MAMBO YA KUEPUKA KUFANYA ASUBUHI-KUWEZA KUIKABILI SIKU NZIMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 07. 2024
  • Vitu Vya Kuacha Kufanya Asubuhi ili Kuwa PRODUCTIVE na Kuweza Kuikabili Siku Yako Nzima. Asubuhi ni moja kati ya muda muhimu sana kuthamini mambo/kazi zako utakazofanya siku nzima.Katika kujenga tabia zenye kuvutia mafanikio ni muhimu sana kulala mapema na kuamka mapema,Kusoma vitabu na kufanya mazoezi. Lakini kuna mambo ya muhimu sana kuepuka kuyafanya kila inapofika asubuhi. Na hapa wengi sana hufanya kosa bila kujua kwa kujipongeza kuwa wamefanikiwa kuamka na kumbe kuna mambo wanayofanya na kujifungia baadhi ya njia za mafanikio. Sasa katika somo la leo hebu tujifunze ni mambo gani ambayo tunapaswa kuepuka kuyafanya kila asubuhi ili tuweze kuwa katika wale wenye kujenga msingi mzuri wa mafanikio katika maisha yetu.
    Timecodes
    00:00 Hook
    0:20 Bumper
    01:20 Intro
    01:21 Kutoplan Siku Yako
    05:12 Kulalamika
    09:44 Kuangalia Mitandao Ya kijamii
    12:55 Kufikiria nini cha Kuvaa
    14:30 Kuoga Maji ya Moto
    16:03 Outro
    🔴TABIA 10 NZURI ZA KUFANYA KILA ASUBUHI ILI KUWA PRODUCTIVE (Best Morning Habits/Routine) 👉 • TABIA 10 NZURI ZA KUFA...
    🔴 Tumia tool hii kupanga kazi zako👉todoist.com/app/today
    🏆Lengo Langu 🏆
    "Ni kushare na wewe Masomo chanya juu ya mambo mbalimbali katika Maisha na kuhakikisha tunakuwa sehemu ya mafanikio yako"
    🔴Nimeanzisha Podcast yangu mpya inaitwa Gonline kwenye Afripods, link hii 👉 afripods.africa
    Usiache pia kuniandikia mawazo kwenye comment section na share kwa wengine pia ila wajifunze zaidi.
    🔴Nifuate IG- / gonline_pos. .
    BIASHARA, MATANGAZO, KUSHIRIKIANA NA USHAURI EMAIL: onlinemedia364@gmail.com WHATSAPP : (+255) 629-718385
    ..............................................................................................................
    🔴TAZAMA VIDEOS ZANGU ZINGINE AMBAZO UTAZIPENDA 👇👇
    ⚡JINSI YA KUTIMIZA MALENGO MWAKA 2020:Kanuni 3 lazima uzifuate kama unataka timiza malengo/ndoto yako👉 • JINSI YA KUTIMIZA MALE...
    ⚡REVIEW MWAKA 2021 ILI KUWA BORA/VIZURI 2022👉 • REVIEW MWAKA 2021 ILI ...
    ⚡MBINU ZA KUONGEZA WATEJA KATIKA BIASHARA YAKO👉 • MBINU ZA KUONGEZA WATE...
    ⚡SABABU 6 KWANINI KUFELI NI VIZURI KWA MAFANIKIO YAKO 👉 • SABABU 6 KWANINI KUFEL...
    ⚡ TATIZO LANGU NI AIBU NASHINDWA KUKUTANA NA KUCHANGAMANA NA WATU (SOCIAL ANXIETY)| Zahir Gomelo 👉 • TATIZO LANGU NI AIBU N...
    ⚡Kila Kijana Anatakiwa KUSIKIA Hii/CHAGUA MARAFIKI SAHIHI KATIKA MAISHA 👉 • Kila Kijana Anatakiwa ...
    ⚡TABIA 3 ZA MAFANIKIO ZA KUWA NAZO: Ili ufanikiwe katika malengo na ndoto zako mwaka 2020 👉 • TABIA 3 ZA MAFANIKIO Z...
    ⚡KANUNI 4 ZA MAFANIKIO KATIKA BIASHARA 2020 : Nilizojifunza kutoka kwa JACK MA 👉 / 4vinlngo3q
    ⚡TABIA 10 NZURI ZA KUFANYA KILA ASUBUHI ILI KUWA PRODUCTIVE (Best Morning Habits/Routine)👉 • TABIA 10 NZURI ZA KUFA...
    ⚡SIRI 5 ZA MAFANIKIO KWA MAISHA BINAFSI, BIASHARA (Funguo za mafanikio katika maisha.)👉 • SIRI 5 ZA MAFANIKIO KW...
    ⚡ISHARA 5 ZA ONYO AMBAZO ZITAKUONESHA KUWA HAUPO TAYARI KUANZISHA BIASHARA KWA MUDA HUU👉 • ISHARA 5 ZA ONYO AMBAZ...
    ⚡GUNDUA KUSUDIO LAKO KATIKA VIDEO HII YA DAKIKA 4/ How to find your PURPOSE Under 4 Minutes 👉 • GUNDUA KUSUDIO LAKO KA...
    ⚡HATUA 5 ZA KUUSHINDA UOGA WA MAFANIKIO/ 5 STEPS HOW TO OVERCOME FEAR OF SUCCESS👉 • HATUA 5 ZA KUUSHINDA ...
    ⚡JINSI NINAVYOSAVE 50% YA KIPATO CHANGU- Tips 6 za kusave pesa ambazo zitakuza kipato chako👉 • JINSI NINAVYOSAVE 50% ...
    #Mamboyakuepukaasubuhi #Asubuhi

Komentáře • 1