#TBC1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2024
  • Kipindi Hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa 98.01% ya mradi wa kimkakati wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere ambalo kukamilika kwake kutazalisha Megawati 2115 za umeme
    Mtangazaji - Vumilia Mwasha
    Mwongozaji - Neligwa Muggitu
    Mdhamini - AZANIA BANK

Komentáře • 55

  • @SalumuChikoi
    @SalumuChikoi Před měsícem +16

    Nashukuru nami ni mmoja kati ya watu walioshiliki katika ujenzi kwa mikono yangu

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Před měsícem +13

    MAGUFULI….MAGUFULI…MAGUFULI

  • @mathiasmichael9915
    @mathiasmichael9915 Před měsícem +4

    Mwenyezi Mungu akubariki huko uliko Rais DK JPM

  • @JombaTUncleT
    @JombaTUncleT Před 10 dny +1

    HAKIKA NI FURAHA Kubwa kuona jinsi Taifa letu likipiga hatua kuuuuubwa tangu tupate uhuru hadi Leo. Wazazi wetu na waasisi wa Taifa hili, pamoja na viongozi wote, Wabarikiwe sana. Pongezi nyingi Kwa JPM na Kwa mama Samia Aliyeachiwa kijiti na kukimbiza Kwa mbio zoote hadi hapa. Mama Samia Suluhu Hassani Ubarikiwe sana. 🙏🙏🇹🇿🤠

  • @JohanessMarwa
    @JohanessMarwa Před měsícem +4

    Hilo ni jambo Jema sana kwa Taifa letu kiuchumi na hata kiusalaama. Napongeza serikali kwa Hilo. Kikubwa wasimamizi wote wanao husika na watakao husika wasimamie kwa kuzingatia uweredi na uzarendo🤝🤝👍👍
    Johaness Marwa Toka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @anastazialushika
    @anastazialushika Před 27 dny +1

    Karibuni sana Rufiji karibu Julius nyerere hydro powe project,

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 27 dny +1

    Mashallah mungu yayibariki tz na viongozi wake

  • @zawadimwangupili4518
    @zawadimwangupili4518 Před 27 dny +1

    Tunamshukuru Mungu na viongozi wetu Mungu awabariki

  • @johanesemmanuel4655
    @johanesemmanuel4655 Před měsícem +7

    Pongezi kwa serikali yetu,mungu wabariki viongozi Wetumpka wakiongozwa na raisi Wetu mama Dr.Samia Suruhu Hassan.Mungu ibariki Tanzania,mungu Ibariki Afrika.Amen

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 Před 28 dny +2

    ALLAH AMPE KAULI THABIT....SIKU YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI TULIAMBIWA KUNA DARAJA KUBWA LITAJENGWA HAPA KUBWA LITAKALO UNGANISHA MIKOA MIWILI NA NAWATANI WAKE WAZARAMO MTAKUJA KUFANYA UTALII NA KUPIGA PICHA ZA NDOA HAPA...AISEE NIKWEL YA ALLAH MPE KAULI THABIT...MUHIMU DUA TU NDIO FAIDA YAKE,,,NA UKIWASHA TAAA UJUE THAWABU HUMFATA ..NAPIA HONGERA MH.RAIS KWA KUKAMILISHA HILO MALIPO NI THAWABU NA PEPO KWAKO...

  • @shaibchigwere4645
    @shaibchigwere4645 Před 25 dny +1

    Engineer wa power house yuko good kwa kuyelezea

  • @MikidadiSalim-xk9dc
    @MikidadiSalim-xk9dc Před 2 dny

    Alhamdulillaih...Allahu Akbaru....

  • @kanoleausi4204
    @kanoleausi4204 Před 6 dny

    Msisahau kumshukuru , na kumpongeza Mama Samia pia. haikuwa rahisi kukamilisha hiyo KAZI.

  • @hassanfeiswal5454
    @hassanfeiswal5454 Před měsícem

    Well done sister vumilia. Its good to have these development information. Keep it up. God bless you.

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před měsícem +4

    Walau nimeshiriki kwa kiwango kikubwa kwenye ujenzi wa huu mradi kama operator.. kazi nzuri kwa serekali

  • @simulizitanzania2571
    @simulizitanzania2571 Před 18 dny

    Karibu zimekuwa Nyingi mno aseeee

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 Před měsícem +2

    Mlisema mtapunguza bei za umeme ngoja tusubili tuone

  • @LuckymusykiLuckymusyoki
    @LuckymusykiLuckymusyoki Před měsícem +3

    Dada unajua kazi yako

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b Před měsícem +2

    Rip jpm,sijakosea kumpa mwanangu jina lako

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 Před 27 dny +1

    Huo ufunguo kwa nje ya mlango 😅

  • @YohanaYoramu-nl6bw
    @YohanaYoramu-nl6bw Před měsícem +2

    Pongezi kwa serikali pamoja nawewe vumiliya mwasha unatangaza vizuri

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před měsícem +1

    Mtakamilisha huko mtahamia kwenye miundombinu mitaani migao iendelee kama kawa

  • @WilliamSamwel-vh5op
    @WilliamSamwel-vh5op Před 19 dny

    Nyinyi ni matapeli tu miaka minga yapita mnatengenezatu

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk Před měsícem +2

    🇹🇿🇹🇿🌹👏

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j Před měsícem +3

    Kazi iendelee samia mi 🖐 tena 💞

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 Před 20 dny +1

    Jpm ashukuriwe alikubali kuvunja UJINGA WA WAZUNGU NA AKARHIBUTU KUJENGA DAM YA SELOUS .

