The Sory Book : GodoGodo Jambazi Aliyestarehe Kuua Polisi (Part 1)
Vložit
- čas přidán 1. 06. 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Eeeeh mungu nakuomba waajalie wanangu moyo wahuruma wawe wenye hofu juu yako nahasaa kukumbuka uwepo wako kilawapatapo matatizo 😢🙏
Amina
Hakuna kama mama. Mungu wabaliki wamama wote wanaojali familia zao.
Maisha yana mambo mengi sana mazito anyway ni the story book nzuri sana
Yes
Mwamba amerudiii tena
Jamal april❤❤
🔥🔥🔥🔥 Kutoka Familia ya SIMBA 🤝🤝😊😊
Shida za maisha zinaweza kukufanya ukawa mtu mbaya sana kwenye hii dunia🔥🔥🔥 hasa ukiwa huna moyo wa uvumilivu
Kweli kabisa
Mpaka amekuwa jambaz maana yake alivumilia sana mpaka kuingia huko ila ni hatari sana mfumo wa maisha hasa watoto yatima.
Ni kweli ndugu yaani hapa nimejifunza kitu kwamba kuna watu hujiingiza kwenye uhalifu bila kupenda kutokana na mazingira magumu waliyopitia huwa wanajitoa muhanga kwa lolote lile husema potelea mbali kwani hawaoni thamani ya maisha yao
Hakika
Jamaa alkuwa ana Akili nying sanaa
Nakubali mwamba unatupa BURUDANI
brother unatuelimisha sana be blessed tunakukubali
Napenda sana the story book yako Jamal mwenyezi MUNGU akubariki sana ni Denis kutoka KENYA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakubali jamal 👏🏿👏🏿👏🏿♥️
Sema godo godo alikuwa mbele ya mudaaa
Nakubali kaka inabidi kila wiki achia stor😂😂😂
Huyu jamaa kama sio yeye anapeana story inakuaga kelele..I love his way of story giving in a huge way...na our very own Abel Mutua AKA Mkurugenziiiii🇰🇪🇰🇪🇰🇪
True broo
Yuko vizuri huyu jamaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From Mozambique 🇲🇿
Ee mwenyezi Mungu tupe maisha marefu tuleee watoto jamani,,,Mungu watoto umetupatia tusaidie pia kuwatunza baba Mungu,,,
Mkenya lakini napeda sana (the story book)🇰🇪🇰🇪👏👏🤞
Unyama mwingiii 👍 sna #jamal
Godogodo mtu mbad,tunasubiri mwendelezo bro
Kweny story book hapo kama umemuona jamaa kafanana na mandoga hebu gonga like❤
Noma sana tuletee tena na ya mwangii wa kenya
yaani apa ndo nmekua more keen na kuconcetrate than class😂😂 ,,much love Jamal💚
Kweli we ni prof ulivyo simama kutupa storybook nikaacha kukufwatilia mkuu..Duh hii ni kubwa mno..Umenirudisha mwamba
Mungu Akubariki kwa story mzuri Jamal April 🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇬🇷🇬🇷
You are most historian man
Story inatosha kabisa kutengeneza movie🔥
Sema ile movie ya shina rambo🙌🙌
Kama wewe unaangalia The story book na kusoma coment like hapa
Sijawahi kutoka Bure nikisikiliza the Story Book
Pp
P
P
Unyama mwingi
🫡🫡🫡🫡🫡
Hii ni kama kula mrungi bila PK
Big up jamal from 254...tufanyie zingine za jamaa sampuli hii
😎 akili nyingi
Napenda zana story book, keep it up brothers jamal. inaelimiza kinamna.
Hizi ndio mambo nazipenda
😅😅 jambaz GODOGODO
Pia Mimi bro
Awe anazileta hizi hizi
@@christonchristian7448 🤣🤣🤣🙌
😂😂😂unataka uchukuwe ujuzi ama
ukishatoa hii ya godogodo sehemu ya pili gusia pia akina the 'high incident bandits'
Aminia Prof Jamal unajua kutoa hadithi kwa ufanisi.,big up kk ✌️✌️
❤❤Media moja ❤❤to Tanzania ❤❤
Wow
Godogodo mwamba kabsaa
Kazi nzur sana kaka Jamal MUNGU aendelee kukutunza
The story book 📖📚 kila ijumaa 💥✌️
The story book ibaki milele💥💥
I don't regret any minute spend here,...
