WAANDISHI WA HABARI WAKAMATWA KWENYE HIFADHI NGORONGORO, MKUU WA MKOA AINGILIA KATI SAKATA HILO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • WAANDISHI WA HABARI WAKAMATWA KWENYE HIFADHI NGORONGORO, MKUU WA MKOA AINGILIA KATI SAKATA HILO
    Asasi za Kirai zimelaani vikali ikiwemo PINGOS Wamelaani vikali kitendo cha waandishi wa Habari kushikiliwa ndani ya Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 19

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 Před 2 lety +3

    Nchi yetu hiii, jaman, wanaficha nini mpaka hawataki waandish, ,

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Před 2 lety

    Ahsante Sana mwandishi msomi Columba Lebabaz.

  • @salimumohammedsalimu1720

    Saizi yenu munapenda saana kuongeza uwongo kwenye habari za kweli makini saana

  • @richardboaz-mashagospel2346

    Huyu mbunge wao simwelewi, madiwani wao, na kila kiongozi simsomi kichwani

  • @abubakarmalinza9339
    @abubakarmalinza9339 Před 2 lety +2

    Mlifata taratibu zakuingia hifadhini. Sio kila sehemu kuna uhuru wa kukusanyika

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 Před 2 lety +1

    Tutakoma mbona, urais wa mabosi unatutesa

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Před 2 lety +2

    Mlitoa taarifa au mlikurupuka tu

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 2 lety +1

    Wewe mkuu umeambiwa usiseme

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 Před 2 lety +1

    R l p magufuli umetuacha uhasma huku, delila uliemuweka umakamu hakuwa mwema mbuzi yule kahaba yule

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 2 lety +1

    Sidhani kama waandishi ni wajinga kiasi hicho cha kufunga Safari hadi huko bila kuwa na vibali maalum.

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 2 lety

    Askari wasiingiliwe kwa sababu waandishi pengine hawakutoa taarifa kwenye mamlaka

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 Před 2 lety +2

    Wanaficha madhambi yao

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np Před 2 lety +3

    Wazalendo, tambueni kuwa kuna sehemu ya nchi yetu ina wamiliki binafsi. Mtakumbuka Hayati Magufuli alipokuwa ameenda kuzindua ujenzi wa Bwawa la umeme katika eneo la hifadhi ya mbuga ya Seluu, akatueleza kuwa kuna sehemu ya kitalii inawamiliki binafsi ambao wamejenga hoteli inayogharimu dola elfu tatu kwa usiku mmoja, watalii wakubwa kutoka Marekani na nchi nyingine wanatua na ndege binafsi kutoka nchi jirani( akina Beyoncè na wengine) na wanalipia kwenye akaunti za benki za wamiliki ambazo ziko huko watokako, wanawalipa wamiliki wa Tanzania wa hoteli hizo, ni kikundi cha wezi wa rasilimali za Tanzania waliojimilikisha hizo sehemu, na wanaiba kwa kiasi kikubwa ambacho wanadiriki kutushika mkono vipofu sisi pale tunapikaribia kugusa nyama kwenye sinia, laana kum👿

    • @mwigakatumpula6852
      @mwigakatumpula6852 Před 2 lety

      Hakuna kitu kama hicho Tanzania hakuna mtu ambae anaweza kumiliki ardhi 🙆😃

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np Před 2 lety

      @@mwigakatumpula6852 wajinga ndiyo waliwao😏

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 Před 2 lety

      Na ndio wanataka kuchukua na ngorongoro pia....

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 Před 2 lety

      @@mwigakatumpula6852 sasa wewe unabisha nini...mkataba wa bandari ya bagamoyo haukua uuzaji wa nchi? Wahindi wa India wanajua hilo wewe uko hapo hujui? Sikia watu husema: **the highest level of ignorance is when you reject something you don't know anything about it** ndio wewe hapo, hujui unabisha and without logic or facts unabisha huo ni ujinga wa hali ya juu sana. Nikikuuliza umewahi kufika mahali alipopasema jpm utasema hapana unadhani jpm alikua hajafika? unajua nani amejenga huko, wanafanyaje biashara, hela kiasi gani, wanalipa kodi au la, wanavunja sheria au la, je wameuziwa au wamepanga, je kama wamepanga ni mkataba wa miaka mingapi...najua huna jibu hata moja....that is ignorance!

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 2 lety

    Kosa ni lipi? Wacha wafichue ukweli maana unakuta watu wanauliwa bila sababu. Tayari tumeishajua vilivyomo kwenye mbuga hiyo si wahusika ni viongozi wa ngazi ZA juu wahujumu uchumi wanashibisha matumbo yao. Huku wanyonge wanazidi kufa. Mungu atawaadhibu.