Ambwene Obadia Mwasongwe, nimekuita majina yako yote matatu - Mungu akubariki sana kwa kutubariki na tungo zinazotusogeza Karibu na naye kiasi hiki. Stay blessed 🙏🏽
Mtumish wa Mungu nakuheshimu sana, hakika umesimama Kwenye kusud ambalo Mungu amekuitia. Dah am learning a lot from you. Utukufu Kwa Mungu aliyekuamin akakuchagua. Nakuombea utukufu wa mwisho uwe mkuu kuliko wa Kwanza. Na hatima yako ikawe njema na ya baraka Kwa Mungu na Kwa wanadamu.
Unifundishe kuomba, nifundishe kupenda, nifundishe kiasi! Imani ya matendo na moyo wa toba ❤ huu mwimbo ni Ibada. Mbarikiwe sana Jack Walter na mume wako mpendwa, Bwana azidi kuwatumia. Amina.
Huu wimbo ni maombi, Huu wimbo ni unyenyekevu mbele za MUNGU, huu wimbo ni ibada kamili 🥺💖 ...... nisaidie kula chakula nje ya njaa yangu, nisaidie nisiseme gizani yale ambayo nimeshindwa kusema hadharani ❤️❤️❤️❤️😭😭
To anyone reading this, May the Lord be your solid rock. May He be your refreshing fountain. May the Lord be with you always. May you rise and shine in Jesus Mighty Name. Amen.
Bwana Yesu azidi kukupaka mafuta mabichi brother. You are blessed. Tulipaswa kuja Mara kwa Mara kuuchungulia huu wimbo Kama upo. Finally here we are. 🙏🙏🙏🙏
Be bessed man of God,namshukuru Mungu kwa ajili yako.toka albamu ya kwanza hadi sasa kila nyimbo unayotoa inanikuta kwenye mapito na kupitia nyimbo hiyo navuka jaribu salama.aisee maneno yangu hayatoshi ila Mungu anajua kwa nini kakupa karama ya kuganga myoyo ya watu kupitia nyimbo zako.utukufu hata utukufu.amina.
Ambwene Nyimbo zako zimekuwa za baraka sana kwangu yaani my main playlist ni nyimbo zako. 1. Majaribu 2. Upendo wa Kweli 3. Ombi langu and Now 4. Nifundishe Kuomba ~ i have been listening to this those song i cant just get enough of it , umenibariki sana my brother. God bless you brother.
Mungu akubariki kaka Mungu nifundishe kuomba pia nifundishe kunena nifundishe kiasi nifundishe imani zaidi Mungu nipe moyo wa toba siku zote maishani mwangu
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu nyimbo yako inagusa sana moyo wangu nimehangaika kwa mda mwingi hata jamii kuna kipindi nilihisi inanicheka namshuku mungu alinipa moyo wa ujasiri na kushinda walionidharau leo hii wanaheshimu heshima na utukufu kwako mungu😭😭😭😭😭🙏ni neema sikustahili kabisa
This song is a blessing....ni maombi yetu wengi sana tunataman Roho wa Mungu atufundishe mengi sanaa ..... ubarikiwe sana kwa kuimba our prayer points...Mungu aendelee kukutumia na kukupeleka viwango vya juu zaidi
Be blessed my brother.🙏....Nazitaka nguvu ulizonazo wewe Yesu. Ninataka kushinda.💪 Uwezaye kunituliza wakati wa huzuni, neno lako linisaidie niweze kubagua chakula cha kuupa moyo wangu. Nisaidie pale nisipoweza kwenda mchana, nisiende pia usiku. Nikanyage pale waoga hawawezi. Nioneshe jeuri kwa shetani. Ninataka kushinda.
Uwezae kunituliza wakati wa shida na matatizo 😭I'm blessed Kaka Ambwene Mungu akubariki sana. Sipati maneno mazur ya kuahkur Ila huduma yako Mungu aizidishe Mara elfu kupitia huduma yako Imani yangu inakua kila siku. Ubarikiwe mtumishi
Kaka Ambwene mi nasema Asante....Mungu umtumikiaye azidi kukupandisha kutoka utukufu Hadi utukufu. Mashairi ya wimbo huu yanatupa tafakari ya pekee...Mungu akubariki Kaka.
