LIVE: Exclusive Interview na Fred VUNJA BEI | Mkataba Na Simba SC | Bifu Na Harmonize | XXL CloudsFM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • LIVE: Exclusive Interview na Fred VUNJA BEI Kwenye XXL ya Clouds FM

Komentáře • 123

  • @fadhilmilambo3773
    @fadhilmilambo3773 Před 3 lety +11

    Bro vunja beii ni more than genius , me najifunza sana kitu kitoka kwake maana Nina ndoto kubwa sana na lazima ndoto yangu ifanikiwe na amin hivyo, siku na mm ntafanyiwa interview na ntakuwa muhamasishaji kama kaka fredy vunja beii,

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 Před 3 lety +26

    huwa sipitwi na interview za fred vunja bei huyu mwamba ni genius sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 3 lety +18

    Nimekua inspired sana na Fred, very smart guy.

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 Před 3 lety +15

    The moving class....sikilizeni Kwa makin huyu mwamba..!!!!

  • @amanimanase1591
    @amanimanase1591 Před 3 lety +8

    Aisee Fred Vunja bei uninipa msukumo sana wa mm kuwa billionear japo naptia changamoto nyingi ila naimani ipo siku na mm ntafanyiwa interview

  • @leninphilip999
    @leninphilip999 Před 3 lety +10

    Watu bora sio wachoyo aiseee
    BIG UP BROO
    TAJIRI MWENZANGU HATA NAMI NIMEPITIA YAKO KUPATA PESA

    • @TheTemba1
      @TheTemba1 Před 3 lety +1

      Nakumbuka kaka wewe na fredy historia zenu ni mwendo wa kusaka fursaaaa

    • @mrliverpool1099
      @mrliverpool1099 Před 3 lety

      Tupeane mbinu hiz bro hat sie tunatak kutoboa

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 3 lety +9

    Huwa anani Inspired sana huyu fred hope nikutane nae siku moja kwaajili ya ushauri tu wa biashara inshallah 🇨🇭🇹🇿

  • @challengechallenge856
    @challengechallenge856 Před 3 lety +35

    Kama Kuna mtu anafikiri kuwa kupata pesa ni bahati aendelee kuzurura mjini ila wenye juhudi ndo wanapata pesa

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 Před 3 lety +4

    MashaAllah Allah akuongeze kila ulipo toa kaka

  • @odiliamathias5424
    @odiliamathias5424 Před 2 lety

    Una roho nzuri sana Fred kwa kumpa ela rafiki Mungu akuzidishie sana Fred angekua ndugu apo atoi ata mbuni

  • @pundaboytz2847
    @pundaboytz2847 Před 3 lety +1

    Mungu akubariki brother fred

  • @princeragy7700
    @princeragy7700 Před 3 lety +3

    Fred naomba uwe mentor wangu wa biashara....

  • @sanimoclassic1917
    @sanimoclassic1917 Před 3 lety +8

    Kama umeona kama mm malkia mmoja ana kishuuundu twende sawa

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před 3 lety +6

    BONGE LA INTERVIEW.. GOOD SN BRO YOUR INSPIRED OTHERS BRO.

    • @kaiserahmad81
      @kaiserahmad81 Před 3 lety

      I guess Im randomly asking but does someone know of a trick to log back into an Instagram account..?
      I was dumb lost my password. I would love any tips you can give me

    • @matteogunner9963
      @matteogunner9963 Před 3 lety

      @Kaiser Ahmad Instablaster =)

    • @kaiserahmad81
      @kaiserahmad81 Před 3 lety

      @Matteo Gunner i really appreciate your reply. I got to the site thru google and im in the hacking process now.
      Looks like it's gonna take a while so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.

    • @kaiserahmad81
      @kaiserahmad81 Před 3 lety

      @Matteo Gunner It did the trick and I actually got access to my account again. I'm so happy:D
      Thanks so much, you saved my ass!

    • @matteogunner9963
      @matteogunner9963 Před 3 lety

      @Kaiser Ahmad Glad I could help xD

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Před rokem

    Mashaallah nimejufunza akitu kwa bro

  • @bettymvanga3273
    @bettymvanga3273 Před 2 lety

    I like it for sure wakinga /wanyalu umoja mwingi ndiyo kutoboa kwao

  • @godblesskimathy9038
    @godblesskimathy9038 Před 3 lety +1

    I LIKE THAT

  • @farajachengula9227
    @farajachengula9227 Před 3 lety +8

    Wakingaa like zenu hapa

  • @florianntulo5731
    @florianntulo5731 Před 3 lety +1

    Atafika mbali sana, na ifike wakati Sasa serikali ianze kuwaamini vijana na kuwapa mitaji zaidi ili kutanua himya ya kifedha

