BILA WOGA, MAMA ATINGA NA KIDUMU CHA MAJI KWA WAZIRI AWESO "TUNACHUJIA SARUJI, NGOZI ZINABABUKA"
Vložit
- čas přidán 2. 10. 2021
- Wakazi wa Msumi, Mbezi Makabe jijini Dar es Salaam wamesema upatikanaji wa maji katika eneo hilo ni mgumu tangu mwaka 2005, huku wakitumia saruji kuchuja maji.
Kwa mama tulienae Sion aweso akimaliza miaka mi2 mbele
Tunababuka kama kenge...!! Poleni sana
Pore sana
Hii Tz bhana bora iwe Ncha na sio NChi mamae
Oweso njoo mwanza kisesa ni shida
Haya wale wa jpm jembe hili mbona hakuliona???mama hoyeee
Kwa akili ya mama enu atambadilisha
Doooh .CCM OYEEEE
Wapga kura maji machafu,wapigiwa kura maji safi na salama.
Utafikiria sio TANZANIA yenye TANZANITE, GOLD, NATIONAL PARKS, LAKES VICTORIA, LAKE, TANZANIA MALAWI TOURISIM MT KILIMANJARO etc lakini WATANZANIA wanadhirika bila maji NI magonjwa tuu
Umeona mkuu
Tunakua weusi kama KENGE😂😂😂
Tanzania yetu hadi leo kila kitu changamoto nani achkuliwe hatua???.
Sasa ivo ndo inavo takiwa sasa tangazo ilo unaweka mwisho sio mwazo tuu karbu karbuu
Tunakuwa weusi kama KENGE 🤣🤣🤣 Imenibidi nicheke tu mana hamna namna
Haya yote yalisababishwa na mbowe na chama chake cha chadema😁
Kweli yamesababishwa na mbowe na chama chake ndio kikomadarakani tangu uhuru 1961 watu hawana hata maji ya kukoga
@@ahmedzahor2975 huo ndo ukweriii😁😁
Fats members