This song is so powerful.....huu wimbo ni maombi kamili mbele za Mungu muumba wa mbingu na nchi.....nifundishe kuomba Yesu nitembee kwa Imani siku zangu zote hapa Duniani.Amen
I cant get enough of this song..its humbly composed and potrays deepest heart desires of a growing Christian..it is itself a pure truest prayer, a living meditation,it also helps us in evaluating our ways of living and helps us to realize where do we need more of God's grace,,Glory Glory Glory to the Almighty God
Sisi huku Lusaka,zambia🇿🇲 we are saying may the God who started the good work in you, push you through till the end!,You are such a blessing to us and to this generation Mr Ambwene...#AsanteUbarikiwe🙌🙌😍❤
Maneno yangu matendo yangu tabia yangu zifanane na hisia zako...nifundishe kuomba nifundishe kunena nifundishe imani ya matendo..nipe moyo wa tobaa..👏👏kaka Abwene Yesu akutunze sana Ubarikiwe na kuinuliwa zaid
Ombi langu Nifundishe kuomba.....ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kila nikiusikiliza huu wimbo nasikia kububujika moyoni , Mungu azidi kukutumia Mtumishi 🙏
Mungu naomba unipe moyo wa toba.Mimi si mkamilifu baba.Muda wote natamani moyo wangu uimbe wimbo huu.Mungu akubariki na kwa viwango vya juu zaidi akuinue mpakwa mafuta wa Bwana kaka Abwene.
Wimbo una ujumbe mzuri sana sijawahi kuona ninakuombea kwa Mungu wa mbinguni azidi kukutumia wewe pamoja na familia yako kwa viwango vya juu zaidi ili sisi sote tumfahamu Mungu zaidi. Mungu wa mbinguni akubariki wewe pamoja na uzao wako wote.
Ambwene Obadia Mwasongwe, nimekuita majina yako yote matatu - Mungu akubariki sana kwa kutubariki na tungo zinazotusogeza Karibu na naye kiasi hiki. Stay blessed 🙏🏽
Yale nisiyoweza kuseme adhani nisiseme gizani. Mungu akubariki kaka abwene
Huu sio wimbo ni maombi kamili. I think kwa muda haya yatakua maombi yangu! Yanajitosheleza kabisa!! There’s a work I long for God to do in me
Hakika
Dah! Huu wimbo umenigusa sana aise, MUNGU azidi kukuongoza mtumishi Ambwene 🙏
Mtumish wa Mungu nakuheshimu sana, hakika umesimama Kwenye kusud ambalo Mungu amekuitia. Dah am learning a lot from you. Utukufu Kwa Mungu aliyekuamin akakuchagua. Nakuombea utukufu wa mwisho uwe mkuu kuliko wa Kwanza. Na hatima yako ikawe njema na ya baraka Kwa Mungu na Kwa wanadamu.
Barikiwaaaaa sanaaaa Kaka ambwene
amina mtumishi
Mwimbaji usiyefuata mitindo ya dunia, hakika Mungu yuko naa wewe katika huduma yako
Whoever reading this, God knows what you are facing through, He heard your cry, He is going to deliver you. Just trust in him. Amen
Amen
Amen
Amen
Amen 🙏
Ameen
Unifundishe kuomba, nifundishe kupenda, nifundishe kiasi! Imani ya matendo na moyo wa toba ❤ huu mwimbo ni Ibada. Mbarikiwe sana Jack Walter na mume wako mpendwa, Bwana azidi kuwatumia. Amina.
Huu wimbo ni maombi,
Huu wimbo ni unyenyekevu mbele za MUNGU, huu wimbo ni ibada kamili 🥺💖
...... nisaidie kula chakula nje ya njaa yangu, nisaidie nisiseme gizani yale ambayo nimeshindwa kusema hadharani ❤️❤️❤️❤️😭😭
uzuri wa kuimba ukiwa mtu wa neno..msomsji
Hatimaye 3 years of waiting is over .... A blessed one
To anyone reading this, May the Lord be your solid rock. May He be your refreshing fountain. May the Lord be with you always. May you rise and shine in Jesus Mighty Name. Amen.
Ameeen
Amen
Amen I receive 🙏
Amen 🙏
Endelea kupita kwangu ee Bwana sistahili#nistahilishe Bwana Yesu.
#nifundishe Imani na matendo
#nipe moyo wa toba.
Bwana Yesu azidi kukupaka mafuta mabichi brother.
You are blessed.
Tulipaswa kuja Mara kwa Mara kuuchungulia huu wimbo Kama upo.
Finally here we are.
🙏🙏🙏🙏
Be bessed man of God,namshukuru Mungu kwa ajili yako.toka albamu ya kwanza hadi sasa kila nyimbo unayotoa inanikuta kwenye mapito na kupitia nyimbo hiyo navuka jaribu salama.aisee maneno yangu hayatoshi ila Mungu anajua kwa nini kakupa karama ya kuganga myoyo ya watu kupitia nyimbo zako.utukufu hata utukufu.amina.
