Wimbo kutoka kwaya ya Mt Augustino-Chuo kikuu cha Dar es Salaam-Mlimani.It is worthy to keep listening the whole day today especially-the palm sunday.Mungu Awabariki sana.
Super congrats wana Augustino... Nimeimba kijiweni 2006-2008 na ninamshukuru Mungu kwa kazi njema mnayofanya. Hongereni sana dogo Lusasi, Peter, Kisima Nestro na Wana Augustino wote.Mungu awabariki ....Rabi mkongwe Kwaya ya Mt. Augustino..2006/2007. Richard Muita...University of Sydney..Australia
I love my church catholic...and nothing will come bwtn me and my church,,, I'm blessed kabisa na hizo nyimbo
Aki mubarikiwe sana...mwendelee kutuletea nyimbo nyingi kabisa...be blessed.. Ahsanteni sanaaaaa....wanakwaya !!!!!
May God bless these choir members
Palm Sunday songs good one
Mtunsi ako sawa pia walio imba
Gusaneni jelah
Super congrats wana Augustino... Nimeimba kijiweni 2006-2008 na ninamshukuru Mungu kwa kazi njema mnayofanya. Hongereni sana dogo Lusasi, Peter, Kisima Nestro na Wana Augustino wote.Mungu awabariki ....Rabi mkongwe Kwaya ya Mt. Augustino..2006/2007. Richard Muita...University of Sydney..Australia
nimependa sana wimbo huu nimuhimu sana kwenye sikukuu ya matawi,ongereni sana wanakwaya kwa kuimba vizuri mungu awabaliki sana ni mimi Erick
Bandio.
Hossana,,a nice song am blessed whenever I listen to this choir,,keep it up
Nice pongezi kwa wanakwaya wote
Hosana Hosana mwana Wa Daudi, Bwana awabariki waimbaji na wote waliofanikisha kukamilisha album hii
Hosanna juu mbinguni ...sifa kwako eeh kristu.
Kesho ndo siku 😊🙏🤲 hosana in the highest
10 years na bado inavuma
May God bless you with all your families
is very beautiful song
these songs take me to Eden as i listen them. This is the grace of God taking place in my simple life. Greeting to you all kwaya members
Hongereni sauti zote zinasikika
Kusifu ni kuzuri jameni nimebarikiwa sanaa
keep it up u guyz hossana kali hio mno
Napenda. Moyo wangu watamani kusikia sauti zenu kila wakati
A beautiful song. Hongera
❤❤❤
Hii kwaya noma xano kudoz en bigupz to chuo cha dar. May gud lord award moo.
hongeren sana wanajumuiya na mungu awbaliki sana amna
God bless all of you that song is so good and interesting.
great job Augustino. good people
nmependa sana wimbo wa hosana
waoooooooo nice work wapendwa Mungu awalinde daima
Those golden days at the hill. 🔥🔥
nice Justin och Peter.
Asanteni kwa kumtukuza mungu alie hai.
Beautiful
Hii album inaitwaje jaman
Beautiful song, choir of suitability.
Thnxs my pple... I love you all! Have a nice week...be blessed...!!!
excllent
Kazi nzuri.
sauti tamu kweli
ntayaruka dar Mimi am blessed
hongereni sana
Kwaya hii MT. AGUSTINO Udsm naikubali
Very nice one I love the song....may get music notes please nimetafuta Sana?
Thanks so much
hahaha dg nimeshidwa kujizuia leo kwa kweli.nimeona bora wengi wafurahi nami.au nitachukuliwa hatua kali sana?
Good
Kijana unatisha. Tayari umeshaanza mchezo wako hata kabla hujaruhusiwa???
Penda san