jinsi ya kupika bajia za dengu tamu sana na kwa urahisi sana
Vložit
- čas přidán 30. 05. 2021
- nimetumia unga wa dengu vikombe 2
chumvi nusu kijiko
majani ya dania nusu kikombe
kitunguu maji 1
kitunguu saumu na tangawizi mbichi kijiko 1
beking powder nusu kijiko
pilipili mbichi 2
pilipili boga kipande na maji kiasi
Nimependa mafundisho Yako dear upo vzr
❤❤❤nitatumia recipe hii innshallah nitatoa pishi mubashara
Ahsante masha Allah napika kwa ajili ya ftari..
Shukraan habibti wangu❤
Ivi auweki amira
Ubarikiwe sana dada yangu
Napendasana...
Mashallah mashallah 😋 😋 👌 zavutia Sanaa na hyo sosi tu
sana my love shukran ssna dear
Subhaanallah its looking good
shukran sanasana
🤣🤣🤣
Atleast na Mimi nimepata mwenzangu hapendi bhajia za sima
Asante sana mamangu, nimefata recipe zako mbili sasa...Ma shaa Allah,nimepika keki ya chocolate na hizi bajia...familia imefurahi sana...sijawai pika hizi bajia zikawa tamu na laini hivi
ooo jaman naskia raha sana mashaallah asante sana sana my dear
@@ashayummy2299 karibu sana, tuko pamoja In shaa Allah
Asante sana
🤣karibu tena.🙏
nilikuwa ninauliza
Nazipendaga hivi Kwa chai ya rangi bila hata ukwaju nazila nyingi Sana Mimi da Asha 🙈🙈🙈ma sha Allah
🤣🤣🤣 ulijuaje naila kweli kabisa tamu sana hizi chakula na chai ya rangi tuutamaliza zote shukran love
Nice
asante mwaya
🤣
Haziwekwi ugawangano?
Aunty if you make burritos you will get a lot of views
ok I will make soon
Maashaallah, mapishi ya uhakika kutoka kwa Ashayummy.
shukran sana
Haziwekwe amira?
Pambe
Nilazma kuweka baking powder
Ukiweka nivizuri zaid