Tena bi saada! kama usemavyo, hazishi sababu ili waonekane wa maana, nia yako ni mbaya, umesahau kama mimi ndo nilokustiri.lakini wacha tu dunia ni duara, somo langu kwako wewe, nimejisomea walimwengu, wala ihsani na fadhila nilotenda kwako,malipo yako siyataki, huku duniani, ukiniwekea donge litakurudia rohoni best maneno poa
Sawa sawa bisada maneno mazima nayote yapo duniani yanatokea malipo yangu yako kwa mungu mmiliki wa himaya nastahamili siku jibu yote hayo atayarudi rabana 😥
Beautiful made in africa all the best bi saada usijiweke rohoni na kunipaka abaya wema wangu na fadhila yangu mola ndie anajuwa malipo yako kwa mungu heko bi saada d ont mind
Mohamed Ahamed Ben Ali, originaire des Comores et époux de Sitty Halladi, je ne sais vers qui et où me pencher : Tanzanie, Zanzibar ou east african melody, il n'y a que des chanteuses qui ont l'art et la manière d'amuser leurs auditeurs tellement leur voix est perçante. De Sabah Saloum a Saada Nassor il n y a que l'embarras du choix. Choukran.
Mash Allah bibi Saada Nassor quelle voix de Rossignol. Continuez ainsi à nous égayer avec vos mélodies et à remplir nos coeurs de joie. Assanta. Je suis originaire des Comores. Marhaban mbika ya habib.
Malipo yako kweli yapo Kwa Mungu Bi Saada Mrudie Mola wako mapema maana video zako za uchfu zimeshafika ulaya yote,Na huyo Mume wako alokua mtoto wa Imam wa msikiti anakufanyia mambo kama yale na unayapenda wakati mmepewa sehemu ya kupanda mimea mmeamua kupandisha mimea kwenye majabali badala ya kupandisha kwenye Rutba,Mungu akusameh na mrudie Mungu wako.Huyo Mumeo amezoea yale zamani huko arabuni alipokuwa
Jaman hii nyimbo naipnda xn pmj na muimbaji wake bibie saada nassor mashaallah umetulia km kuimba hii nyimbo, I like this song ❤❤❤❤
Tena bi saada! kama usemavyo, hazishi sababu ili waonekane wa maana, nia yako ni mbaya, umesahau kama mimi ndo nilokustiri.lakini wacha tu dunia ni duara, somo langu kwako wewe, nimejisomea walimwengu, wala ihsani na fadhila nilotenda kwako,malipo yako siyataki, huku duniani, ukiniwekea donge litakurudia rohoni best maneno poa
hakikahuu wimbo unanikumbusha nikiwazanzibar nackiliza chuchu fm
Mashlhwaaa naipendaa hiii nyimbo
Napenda ufasaha wa lugha yenu.mko warembo kweli kweli.kazi nzuri sana na kila laheri dada zangu.
Sawa sawa bisada maneno mazima nayote yapo duniani yanatokea malipo yangu yako kwa mungu mmiliki wa himaya nastahamili siku jibu yote hayo atayarudi rabana 😥
AHY&MOKASH !!
Salams kwa nyote dada zetu wa . Tanzanîa lot's of love. Proud to bé from there. Big up
Fadhira za mnyonge milionea wa hisanii
Mashairi yalopangwa yakapangika ewallah binadamu hatuna wema hata mi nimu nayavumilia tumche mungu jamani tuache kuchunguzana ya ndani
Nyimbo yangu pendwa ❤
Beautiful made in africa all the best bi saada usijiweke rohoni na kunipaka abaya wema wangu na fadhila yangu mola ndie anajuwa malipo yako kwa mungu heko bi saada d ont mind
naipenda hii nyimbo wallahi umeitendea haki bi saada
Malipo Yangu yapo kwq mungu ndiye mmiliki wa himaya
Swadaqtah maneno yako Shkh Abdul kwa Bi Saada, kumrudia Mola wake ''yamenigusa mno Akhuy''
Jamani huyu Dada ni zaidi ya star kuanzia sauti pozi zake uchezaji na anajua kukaa kwenye kamera big up Saada natamani use rafiki yangu
Dada angu huyu hana tabu mzungu kabisa
Mashaallah 👍
Napenda kuusikiliza nyimbo zako..
I love it your song na unacheza kwa hichima
Fadhila zangu zamnyoge hazina thamani kwawatu santhaaaa habibii
Yani huu wimbo naupenda mpaka basi hongera bi sada
Wewe
fadhira za mnyonge huwa inaniliza sana
Nakupenda sada nyimbo zako zipo vizuri
Hongera
Sichoki kusikiliza hii nyimbo hongera dada
Afande saaad mwenyewe mpole mashalhaa mungu akulinde
Mashalaah, kumbe huyu ni afande?
