SHOLO MWAMBA AFUNIKA TIGO FIESTA MTWARA | VUMBI TUPU UWANJANI | SINGELI NOMA
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- SHOLO MWAMBA AFUNIKA TIGO FIESTA MTWARA | VUMBI TUPU UWANJANI | SINGELI NOMA
Kwenye Jukwaa la Tigo Fiesta Mtwara ambapo kilele kilifanyika usiku wa November 2 kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona, SHolo Mwamba ni mmoja kati ya Wasanii ambao walikiamsha vya kutosha kwa kupiga bonge moja la show.
uwiiiiiiiiii kauwaaaaaaaaaaa wauniiiii naomba like zenu
Nakubali
Kisingeli ni mziki wetu kw pamoja tutatoboa. . be blessed
Juma Nyanda pamoja
Nahis kwa Fiesta ya Mtwara huyu jamaa ndie man of show
Kumamake shollo mwamba Mnyama cheki anavyo walusha wahunnnnnnnni
Nakubari cupten sholo mwamba mwamba geu chuma nondo still ways nondo ya mjerumani show
So mbaka utukane so fasheni hiyo
Daaaaah wamakonde nao wapo vizuri kwenye singeli. Duuuuh sijawi ona hii kitu
Sholo mwamba hunaa bayaaa show kaliiii huna mpinzaniii kweny hiii generation ❤❤
Show Kali sana kijana wangu wa kawe. Kama unaishi kawe tujuane hapa
Sisi ambao syo wahuni tunalike wap maana nasikia wahuniii kwa sholo
umeua mzee baba,noma sana ,bila kumsahau DJ TITTO
Wanaweza sana hawa jamaa TiTo anampatia sana Mwamba
Jamanı nımecheka sholo sıo kwakuwakimbiza watu hivo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌Khaaaaaa❤️❤️♥️♥️♥️♥️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👄👄👄👄👄🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹😂😂😂
Ebhana SHOLO UMETISHA MZEE BABA
Timua vumbi timua shemeji atafua.. Mimi apo tu😂😂😂😂😂
😀😁😀 kuvaa dela sio kazi, kazi kulishikiria 05/11/2019
😂😂😂😂
Mamaqe uyu dj titto nyoko kajuwa kuwapumbaza watu duuh!!
😀😀😀😀😀 unaweza kua muhuni bila kutarajia!!
Hahahaa hatariii sana
😂😂😂😂
Hakika
yaan hapo kimbiiaaa zoezi tosha maana jamaa wanakimbia kinoma kama ww uwaona kama mm nipe like hapa
Hassan Jecha ila kunamijit imesimama kam misanam na mimach ka yapaka inakera san 😕
Hassan Jecha nomaa
Daaaah cnger imetawala hap nchin kote kwa xx
Kuvaa dera sio kazi kazi kulishikilia najisikia joto
Niatar zoezi tosha
😂😂😂😂😂😂daaaaah jamaaa kasepa na kijiji 😂😂😂katishaa sholoo nomaa
Hawa wa mbele wananikela Sijui awana masikio ata kutingisha bichwa awatak wana rohooo ngumu mno
Aseeee kumamamae jamaaa kauwa show Zima
Huu ndio mziki wa asili wa Tanzania
Cio poa mzee
DJ tito kwa singeli namkubal yuko pouwa sanaaa
Shollo naye mwamba @respect kwako
Rais wa singeri sholo mwambaaaaaaa
Niaj
@@givenmatola7974 and
@@givenmatola7974 and
Duh!! Yaani kawakimbiza kama wakimbizi huyu jamaa katili wa kisegeli aiseeehhhh
Umefunika sholo balaaa, singeli 2 ze world!
sasa hao jamaa hap mbele wap wap2 ka wanatazama movie kama wamekuboa gonga like2
Walizunguwa sana
Fundi mwenyew Sholo🔥🙌
Hao wa hapo mbele wanaogopa kuibiwa simu zao Kali na wallets zao wamekaa kimachale machale wasilizwe.
Huu unyama kabisa 🔥🔥🔥
singeli sumu kama unadinda kalia chupaa
HII NI MOJA YA SHOW ILIBAMBA SANAAAA
Hahaha SHOLO UMENIKUMBUSHA MWANZA KOMA CONCERT Ulivosema Timua vumbi watu wakaanza kurusha vumbi 😂😂😂😂😂 nilijikuta nimekula mchanga ata ckufahm umetokea wap 🔥🔥🔥🔥💪
😀😀😀 daaah hapo alimaliza kishenzi yaaan
😂😂😂😂😂😂😂
Japhet Elius 😂😂😂😂
kama ulikuwa na chumvi chumvi uo ulikuwa wa chooni
@@lizzifighter2269
😂😂😂😂😂
Mamaaaaaaaaeeeeeeeeee sholo Mwamba wakisenge 😁😁😁😁😁😁😁😁
Atar mtupu
Umetisha kaka mwanzo mwisho shokali
Ila hzo swaga alizo ingia nazo kaboa kwetu ss wenye iman ya roma au siô jamii
Huyu msije kujichanganya akaanza kupanda jukwaani atasepa na kijiji mapema,
haruna sulley czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
@@Zanzibar_quiztv ntumie sap 0762554976
Kaka katixha xana
Kiingilio chako kwa show ihi wala ujutii kuingia
Napenda sana singeli, nampenda sholo mwamba
mamb
Sholo unawalisha watu vumbi we jukwaani upo simple hata jasho
mwamba geu noumaa
hakuna pefomance ya singeli kali kama hii
Sjawai kuliona baraa kama iro kwenye shoo kwel shoro ume tisha
Duuh mwamba kateka uwanja💪💪
kam umemkibali dj titto..naomba likes zangu
Kweli saizi kweli kama tigo show kali sana aseee
Aloooooo alooooo weweee katisha sana ✌✌✌. Wauuuni kimbiaaaaaa
Huu ndio Music Wetu Tanzania Tunajivunia
sio kupelekeshwa wewe hiyo ndio asil yetu
Singeri sio music wa kitoto
Huu ndo mziki wakujivunia wabongo kama mnawaza kama mimi like
Jamaaa ana nip mzuka had me nae angalia CZcams
Sholo mwamba yuko vzr watu mwanzo mwisho shangwe
Mkuu hatar wee ndo King wa singel mkuu
Sholo kaua big up nmekubal uwanja vaibu ka loteeeerr
This guy got the Greatness waaaahh!!😱🔥🔥🙌
I dont mean to be offtopic but does anybody know a trick to get back into an instagram account..?
