Kanisa La Ibilisi Part 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 453

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 Před 2 lety +9

    From Canada. Christians please read! Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @ndwgmannu5290
    @ndwgmannu5290 Před 3 lety +15

    Im a christian but im seeing lot of sense in it

  • @lwimboderick7479
    @lwimboderick7479 Před 5 lety +8

    Huyu jamaa anajua mambo cjapata kuona.

  • @hilalkindi2211
    @hilalkindi2211 Před 11 lety +32

    Amkeni vijana wa kislaamu. Hiyo hutba simchezo, hayo yote anayo sema ni kweli na inafaa muyazangatie sana. Mazuri yote wana yaleta hawa maadui weno
    Ni kwa ajili ya kukumalizene bila ya nyie kujua. Inshalla mnyezi mungu atuepushe nao atuongoze kwenye siratal mustakiim. Amin

  • @bonfacemwangi9458
    @bonfacemwangi9458 Před 6 lety +9

    Thats true bro .. micheal bought a land here in qatar to build the mosquee ... heal the world Is a great song.

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Před 3 lety +3

    Wallah ulio yaongea sheikh saiv ndio mambo matupu yaliopo subhanallah Allah atujaalie mwisho mwema

  • @francismusembi6863
    @francismusembi6863 Před 3 lety +5

    Thats why i love islamic,puretruth.itabidi slim

  • @nihmoshota8084
    @nihmoshota8084 Před rokem +2

    May God granted you for what you have sacrifice yourself Rafiki sheikh yangu

  • @evalineakuku590
    @evalineakuku590 Před 5 lety +7

    huu ni ukweli aliye na sikio na asikie

  • @rashidyfadhili9935
    @rashidyfadhili9935 Před 7 lety +7

    huyu shehe anajua sana

  • @imranhassan1305
    @imranhassan1305 Před 10 lety +8

    Mashallah May Allah grant ya his paradise

  • @priscahbosire4340
    @priscahbosire4340 Před 6 lety +4

    Ubarikiwe tena na tena ,anayetukana pia ni washetan, ukweli tumeujuwa

  • @maslahmuktarchannel4813
    @maslahmuktarchannel4813 Před 2 lety +2

    Mashallah Allahamdullah sheikh keep following them

  • @germinuspastory8278
    @germinuspastory8278 Před 8 lety +12

    Mi ni mkristo lakini anayozungumza shehe/ustaadhi anachokisema yuko ryt kabisa fanyeni tafiti tu mtazijua hizo kweli!

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 Před 2 lety

      Me pia mmni mkristo kama lilivyo jina langu. Lakini ukifanya research ni kweli

  • @frankie6207
    @frankie6207 Před 6 lety +4

    Asante Ustadhi inabidi tuwe chonjo sana.Mungu atusaidie jameni!

  • @JTelevisionTz
    @JTelevisionTz Před 7 lety +6

    May God help us from this Evil(satan)... Thanks man for the word.

  • @johariramadhani6377
    @johariramadhani6377 Před 11 lety +6

    subhaanaallah allah atuepushe waislam tuamke anayosema ni kweli kabisa allah akujalie pepo ya juu inshaallah

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 Před 3 měsíci +2

    Tatizo la waislamu wanapenda kuongea mapungufu ya dini nyingine ila mapungufu na maovu ya viongozi wa kiislamu uwa wanaficha, bora muwe wazi na mkubali kukosolewa kama wakristo wanavyo kubali kukosolewa ili siku ya mwisho mpate kupona.

  • @zedbclaudia5603
    @zedbclaudia5603 Před 8 lety +2

    jama yko right. anatuelimisha tusipote. alf ww dada Janet kma ujui kinacho endelea uc comment plz. una mtukana mtume wetu muhammad. na ww ataujui kuoga jana. mshenzi sana ww.

