ASKOFU MWANAMAPINDUZI AMVAA MSIGWA, "HAFAI, CCM MNASHADADIA! NI NANI HASA?, WATU WANATEKWA MKO KMYA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 16

  • @FilbertEmmanuely
    @FilbertEmmanuely Před 9 dny

    Barikiwa mchunhaji

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před 17 dny +2

    Askofu Mwanamapinduzi nimefarijika sana na ujumbe ambao umetupa pamoja na viongozi wa dini wengine. Mungu unayemtumikia akubariki na akupe kusimamia haki hiyo mpaka mwisho. Tunakuombea.💗

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi Před 12 dny

    Mungu alisema Imani nimaji au mafuta uongo

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 Před 17 dny +2

    Hakika umenena ukweli

  • @allonjoseph5467
    @allonjoseph5467 Před 17 dny +1

    baba mch umeeleweka

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi Před 12 dny

    Kaimbe pambio kanisani

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Před 17 dny

    Huyu jamaani3noma zama mpya

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb Před 15 dny

    Mchungaji wewe ni msema kweli hii nchi tunaumizwa sana na majizi ya ccm

  • @BonifaceKomba
    @BonifaceKomba Před 12 dny

    Asante Kwa kutupa elimu usichoke kaka Bado watanzania wajinga niwengi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 16 dny

    Kwa hiyo wewe unataka tulete fujo nchini tuanze kuuwana kwa Tanzania haiwezekani acha ushawishi wako

  • @user-mf7xy3sf6q
    @user-mf7xy3sf6q Před 17 dny +1

    Wew ndo asikofu mkweeeeeel wenginge machawa tu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 16 dny

    Askofu pole sanaaaa yaliyotokea Kenya Tanzania hayawezi kufika sisi nchi yetu hatukupata Uhuru kwa kumwaga damu acha kabisa ushawishi kama huo hao wanasumbuliwa na ukabila na udini

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 16 dny

    Kwani hana haki ya kuhama mbona Lowasana Sumaye walihamia Chadema cha ajabu nini

  • @maspro6294
    @maspro6294 Před 17 dny

    Wewe utabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu na ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako Lina nuka kama Choo

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Před 17 dny

      Wewe wasema mbwa wenzio wanasaluti kwake.

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 Před 17 dny

      Unaongelea matakoni nchi hii siyo mama yako una mamlaka gani zaidi ya kunuka chawa mbwa wewe