From Canada. Christians please read! Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
Amkeni vijana wa kislaamu. Hiyo hutba simchezo, hayo yote anayo sema ni kweli na inafaa muyazangatie sana. Mazuri yote wana yaleta hawa maadui weno Ni kwa ajili ya kukumalizene bila ya nyie kujua. Inshalla mnyezi mungu atuepushe nao atuongoze kwenye siratal mustakiim. Amin
Tatizo la waislamu wanapenda kuongea mapungufu ya dini nyingine ila mapungufu na maovu ya viongozi wa kiislamu uwa wanaficha, bora muwe wazi na mkubali kukosolewa kama wakristo wanavyo kubali kukosolewa ili siku ya mwisho mpate kupona.
Jamani kuna muda tusijali dini. Tusikilize mafundisho tuyapime tukiona ya MUNGU WA KWELI, Huyu kaka anafundisha ukweli. IFIKE WAKATI WAISLAM NA WAKRISTO TUWE WAMOJA TUIELEWESHE JAMANI. JUU YA MUNGU WA KWELI. TUACHANE NA HIZI MALUMBANO JUU YA YESU NA NABII ISSA.
If you believe what he says, it is your choice! #Freewill. I would want to question his highest level of education. I suppose education pia ni ya "Billionaire's club". Holy crap!
Kuna mtu aliyekuwa na roho ya kuona Wat will happen in future bt hakuwa roho wa mungu.paul aliikemea Mpaka akaingizwa jela kwa kuwa wafanyibiashara fulani walikuw wakimtumia you iyo mama. I
if I was asked to produce a fool in this world I would take you,danger in electric post ingewekwa Kwa waya za stima yet the wires cause electric shock😂😂😂😂😂😂😂😂
Iyo ni story. Soma Bible ikuelekeze kwa njia za mungu. Kama hujaokoka sema:Bwana yesu niokoe na nisamehe dhambi zangu. Nimejaribiw Wewe ni bwana. Ushaokolewa . We are controlled by God's kingdom. If u are saved you will differentiate mambo ya shetani na ya Mungu na huwezi kuwa affected na hizo vitu.
Catholic itatuingiza sehem mbaya sana maana ni shirika kuu la shetani ulimwenguni. Ndio maana wanaabudu sanamu wakati ni chukizo kuu kwa mungu . OLE WAO WAABUDIO SANAMU
Toka nigundue dunia inatawaliwa na shetani mimi huomba dua tu na mwisho mwema.. hayo mengine nawaachia nyie mnaojisumbua kutangaza manake ata hizo nguo na hio mitambo mnayotumia niya kwao huko😆😆😆😆😆
kweli nyie ni wapuuzi maana naona kila mtu anaweza kuamka tu nyumbani kwake na kuja kuwafundisha anayoyawaza,au kuhisi na nyie kukubali tu bila kuyapima ukweli wake.
Yesu ndiye njia the devil is a liar he can never over power us kick the devil out off our life just accept Jesus stop many preaching Jesus Jesus is so gd mkubali
From Canada. Christians please read! Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
Thanks very much
Im a christian but im seeing lot of sense in it
Huyu jamaa anajua mambo cjapata kuona.
Ni mwalimu wangu tunakua nae nairobi
Amkeni vijana wa kislaamu. Hiyo hutba simchezo, hayo yote anayo sema ni kweli na inafaa muyazangatie sana. Mazuri yote wana yaleta hawa maadui weno
Ni kwa ajili ya kukumalizene bila ya nyie kujua. Inshalla mnyezi mungu atuepushe nao atuongoze kwenye siratal mustakiim. Amin
Thats true bro .. micheal bought a land here in qatar to build the mosquee ... heal the world Is a great song.
Wallah ulio yaongea sheikh saiv ndio mambo matupu yaliopo subhanallah Allah atujaalie mwisho mwema
🙏🙏🙏🙏
Thats why i love islamic,puretruth.itabidi slim
Wlkm bro
May God granted you for what you have sacrifice yourself Rafiki sheikh yangu
huu ni ukweli aliye na sikio na asikie
huyu shehe anajua sana
Mashallah May Allah grant ya his paradise
Ubarikiwe tena na tena ,anayetukana pia ni washetan, ukweli tumeujuwa
Mashallah Allahamdullah sheikh keep following them
Mi ni mkristo lakini anayozungumza shehe/ustaadhi anachokisema yuko ryt kabisa fanyeni tafiti tu mtazijua hizo kweli!
Me pia mmni mkristo kama lilivyo jina langu. Lakini ukifanya research ni kweli
Asante Ustadhi inabidi tuwe chonjo sana.Mungu atusaidie jameni!
May God help us from this Evil(satan)... Thanks man for the word.