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 Před 17 dny

    HIYO ASILIMIA 2 MWAKA UTAISHA

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Před měsícem

    Karibu sana zipo nyingi.dakika nne😂

  • @stevensosipita
    @stevensosipita Před 27 dny +2

    R.I.P DKT JOHN POMBE MAGUFULI MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI

    • @oscarfilimbi3282
      @oscarfilimbi3282 Před 12 dny

      Hakika mungu ampe pumziko la milele yule kiumbe wake JOHN POMBE MAGUFULI,uthubutu na kulisimamia aliloamini bila hofu.

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před měsícem +1

    Jpm

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před měsícem

    Tunasubiri bei ya umeme ishuke, maaana mwanzilishi ambaye ni Jpm alisema bei itashuka ili tupikie umeme tuachane na mkaa

  • @Madizizi
    @Madizizi Před měsícem

    Kila siku 98% tumechoka kusubiri

  • @emmanuelmalifedha3391
    @emmanuelmalifedha3391 Před měsícem +1

    Hiyo mashine na tisa mbona inatoa 166.4MW? maana najua efficient haiwezi kuwa 100% but hiyo ni chini ya asilimia 70.... kuna nini hapo mtujuze kidogo

    • @matheobaha773
      @matheobaha773 Před měsícem

      Rpm yke n ndogo hata hivyo ukiangalia

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Před měsícem

      Kama siyo macho ya camera kushindwa kuonyesha ukubwa wa hicho kifaa basi nyie mtakuwa kuna jambo mmeliona ambalo lipo tofauti na ufafanuz wa jamaa

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 Před 28 dny +1

    AISEE NACHO ONA MM HAPO NI MITAMBO MINGI SANA.... AMBAYO NI YAKISASA KABISAA KAZI KUBWA SANA IMEFANYIKA ALLAH AWALIPE WEMA NA PEPO....MH.MAGUFULI UTAISHI SANA,,NIKI KUMBUKA MM ILE HUTUBA YA SIKU YA KWANZA LEO IMEKUWA KWELI MUNGU PEKEE NDIE ANAJUA CHA KULIPA,,PIA RAIS SAMIA HONGERA KWA HILO KAZI UMEIFANYA

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Před měsícem +2

    Kama bei ya umeme haitopungua hili bwawa litakuwa kazi bure

    • @killy_hoffman2698
      @killy_hoffman2698 Před měsícem

      mpka sasa bei ya umeme ni nafuu cha muhimu ni kupata umeme wa uhakika kwanza

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay Před měsícem +2

      Buku unapata units 8 ukiwa kwenye mfumo wa tarrif 0 bado bei ni nafuu kuliko hata vifurushi vya simu hiyo buku ni siku 1 tu salio linakata..

    • @user-ub3xh7ug6c
      @user-ub3xh7ug6c Před 24 dny

      Nafuu ip​@@killy_hoffman2698

    • @user-ub3xh7ug6c
      @user-ub3xh7ug6c Před 24 dny

      Nafuu ip​@@killy_hoffman2698

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 Před 20 dny

    Hawa wasemaji sio type ya wanawake wenye mvuto kwa kuleta mvuta wa biashara Nb tafuteni wanawake walio na nguvu ya kumvutia mtu sio hawa hata sauti sio NZURI

    • @wilcoxdaniel9825
      @wilcoxdaniel9825 Před 14 dny +1

      Who writes this kind of nonsense ?
      This is an engineering project. Not a beauty contest

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem +1

    Vumilia mm huwa ni shabiki yako sana natamani siku moja nikuone live. Mm na mke wangu.

    • @vumiliamwasha191
      @vumiliamwasha191 Před měsícem +1

      Asante sana endelea kutazama Wekeza Tanzania

    • @YohanaYoramu-nl6bw
      @YohanaYoramu-nl6bw Před měsícem

      @@vumiliamwasha191 Asante dadayangu

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Před měsícem

      Wewe ni Mwisilamu wake wanne ruksa

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 Před měsícem

      @@edsonnelson4464 acha izo bana.

    • @JombaTUncleT
      @JombaTUncleT Před 10 dny

      ​@@vumiliamwasha191Ubarikiwe sana sana. Unatufikisha mbali tusikofika Kwa macho TU tunaona mengi viganjani na SEBURENI... 🎉🎉❤