Hili ni ombi langu nifundishe kuomba nifundishe kunena nifundishe kiasi nifundishe imani ya matendo nipe moyo wa toba. Barikiwa sana mtumishi
I've been listening to this song all day long on, repeat...umekuwa ombi langu .Ubarikiwe Mtumishu🙏🙌
Ppl😅
Ambwene Nyimbo zako zimekuwa za baraka sana kwangu yaani my main playlist ni nyimbo zako.
1. Majaribu
2. Upendo wa Kweli
3. Ombi langu
and Now
4. Nifundishe Kuomba ~ i have been listening to this those song i cant just get enough of it , umenibariki sana my brother. God bless you brother.
Mungu akubariki kaka Mungu nifundishe kuomba pia nifundishe kunena nifundishe kiasi nifundishe imani zaidi Mungu nipe moyo wa toba siku zote maishani mwangu
Hii nyimbo nimeirudia Mara 7 haishi uhondo uuwiii!!! Yesu ni mzuri haki
Sana tuu
Kakaetu wa hekima.be blessed nisaidie nisiende kule nisikoweza kwenda mchana nisiende usiku neno lako linikataze...amen amen Mungu wetu akutunze
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu nyimbo yako inagusa sana moyo wangu nimehangaika kwa mda mwingi hata jamii kuna kipindi nilihisi inanicheka namshuku mungu alinipa moyo wa ujasiri na kushinda walionidharau leo hii wanaheshimu heshima na utukufu kwako mungu😭😭😭😭😭🙏ni neema sikustahili kabisa
Kaka unajua kabisa tunazielewa kazi zako! Ubarikiwe sana. Like zetu za kutosha kwa Ambwene pls
Ambwene ukiimbaa namuona mungu uyuu apaa unaimbaji wa tofauti sana nyimbo zakoo nila pekee sana
barikiwa Sana nyimbo hii imegusa maisha yngu ujumbe mzur
WIMBO HUU UNAPUMZI YA MUNGU WA MBINGU NA NCHI
BE BLESSED BROTHER!
Hongera sana kwakutoa wimbo mzuri
Sichoki kuskiliza unanibariki san
Ambwene my father nyimbo zako zinanibark san mungu akupe hitaj la moyo wako Amen
This song is a blessing....ni maombi yetu wengi sana tunataman Roho wa Mungu atufundishe mengi sanaa ..... ubarikiwe sana kwa kuimba our prayer points...Mungu aendelee kukutumia na kukupeleka viwango vya juu zaidi
Kila siku nyimbo zako nizatofauti na barikiwa Sanaa ameendelea kutuimalishaaa
Mungu akubalika Sana mtumishi nyimbo zako zinanibariki Sana
Hili ni Ombi jema lililoletwa kwa njia ya wimbo. Ubarikiwe ambwene
Nifundishe kuomba Yesu. Nipe Imani ya Matendo. Nipe Kiasi Bwana
Hongera sana kaka kwahatua uliyofikia Mtumishi kazizako nakufatilia sana Mungu Akubariki
Mungu wa mbinguni akubariki mtumishi hii nyimbo inifungue na mim
Be blessed my brother.🙏....Nazitaka nguvu ulizonazo wewe Yesu. Ninataka kushinda.💪
Uwezaye kunituliza wakati wa huzuni, neno lako linisaidie niweze kubagua chakula cha kuupa moyo wangu. Nisaidie pale nisipoweza kwenda mchana, nisiende pia usiku. Nikanyage pale waoga hawawezi. Nioneshe jeuri kwa shetani. Ninataka kushinda.
Aise Tusipo sema Mbinguni tutaulizwa tu.
Mtumishi Abwene Mungu Wa Mbingu na Inchi hakubaliki sna Maana Na Jiisi Kubalikiwa Kupitia Wimbo Huu
Nimebarikiwa mno na huu mungu hili ombi langu nigundishe kuomba nipe moyo watoba
Kule nskoweza kwenda mchana nizuie nisiende usku🙏🙏.Mungu akulinde bro nmekuelewa.