Welcome
amiin
subhaanaallah allah atuepushe waislam tuamke anayosema ni kweli kabisa allah akujalie pepo ya juu inshaallah
Tatizo la waislamu wanapenda kuongea mapungufu ya dini nyingine ila mapungufu na maovu ya viongozi wa kiislamu uwa wanaficha, bora muwe wazi na mkubali kukosolewa kama wakristo wanavyo kubali kukosolewa ili siku ya mwisho mpate kupona.
jama yko right. anatuelimisha tusipote. alf ww dada Janet kma ujui kinacho endelea uc comment plz. una mtukana mtume wetu muhammad. na ww ataujui kuoga jana. mshenzi sana ww.
Mimi ni mkristo hila Mungu anatumia mazinge kuifunua macho ya wote wanaomuelewa
Ungeongea kiingereza na kuvaa suti na tai wangekuamini Sana blo
Haaaahhhh
I support u shehe 100% ishallah those who oppose they will wake up one day things are in the end.
Aboubakhal issa y
it's true
Yesu akajibu akasema "Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu"
Wangapi tunaangali mpaka leo?
Mimi hapa 2024
nimekuelewa bro kwa kweli ndugu zangu waislam na wakristo tuweni makini maana hizi ni siku za mwisho
Jamani kuna muda tusijali dini. Tusikilize mafundisho tuyapime tukiona ya MUNGU WA KWELI,
Huyu kaka anafundisha ukweli.
IFIKE WAKATI WAISLAM NA WAKRISTO TUWE WAMOJA TUIELEWESHE JAMANI. JUU YA MUNGU WA KWELI.
TUACHANE NA HIZI MALUMBANO JUU YA YESU NA NABII ISSA.
Sasa dada
Hakika Umenena vyema
Tatizo lenu waislam mnajifanya mnajua kuliko mungu sasa subirin moto wenu unawasubili 🤣🤣🤣🤣🤣
Wote tnasubiri HUKUMU Ndugu yangu Baada ya kufa Tutafufuliwa Siku ya hukumu Na kila Mtu Atalipwa kutokana na Matendo yako
If you believe what he says, it is your choice! #Freewill. I would want to question his highest level of education. I suppose education pia ni ya "Billionaire's club". Holy crap!
Uko sawa nimejua mambo mengi kupitia hii kipindi muendele hivyo hivyo na mpost video mingi
Janet umelaaniwa sana utawezaje kumtusi mtume wetu utaoza Motoni milele
kw mwny akili kashaelewa bt kw mjinga never kuelewa labda mpk Dunia itanduke!!!!
Ustadh liliobaki ni wewe uokoke tu! basi.Una mafundisho mazuri sana
Vipi ndugu yangu
Allah akuzidishie ulinzi amiin
hongera sheikh ni kweli yako shetani ni adui
I am Chinese and I don't understand Swahili lakini mtume uko rite kabisa.
God will help us
Christians let us stand firm in the Lord our saviour
ades agus Amen
Amen my brother we are covered by the blood of Christ..
Amen Hallelujah
jazaka Allah kher shek usemanyo ni ukweli mtupu anaekataa ni setani
kuna mambo yana ukweli lakini mambo mengine ni uongo hivyo sisi kama wasikilizaji tutayachuja yenye ukweli na tutayapuuza yale ya uongo
big up brothers....jazakaallahu alfu kheir
Kaka barikiwaa sana
D
Kuingia mbinguni mbwana alituambia lazima mmpokee na kumkubali yesu Christu kua mbwana.Lazima mbatizwe kwa jina la bwana yesu
Mashaa ullah kaka angu Allah a kuzidishietu nashukuru saana
Tatizo la vijana wa siku hizi hawataki kujishughulisha wanataka maisha kirahisi ndio maana wanaingia freemason
Ukweli dada vipi
Mashallah mashallah mashallah
Tupe elimu!
Sheik is telling the truth my dear Muslims
Kuna mtu aliyekuwa na roho ya kuona Wat will happen in future bt hakuwa roho wa mungu.paul aliikemea Mpaka akaingizwa jela kwa kuwa wafanyibiashara fulani walikuw wakimtumia you iyo mama. I
Internet means INTERNATIONAL NETWORK
mafundisho mazuri sana catholic ni kanisa la shetani psstor wangu alitabiri mambo hayo unayoyasema 2o13
Mambo
Kabisa
Hakina ni maneno ya kwel kabisa
Jazakalahu khery sheikh
Point of correction Peter Parker ndio jina ambalo analitumia kwa filamu lakini jina Lake halisi ni Toby maguaya
😂😂😂 huyu Sheh muongo sana
Sidhani kwani wacheza filamu wote ni waabudu shetani
@@MrDee-ts3lh fuatilia hata mihadhara ya kidini ya kikristu na kiislam mle wanauongo sana yote kupata sadaka
Mimi sio mwislam lakini anachongea sheikh kweli kweli
Myaka nane iliopita ulioyaongea ndohaya tunayoyaona mungu akupe afya na uzima wamilele
acheni matusi tafadhali fanyeni utafiti. nabii hakubaliwi kwao
if I was asked to produce a fool in this world I would take you,danger in electric post ingewekwa Kwa waya za stima yet the wires cause electric shock😂😂😂😂😂😂😂😂
heheeee.....