  • @JAPHETHMBUSYA-ms6ro
    @JAPHETHMBUSYA-ms6ro Před rokem +1

    Mimi ni mkristo hila Mungu anatumia mazinge kuifunua macho ya wote wanaomuelewa

  • @sepetukamaisala2040
    @sepetukamaisala2040 Před 5 lety +4

    Ungeongea kiingereza na kuvaa suti na tai wangekuamini Sana blo

  • @johnsonartabou2855
    @johnsonartabou2855 Před 7 lety +2

    I support u shehe 100% ishallah those who oppose they will wake up one day things are in the end.

  • @nicoart5063
    @nicoart5063 Před 2 lety +1

    Yesu akajibu akasema "Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu"

  • @tumainsawe6960
    @tumainsawe6960 Před 3 lety +3

    Wangapi tunaangali mpaka leo?

  • @JoyceGeorge-qv4ck
    @JoyceGeorge-qv4ck Před 6 lety +4

    nimekuelewa bro kwa kweli ndugu zangu waislam na wakristo tuweni makini maana hizi ni siku za mwisho

  • @catherinekileva414
    @catherinekileva414 Před 5 lety +6

    Jamani kuna muda tusijali dini. Tusikilize mafundisho tuyapime tukiona ya MUNGU WA KWELI,
    Huyu kaka anafundisha ukweli.
    IFIKE WAKATI WAISLAM NA WAKRISTO TUWE WAMOJA TUIELEWESHE JAMANI. JUU YA MUNGU WA KWELI.
    TUACHANE NA HIZI MALUMBANO JUU YA YESU NA NABII ISSA.

  • @fredrickphilomena8613
    @fredrickphilomena8613 Před 3 lety +1

    Tatizo lenu waislam mnajifanya mnajua kuliko mungu sasa subirin moto wenu unawasubili 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @shabbymakapane1910
      @shabbymakapane1910 Před 3 lety

      Wote tnasubiri HUKUMU Ndugu yangu Baada ya kufa Tutafufuliwa Siku ya hukumu Na kila Mtu Atalipwa kutokana na Matendo yako

  • @gayfredokal8723
    @gayfredokal8723 Před 6 lety +2

    If you believe what he says, it is your choice! #Freewill. I would want to question his highest level of education. I suppose education pia ni ya "Billionaire's club". Holy crap!

  • @JoyJoy-sg3lh
    @JoyJoy-sg3lh Před 6 lety +6

    Uko sawa nimejua mambo mengi kupitia hii kipindi muendele hivyo hivyo na mpost video mingi

  • @obaxabdinasir8350
    @obaxabdinasir8350 Před 8 lety +4

    Janet umelaaniwa sana utawezaje kumtusi mtume wetu utaoza Motoni milele

  • @sameeradam8469
    @sameeradam8469 Před 8 lety +3

    kw mwny akili kashaelewa bt kw mjinga never kuelewa labda mpk Dunia itanduke!!!!

  • @joshuatalu9596
    @joshuatalu9596 Před 5 lety +2

    Ustadh liliobaki ni wewe uokoke tu! basi.Una mafundisho mazuri sana

  • @khalfaniibrahim201
    @khalfaniibrahim201 Před 2 lety +2

    Allah akuzidishie ulinzi amiin

  • @faithfaiiifaithfaii7480
    @faithfaiiifaithfaii7480 Před 8 lety +8

    hongera sheikh ni kweli yako shetani ni adui

  • @williamsirikwa7950
    @williamsirikwa7950 Před 5 lety +2

    I am Chinese and I don't understand Swahili lakini mtume uko rite kabisa.