  • @davevice3178
    @davevice3178 Před 3 lety +6

    Awoooteee

  • @godriverkabelela8755
    @godriverkabelela8755 Před 3 lety +2

    Safii sana ila watu wengi kinatushida mitajii

  • @malikiiddy8395
    @malikiiddy8395 Před 3 lety +3

    Fred nikijana wakuigwa sana vijana wakitanzania tuige mwenendo ya huyu jamaa

  • @eliamkamba4325
    @eliamkamba4325 Před 2 lety

    Duuu Fred umenipa mood Sana ya kupambana. Nakumbuka na mm nilikurupuka kusafiri kwenda nchi Fulani kibiashara nikaenda kuangukia pua. Nimerudi na aibu ya kufilisika. Na saizi nimeanza na moja Tena kupambana. Inshallah nami nitatoboa tu

  • @shafiiluwongo5199
    @shafiiluwongo5199 Před 3 lety +1

    Interview Kali

  • @TheTemba1
    @TheTemba1 Před 3 lety +2

    Sasa Tuseme Fredy Vunjabei aoe mchagga yewooooomi Watanunua Jimbo moja marekani.

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 Před 3 lety

      🤣🤣🤣🤣 kwelii kabisa

  • @emanueluledi5616
    @emanueluledi5616 Před 3 lety

    Vunja bei umetisha sana

  • @florenciamushy1485
    @florenciamushy1485 Před 3 lety +4

    💥💥💥💥💥💥💥

  • @aklinndelwa1832
    @aklinndelwa1832 Před 3 lety

    Thanks

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před 3 lety

    Hongera sana

  • @mafiosoismail7475
    @mafiosoismail7475 Před 3 lety +4

    Fabulous 💪💪💪

  • @dalmanutadalmanuta4102

    Smart brain

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Před 3 lety +6

    Mkinga huyo kusoma ni lazima na siyo option,take that.

    • @blandinamyinga9489
      @blandinamyinga9489 Před 3 lety

      @travelstylish nurse na ndiyo Mpango mzima **unadhani kuajiriwa ni dili??angalia wakinga walivyoibeba kariakoo,unadhani ni mwajiriwa gani anaingiza hata nusu ya hela za wale wakinga kwa mwezi??

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 Před 3 lety

      @@blandinamyinga9489 Hakuna Hebu nenda kiwandani ukanywe soda zisizo na idadi uzikalie chini ukimaliza Nipigie simu nije kulipa

    • @blandinamyinga9489
      @blandinamyinga9489 Před 3 lety

      @@shangwekamando2599 😂😂

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před 3 lety +5

    Jitaadhali na wapambe hapa mjini utadhalilika

  • @happysanga6595
    @happysanga6595 Před 3 lety

    Fredy ni hivitu 🙏🙏

  • @pfpsurvey3810
    @pfpsurvey3810 Před 3 lety +1

    Kutoka ukingani, Mwalimi Siso...Fred inshallah be my Mentor in business.

  • @QwQw-tr7gy
    @QwQw-tr7gy Před 3 lety +2

    Dada anamtako Fred kamuangaliaa atar wanaume mnapenda mitako dah

  • @malikiapaul4016
    @malikiapaul4016 Před 3 lety +1

    💥💥💥

  • @shallysauda3416
    @shallysauda3416 Před 2 lety

    Big up odong

  • @janethdavidsanga5999
    @janethdavidsanga5999 Před 3 lety +9

    Kaka Fredy one day nitakuwa kama wewe i promise

  • @allysalimsalim4965
    @allysalimsalim4965 Před 3 lety +1

    Nimejifunza kitu hapa

  • @evaipyana9706
    @evaipyana9706 Před 2 lety

    Kaka unanitia sana Moyo.

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 Před 3 lety

    Vunja bei mwenyewe ana semaje

  • @selekiwande64
    @selekiwande64 Před 3 lety +1

    Fred vunjabei nimiongon mwa vijana wa kitanzania wenye akiri kubwa 'na mawazo mapana hlf sio mbinafsi kwenye kutoa mawazo kwa vijana wenzie

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 Před 3 lety +2

    Mi hoi na huyo big jaman😆😆😆🤣🤣

  • @derrickdeo9137
    @derrickdeo9137 Před 3 lety +2

    Dada umesahau begi lako chukua beg 😂😂😂 ila adam hapana unataka uone nn

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 Před 3 lety

    Hapo kwenye shule umenifanya Wana waheshimu Sana hustle kwamba ulishawahi kosa ajira lakini baadae ukawa poa Sana na utajiri wa nguvu

  • @joohcloudy738
    @joohcloudy738 Před 3 lety +2

    Fred unani inspire Sana.

