Video není dostupné.
Omlouváme se.

Boutross - Omoka feat Wakadinali & Mastar VK ( Official Visualizer ) ( Prod. By Dede )

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 04. 2020
  • #shraplife #boutross #6ixviewsii8k
    Boutross " Shrap God " drops deluxe version of 6ixviewsii8k which showcases the Rap and Popular Side of Shrap Music .
    Download & Stream 6ixviewsii8k
    * Apple Music , Spotify , Deezer - untd.io/r/A3gB...
    * Boomplay Music - bit.ly/3eB2Hn0
    Executive Produced by Musau Mumo and Boutross Munene .
    LYRICS
    ( Mastar Vk )
    Buda ju nimeomoka nikipita kwa njia ondoka(ondoka) , daily naball na mogoka ju nimekafunga ka locker(locker), Vera anaringa na planyo iza joh nimetambua kwamboka(kwamboka) bado unacheza na bano nipate casino mi huchezanga poker(iyee)
    hii pesa imeniweka mbele ndani ya gari si weh ni kadere(kadere) , unaringa na vile uko nyuma naeza kutuma nisichafue puma (puma), Msupa anaitwa auma nilikuslice na nikakauma(ooh), kumbe hupendaga chuma alijinice we hufanya ananuna(nuna), ati Vk napenda your swag(swaga) mi baby napenda hiyo nyuma(haga) , Niko na mapesa kwa bag na zinaeza kutibu hapo mahali unaumwa(umwa), usiku ye hapendangi Giza(yeah) ndio maana mi hupull up na pizza(haah) kindom kiwake alafu mastaar unanimaliza , ju shoti napiga ka chweza Buda ju nimeomoka na fare silipagi chweza Uber ju nimeomoka(Omoka)
    ( CHORUS )
    Swagga ni ngori nadunga machain Buda ju nimeomoka(Omoka) na bado ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(Omoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) nasema ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(yeah yeah) Swaga ni ngori nadunga machain Buda ju nimeomoka(nimeomoka) na bado ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) nasema ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(yeah yeah yeah yeah ayee)
    ( DOMANI MUNGA )
    Mi swagga ni ngori nakunywa madem We ni upige ithafu uomoke
    Toka tupate pia sisi Soko yetu Tuliwacha kutrap huko kwote
    Vile tuna press more kama doom This end of topic maroaches
    This is win and loses Street tunahawk ,Tukitake Lots of risks for the bosses
    East napumzika fiti Nika nimelala jela zote Embakasi
    Rap mi ni mzazi Still, si ndo huponanga bling zote za wasafi
    Mi hulala same ka kitambo Mzee mzima provider siwezi kuwa mrazi
    Niliambiwa me ni savage Kupanda stage na Njumu za designer Store zote nina wafuasi
    Last victim kwa crime Kitu waliona ilikuwa ni mashetani
    Ju tulimkula, hashtag excellent Ilikuwa perfect timing
    Eastlands mahali tunaishi Parents wanaburry their kids,
    Venye madem wako abused in these streets hizi Memories zinanipea tease
    Promoter alielewa kwa sana Mi huwanga mavitu za kupunguza mastress
    Naskia show ilikuwa lit Hata after kuunguza hiyo event
    ( CHORUS )
    Swagga ni ngori nadunga machain Buda ju nimeomoka(Omoka) na bado ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(Omoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) nasema ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(yeah yeah) Swaga ni ngori nadunga machain Buda ju nimeomoka(nimeomoka) na bado ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) Buda ju nimeomoka(nimeomoka) nasema ni kweli nakunywa madem Buda ju nimeomoka(yeah yeah yeah yeah aye)
    ( BOUTROSS )
    Buda jo niliondoka (Ondoka)
    Na shawty anadai bakora (Bakora)
    Skimbi kumbe ako mboka
    Dem aliniitia wakora
    Pull up kejani
    Ati ye huchill tu mtu mmoja (Mtu mmoja)
    Buda nishashusha toja
    Kumbe uko kitchen ndio maboy walitoka, buda niliporwa
    Mtaa ni noma (Mtaa ni noma)
    Bouty ilibidi nimesoma (Soma)
    Vile nitalindaga boma (Boma)
    Hata ka mi nimekonda
    Mi hukula zenye zimenona (Nona)
    Nikipata mboka naomoka (Omoka)
    Huwezi nipata kwa corolla (Eey)
    Buda always niko working Nyi mnacheza mi niko kazi eey
    Chunga ukitembea mtaani Hapa ni ngori maboy wako lurking Eey (maboy wako lucky)
    Mi niliachana na jaba Mi na mogoka hatupatani eey
    Bouty siachani na majani,
    Hata kama huwezani eey
    Ita maboy wa NACADA Vile nawasha hizi vichaka eey
    Mi ni boy wa Wakanda Sistuki na stori Za mboka Mboka mboka eey(Kama ni ngori)
    ( SCAR )
    Mapetco, Ndio bani akibonga nalet go( Pah pah )
    Mateso Mabeast wakora wa ghetto (Shah shah )
    Kwa kettle Napika chang'aa ndani ya rental Ni mapepo
    Snitch alib***h akakangwa hadharani kwa esto Mi nimeomoka
    Pussy niggas wanapenda kuchocha Nakumbuka matha akienda kukopa
    Hii si riba nilichoka kusota Fuck them, walibonga mengi Nilipofika baze wakaondoka
    Hapa Kenya huku hakuna wera Ka unasaka hela mpaka Doha
    Na vile maskele hujipa kwa rende Siku hizi jo mi nimeogopa
    Nilibambwa na jenge mangware ju ya tire By jioni nilikuwa nimetoka
    Alah wakbar, wanabonga mengi wana lack bars
    Mi ni donga nyinyi ni marap fans
    Simnaona ni nini hardwork does
    Toka lini mimi Scar na wack verse ( Eey aah uuh, )
    Hivyo ndo nahisi Usidhani kuishi na ego ni rahisi
    Hamjastruggle ka dingo wa maiti
    Tulianza juzi nyi mlishindwaga nais**t
    Eeey we can never hype Nikikuona naona kijana you are lied to
    No wonder ulihandwa walai ju Even you're dead brothers never like you
    I swear this rappers they know us
    Tungewazoza ni vile ilifikaga Mahali we needed to grow up
    Coz most of my brothers they locked up.

Komentáře • 237