  • @adesagus735
    @adesagus735 Před 8 lety +30

    Christians let us stand firm in the Lord our saviour

  • @halemakhmes5855
    @halemakhmes5855 Před 8 lety +6

    jazaka Allah kher shek usemanyo ni ukweli mtupu anaekataa ni setani

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 Před 6 lety +4

    kuna mambo yana ukweli lakini mambo mengine ni uongo hivyo sisi kama wasikilizaji tutayachuja yenye ukweli na tutayapuuza yale ya uongo

  • @salimeir8929
    @salimeir8929 Před 11 lety +11

    big up brothers....jazakaallahu alfu kheir

  • @benardmwandembe254
    @benardmwandembe254 Před 6 lety +1

    Kuingia mbinguni mbwana alituambia lazima mmpokee na kumkubali yesu Christu kua mbwana.Lazima mbatizwe kwa jina la bwana yesu

  • @user-qz2yd5wm2m
    @user-qz2yd5wm2m Před 5 lety +2

    Mashaa ullah kaka angu Allah a kuzidishietu nashukuru saana

  • @nasraabdi1529
    @nasraabdi1529 Před 4 lety +2

    Tatizo la vijana wa siku hizi hawataki kujishughulisha wanataka maisha kirahisi ndio maana wanaingia freemason

  • @FatmaFatmA-qk3zl
    @FatmaFatmA-qk3zl Před 2 lety +2

    Mashallah mashallah mashallah
    Tupe elimu!

  • @user-pf4nj5qb8p
    @user-pf4nj5qb8p Před 11 měsíci

    Sheik is telling the truth my dear Muslims

  • @bonifacelimo1250
    @bonifacelimo1250 Před 2 lety

    Kuna mtu aliyekuwa na roho ya kuona Wat will happen in future bt hakuwa roho wa mungu.paul aliikemea Mpaka akaingizwa jela kwa kuwa wafanyibiashara fulani walikuw wakimtumia you iyo mama. I

  • @WamsooWaEmbu
    @WamsooWaEmbu Před 2 lety +2

    Internet means INTERNATIONAL NETWORK

  • @evalineakuku590
    @evalineakuku590 Před 5 lety +1

    mafundisho mazuri sana catholic ni kanisa la shetani psstor wangu alitabiri mambo hayo unayoyasema 2o13

  • @kimodojamesofficial1713
    @kimodojamesofficial1713 Před 4 lety +4

    Hakina ni maneno ya kwel kabisa

  • @nasraabdi1529
    @nasraabdi1529 Před 4 lety +2

    Jazakalahu khery sheikh

  • @MrDee-ts3lh
    @MrDee-ts3lh Před 2 lety +2

    Point of correction Peter Parker ndio jina ambalo analitumia kwa filamu lakini jina Lake halisi ni Toby maguaya

    • @mucci_AI
      @mucci_AI Před 2 lety

      😂😂😂 huyu Sheh muongo sana

    • @MrDee-ts3lh
      @MrDee-ts3lh Před 2 lety

      Sidhani kwani wacheza filamu wote ni waabudu shetani

    • @mucci_AI
      @mucci_AI Před 2 lety

      @@MrDee-ts3lh fuatilia hata mihadhara ya kidini ya kikristu na kiislam mle wanauongo sana yote kupata sadaka

  • @albert3359
    @albert3359 Před 2 lety +1

    Mimi sio mwislam lakini anachongea sheikh kweli kweli

  • @aishabrondi236
    @aishabrondi236 Před 2 lety

    Myaka nane iliopita ulioyaongea ndohaya tunayoyaona mungu akupe afya na uzima wamilele

  • @linetkizia3869
    @linetkizia3869 Před 7 lety +2

    acheni matusi tafadhali fanyeni utafiti. nabii hakubaliwi kwao

  • @suzankarin7949
    @suzankarin7949 Před 8 lety +1

    if I was asked to produce a fool in this world I would take you,danger in electric post ingewekwa Kwa waya za stima yet the wires cause electric shock😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bonifacelimo1250
    @bonifacelimo1250 Před 2 lety +1

    Iyo ni story. Soma Bible ikuelekeze kwa njia za mungu. Kama hujaokoka sema:Bwana yesu niokoe na nisamehe dhambi zangu. Nimejaribiw Wewe ni bwana. Ushaokolewa . We are controlled by God's kingdom. If u are saved you will differentiate mambo ya shetani na ya Mungu na huwezi kuwa affected na hizo vitu.

