Chege - WAISOME (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 2. 12. 2019
- Watch now Official Music Video "WAISOME" By Chege, Dedicated to President JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI and the Govement Of United Republic Of Tanzania,The Music Video was
shot in Dar es Salaam Tanzania, Director by Deo Abel.
Produced by Christone and SexoPhone By King Maluu.
Connect Chege on:
/ chegechigunda
/ chegechigundaa
/ chegechigunda
+Booking:Bookchege@gmail.com & Juliano.batalia@gmail.com
#Chege #Waisome - Hudba
Kama kwel umeipenda hii Ngoma like comment hii ili tujuane tulio ipenda hii Ngoma
Kama umebambika na hii ngoma gonga like tukisonga ...still watching from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
uhuru wetu bado ako bbi
@@festuskorimuk7965 😂😂😂😂😂😂
Haaaa...
Ngoma tamu👌
Nitahamia Tanzania 🇹🇿🇹🇿kenya byeeee🇰🇪
Yaani kutoka kwa beats za waache waowane ukaimbia nchi ya Tanzania 🇹🇿 wimbo nzuri hivi,,, hongera sana
Mpk xaxa ndo naami kwamb Rais wetu kuwa kwel anachapa kaz aiwezekan waxanii wote wam2ngie nyimbo za upendo kwa Rais wetu hii ni kwaxababu mzee achapa kaz kixawaxaw gonga like apa unakubal uchapij kaz wa Rais wetu mpendwa
Isipokua Roma mkatoliki anajua hakuna binadamu alie kamilika
Aaah!!! Kwel iz tufkie malongo lazma viongz wetu wakubal kukoxolewa kwan ndy changu ya maendeleo xo Roma anafanya vizuri kwa kiongoz mwenye akl za kufil mbal, zaid
Msaniii wng wa mwakaaaa kam unakubali tulia like apa
Acha waisomee
Hahahaaa
Tanzania woyeee
Magu woyeee
Sante chege waambie 🔥🔥🔥
Asante chege like kwa chege wakuu
Chege unajua na umetulia sana hauna makuu namtu pga kaz acha waongee2 hata mkubwa fera anajua hlo sio Sir ngoma kal ikibdi piga nyingine utumie biti ya kigoma all stars kwa saut yako itanoga brother pga kaz ziba maskio ili waisome kwel kwan sio hii2 hata ile ngoma ya ccm kipnd chajakaya ulitisha ukiwa na Mshikaj wako mh tembele 100 sana
Chegeeeeee hahaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaa tunasema tena wataisoma nambaaaaaaaaaaaaa
Najivunia kuwa mtanzania
Huko ndio kwenye vyeo na hela mi mwendo wa kusifia sana huu
Hahahahah,,Aminia ngoma Kali noma sana,,,Viva Jpm,,viva Mama Samia,,, Viva Majaliwa,,,Viva Chegge
Tena wataisoma kwa sana ty jpm oyeeeeeee
Team chege gonga like
Og
Good song
Nice
Asante brother...from liverpool
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Hongera chenge kwa kumpongeza rais anayoyafanya yanaonekana wacha waisome
🇰🇪...Mpaka ukahurumia kenya ..gonga like ..
machooz tu
Kenya mi wezi tu
Kenya inchi yangu ila nataka kuiba Mtz nihame 🤭
ngoma nzuri chege .
Unajua sanaaaaa like kwa wimbo wa taifa chege 👇👇👇👇💥💥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏wajinga wasome namba 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥👇👇👇🙏
Kama kazi kama Dawa,ni mbele kwa mbele
Maaako anajua
Sauti ya yako mzee baba wallah ✔
Hata mwenda wazimu hawezi sifu Uhuru hapa kenya.
Hahahahaa
@@hamisiallysalim2118 sasa atasifiwa kunyonya nchi hadi damu? Tutamsifia kwa pombe tu
Hahaaaa....
@@softymoha5484 wee cheka tu bt inauma
That's true bro
Roma Roma Roma
Hakun wakukustopisha romaaaaaaa
jam vp twende sawa hamn kitu chege
Nyerere na Magu hawa ndo wameimbwa na wasanii wengi hawa wengine mmmmh!!!
Fabian Chitojo wanapenda kuabudiwa ndio tatizo na wameamua kutengeneza praise and worship team, hasa huyu meko
Sis hatuipendi ccm, ila tunawapigia kura majembe, tumechoshwa na maduu, 2020 kama zotee hivi, nawaona wanangu wakiuliza, baba enzi zenu mliishi ka jehanum? Nawajib kabla ya maguful bongo ilioza kuliko jehanam, period
Watu kama JPM ni adimu sana ulimwenguni wacha waTz wamfurahie.
Daah.. bonge la ngoma like zenu
😍😘😘😘😘😘😘😘nikupe nini Chege jamani
Msimuonee wivu magufuli kusifiwa ,anafaaa kusifiwa kabisa ,hta mim ningekuwa nakipaji ningemwimbia ngoma kali
Kaimba vizr sanaaaa
😀😀😀😀baba uko vizuri
Wow chege nifundi bwana🔥🔥🔥🔥
Big up bro doing good I like the music yr the top of the artist who has sang nice songs to the President
Huyu kweli ni bange
Chege saf Sana umewapita ote aisee
Njaaa mbaya ndio unapotea kumbuka bushoke
njaaaa mbaya san
Umetisha kaka
Chege chege chege ww nyota2 ww jamaa unaweza kinyama
🔥🔥🔥 chegeee
Nimeipenda magufuli ni jembe lao
Maghufuli Rais bora Mashariki.,.,., Much love from Kenya
#Chege waiteeeeeee..pga like apa kama tupo pamoja
Na mimi karibu naachia song langu!!!!!!!!!hapa kazi tuuuu
Yani kweli nimeamini wasanii wanatafuta huruma na bado mtaisoma namba
Gonga like kama ww ni mtanzania mpenda maendereo na ni mzalendo wa kweli
umekosa kazi bro achan na siasa
chage mungu anakuona
blessings king @Chege Chigunda
Njaa kitu kibaya sana..