@@mohamedmakwega4594 yap askar wa magereza
mm napenda sana taarbu zote jaman
j'aime bien cette fille qu'elle as chanté cette chanson
Very pride to be African Beautiful music Thanks very much
Heko bibi saada
Huu wimbo wa zmn kidg lkn utasema umeimbwa jana ahsnt saada nassor somo lang Kwa walimweng kwako nimejisomea
Madame bravo... douceur piquante
Nakupenda na ww pia
❤massha allah
Maneno Yako Yakweli Haswaaa
2021
yamenifurahisha maneno kweli ya bi saada nassor, goodnight
ujumbe mzuri sana
Mohamed Ahamed Ben Ali, originaire des Comores et époux de Sitty Halladi, je ne sais vers qui et où me pencher : Tanzanie, Zanzibar ou east african melody, il n'y a que des chanteuses qui ont l'art et la manière d'amuser leurs auditeurs tellement leur voix est perçante. De Sabah Saloum a Saada Nassor il n y a que l'embarras du choix. Choukran.
mzuri sana
Upo best
ni kwelii usemayo dada angu
ukofizuri
Nyimbo ni nzuri sana kama wewe mwenyewe masha allwa
Qq à
Nakubalisana kaziyako 🎤
Saada Wasokupenda lazma iwacoast unajua mpaka nashindwa kuongea
Iko god
ua best so far
Safi sana da saada,naomba mwenye mashairi ayatupie hapa
ukofizuri
2019
Nakupenda saada
Ngoma safi sana!
hi wajina wangu umependeza sana sura yako umbo lako rangi yako sauti yako kwa kweli umeimba uzuri sana xxxxxxxxxxx
poa saana
Nia yako niidhara mwenzio kuniadhiri penda sana bi sada
napenda cna nyimbo zako
elle est bien cette chanson
Sawa!👍🏻
Bisaada hii haichoshi
Nakupenda sana
Fadhila za mnyonge eee yaua msa raha ukiwa na dhoooo ama?
santhaaaaaa bi Saada....umenena ukweeeehh.
nzuri
safi sana
sada nyupo powa
Nilifanya kwa ajili ya Alhwah
My favorite song!
maashaallaj
Fadhila zangu nichange kama pesa pesa za upatu 😞😞😞
Kuwatendea hisani sikua naniambaya
Mash Allah bibi Saada Nassor quelle voix de Rossignol. Continuez ainsi à nous égayer avec vos mélodies et à remplir nos coeurs de joie. Assanta.
Je suis originaire des Comores. Marhaban mbika ya habib.
Comores aussi , elle chante tellement bien
Sada huna mbaya
imenigusa neno pambe iloo upo juu dada
2000 shukra
mashaallah
nzuri sana
Nguvu zake Maanani
rift side uko vzr
Wape wape watu wamezidi kusemana bure bure.
Saphia2
iko pw
Hjmb
I do love this song coz she know how to sing
Mama mzuri wa ki Africa usiwe na wasi wasi unaimba vizuri
good
swari
999
elles chante en langue Swahili et la genre s'appelle Taarab (comme Arab)
unajuwa pia nifundi kwasisi wataalm WA as'wat(sauti) sauti ya bayyat unaitendea haki zaid na qurdi yake pia
NICE
nitakutumia usijali @Abduli Ali......ila sasa kuna ustaadhi wangu huku anasema nisitume ni vibaya.
Abduli Miki namm mpenz naomba izo nyimbo zake uyu dada pls nijibu nikutumie no pls
Abdul haya maneno ni sahihi uliyasema? maana hii nyimbo ina mashairi ya kweli ndugu yangu
Malipo yako kweli yapo Kwa Mungu Bi Saada Mrudie Mola wako mapema maana video zako za uchfu zimeshafika ulaya yote,Na huyo Mume wako alokua mtoto wa Imam wa msikiti anakufanyia mambo kama yale na unayapenda wakati mmepewa sehemu ya kupanda mimea mmeamua kupandisha mimea kwenye majabali badala ya kupandisha kwenye Rutba,Mungu akusameh na mrudie Mungu wako.Huyo Mumeo amezoea yale zamani huko arabuni alipokuwa
Tutor4u fadhakir inna faat dhikra
Car Vlog ww una uhakika na hili unalosema? Maana dhana ni mbaya sana, usitafute dhima mbele ya Allah s.w.) kuna ushahidi na unalosema
Abduli nitumie mimi niamini kama ni kweli yako email yangu ni (rumaana@live.com)
ni kweli kabisa @sheshi,,,,,kama huamini nipe email id yako then utaaamini kwa macho yako..
nice one hata najiona kichwa chatikisika
dunia ya leo wema hununui wala ihsani
Ujumbe safi mama kaza kamba
Zuhura muhamedi
Uyu mdada yupo vzuri Sana.
fadhira za mnyonge huwa inaniliza sana
Fadhila za myonge INA mafunzo mengi sana FAUZ saidi