TUMEZITAFAKARI FADHILI - Mtunzi: Mwita Isack: Pro studios Choir
Vložit
- čas přidán 29. 06. 2024
- WIMBO WA MWANZO DOMINIKA YA 14 MWAKA B WA KANISA
WIMBO: TUMEZITAFAKARI
MTUNZI: MWITA ISACK
WAIMBAJI: PRO STUDIOS CHOIR
SOUND ENGINEER: AGRIPINUS MUTONGORE
ASSISTANT SOUND ENG: MWITA ISACK
AUDIO & VIDEO: PRO STUDIOS - Hudba
Ndoto yangu kubwa ni kukutana na Kaka Mwita Isack, nampenda sana na natamani sana niwe Mtunzi bora kama yeye kwa muda wote. Nakupenda sana Kaka Mwita Isack.
Wiki iliopita nimeteseka kila muda nilikuwa nachungulia ukurasa huu ❤❤❤ sana
Pole saana. Tulikua safari ila sasa tutahakikisha hatukosi hewani. Karibu sana
🙏🙏@@mutongoreprostudios
KAZI nzuri Kama tunayotazamia kuandaa pamoja Chino ya uangalizi wenu #prostudios #paulgatti_21 @mutongoreprostudios
Safi sana dominika ya 14B mbona itakuwa njema, hasa copy nikiipata
Kazi nzuri
Mungu awazidishie wingi wa baraka zake
Hongereni kwa utume
🎉❤🙏kama kawaida yenu hongereni sana
Nime barikiwa sana kazi nzuli sana
To anyone watching this in 2050,
Mwita Izack is an excellent composer with a unique talent🎉
Assnte mkuu Mungu ni mwema
Utunzi mzuri sana kaka Mwita shida ni hazipatikani Swahili music
🎉🎉🎉Yaaani 🌹🌹🌹🌹yanawahusu saaana..👏👏👏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante mtunzi barikiwa
Amina 🙏
Mambo ni moto
Mmekuja kuleta mapinduzi makubwa kimziki
Naitwa nestory nipo Jimbo bukoba kwakweli nawapongeza kwa kazi nzuri ya uinjilishaji mbarikiwe hasa mkiwa na ing.mw isak mwita
🎉🎉🎉🎉 utunzi wako nakupenda sana kaka angu
Asanteni kwa uinjilishaji mzuri 🌹🌹🔥🙏
Wimbo mzuri, waimbaji wazuri, Sauti zilizobarikiwa. Baraka tele!
Vizur sana kazi mzur mungu awabaliki🙏🏻😊
Daaah....utunzii safiii kabsaa ...Hongereni sana sana.
Wow wow back with a bang. This is a beautiful harmony @mwita and top notch production always @prostudios
This song is 🔥 🔥 ....safi sana
❤ Baraka zote mpate nawatakia Wapendwa 🎉🎉🎉
Kwa kweli ni kazi safi sana. Feel blessed 🙌
Mungu akubariki sana kaka Mwita
Aminaaa 🙏
Hi ndungu kazi yako ni safi tunaipenda na kuifuraia sana nko 🇰🇪 hio piano ni psr gapi na uko kwenu inaeza kuwa how much@@mwitaisack9582
Nzuri sana 🔥❤
Mbarikiwe kwa uimbaji uliotukuka sina la kusema zaidi ya kuwaombea ❤
Emotional sanaaa
Shemela mrs mwita,Mbarikiwe
Super Triumphant hymn of Praise❤
Ndoa lini mwaka unaisha,huuuu kikao tutakaa lini
😂😂😂 ndoa ya nani tena?
Mwita kama Mwita... Hongereni sana Kwa utume 💪
Unyama ❤