Bwana akuinue zaidi huu wimbo umenisogeza hatua kubwa Sana
Uwezae kunituliza wakati wa shida na matatizo 😭I'm blessed Kaka Ambwene Mungu akubariki sana. Sipati maneno mazur ya kuahkur Ila huduma yako Mungu aizidishe Mara elfu kupitia huduma yako Imani yangu inakua kila siku. Ubarikiwe mtumishi
Nipe moyo wa toba..moyo wangu umeguswa,umefarijika umepata nuru mpya baada ya kusikia wimbo..::.nifundishe kias Bwana wangu
🙏🏽🙏🏽 NIFUNDISHE KUOMBA BABA🙏🏽🔥
BLESSED VOICE THAT HEALS THE BROCKEN SOULS🔥🔥🔥 MUNGU AIBALIKI KAZI YAKO NA KUKUTIA NGUVU...
Wimbo huu daaa nakuta nalia nyimbo zako huwa ninanigusa sana🙌😭
kaka nilikungoja muda mrefu mpaka nikachoka.mungu akubariki nimepona tena.mimea bila maji inakauka kaka.mungu akubariki mnoo.
Nahisi nguv za Mungu kwa kiwango cha juu ubarikiwe kaka
Kaka Ambwene mi nasema Asante....Mungu umtumikiaye azidi kukupandisha kutoka utukufu Hadi utukufu. Mashairi ya wimbo huu yanatupa tafakari ya pekee...Mungu akubariki Kaka.
Amen Amen...
Nifundishe kuomba,
nifundishe kunena,
nifundishe kiasi,
nifundishe imani ya matendo,
nipe moyo wa toba🙏🙏.
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu...
Mungu akubariki mpenzdwa ktk Kazi ya Bwana hii utendayo🙏🙏
This is my prayer Lord! Nifundishe kuomba siku zote.
This song is so powerful.....huu wimbo ni maombi kamili mbele za Mungu muumba wa mbingu na nchi.....nifundishe kuomba Yesu nitembee kwa Imani siku zangu zote hapa Duniani.Amen
You're songs always heal my broken soul .
Mungu aendelee kubariki na kukupa nguvu kwenye huduma yako.
Be blessed 🙂
Amen
I cant get enough of this song..its humbly composed and potrays deepest heart desires of a growing Christian..it is itself a pure truest prayer, a living meditation,it also helps us in evaluating our ways of living and helps us to realize where do we need more of God's grace,,Glory Glory Glory to the Almighty God
Amen
Fact 100/"
Kaka ambwene nakuombea Hakika Mungu amewekeza kwako
Kweli Mungu akuzidishie mara dufu mtumishi kwa uduma nzuri
Sijwahi acha kusikiliza nyimbo zako zinanibariki sana mungu akutunze sana ambwene wetu
Moyo wa Toba ....Mungu akubariki Sana brother
Wow! Wow! Wow! You've just put in words my hearts desire and more. Baraka tele mtumishi.
Nabarikiwa mno na nyimbo zako .....
Haya ni maombi kamili Amen napokea kufundishwa
All in all nikitembea nitembee na wewe Yesu...wewe hukai katkat maana wewe ni alpha na omega yaan mwanzo na mwisho🚶♀️🚶♀️
Sisi huku Lusaka,zambia🇿🇲 we are saying may the God who started the good work in you, push you through till the end!,You are such a blessing to us and to this generation Mr Ambwene...#AsanteUbarikiwe🙌🙌😍❤
Nimebarikiwa nyimbo nzuri
Mungu akuinue utukufu Hadi utukufu uuuuuuuuuuuuuu barikiwaaaaa
Nifundishe kuomba, nifundishe kunena, nifundishe kiasi, nifundishe imani ya matendo...... Unipe moyo wa toba. Nami nakusaluti.... Nakuimbia wimbo. Ninapaza sauti..! Barikiwa Mtumishi.
Wimbo huu umefanyika baraka kwangu aisee,sichoki kusikilizaa,,,nami nakusaluti,nakuimbia wimbooooo ewe Yesu,jina lako Mesaya,,,barikiwa kaka Ambwene
Sijui ni namna gani unaandika nyimbo zako, ila yote katika yote Mungu apewe sifa sana kwaajili yako! Mungu akubariki sana sana sana!
Mafuta ya Roho Mtakatifu yanatirirka ndani yangu kwa viwango haleluya.
Hongera mtu wa MUNGU kazi ya kulitangaza NENO inasonga Barikiwa Ssna
Kila nikisikiliza natamani kuliaaaa 😭😭😭😭😭😭 ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Nifundish kuomb oooh Mungu wangu🙏🙏♥️
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu. nyimbo zako zinanibariki sana. uendelee kutumika kwaajili ya Kazi ya Mungu.
