Highlights | Wydad AC 2-1 Mamelodi Sundowns | AFL Finals 1-leg 05/11/2023
Vložit
- čas přidán 4. 11. 2023
- AFL FINALS 1st LEG: Wydad Casablanca imeanza vema fainali baada ya kuitandika Mamelodi Sundowns mabao 2-1 katika mchezo wa mkondo wa kwanza kwenye fainali ya African Football League, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Mohamed V, nchini Morocco.
Wafungaji kwenye mchezo huu ni Rivaldo Coetzee aliyejifunga dakika ya 41', Abdelmounaim Boutouil aliyeichomolea Wydad dakika ya 73 na goli la ushindi limetoka kwa Anas Serrhat dakika ya 78. - Sport
Speed will confuse Sundaws... Wydad's experience outside the field is great... and Wydad can change the result however it wants ❤❤❤
Kwa yanga ni avyowajua, wakiamia jambo lao wanaweza. Wachezaji waingie na spirit ya kupambana mpaka jasho la mwisho na kufanya jambo.
هُنا إتهى كل شيئ
Wanafungika sana
Bona wa kawaida sana
Hii tar. 5.11.2023 kumbe yanga nao walikuwa wanacheza na mtu wao hapa.😂😂😂
Lakini jamani wanaupiga mwingi sana ila wana wachezaji wamamelod asilimia%80 mamelod awana wachezaji wengi wene uwezo binafsi ivyo base yanga bado ina chance zidi ya mamelod#########
Pp
wanawezekan watani
Ili yanga ishinde, ijifnze kutumia Kona, freekicks na counterattack...
Lakin pia lazima wacheze tough game ktkati
Kabsa maan nmeona mamelodi wanafunguka sana
2xubilie kexho bwana mungu alixha paanga nan atacheza nuxu fainali
We unaesema niwakaida utafrah jmosi atamkija na majini mia
Mamelod watafungwa nyingi Kwa mkapa
Mbona zakwetu bongo amuweki dakika nyingi hiv
Ni wakawaida sana yanga msiogope jina
Hamn anapgwa mamerod
Mbn mamelod wakawaida sanah 😂😂
Au sio 😂😂😂😂
Yes
Hawa mamelodi mbona wanafungika tu
inawezekana j mos kufa jitu kwamkapa 3
Yanga wazee wa majini mbona jmosi atar.
Kwakiwango hiki kwayanga mnara utasoma
Jaman baada ya kupangwa na mamelod nmekuja kuchek hapa mech zao je mnanipa asilimia ngap kushinda mwananch???
Wewe kama mimi tu broh,
Imebidi nije nijiridhishe😂
Tupo pamoja
Lazima mchapike hamna namna mechi hii sio gezo cha kujipma asilimia ngapi kwa mamelod
@@davidkomba4241 Ila Tanzania hususani machizi wa jangwani pkee ndio wana amini wanamtoa Mamelody
Yanga 0 sundown's 6
Hawa kumbe wanapitika