Mwili wa Cheruiyot Kirui wapatikana mita chache kutoka kilele cha Mlima Everest
Vložit
- čas přidán 22. 05. 2024
- Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Hawa watu wanaajua kabisa hathari za Mt Everest lakini kwa sababu ya hizo thousands of dollars wanaamua kurisk maisha yao; mbona wanamjaribu Mungu kwa njia hii jamani😢🤔. Ona sasa yaliyo mkuta kijana 😮kwani hawajiulizi ni kwa nini Mungu alifanya Mt Everest uwe na huo urefu ??????🤔 Wakati mwingine ni vizuri kujua faida na hasara ya jambo before uamue uamuzi wako.milima haiwatafuti ni wao wenyewe wanatafuta milima
Kuna mambo huwezi kuona kwa macho ya nyama kuna cults watu hujoin na kuweka maagano ya hatma za maisha yao .so kuba risks watu huwaga wanafanya wakijua fknal results ni nni😢😢
Kifo kilimani sawa na kifo kisimani.😭😭😭😭
RIP its sad dying while enjoying your hobby
It's very sad 😢... But tuambiane ukweli hapa hii mambo ya wazungu tuachie wazungu let's stick to our norm which is mbio, condolences to the family.
This is sad may his soul rest in peace . 2:40 Always respect the mountain. Mt Everest has been known to even take out veteran seasoned climbers. This mountain is very unpredictable. 😢
Pole sana
Haya nsawa
My heart felt condolences to my science teacher Mr kenduiywo😢😢😢😢..Rute ne Tala cheruiyot...makiwa kwa familia
Risk takers😮
His name was meant for athletics not mountain climbers.
RIP but as for me this was suicide and pre meditation
😢😢
Tusiige tabia za wazungu jameni... Msiba Wa kujitakia hamna kilio ama pole
Sad indeed. Heri asingeenda. Tamaa iliua fisi.
Nice tribute
He died doing what he loves..may his soul rest in peace🙏🏾
Sasa alienda kupanda miima uko nepal na anajua watu wanakufa uko every year
There is no heroic death 2:46
Wazimu
Maybe alikufa Kwa njaa rest in peace
Kama huwezi kupanda Mlima Killimanjaro huwezi panda Evarist
Lazima mungetaja musa
Hii mwili haiezi tolewa Kwa kutumia ndege ama ni risky pia
Kwa Raha Zake
Pole sana