Peleka ujinga kwenu churaa wewe
Iyo ni story. Soma Bible ikuelekeze kwa njia za mungu. Kama hujaokoka sema:Bwana yesu niokoe na nisamehe dhambi zangu. Nimejaribiw Wewe ni bwana. Ushaokolewa . We are controlled by God's kingdom. If u are saved you will differentiate mambo ya shetani na ya Mungu na huwezi kuwa affected na hizo vitu.
Not nimejaribiw but nimekiri
Suleiman I love you
sheikh he speaks the truth
Allah ilaha ilallah tusaidiye
Ustadhi mazinge unanipa raha xan
sasa sheikh naomba unisaidie kuhusu hizo saa maana ndo tunaztumia sasa sijui hizo saa za ukweli nitazipata wap??
your so creative..nice try!
huyu si mzima maana sisi wenyewe tunamuona kupitia internet sasa kwanini hasipige marufuku hao wanao mrekodi ...ummefulia!
Amini yesu utaokolewa unaweza sema kweli lakini bila yesu ni bure tu
Sasa
Na pia nakubari kua islamic ndio dini ya kweli wengine wote kopy
Kwa sababu wewe ni muislamu ongea mambo yenyu wacha dini zingine..nyie ni majini tu mumebobea hahaa..
elimu ndo mahali pa kukimbilia
I wish waislam hawangekuwa Duniani.... Mungu angerudi alaka sana
Mambo
Una akili kama mama yako mjinga wewe
iv mihadhara iliishiaga wapi,waturejeshee mihadhara ndugu zetu wakristo wapate maarifa wasilimu waje ilipo nuru ya Allah(s.w)
Niukweli kabisa hata corona
Islamic is the way of life
safi kaka wafahamishe watu wengi wagumu kuelewa
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah
Catholic itatuingiza sehem mbaya sana maana ni shirika kuu la shetani ulimwenguni. Ndio maana wanaabudu sanamu wakati ni chukizo kuu kwa mungu . OLE WAO WAABUDIO SANAMU
Toka nigundue dunia inatawaliwa na shetani mimi huomba dua tu na mwisho mwema.. hayo mengine nawaachia nyie mnaojisumbua kutangaza manake ata hizo nguo na hio mitambo mnayotumia niya kwao huko😆😆😆😆😆
Polee
Yeye jukumu lake kufikisha ujumbe
@@zalhathasaid2060 kweli mama angu
Mungu akupe umbri mrefu inshaallah
jazaka llahu lkheir
Does this guy know that this video is on the same Internet that he is speaking against? It is only a deaf and blind person who gets rained on.
dogo mwenye shati jeusi uongo haumuingii kabisa. he is very smart.
Lilian Kondo Hahaha
You don't seems to believe in truth of God sister
inshalah mungu atujalie tuondokane ubilisi
Hapo ndugu umesema! Waambie waelewe!
Jamini Kuna Mambo yatendeka hapa dunia hatuyaji
kweli nyie ni wapuuzi maana naona kila mtu anaweza kuamka tu nyumbani kwake na kuja kuwafundisha anayoyawaza,au kuhisi na nyie kukubali tu bila kuyapima ukweli wake.
Wempumbavu funga kopo loko
Mpumbavu babako na mamako kuma we
100% true story
nakukubali sana
Masha Allah mazinge
good for yourself
sit and watch everthing the man is talking is real and will come to pass
Wangapi tunazikiliza mawaidha ,January 2022
Mashaallah msische kutuelimisha mskafiri japo mskafiri watachukia
Mashaallah tuelimisheni ingawa makafiri hawapendi
MashaAllah, Mungu akulinde suleiman
Mi ni mkristo lakini anayozungumza shehe/ustaadhi ni sahihi kabisa!
x
Germinus Pastory umeonah @germinus pastory
R
Shtni nh ww
mwabuduni mungu....so Muhammed kaka
Yesu ndiye njia the devil is a liar he can never over power us kick the devil out off our life just accept Jesus stop many preaching Jesus Jesus is so gd mkubali
HARRIET MIDECHA ujielewi ww
Musiwatusi wakristo tumieni busara coz hata mtume( sws)hakutumia hasira.
Allah is the only solution
sisi sote ni watoto wa Mungu na Mungu yy hujuwa mwenye humuomba na uqweli twachane na matusi haisaidi,, nakushukuru wewe shehe nmejifunza kutoka qwako
Sasa nkuulize swali
Inshallah akuingishe jannah
Good revelation
Hivi sasa watu waliosoma katika karne ya ishirini na moja wanaamini ujinga mtupu kama huu. LOL...
We ndo mjinga
wwe mjinga wa kupigiwa mfano
Yesu ni kiboko wa vyote
Leah Mwankundile unajidanganya mwenyew
Tisha.sana Suleiman
CZcams inamilikiwa na mtu wa Marekani pia. (Mwenye kuelewa kaelewa)
Very true
Google haiwezi kuwa ya waislamu bwana. Huyu bwana aende shule. Inter ati ni kuingia. Boss acha uongo.