Neno ndoa linaweza kuwa na herufi Chache sana .... lakini ukubwa na maana halisi ya Ndoa upo tofauti na uchache wa herufi zake. Jifunze kuheshimu kitu kinachoitwa ndoa hiwe ya kwako au ya Mwenzako.
Inaelimisha nakutufunza sisi site asant sana busati Niko hapa nimekaa nakunywa juice🥤🍿 na kucheki binam talatibu akinitoa mtu busat tv mnite mbwa nimekaa pale
Karibu kwenye group letu la Busati Tv WhatsApp
Link 👇🏻👇🏻
chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
Nice👏👏👏👏👏
🙏🙏🙏
Mbona nime link inakataa
Bonyeza hayo maandishi ya blue
Au tuma msg WhatsApp 👉🏻 +255714072874
Safiii sana love mob mob kwa busati ❤❤❤
Asante sana
Nangoja ya part 3 nawakilisha🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kutoka Kenya Tuanawapenda sana Mko na love Mingi 🥰🥰🥰💕❣️❣️💕❣️
Naaam.
Hakika mnastahili sifa, good job🔥🔥🔥🔥.
🇹🇿 to🇧🇮 much love
Thanks sana 🇧🇮❤️
🤣🤣🤣🤣🤣kamba tatu huwa ananifurahisha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha kwann?
Hongeren Sana good job
Asante sana
Daah asanteni sana wanabusati acha nitafute kiti nikae chini🤣🤣niangalie utamu wa wanabusati mie mama obama
Ooooh Mama Obama tunakupenda sana 🥰🥰🥰 Tena ukae kwa kutulia kabisaaaa
Hongera kwa Muchezo Nzuri
Asante sanaaa
Busati tv. Mnamafunzo mazuri sana kazi nzuri sana hongereni sana
Asanteee sana, Mungu akubariki
Vizuri sana
Asante sana
Tamuuuuu sanaaaaa jamani
🤣🤣🤣🤣
Hongereni Wana busati mpo swa👏🌹🌹🌹
Asante sanaaa @Aisha
karito umejifunza sana
Asante sana
Mmmmm, huyo mjombaaaaa
😜😜😜😜Mudhuri hatar 😆😆😆
Binamuuuuuuuuuuu😎😎😎😎😘
Mjombaaaaa kaingia Kijijini na Binamu anatongoza Mashemeji sasa itakuajeeeee
Love mingi kwa Wana busati ❤️✌️
Asante Sanaa
Kidunda 😁😁😁kamdunda
Hahaha Sasa itakuaje
@@busatitv noma sana
Hatari sana, Sumu Ya Ndoa Part 4 ipo hewan
Good sana move
🙏🙏🙏
Mashallah Mashallah shukrn sana wanabusati Allah awatangulie kwa kila hatua hongeren sana nawapenda sanaa
Mashaallah ❤️ ... Nawe Allah akutangulie kwa Kila jambo, ukujaalie maombi yako yoote.
Movie nzuri sna pongezi wana Busati
Asante sana Kipenzi chetu
mashalla mashallah Tabaraka allah hongeren yote .ALLAH awafanyie wepesi nyote
❤️❤️❤️
Karibu sana
Mashaallah thabarakallah movie nzuri kweli 🥰🥰🥰
Mashaallah ❤️
Mna kaz nzuri sana❤❤
Asante sana🙏🙏
Mwenye huruma hana bahati
Kabisaaa
Asanteni kwa burudani story nzuri twasubiri ya 3
Asante sana bi Khadija
Nasubiria part 3 nimeipenda
Kesho itaendelea inshallah
Calito leo mzee anakupeleka mbio sana, jukua msichana yake ndio atulie
Ongereni sana wapezi kwakazi yenu zuri sana mubarikiwe wote ❤ ❤ ❤ ❤ ❤
Asante sana Kipenzi tunakupenda mnooooooooo
Hongengen sana nangoja part3
Kesho Asubuhi inakujaaa
good movie
Utamu juu ya utamu 😂😂😂,,back in my country 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪busati upendo daima
Oooh kutoka Kenya ❣️❣️❤️❤️❤️
Tunakupenda sana we hapo
@@busatitv yeah likizo za kazi kiasi
Sasa si ukuje mpaka tz jamani
@@busatitv pin location tufike in Shaa Allah
Shukran sana wapenda kwakuni burudisha yaani imeisha wakati sija kaa vzr duh kwanza niwape pongezi kwenu nyote 🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Asante sana Halima, unajua vile tunakupenda? Basi tupo pamoja sanaaa
Good work good ideas congrats all nimeipend sn 😘
Asanteee sana @Tuma
Mashallah nzuri sana hongereni jamani part 3
Asanteee Mnoooo Mwana Busati
Uwakikaaaa 👌 hakuna kupoa jamani kuwapenda tu mpaka nahisi kuumwa 😘😘😘
Tunakupenda mnooooooooo
🙏
❤❤❤
❣️❣️❣️❣️
Congratulations for the nice movie
Thanks @Mustafa
Hongereni kwa kazi nzuli Mimi Mr mkobani
Asante sanaaaa
Asanteni Wana busati nyote maupendo daima😍
Asanteeee Mwanabusati, unatazama Busati ukiwa Wapi?
@@busatitv niko Saudi /madina
Shukran kwa kazi nzuri
Asante sana
Bonge la bomba
Hatari sana
Tafsr ya binamu ndo tutaiona part3 leten mambo kabla bando halijakata
Hahaha umetishaaaa
Naenjoy Sana nikitazama kazi hizi
Asante 🥰🥰
Huyu mzee apunguze makelele, et unadekeza mtoto kias hko, unauhakk kapgwa babu
Part 3 please move nzuri sana
Keshoooo
Wapili mie nilisubili sana
Umetishaaaa
Yule jamaa mwenye..mzigk kichwani ndio Sterling..maana kila wakati..anavuka na mzigo kichwani
Wakwanza mie leo like zenu😍😍😍
Hizooooo
Movie hii ya Binam nzuri sana
Hatari sana
Ilsrygg
Inaelimisha nakutufunza sisi site asant sana busati Niko hapa nimekaa nakunywa juice🥤🍿 na kucheki binam talatibu akinitoa mtu busat tv mnite mbwa nimekaa pale
Hahahaha
Nasubir part 3,lakin part ijayo nilikuwa naomba uyo mtu afike kwenye iyo njia 😂😂😂
Asante saa
🤣🤣🤣
Bendera za kwetu nmeziona nyingi hadi raha
Bendera za Kenya eeeh
@@busatitv ndio
Safi sana
Japo nmechelewa..lakini sijaachwa nyuma
Umeanza leo?
@@busatitv aah wapi mshatazama karibu zote
Weee
@@busatitv ndio hvyo
Nasubiria hyo part 3 basi musichelewe kuileta
Good
Asante sana @Aisha
😆🤣
Mbona kicheko?
Vizurii sana
Asante sana
♥️♥️♥️
❣️❣️❣️❣️
❤️❤️❤️
❤️❤️❤️