Kupitia wimbo huu,Mungu anipe tulizo wa moyo,kwa magumu yote nayapitia Kwa sasa,nyanya yangu ni mjongwa amelazwa,mamangu ni mjongwa wa cancer amelazwa ,EE Mungu nipe tulizo😢😢😢😢
Amina sana watumishi WA Mungu,Yesu ni ganga moyo ni tulizo la moyo,siku unaposikia kuzimia moyo yeye anauhisha tena nafsi mtulie yéyé mizigo yoooote anauwezo wakila jambo
You are a great man.napenda nyimbo zako zinanijenga,zinanibariki,zinanitia nguvu ya kusonga mbele kiroho.William mungu aliye mbinguni aliyejaa rehema na neema asiwai kukuwacha hata siku moja kwa jina la yesu AMINA.
Amen, when I heard this song, is when I was going through hell, I played it until I was totally healed from the pain I was going through, God always bless you my brother, nikipitia Hali ngumu Huwa naweka huu wimbo na ninatulia kabisa. Iam always blessed by your songs
My dear usichoke kumbuka kuna mungu anaye tujali anatuskia tunapomlilia chochote ambacho unataka mungu abadilishe katika maisha yako amekuskia na atatemda kwa wakati wake hivyo usife moyo. Ntakuombea sana. Mungu bado yuko na nakuombea kwa neema zake aweze kukupa tulizo la moyo wako. Asante na ubarikiwe.
Haleluya mtumishi wangu MUNGU akupe majibu ya maombi yako kwa wakati wake
Kupitia wimbo huu,Mungu anipe tulizo wa moyo,kwa magumu yote nayapitia Kwa sasa,nyanya yangu ni mjongwa amelazwa,mamangu ni mjongwa wa cancer amelazwa ,EE Mungu nipe tulizo😢😢😢😢
Mungu hakuna yeyote Ana weza kulituliza janga hili nipee tulizo Mungu naombo msmaha yesu nipeee tulizo la moyo yesu
Amina sana watumishi WA Mungu,Yesu ni ganga moyo ni tulizo la moyo,siku unaposikia kuzimia moyo yeye anauhisha tena nafsi mtulie yéyé mizigo yoooote anauwezo wakila jambo
Kweli kaka 😢
You are a great man.napenda nyimbo zako zinanijenga,zinanibariki,zinanitia nguvu ya kusonga mbele kiroho.William mungu aliye mbinguni aliyejaa rehema na neema asiwai kukuwacha hata siku moja kwa jina la yesu AMINA.
very nice song, makes me feel blessed, good work Pastor Yilima, God bless you.
Mume wangu amenisaliti nipe tulizo la moyo wanangu wasilale njaa
Love you brother
weh winbo huu unabariki ajabu Mungu akuzidiishie kibali mtumishi
Asente Kwa huu wimbo ninapo usikiliza Moyo wangu unatuliya Kwa uwezowake mwenyezi mungu
Mungu npetulizo la moyo wangu wakati huu mkumu🙏
Ooh asanteni Sana wadau na marafiki kwa neno la baraka nakuniombea, barikiweni sana
Npe tulizo la moyo Mungu Wang Yesu😭😭😭😭😭😭
Ooh,,nyimbo zako ni za kujenga Imani.🙏
4month since ma grandma passed this 🎵 has been giving me hope
Nipe tulizo la moyo wangu eeh mungu wangu
Huu Wimbo aki ya Mungu,barikiwa sana Yelima
Oooh! Your song blessed me so much william. Thank you mtumishi wa Mungu. Almight God aendelee kukubariki sana.
Woow congratulations nyimbo zako zinanibariki sana
Kwakweli wimbo huu unaniguza👍👍
Amen oh Lord,npe tulizo la moyo
When listening these voice,I feel blessed
Nalilia tulizo la moyo tangia 2018 May! Vipo vingi vilivyonisibu kwa ufululizo!
