kwaya kutoka home town ikiimba Katika viwango vya kimataifa. Mbarikiwe sana kwa kutumia vipawa vyema. huwezi amini kama kirembwe kinaweza kutengeneza suti nzuri namna hit.
Amen, mbarikiwe watumishi wa Bwana. pia nimefurahi kumuona dada yangu akiwa mmoja wa kondoo wa bwana. Mke wa Zaburi, au mama Namangi na Mshokeri. salam kwao
Love this song
Naipenda sana kkkt
Mungu awabariki sana KKKT Kifula, UGWENO.
kwaya kutoka home town ikiimba Katika viwango vya kimataifa. Mbarikiwe sana kwa kutumia vipawa vyema. huwezi amini kama kirembwe kinaweza kutengeneza suti nzuri namna hit.
nenda mtumishi wa Bwana
ukapande mbegu bora, nenda kwa furaha
Amen, mbarikiwe watumishi wa Bwana. pia nimefurahi kumuona dada yangu akiwa mmoja wa kondoo wa bwana. Mke wa Zaburi, au mama Namangi na Mshokeri. salam kwao
Mungu awabariki kwa kwelii
Mungu awabariki sana katika maisha yenu wimbo uliobora
Wimbo unanibariki mno na pia Nina ushuhuda nao.
Barikiwa sana,...machozi Yana nguvu.
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kazi yenu si bure mbele zake, Awapandishe viwango zaidi
Hongera zenu kwa wimbo mzuri na mbarikiwe sana kwa kuieneza injili kwa njia ya injili.R..I.P my Daddy wa Kifula mlongo Ugweno
mmenibariki sana kwa wimbo nenda mtumishi
Nenda mtumishi wa Bwana 🙏🙏 wimbo mzuri sana
Ninabarikiwa sn moyoni mwangu mungu was mbinguni azidi kuwatunza
Wimbo mzuri sana...mbarikiwe wote
Nenda mtumishi wa mungu ukapande mbegu bora
Wimbo huu unanibarki sna I love it whe
Nimebarikiwa sana
Ni wimbo mzuri ambao pia umeimbwa vizuri na waimbaji hawa wa Kifula, Mungu awabariki sana wazidi kupanda mbegu bora!
Be blessed
nabarikiwa sana na nyimbo zenu Mungu awabariki sana
Mbarikiwe wote kwa Kazi nzuri ya bwana
Nabarikiwa sana na wimbo huu ,,,,,,,,Mungu azidi kuwapigania katika utumish
Nawapenda sana nyimbo nzuri naamin tukifika mbingini tutaimba pia
Wimbo mzuri niliupenda coz my dad used to love it. RIP baba yangu.
😰
Mbarikiwe sana
BARAKA ZIWE NANYI... UGWENO NDO NYUMBANI
Wimbo mzuri sana huwa nasisimka sana kumtumikia Mungu nikisikiliza wimbo huu I love you kkkt
Nimefurahi mno mpaka machozi.
Mbarikiwe sana watumishi
Mnanibariki sana
Naupenda sana huu wimbo
Hakika nimebarikiwa huu ndio uimbaji wa kumuimbia Yesu wetu
wimbo wedi mno mfumwa avaghenje
Niko safarini Lindi nikitoka Dsm Nimeusikiliza wimbo huu mara 5 mfululizo bila kuchoka.
Hakika nimebaeikiwa sana
Nenda mtumishi ukapande mbegu bora nenda kwa furaha
A very touching and blessing song
Be blessed
Ameeen
God bless you all
A very nice song with a unique HOLY SPIRIT sound
naupend sana huu wimb
Amen !
Joyce endelea kumwimbia mungu wetu.barikiweni
Mbarikiwe sana wa ugweno
Freeman Jr Msuya tena sana
Good song ,mwenyezi mungu awabariki waimbaji wote
Wimbo huu niliusikia nikiwa mdogo ninaupenda sana unanijenga mubarikiwe wana kwaya.
kazihii yainjili munayofanya cbure machoni pa MUNGU
Hakika mbarikiwe sana kwa utume huu.
Amen mubarikiwe
I feel blessed listening to this song
Really Blessed
P
Huu wimbo unaitwaje? Ni wimbo namba ngapi kwenye kitabu cha tumwabudu Mungu wetu?
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kazi yenu si bure mbele zake, Awapandishe viwango zaidi
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kazi yenu si bure mbele zake, Awapandishe viwango zaidi
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kazi yenu si bure mbele zake, Awapandishe viwango zaidi
Mfumwa avarongorire vatumishi VA mrungu barikiwan
amen