  • @lukasanga685
    @lukasanga685 Před 3 lety

    Mwalimi 💪💪💪

  • @bakariathuman5123
    @bakariathuman5123 Před 3 lety +3

    Adam na kimbunga tunaomba vyeti vyenu vya u-dizm

  • @greatadvisortv8806
    @greatadvisortv8806 Před 3 lety +6

    Hatar xana

  • @Nassprince
    @Nassprince Před 3 lety +3

    Kuna mdada Kapita hapo ana mtako huo aiseee OYA PATI TUDE AWANTUSHO MA ATTITUDE 😅

  • @Crazy-et8hl
    @Crazy-et8hl Před 2 lety

    Jaman me naomba mniunganishe na vunja bei

  • @amanimanase1591
    @amanimanase1591 Před 3 lety

    Wanyumbani huyo amina j4 lyimo

  • @MALELEMBARIMO
    @MALELEMBARIMO Před 22 dny

    WATANZANIA !!!!
    Msichanganye mawazo na pesa fred ni wakawaida kiakili ila pesa zinamfanya aonekane ana akili ni kawaida sana😂

  • @emtv9675
    @emtv9675 Před 3 lety

    Mbona hayo mawazo yao na niliokua nimetuma mimi naona langu liko creative sana anyway sio hahati yangu labda

  • @hasheemonline2765
    @hasheemonline2765 Před 3 lety

    Kijana mpambaniji naomba mtaji ni grafiq chipkz na nina aidia nzuri ya business naweza kupata mtaj na nikaurudisha baada ya miezi qazaaa

  • @kinyeletv313
    @kinyeletv313 Před 3 lety +1

    Let me take action

  • @najma3268
    @najma3268 Před 3 lety +6

    Huyu kaka wala sichokagi kujifunza kwake

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 Před 3 lety

    Dada wa mkokotenii nmekubalii Wazo lake atapigaa helaa saaana

  • @yusrasalum
    @yusrasalum Před 3 lety

    Huyu adam anapenda sana utani kama mwepesi kukasieika utashindwa 🤣🤣

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před 3 lety +1

    Tuliosoma masuala ya habari adamu anachokifanya kinaitwa entertainment journalism kama wanavyofanya kipindi cha jahazi unachakangamsha hadhira.

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 Před 2 lety

    Huyo msela watu wengi sana wanamchukulia poa sana. Ila hawamfahamu upande wake wapili ni nani. Ukitaka kujua upande wake wapili huyo msela ni hapo anaposema aliajiliwa Gvt kisha akatoka. Akaja huu upande mwingine aliopo hivi sasa. Ila kwenye huo upande wa kwanza alikokuwa anafanya kazi na kuondolewa mara nyingi sana huwa hataki kusema alikuwa Gvt idara gani na aliondolewaje. Mara nyingi akifika hapo huwa anazuga zuga sana na kuhamia mada nyingine kukwepa maswali. Ukitaka kumjua vizuri huyo msela mwangalie namna alivyo na anavyoongea.

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 Před 3 lety +1

    😂😂😂 daah jamaa anakumbuka hadi nauli ya tiketi aliyoendea mara ya kwanza

  • @fadhilijuma4516
    @fadhilijuma4516 Před 3 lety +3

    Bonge moja la interviw

  • @musahmichael3480
    @musahmichael3480 Před 3 lety

    mama malikiya wamefungasha huko nyuma

  • @hassanikambi5019
    @hassanikambi5019 Před 3 lety

    Adamu Mchomvu hapaswi kufanya interview ya vitu seriously...Kuna mambo hayaitaji Masihala hata kidogo

  • @thefutureisnow3586
    @thefutureisnow3586 Před 3 lety

    Hiyo nyimbo yako professor ni ya kihuni ina maneno machafu(kamuulize mama yako)

  • @sharothedontz8448
    @sharothedontz8448 Před 3 lety

    Yap bira juhud paka uzee ndo jibu

  • @edisonkashaija4067
    @edisonkashaija4067 Před 3 lety +2

    Ebu like hapa tujuane kwa wale waliomuona vunja bei akimumfuatisha macho huyo dada wa Airport 😆😆😆😆

  • @barleescasira6176
    @barleescasira6176 Před 3 lety

    😂😂😂😂 wagalatiaaa kutoboa nilazima....kumbe jamaa mgalatiaaa...😂😂😂😂

  • @abuymchina3646
    @abuymchina3646 Před 3 lety +1

    Dada nmefunga lkn dada duuuh unataja misos hahahaaa.ndio Adam wape mashavuu mjengon.clouds

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 Před 3 lety

    Dada nimefunga Dada hhaha shenz sana Adamu😂😂😂

  • @obenitejailos7007
    @obenitejailos7007 Před 3 lety +6

    KUNA MALAIKA WA NGUVU MMOJA KAPITA DAAAH