MKATE WA NDIZI MTAMU SANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 05. 2024
  • Leo jikoni tutakuwa na mkate wa ndizi ambao nimeshare nanyi leo jinsi unavopikwa kwa njia rahisi mno.
    mahitaji yake ni
    unga wa ngano, ppf_ gram 330
    sukari gram_ 200
    siagi_ gram 250
    mayai _ 3
    baking soda _ kijiko kimoja cha chai
    banking powder _ kijiko kimoja cha chai
    ndizi _ 3.
    iliki _ kijiko kimoja cha chai
    vanila _ kijiko kimoja cha chai.
    natumaini mtaenjoy namna ya kupika mkate huuu na usisahau kusubscribe my CZcams channel, share, like, n comments hapo chini.
    #tanzanian #cooking #foodvlog #food #foodblogger #contentcreator #foodie #foodlover #banana #bananacake #bananabread #bananarecipe #bananaprank #bananabreadrecipe #bananabread bananabread#cake #recipe #contentcreator #foodstagram #foodphotography #bakedbread #bananapancake .

Komentáře •