2meshasoma mzee baba
Nice song and nice message 👍👍👍👍👍👍👍💯💯💯💯💯🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Waache waisome!🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥
Love it chege 💪💪💪💪
Magufuli anastahili kabisa
It's good to see our neighbors happy with their president ! Kenya kwa ground vitu ni different, playing politics as opposed to calling it shot kama maghufuli
Duuu!!!kweli umeishiw n unarejea rejea Sasa huu mziki bwna
Kama nyinyi ni wazalendo wa kweli na c kama roma na tundu hawaoni vizuri ni masinichi
Njaa hizo
chege pamoja sana
Nice music
Mkifuria Mnaanza kutafuta pakwenda Hunalolote Mnajipendekeza
Marais wa Tanzania wameweka historia ambayo hakuna nchi itavunja #Nyerere#Magufuli
Bac kilam2 anataka amuimbe magufur irimlad awekama konde boy kusema kwer hii sijaipenda mbayaaa
Hakika haam yatano tumepata jembe kweli waache waisome pongez kwa wing magu
Tunaisoma wote hata wewe
Changamkien fursa maana uchaguzi huo mwakani wasan wote wanakuwa wabunge🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻
AHAHAHAHAHA
Hakika sijawahi kuona uongozi bora kama huu wa awamu hii ya tano ya allah
bakari zuberi kambanga uongozi wa kichoko!! Hakuna kitu ni kufanya watanzania kuwa masikini utaelewa 2025-2030 . Muda utatuambia
🚨YAMESIBITISHA MACHO,LAKINI WENGINE BADO WANA MKATAA..Kweli wacha waisome💥👏🏾🚨🚨
weweeeeeeeeeeee, 2020 sio mwaka wa watoto, huu ni CC na M tu, hahahaha,
Chege bado yu hai
Wacheeeeee waoaneeee
Wajanja tunamuelewa magufuli mazezeta hayaelewi hapa kazi tuuuuu
Duuuh wasanii mmeandamana kuimba hizi nyimbo mpaka shida sasa
SI walipewa Ela juzi ndo wanaona ndo maisha yao yote
Ukiona hivyo kazi inafanyika vizur
Wakati wa kampeni watapiga sana pesa nahizi nyimbo
We tatizo lako nn
We tatizo lako nn
Kabaki roma2 ndo anabisha
Kweli magu Ndo kila kitu ccm oyeeeeeee povu luksa
Good song my son
good work
Waooooh hatar sanaaaaaaa
#Anaitwa roma
🔥🔥🔥🔥✌❤
Kuna watu et wao kama hapendi kitu ananza wenyeakili wataele ,mapoyoyo ,hivyo ni kuzidi kuonyesha jinsi ulivyo mjingazaidi we changia lako kivyako
Uvivu wa kufikilii imekuwa fashion xaxa!
Chigunda
Chege chigunda
Yaaaaaaan wasaniii wa bongo wanakeraaaaaaaaaaaaaaaa kwani hadi mumuimbe kila mtu????mbona kuna vingi vya nchi vya kuimbwa??hii ni kutafta kuitwa kufanya campaign..Hakuna wimbo hapo.!!!!
MAGUFULI alitakiwa ajenge Bonge la ARENA, wasanii watamuimba maisha. Bongo nzima hakuna hata moja (1).!!??🤔🤔
Ataijenga @Diamondplatnumz #chibud
254 tunasoma kweli duuh
Talented..good song.
Let's stand up and honor this national anthem 😍
Hamna kitu hapo
I love day song
Wacha waisomeeeeeeeee
Nice song 👽👽👽
Njaa zitatuuwa Namba tunaisoma Wote lakn unazuga ili upate shavu kabla ya konde boy mlikua hamuoni Hayo mazur
Good ila unazingua mara upo mara aupo
Umejipendekeza 1000%
Ungweka na Barabara ya Kigoma ilivyo na VUMBI WAKAIONA UNGEONAKANA UMEIMBA LAKINI UMETUKOSEA SANAA WATU WA KIGOMA kama naona haufaidi sisi
@@keshenilemi7452 kabisaaa naona anajitoa ufahamu yaani acha kabisaaaaa YETU MACHO ASEEE ILA ILE BARABARA INAUMIZA ASEE TUNAOPITA NDO TUNAJUA SISI
Huyo Hajui barabara ya Nyakanazi to kasulu 😂😂😂😂😂😂 itakuwa alienda Dar na Treni,Wengine tulishawasahau kwenye Gemu Mpaka wasifie Chama Letu Baba Lao ndo Tutawafatilia:: Diamond,Harmonize ,King Ndo wanasikika.
@@ayuburugina9716 chege wakati wake ulishapita acha asifie 😀😀😀😀😀ili tureview Nyimbo zake na Arudi kwenye chati ,Gemu Gumu, King,Harmonize na Baba Lao ndo kila kitu.
Kazi ya zito ndio wakuwatetea kama kushindwa someni namba
Hamonize amefungua njia mnaropoka sasa kurudia song kumsifu magu✌️✌️✌️✌️🇹🇿🙏🙏🙏👇👇
Waza mbali sana 255
Chege
Waisome