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu tuna barikiwa na uwimboji wako
Nazipenda sana nyimbo zako kaka kazana kumtukuza nakumtumikiya mungu
Yale nisiyoyaweza yasema hadharani, nisiyaseme Gizani🙌🙌🙌🔥
Kabisa
Nifundishe kuombaa🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥 miaka 13 ya Moto wa UAMSHO
Maneno yangu matendo yangu tabia yangu zifanane na hisia zako...nifundishe kuomba nifundishe kunena nifundishe imani ya matendo..nipe moyo wa tobaa..👏👏kaka Abwene Yesu akutunze sana Ubarikiwe na kuinuliwa zaid
Mungu akubariki sanaa mtumishi wa Mungu.....nikiimba nyimbo zako naona uwepo wa Mungu hakikaa.....
MWENYEZI MUNGU na azidi kukubaliki . Wimbo mzuri sana👏👏👏
Barikiwa sana kaka ,wimbo mzuri Sana'a saana.,nilikuaga na utafuta mwee kumbe ulikuaga bado, sasa nimefurahiiii.
Barikiwa mno na kuzidi.
3 years huuu wimbo Tuanusubili Ubarikiwe sana Kaka wa Taifa
Ombi langu Nifundishe kuomba.....ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kila nikiusikiliza huu wimbo nasikia kububujika moyoni , Mungu azidi kukutumia Mtumishi 🙏
Mungu azidi kukutumia brother Ambwene
Mungu naomba unipe moyo wa toba.Mimi si mkamilifu baba.Muda wote natamani moyo wangu uimbe wimbo huu.Mungu akubariki na kwa viwango vya juu zaidi akuinue mpakwa mafuta wa Bwana kaka Abwene.
Listening from Ethiopia. You sang my prayer points. Be blessed man of God.
Nabarikiwa sana na nyimbo zako kaka mungu akubariki kwa mahubiri haya mazuri kupitia nyimbo big up brother
Ladha mpya tumepewa kwa huu muondoko Safi ukiachana na ujumbe mzuri wa wimbo. Mungu ipe furaha familia yake.
Wimbo una ujumbe mzuri sana sijawahi kuona ninakuombea kwa Mungu wa mbinguni azidi kukutumia wewe pamoja na familia yako kwa viwango vya juu zaidi ili sisi sote tumfahamu Mungu zaidi. Mungu wa mbinguni akubariki wewe pamoja na uzao wako wote.
Mungu wa mbinguni azidi kukutumia Mtumish wake Mr Ambwene,,, huduma yako inanibarki tangu nlipoanza kusikiliza nyimbo zako 2014
Umeubariki moyo wangu Mungu akutunze
Huchoki kuusikiliza nyimbo nzuri sana
Mungu aendelee kukutunza sana Mtumishi wa Mungu nyimbo zako zinanibariki sana
Nimelia machozi ya furaha as i sing this beautiful song..may Almighty God protect you sir..
Ur blessed alot brother, ashukuriwe Mungu kwa kukuumba kwa ajili yetu hakika nafsi nying zinaongoka kwa kupitia nyimbo zako🙏🙏🙏🙏
Asante Ambwene kwa wimbo wa baraka. Mungu akuinue, akupe haja ya moyo wako kwa mapenzi yake.
Barikiwa sana kaka,Wimbo Mzuri sana,yaani nyimbo zako zote ni ibada ,Mungu awatunze ufike mbali zaidi
Yeah wimbi mzuri wa ibada but bet no... Umeimbwa vizuri but ngoma Siyo kabisa afadhali ngoma ya wimbo ili ni Ombi langu
Keshafka
Huu wimbo nilikua nausubiri jamani nikiusikia kwenye harus ya abwene kwa kias kidogo hatimaye leo huu apa Glory to God.🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mungu wa Mbinguni akubariki sawasawa ma huduma yako unayotupatia watoto wake. This song man!! It pours everything that in my heart to God🙏❤️
.
Amen! Amen!... Nifundishe Kuomba Roho, ni siko weza kwenda Mchana nisaidie nisiende usiku. 🙏
Wimbo mzuri ubarikiwe mtumishi
Mkuje humu wana wa Mungu tusali kwa kuimba
Wimbo wenye sifa nyingi za Mungu. Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu Sana kaka.
honest from my heart you are annointed brother AMBWENE
Bro may God bless you so much. Nyimbo zako hunibariki, hunifunza hunielimisha wacha karama Yako izidi kuwa kubwa zaidi
Amen kubwaa
🙌🙌🙌🙌kila nikiskia huu wimbo naiskia saut ya mbubujiko wa kuomba ndani yng.Ubarkiwe mtumishi wa Mungu
Amina kubwaa, nifundishe kuomba Bwana.