Everything about the storybook with Jamal, is worth listening to, Mapenzi ya dhati kutoka Kenya, kazi nzuri sana kaka
Vizuli sana
Daaah kimenipita wasaf sema nn..nina tecno pop😅 ndo nakulike mwamba.. kazi nzuri 🎉
😂 mwanangu Dunga maweee ni mwanangu wa utotooo katika jambo nakumbuka alipitia changamotoo😅
Umeweza Mtaalamu 😂😂😂😂😂
@@rogerslwitiko3915 😂 nashukuru kk
@@ramadhanboi6485 Pamoja sana Mtaalamu
hii story naiskiza na masikio lakin hisia zinanijia kama nawatch movie kabisa
Hallo professor,, tusimulie kuhusu panam crush in 1977,,the two planes that crushed in airport
I cant dare miss your stories mr Jamal ...#mr eloquent
Nimekuwa wa kumi leo nataka nikulee story yangu ❤
Napenda story za huyu kiumbe jamani yani unasikiliza mpaka unalala,sending love ❤️ from Germany 🇩🇪
😂
I thought it's me alone😂
Nikieka nazima in 2 minutes
Mmh jmn
Njoo bongo
It's a beautiful and interesting story
Wow, Simulizi ya Kutisha, ingependeza watengeneza filamu wachukue wazo hili watengeneze filamu.
Jamal Tuletee Story ya Je DUNIA ni FLAT Au Duara na Je Kuna Kitu kinacho itwa Firmament au Hakuna ?
Plzz ndugu pitia Comment Hii👍🏿👍🏿
Nakubali jamal🎉🎉
The king in story tellers jamal❤❤🎉
... From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 with Love.... We love you Jamal we love your fact findings we are hoping that one day you will open your own CZcams Channel for easier access and we will support you
its so smash story
Finally someone said it
Yeah Jamal open your own you tube channel bana
Lakini unaelewa kiswahili au unaitaji mkalimani, 😅
Lete vi2 brother nakukubali xanaa
Hallo wasafi media, mine is not a comment but a concern towards my friend and best professor Jamal April, where is he? Am missing his story books. Mwambieni tunateseka mbila kitu ya kutazama. Am his fun and I really love that man. He narrates educational and inspirations. He is my mentor in history.
Stanley from Nairobi, Kenya
I do salute you Jamal. You really understand and know how to give story. Kudos
Kazi nzuri sana kwenye tv kipindi kinarushwa saa ngapi
The king jamali❤
R.l.P kamanda godogodo akiri nyingi ujasiri mwingi
Hapa Tanzania Kuna professor mmoja tu ambaye ni Jamal April.
mm napenda sana the story book na jamali April ❤❤❤
Jamaaal April ungekua wakati nasoma shule ningekufaidi mno kaka kwa somo la insha ...
I like this ....ongea juu ya Russia.. especially brics
Story nzuri sana
.
Wasafi media mko vzur ❤❤❤
Good job bro najifunza mengi kupitia video zko nazipenda sana Allah akubless
Uko vizuri sanaa❤❤
Jamal tusimulie Kuhusu Dr Sebi, Dr aliye weza tibu bila kuingia darasani tena magonjwa makubwa kama kisukari tunataka kumjua huyu mzee
Nenda kwa mtiga abdallah
Alikua anatisha sana huo jambazi
Professor Jamal April ✊
Safisana brother kwa kazi kubwa
wazazi angalieni sana msizae magodogodo
Hua sisikilizi story za ujambazi ila hii imekuja kama bahati mbaya na nikajikuta kama Naiona picha halisi, hakika inavutia
Hata mimi
Leo nimewahi wa kwanza nipeni mauwa yang
🌹🌹♥️♥️
The king has done it again 🔥🔥🔥🔥❤️
Wasafi "the story book" African story it's so proudly for our narrative.Shwaaaaa shwaa
Makin sanaaa
President of storytellrrs
Nawakubali ✊✊✊✊ Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi 👂👂👂 Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥
King jamal April sauti ya kumtoa nyoka pangoni
Prof Jamal unajua bhana, utadhani ulihusishwa huko 🤣🤣😂😂🙌🙌🙌👏👏
Jamal napenda story zakoo
Waiting for party two.......🙋🏽♂️
I am the nine-person to watch this storybook😂
SALUTE ALL THE TIME ✔️📈MTU MBAD👽
Mimi nnankubal sana kwa stor zake 🇲🇿🇲🇿
Shukran
Jamani me naomba kuuliza hivi hii story book inakuwaga siku gani na saa ngapi??? Kwenye televisheni
JAMAL APRIL...A.K.A Pro-fe-sir usiseme Kwa bahati mbaya useme isivyo kuwa na bahati pro-fe-sir
Another level
Napenda hii
Twaisubiri kwahamu Zaid part 2 , congratulations bro
Store nzur sana tho Bado nawaza unazipatia wapi izo stor mpaka viapo vya mtu binafsi
😂😂😂 atari sana
Story book is the best🥳🤗👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Mwendelezo tuma saiz sheikh wangu😊
❤❤❤❤❤ love u jamaal
Hatari sana
one of the best story ever, Uyu jambaz apikuwa mnoma, naisubir kwa hamu sana iyo sehem ya pili
Nakubali Sana jamal
wow!! naipenda kazi yako kaka... congratulations jamal 🙏🙏 kila wiki kama itawezekana achia simulizi ata moja... lock from mombasa Kenya
ijii
ijiiíi
ijiii
ijiii
ijiii
From Congo DRC,muzaliwa wa dar es salaam, like zenyu jamani
Naomba kuuliza
Huyo jambaz mpka leo yupo hai au amefia gerezani