  • @fardosaahmed1090
    @fardosaahmed1090 Před 4 lety +2

    Suleiman I love you

  • @jovialbisama8011
    @jovialbisama8011 Před 9 lety +3

    sheikh he speaks the truth

  • @samuelwaithera864
    @samuelwaithera864 Před 6 lety +2

    Allah ilaha ilallah tusaidiye

  • @saidiissa358
    @saidiissa358 Před 8 lety +3

    Ustadhi mazinge unanipa raha xan

  • @JoyceGeorge-qv4ck
    @JoyceGeorge-qv4ck Před 6 lety +2

    sasa sheikh naomba unisaidie kuhusu hizo saa maana ndo tunaztumia sasa sijui hizo saa za ukweli nitazipata wap??

  • @user-tb4lj6zv5p
    @user-tb4lj6zv5p Před 8 lety +4

    your so creative..nice try!

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Před 9 lety +2

    huyu si mzima maana sisi wenyewe tunamuona kupitia internet sasa kwanini hasipige marufuku hao wanao mrekodi ...ummefulia!

  • @sevenwakenge8694
    @sevenwakenge8694 Před 5 lety +1

    Amini yesu utaokolewa unaweza sema kweli lakini bila yesu ni bure tu

  • @saidiissa358
    @saidiissa358 Před 8 lety +15

    Na pia nakubari kua islamic ndio dini ya kweli wengine wote kopy

    • @cateogwayo8138
      @cateogwayo8138 Před 4 lety +2

      Kwa sababu wewe ni muislamu ongea mambo yenyu wacha dini zingine..nyie ni majini tu mumebobea hahaa..

  • @mkimbiziboy
    @mkimbiziboy Před rokem +1

    elimu ndo mahali pa kukimbilia

  • @thebeastfromtheeast5880
    @thebeastfromtheeast5880 Před 6 lety +1

    I wish waislam hawangekuwa Duniani.... Mungu angerudi alaka sana

  • @omarympambije3221
    @omarympambije3221 Před 5 lety +1

    iv mihadhara iliishiaga wapi,waturejeshee mihadhara ndugu zetu wakristo wapate maarifa wasilimu waje ilipo nuru ya Allah(s.w)

  • @ashaomina1136
    @ashaomina1136 Před 3 lety +1

    Niukweli kabisa hata corona

  • @iddimohamedi9892
    @iddimohamedi9892 Před 8 lety +1

    Islamic is the way of life

  • @FatmaFatmA-qk3zl
    @FatmaFatmA-qk3zl Před 2 lety +1

    Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Před 2 lety +1

    Catholic itatuingiza sehem mbaya sana maana ni shirika kuu la shetani ulimwenguni. Ndio maana wanaabudu sanamu wakati ni chukizo kuu kwa mungu . OLE WAO WAABUDIO SANAMU

  • @sarahkudoyi4371
    @sarahkudoyi4371 Před 3 lety

    Toka nigundue dunia inatawaliwa na shetani mimi huomba dua tu na mwisho mwema.. hayo mengine nawaachia nyie mnaojisumbua kutangaza manake ata hizo nguo na hio mitambo mnayotumia niya kwao huko😆😆😆😆😆

  • @abdalsalim9143
    @abdalsalim9143 Před 2 lety +1

    Mungu akupe umbri mrefu inshaallah

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Před 2 lety +1

    jazaka llahu lkheir

  • @ochibamuchalwa6203
    @ochibamuchalwa6203 Před 8 lety +2

    Does this guy know that this video is on the same Internet that he is speaking against? It is only a deaf and blind person who gets rained on.

  • @liliankondo489
    @liliankondo489 Před 9 lety +2

    dogo mwenye shati jeusi uongo haumuingii kabisa. he is very smart.

