STEVEN MUKWALA NI HATARI, ONA AHMED ALLY AKIMWAGIA SIFA MUKWALA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • STEVEN MUKWALA NI MNYAMA
    Mshambuliaji Steven Mukwala raia wa Uganda amejiunga na Simba baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu kutoka Asante Kotoko ya Ghana.
    Mukwala mwenye umri wa miaka 24 ni mshambuliaji kinara mwenye uwezo wa kufunga.
    Mukwala amefunga mabao 14 na kuisaidia kupatikana kwa mengine mawili katika michezo 28 katika ligi kuu ya Ghana
    #football #tv #cricket #tv9bharatvarsh #sports #news #duet #tv9d #azamfc #barbar

Komentáře •