Amen be blessed more man of God
Nipe tulizo la moyo yesu prayer 😢 😭 😭 😭 😭
nakikombe chako nakifurike #Munguakuzidishie
Amina sana mwana wa Mungu nimebarikiwa sana
Kwel yesu anatoa tulzo
You songs always inspires my heart
Nice song I feel blessed
Am really blessed .the song touches my heart ♥ glory to the almighty
It really 🎉 touch my heart
Lovely song ❤
Wimbo huu nasikiliza hata usiku yaani naupenda sana Mungu akubariki sana kwa huduma njema eeyesu nipe tulizo la moyo wangu
Nipe tulizo Yesu
I can't stop crying 😭😭 my sister has had her 12th miscarry am praying God to take her away so that she can rest and stop suffering these much😭😭😭
Hakika asante kwa huo wimbo umefanya nitoe machozi ubarikiwe sana
Asante Sana Rose,utukufu kwa baba wa mbinguni atuwezeshaye
Mungu npe tulizo
Nice song, kweli Mungu nipe tulizo la moyo wangu
Nice song 🙏🙏🙏🙏 nipe tulizo la moyo wangu, Mungu wangu
Napitia magumu kwa ndoa,ila nackia kufarijika
Oh God nipe tulizo la moyo
Amen amen amen 🙏
This song is actually giving me hope,,, I was about to give up since I lacked school fees but now am gaining hope,,,
Mungu nipe tulizo la moyo wangu. Thus song hits so hard. How it blesses me God knows
Amen 🙏 Mungu anpe tulizo la Moyo Na Mungu akuinue kiwango cha juu
May God bless you mtumishi,,,nyimbo zako sinanitia nguvu sana❤
Hii nayo ..... itagonga 18k
After 4 yrs in marriage,,unaambiwa unasubiri nn Toka,,nimelia ya kutosha,,be blessed man of God
Shukran huu wimbo unanituliza na mafunzo mengi🙏🙏🙏
Ooh God 🙏🙏🙏🙏 tulizo la mioyo yetu tunaitaji kupewa na wewe 👏👏👏👏👏. Mioyo yetu imeinama tunakuitaji Kristo kwenye inchi yetu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen, when I heard this song, is when I was going through hell, I played it until I was totally healed from the pain I was going through, God always bless you my brother, nikipitia Hali ngumu Huwa naweka huu wimbo na ninatulia kabisa. Iam always blessed by your songs
Mungu azidi kukubariki na kukuinua zaidi mtumishi wa Mungu.
Barikiwa mtumishi
Amen amen nipe tulizo la moyo wangu yesu🙌
Amen
Hakika huu wimbo umeninguza sana be blessed brother wiliam
Very nice song, Mtumishi wa Mungu, Nipe tulizo la moyo YESU wangu, 🙏🙌
Nipe tulizo la moyo wang asante na mungu akubariki
Wow Nyimbo wa Baraka Sana Kaka yangu
Very touching song
Hii wimbo wako umeninuwa kiroho,hata natamani kipaji jako ubarikiwe Sana mwanaume
Am going through tough situations but when I listen you singing I found my self hoping for the best in life and everything being okay no matter what
ni ombi la kila mtu apate tulizo la moyo wacha mungu atupe pumziko la moyo
Thanks servant of God for this song my almighty God bless you abundantly,umenibariki sana.n lydia
A real blessing to my soul,,,nipe pumziko yesu🙏🙏
Hakika wewe ndiye utepea tulizo MUNGU zidi kututuliza. Barikiwa Sana mtumishi
Very nice song this song make me feel blessed 🙏🙏🙏🙏🙏 God bless you 2
Ameen 😥😭😭🙏🙏
Amen 🙏
Nyimbo zako mtumishi wa mungu Zina upako wa Hali ya juu
My almighty God bless you kakangu nyimbo zako zanbariki sana
Wow what a blessed song 🙏🙏🙏 nipe tulizo la moyo wangu Yesu 🙏
Nice
Ooo mungu nipe tulizo la moyo nina uchungu rohoni mwanngu sina raha, wewe ndio mtetezi wangu.
Imekaa vizuri mungu akutangulie
Amen. Njooni kwangu mliolemewa na mizigo nitawapumsisha. Be blessed man of GOD.
Much more blessed MOG
Nipe tulizo la moyo... God bless you man of God
Amen 🙏 amen hallelujah from Australia 🇦🇺
Nice worship, yanitoa machozi
Woow nice song 🙏🙏
Am a gospel artist fro Kenya I like your channel have subscribed already .kazi safi barikiwa.
Nabarikiwa sana na nyimbo zako
Amina Sana mtumishi
Am blessed with this ..mungu n mwema pastor
my first day to listen this song and I'm really blessed🙏🙏 may God bless you. this song heals many people
Nothing is working in my life .... Dear God please change this situation ..... I'm so in tears nipe tulizo la Moyo .... Nimechoka 😭😭😭
My dear usichoke kumbuka kuna mungu anaye tujali anatuskia tunapomlilia chochote ambacho unataka mungu abadilishe katika maisha yako amekuskia na atatemda kwa wakati wake hivyo usife moyo. Ntakuombea sana. Mungu bado yuko na nakuombea kwa neema zake aweze kukupa tulizo la moyo wako. Asante na ubarikiwe.
God is almighty he can do anything good to us if involved.
Nipe tulizo la moyo yesu.amen
Much blessings
AM BLESSED.MAY GOD CONTINUE USING YOU AMEN
Kweli wimbo huu utuliza moyo❣️
Nimebarikiwa na huu wimbo Sana amen
The chorus is awesome, nipe tulizo la moyo yesu,thanks William for this
OOO JÉHOVAH je viens m'incline devant toi pour te dire merci INFINIMENT même dans le désert tu es mon DIEU 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
czcams.com/video/VGaAxI6g2nk/video.html
Ingine hapa nikiwa na William Yilima
Nipe tulizo ya moyo Mungu😭😭😭😭😭
🙏🙏🙏
Emen asante mtu wa mungu
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 nice song
Nipe tulizo la moyo Yesu wangu😭😭😭🤲usiniaibishe Mungu wangu🙏
amina