  • @iddisokoni989
    @iddisokoni989 Před 7 lety +1

    inshalah mungu atujalie tuondokane ubilisi

  • @mourahjoseph6393
    @mourahjoseph6393 Před 6 lety +1

    Hapo ndugu umesema! Waambie waelewe!

  • @priscachitemo857
    @priscachitemo857 Před rokem

    Jamini Kuna Mambo yatendeka hapa dunia hatuyaji

  • @IsayaKiwale
    @IsayaKiwale Před 10 lety +2

    kweli nyie ni wapuuzi maana naona kila mtu anaweza kuamka tu nyumbani kwake na kuja kuwafundisha anayoyawaza,au kuhisi na nyie kukubali tu bila kuyapima ukweli wake.

  • @husseinhassan256
    @husseinhassan256 Před 7 lety +5

    100% true story

  • @frankmpinga3295
    @frankmpinga3295 Před 6 lety +2

    nakukubali sana

  • @Subscribe_like_share_1
    @Subscribe_like_share_1 Před 7 lety +8

    Masha Allah mazinge

  • @nazshee5404
    @nazshee5404 Před 5 lety +1

    sit and watch everthing the man is talking is real and will come to pass

  • @sharifidriss6158
    @sharifidriss6158 Před 2 lety +1

    Wangapi tunazikiliza mawaidha ,January 2022

  • @drmsouthsmalltrader1138
    @drmsouthsmalltrader1138 Před 8 lety +1

    Mashaallah msische kutuelimisha mskafiri japo mskafiri watachukia

  • @saidrashid602
    @saidrashid602 Před 9 lety +5

    MashaAllah, Mungu akulinde suleiman

  • @germinuspastory8278
    @germinuspastory8278 Před 8 lety +20

    Mi ni mkristo lakini anayozungumza shehe/ustaadhi ni sahihi kabisa!

  • @harrietmidecha7981
    @harrietmidecha7981 Před 7 lety

    Yesu ndiye njia the devil is a liar he can never over power us kick the devil out off our life just accept Jesus stop many preaching Jesus Jesus is so gd mkubali

  • @makkahhalhajj3552
    @makkahhalhajj3552 Před 5 lety +1

    Musiwatusi wakristo tumieni busara coz hata mtume( sws)hakutumia hasira.

  • @nasraabdi1529
    @nasraabdi1529 Před 4 lety +1

    Allah is the only solution

  • @juliejulie6063
    @juliejulie6063 Před 7 lety

    sisi sote ni watoto wa Mungu na Mungu yy hujuwa mwenye humuomba na uqweli twachane na matusi haisaidi,, nakushukuru wewe shehe nmejifunza kutoka qwako

  • @fardosaahmed1090
    @fardosaahmed1090 Před 4 lety +1

    Inshallah akuingishe jannah

  • @MwamasangulaMgeni
    @MwamasangulaMgeni Před 9 měsíci

    Good revelation

  • @jmirush3200
    @jmirush3200 Před 6 lety +3

    Hivi sasa watu waliosoma katika karne ya ishirini na moja wanaamini ujinga mtupu kama huu. LOL...

  • @leahmwankundile8522
    @leahmwankundile8522 Před 6 lety +4

    Yesu ni kiboko wa vyote

  • @mustaphakhamis1597
    @mustaphakhamis1597 Před 9 lety +1

    Tisha.sana Suleiman

  • @KnowledgeClass.
    @KnowledgeClass. Před 5 lety +1

    CZcams inamilikiwa na mtu wa Marekani pia. (Mwenye kuelewa kaelewa)

  • @onelovechannel2179
    @onelovechannel2179 Před 3 lety +1

    Very true

  • @ambrosekizidio8976
    @ambrosekizidio8976 Před 2 lety

    Google haiwezi kuwa ya waislamu bwana. Huyu bwana aende shule. Inter ati ni kuingia. Boss acha uongo.