaanishi mtumishi wa mungu awe RAFU
@@thomasnachenga795mmmh !kwaiyo akiumbacho MUNGU ndio urafu ??
NABII MALISA ananyoa anazingatia angle 🤣
Si kiki hii jamani😂 😅
Kabisa 🤣
Pimeni hzo roho si kila nabii ni mtu wamungu tizameni sana
HIZI DINI NYENGINE JAMANI TUZINDUKEE BIBILIA HAIJAFUNDISHA HIVOO😢😢😢 KWENYE IBADA MPO UCHI HAMJAFUNIKA NYWELE UKWELI UNAUMA LKN JAMANI NDUGU ZANGU HIO DINI SIO YA HAKI MIMI NAWAOMBEA KWA MUNGU MUNGU AWAONGOWE ILI MUJUE UKWELI HIO NI DINI YA BIASHARAA
Acha kukashfu dini za watu, kama wewe na dini yako mko sahihi mbele za Mungu basi acha kukashifu wengine, 😏😏 pia kumbuka dini haimpelek mtu mbinguni so take care 😠🤨 fakeyou
Sasa wafunike nywele kwaajili ya nini we nae kakojoe ulale
Inauma nini wwnani alisema dini ni mavazi wangap wachafu tunawajua bora unyamaze dini sio mavazi kijana
Basi mtembee uchi kabisa kama dini sio mavaz 😁😁😁😏
@@KHAMIS_SHILINGI kwani ukifunika kichwa ndio umejisitiri, nyie mnafunikwa vichwa lakini ni mashetani wakubwa
Gigy ni kiki😂
😂😂😂😂makubwa haya
Kma Namuona Shetan Uko Aliko Hana Mbavu Kwa Kucheka Anajisemea Ata Uyuu Pia 😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Huyo Gigy aje nimuoe sasa atulie
😂😂😂😂😂😂sijui ata nacheka nini
Ni usanii mpaka kanisani.
Hiyi movie inaitwaje??😂😂
Msijione nyie ndo mko sahi apa duniani Dini zililetwa
Hawa washavuta mtonyo. Hamna lolote hapo.
kumbe gigy ni mzur namna hii ila ikivaa yake matakataka yake anakua mshenz mshenz
Mbona nyie ndo mnajionaga mpo sahi katika mambo ya dini ?????
Wapigajiiii 😂
Kanisa likowapi hili namim nije kusali mbon zuli ivyo
Nabii wa enzi gani na manabii ni 25 t walotajwa kwenye Qur an
Quran sio kitabu pekee cha dii duniani
Publicity stunt
Mtaweza kuacha pombe nyie wadsda?
Usiseme hivyo wokovu ni processing
MUNGU Awasimamie mahisha ni mwenu❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen