#youtubeplaque #1000ksubscribers #ukomboziTV #historia Siku ambayo chaneli ya Ukombozi TV ilipewe tuzo maalumu baada ya kufikisha Subscribers laki moja(100,000)
Lakini pia kitengo Cha digital platform kijitaidi sana pia ku base kwenye mitandao ya kijamii kama FB, Instagram coz kule pamepoa sana inatakiwa nguvu iongezeeke zaidi upande huo pia yaaani Kila tukio linawekwa kwa wakati
Amina Baba
Amen 🙏 🙏 🙏
Amen amen
mungu aendelee kukupa kibali duniani kote ukomboz tv ijulikane
Amina ubarkiwe Zaid baba
Amina Mungu Endeleya kubariki Ukombozi
Hata mm nakupenda sana Kwa mafundisho yako Hongera sana kwa neno
Hallelujah ukombozi idumu milele
Haleluya 🙋♀️🤩🤩🤩🤩
Congratulations prophet!!
Lakini pia kitengo Cha digital platform kijitaidi sana pia ku base kwenye mitandao ya kijamii kama FB, Instagram coz kule pamepoa sana inatakiwa nguvu iongezeeke zaidi upande huo pia yaaani Kila tukio linawekwa kwa wakati