MKATE WA NDIZI MTAMU SANA
Vložit
- čas přidán 18. 05. 2024
- Leo jikoni tutakuwa na mkate wa ndizi ambao nimeshare nanyi leo jinsi unavopikwa kwa njia rahisi mno.
mahitaji yake ni
unga wa ngano, ppf_ gram 330
sukari gram_ 200
siagi_ gram 250
mayai _ 3
baking soda _ kijiko kimoja cha chai
banking powder _ kijiko kimoja cha chai
ndizi _ 3.
iliki _ kijiko kimoja cha chai
vanila _ kijiko kimoja cha chai.
natumaini mtaenjoy namna ya kupika mkate huuu na usisahau kusubscribe my CZcams channel, share, like, n comments hapo chini.
#tanzanian #cooking #foodvlog #food #foodblogger #contentcreator #foodie #foodlover #banana #bananacake #bananabread #bananarecipe #bananaprank #bananabreadrecipe #bananabread bananabread#cake #recipe #contentcreator #foodstagram #foodphotography #bakedbread #bananapancake .