I was dumb lost the account password. I appreciate any help you can give me!
@Remy Harvey Instablaster ;)
Achana na sholo mwamba kuna jini dj titto hapo🙏🙏🙏
Hii noma sana aiseee hataaariiiiiii
Andrew Nicholaus czcams.com/video/E2iUxMvJbEc/video.html
nouma sanaaaa sholooo
Shoro anaweza kuucheza huu mziki wa singeli
Love singeli!, From Chile!
Huu ndio mziki wetu sasa zingine mbwembwe tu
Kabisa kabisa 🇹🇿
sholo mwamba king of singeli
Shalo mwamba hatarrrr!!!!!
Yaan Amsha amsha lote hilo wengine wamesimama mbele kabisa hapo wanashangaa tu,. Hata hawatikisiki.. Cjui viziwi😂😂😂
😛😛😄
😅😅
Aowasio cheza ndowale wanafiki Aliowasema xholomwamba
🤣🤣🤣🤣 umejua kunichekesha ase
😂😂😂😂watakuwa wanausingizi
Kingi of singeli saf mzee bb xholo mwamba chuma nondo sitiliwaya
Kachangamsha show kinyamaaa
Hatali hataliiii sanaaaaa
Mmmh Ni Balaaa
Yaaaaa hapoo ni mwendoo wa tiziii
Hata angekuja CHRIS BROWN angekalshwa na singel
mwaRabu toLeo la mwisho hahahahaha
Sholo ndo habari ya singeli 💥💥💥💥💥
Anamjua fongo huyo
@@maestrotv8264 haha Fongo nae poa si mchezo....ila jukwaani kwenye performance ...Sholo ni another level
@@abdallazakaria6953 angalia show ambayo wamefanya wote tigo fiesta 2016 utajua nini namanisha 😁 ndio utajua sholo wako mkali au fongo kwakua hapo hayupo
@@maestrotv8264 sawa sikatai...manfongo alikua mkali but back then...I mean nyuma.....Sholo amejua kujiongeza and he's way better than Manfongo kwa sasaivi.....I mean anajua kujiongeza na kuenda na wakati at the same time
Man of the match
Katisha
😂😂😆wahuni wamekimbia jamn Dah adiii urumaa😂😂
😀😀😀😀😀😀😀😀
@@seifmillanzi9673 😅
Kila ukisoma comment akuna alieona et seifu unaboa show zako apo nd utaamini chuma nondo stil waya
anavo wakimbiza siioo poaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😋
Duuuuuh jmn uwanja umekuwa mkubwa gfla khaa
😂😂😂 Huu mziki wa singeli unakuwa chizi aniii arifu
Nimeimis fiesta kama nawwe unapenda warudi barabarani acha like apo
Wauni wanakimbia kinoma 🤣🤣🤣
Aliwapandisha Watu mizuka ya kimakonde🤣🤣
Atary
Kabisa
Duuuu sio kwa shoo hiiii
Hy ameua kinoma noma
Fiesta mtwara sholo alitisha
Walosimama hapo mbele wana moyo mgumu hata kutikisika
haahah kama mizim
Hao hawataki kutoka wanawasubiria wasanii wanaowatakaa ili wawaone vzur
@@dintazdintaz7311 kumbe nilikuwa sijui mana wametulia tuli
😂😂😂😂 Nilidhani Nimewaona pekeyngu😂😂😂
@@Shayy97 wametisha kwa kweli
Nomaa sanaa
🤣🤣🤣🤣🤣singeli si mchezo cheki na wao wanavyokimbia🤣🤣🤣🤣
Nakukubali sana💪💪💪💪
Fire
Hii ilikuwa noma San
Masikini wamakonde wanavyopelekeshwa
na tulipelekexhw kweli duh
Noma na nusu
Balaaa
I appreciate da music
Kweli wahuni sio watu wazuri Raia wanavyo kimbia utafikir wamelushiwa Bomu
CZcams noma
Mamake noma nyingi
Hii shooo duuh sichokag kuangaria inanikosha baraa hata nikiwa na ctres zinaisha
duuuuh hatariiiiii xanaaaaa
Baada ya msaga sumu ni sholo mwamba show ya kibabe #mkendamkendatz
Uwiiiiiiii.Unyama sana .Sholo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
💥💥💥💥
#sio_2_Shoromwamba_kutu_kimbiza_bt_pongez_ziende_kwa_DJ_TITO_daaaaaaaah_c_kwa_mx_hizo_hatari_zaidi_ya_Hatari_nakubali_SHOROMWAMBA_miaka_💯_ya_KOBE🗝🗝🗝🗝😀😀😀😀📣📣🗯💯
Jamani uyu jamaai king of singeri jamani pale kwenye kuzungusha duara ametisha dj Tito umeuwa