WATOTO NA MISTARI YA MOYO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 10. 2022
  • Jumapili ya tarehe 02/10/2022 ilikua ni sikukuu ya Mikael na malaika zake ambapo Sharika na mitaa mingi ya kanisa la K.K.K.T - Dayosisi ya Mashariki na Pwani ibada ziliongozwa na watoto
    Mojawapo ya matukio makubwa kwenye ibada hiyo ilikua ni watoto kusoma/kusema mistari ya moyo ambayo wamefundishwa kwenye madaraza yao ya jumapili

Komentáře •