Nakwambia mwezangu Kuna watu wamesalimia mungu na mikono bahati saile hata wengine hawajui wataftari nini yani nimeangalia hiyo nyumba Mara ishirini ishirini weee mashallah dada yetu venisa
Yaan jux akiona hivi anaenda kushona suit 5 kwa hasíra maan ndo kilichobaki kwake amekaa kwenye kighorofa chenye basketi nje bac anajiona yuko marekani tiari ni rotimi na yeye 🤣jux ana mbwebwe
Nice couple. Vanesa kipindi hiki umepata mwanaume . Yale mauza uza usiyarudie tena
Mungu awajalie iyo mimba inayo tafutwa ivyo iwe kher kwa mapacha jmn allah awafanyie wepesi kuna jambo hapo💃💃💃💃
Kuna watu wanakula raha jmn duh ivi vee ulienda kwa mungu yupi wew mwenzangu 🙌
🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Nakwambia mwezangu Kuna watu wamesalimia mungu na mikono bahati saile hata wengine hawajui wataftari nini yani nimeangalia hiyo nyumba Mara ishirini ishirini weee mashallah dada yetu venisa
Huwezi jua manyanyaso anayoyapata hawezi kusema anavumilia tu
"When you save money, when you make more money, you can do this ,hahaaaahaa" that's the lesson I've got from that clip.!
Really how long we will save weeeee
Us we save for only plot and 2 or 3 rooms kweli jamaa mdogo Lakini weee nimependa hiyo clip give me moral inshallah
I've got that too😂😂
Upto Jesus come down😃
@@elizabethjohn5783 elizabeth hutaki mtu wakupangusa wajameni mwezako nipe kazi nitoke huku bundu😃😃
Hayo makonakona unaweza ukajikuta umetokea gambush
Yani acha sijui kuna roboti la kufanya usafi maana kwa mtu mwenye mwili wa nyama anaweza kufa
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Yaan jux akiona hivi anaenda kushona suit 5 kwa hasíra maan ndo kilichobaki kwake amekaa kwenye kighorofa chenye basketi nje bac anajiona yuko marekani tiari ni rotimi na yeye 🤣jux ana mbwebwe
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
😁😁😂😂😂🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🍞
Mdogo wangu jux tuendelee na mipango yetu muache dada adange kimataifa ww anza ujenzi wa nyumba ya pili kariiii ili akirudi aje kama mange kimambi
Shida hawajaowana isitoshe hujuwi mwisho itakuwaje
Mufaidi tu dunian sis wengne tutafaid kwa mung
Big up hapo umenena ndgu
@@glorythomas616 kweli
Hahahhaha
Like kwa shemej yetu
Vanesa kula raha huyu ni mwanaume jamani da
Kuleni maisha.
Asante penda xana mume anaeipenda familia yake
Ilijumba mbona aliish mhhhhh
@@rashdiyange7758 🤣🤣🤣🤣
Kuna watu wanaishii bhan sie wengine tusubir mpaka mungu ashuke
So amazing
Waooo! What kind of this love 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
iyo ni meri nyumbaaa??
Kwann wasioane hao
Mshauri avae traki
Hapana chezea mtoto wa kipare ww ni shdaaaaah, hapo Rotimi hafurukuti hata kidogo.
Hongereni
Waooooooo
Jmn mniajir mm kufanya usafi ntajikakamua ili na mm nionje gorofa 😥
Mashallah
Vanesa akitulia na mwanaume mmoja anatulia jux unaanza kuyalipia uliyomfanyia wenzako ndo mahaba moto
Mashallah, Fungeni ndoa jamani 🥰
Ili wazae jmn umri unaenda🙄
@@stellaprince4871 Kweli mpenzi
Ingekuwa mtu fulani hapo angetutangazia kanunua hyo nyumba
ROTIMI ANA MIGUU QONK LIQUID
Pesa ndesa
Nakupenda sanaaa copy yaoo
Jux jux jux kuna mtu anatk kkushukuru mana ungempotezea muda # vee money # Vanessa rotimi
👌😍
Ila shemj ilo tege duuh
1:23 safii
Acheni wivu
Kumbe washua wana miguu kama yetu😆😆
😂😂😂😂😂
😀😀😀bongo sihami
😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kumbe umeliona hilo mie nilitulia kama moja kusubiri nani ataanza du 🤔🤔🤔🤔🙉🙉🙉🙉🙉🙉
Hahahah duh hongera kwakutufurahisha
Hili nijumba au pango maana sio kwaukubwa huo mm napotea kbsa humu
Awanikuti tene yaani
@@vailethsanga4642 🤣🤣🤣
KIVANESA KICHAWI HIKI HAKIACHWI TU
Hahahaha
Wewe unasema cha nini wenzako wanasema wanapata lini hongera vannessa be happy my sister
Duuuuh wabongo jamani 😆😆😆 daaaah waachane mpate cha kuongea daaaah 🤣🤣
🤔Mbona kama umehukumu? Au nimesoma vibaya
Yangu kama hiyo inakuja soon, im connected to that amazing house
Mpk wivu 🙄🙄🙄
wa bongo tumezoea chuba 1 kam stoo nyumba kam hiz tunaona miujiza huku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Maisha ya tofautian usiongee san...
😂🤣
Ahahaha yan kweli kabisa
Huyu shemeji yetu akienda chooni achutami kwa utege huu😀
😂😂😂
Wa bongo bwana 😅😅😅 kwa kuona visivyoona hatareeeee
Shemeji anamatege kama yangu
🤣🤣🤣umeonaee bt yamemupendeza ingekua mwanamke wee angetisha
🤣🤣🤣🤣WA bongo muna tabu
Kwani huyu rotini hajui kiswahili au anajishaua tu
Aliishi tanzania lini had ajue kiswahil, we mgen kwa rotim au ndio unamfaham leo?
Vanessa be careful with west Africa men ,from 254.
Why
Not the ones born out of Africa.
Na nyie Wakenya je? Ni balaaa tupuuuuu
@@agnessshaidi6994 I know what Am taking
@@leticiachunga9118 balsa vipi
Iyo mimba inavyofichwa🙄🙄🙄🙄
Kumbe muda mwingine bora kuachwa😏😏😏😏😏
@@jacqshemweta1129 😂😂😂
Jamani huyu shemela miguu yake inakigagaziko 😂😂alivyovaa hizo yeboyebo kama katoka mwanza na gari ya msiba 😁😁😁😁
@neema Edward 😀😀😀shemeji kuhusu miguu kama stiki za pulu tebo 😂lol nikajua nyumba kamnunulia Vanessa kumbe hotel 😂😂😂
Acheni wivu
@@abdilehussen2123 we tuliza kitobo papa wemba ww
Wanawake mnachuki
@@abdilehussen2123 kwahyo unatakaje shoga etu
Hili ndio jengo la Pentagon malekani lilojengwa kibaguzi
czcams.com/video/EHQC0gvaYvQ/video.html
Munahakiri nyiyewote kabisa
Shemeji wa taifa hoyee
Alichokifanya Diamond platnumz baada ya kusikiza wimbo huu wa harmonize.
czcams.com/video/1jl3Wy6NRaU/video.html