KESHO YANGU PART 31 💞 Love Story

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #keshoyangu #dontatv #keshoyanguepisode31

Komentáře • 893

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  Před 4 měsíci +334

    WATCH NEXT EPISODE czcams.com/video/a7h0JvtswiE/video.html

  • @RuthNyatuka-qe3kd
    @RuthNyatuka-qe3kd Před 4 měsíci +58

    Huyu muuaji anajiamini ameact vizuri sana,,, kama unamwamini mpee Maua yake❤❤❤❤❤

  • @AbuKebu-kw6og
    @AbuKebu-kw6og Před 4 měsíci +51

    Mnawokubali Kevin naombeni maua 🎉

  • @user-cu9bd6pr4i
    @user-cu9bd6pr4i Před 4 měsíci +113

    Wakwanza leo kama wamkubal kelvin gonga like

  • @user-fq1kl4uc1z
    @user-fq1kl4uc1z Před 4 měsíci +44

    Wakwanza kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮 likes zangu wadau

  • @nelsonkilasi979
    @nelsonkilasi979 Před 4 měsíci +26

    Japo kwa kuchelewa like zangu jamani from Congo Lubumbashi

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti Před 4 měsíci +21

    Kelvin hii move mmeuwa nitam Kila cku🔥💯 good job

  • @user-qk2dp9dx2l
    @user-qk2dp9dx2l Před 4 měsíci +14

    Daah Da vicky nakukubali kinoma unaubunifu mwingi wa kuigiza Nakupenda sana mwali.

  • @user-gy5cq2op6j
    @user-gy5cq2op6j Před 4 měsíci +27

    Team nyuki like hapa watu wa maana kabisa 👊

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial Před 4 měsíci +35

    Wa Kwanza mimi leo ❤❤❤😅😅😅
    Masabiki wa DONTA TV mnipe like hata 10 please 🙏

  • @Agnes550
    @Agnes550 Před 4 měsíci +41

    Wapili jamani naomba likes hata kumi
    Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 Před 4 měsíci +48

    Wa kwanza like zangu please team strong hoyeeeeeeeeee 😂🇸🇦🇰🇪 Niko apa kuwakilisha🥰🥰🥰🥰🥰🙌🙌

  • @lilianmbeyu7622
    @lilianmbeyu7622 Před 4 měsíci +48

    Wakwanza leo nmewahi jameni team strong tujuene kwa like

  • @nsengiyumvawhite6480
    @nsengiyumvawhite6480 Před 4 měsíci +5

    Nyuki namkubali kisi anampapaniya kelvin paka katoka jela big up saana 👍👍👍👍👍👍👍👍👍❤️❤️❤️

  • @FrankManirakizacom
    @FrankManirakizacom Před 4 měsíci +24

    Nami nimewahii naomba like zangu

  • @wamberefrank1949
    @wamberefrank1949 Před 4 měsíci +23

    Mimi wakwanza naomba like jamen

  • @user-tm4ew9ji7x
    @user-tm4ew9ji7x Před 4 měsíci +8

    Dahh mzee nimekubali amesimamia sheria vizuri natamani isichukue md mrefu kupata mwendelezo wa kila kipande

  • @WafulaHarbert
    @WafulaHarbert Před 4 měsíci +4

    Mimi wa kwanza kutoka 🇰🇪 napenda donta tv weka like 2kisonga

  • @4sixtv381
    @4sixtv381 Před 4 měsíci +16

    Nani kamsikia nyuki akimsalimia afande gonga like hapa

  • @vailethmtawa3478
    @vailethmtawa3478 Před 4 měsíci +19

    Wakwanza naomba like zangu🎉

  • @SophyaMsagati
    @SophyaMsagati Před 4 měsíci +3

    Hakika hii movie nimetokea kuipenda na imenipa funzo kubwa kwangu kama naww umejinfunza kitu kwa movie hii gonga like apo

  • @ruthgloriaobonyo
    @ruthgloriaobonyo Před 4 měsíci +18

    Kelvin amenivunja mbavu,ameamua kiguu na njia bila vyatu🤣🤣🤣Wacha woga mwingi.
    Hongera Kwa Kazi nzuri hatimaye inspector amekuwa suspect ...afaa awekwe rumande!

  • @nancygilliad2883
    @nancygilliad2883 Před 4 měsíci +4

    Kazi nzuri sema mnachelewa af mnaifanya fup san hebu tuongezeeni muda kidg angalau iwe ndefu kidg❤

  • @Asianyanje
    @Asianyanje Před 4 měsíci +8

    Jamaniii mimi namtaka kunambi aje Kenya anioe awachekungaika huko jamani. Ama huyo nyuki maana nawapenda wote sana sana nyuki😅😅😅❤❤❤jamani mapenzi bwana

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 Před 4 měsíci +7

    Asante sana kelvin kwa muendelezo wa movie hii ya kesho yangu hongereni sana nafurahikuona umekubaliana na maombi yetu shabiki zako

  • @user-wr3uu1hf9z
    @user-wr3uu1hf9z Před 4 měsíci +5

    Nyinyi muombao like mwanzifanyaje ebu niambie team strong😂😂😂😂

  • @MussasamliMawazo
    @MussasamliMawazo Před 4 měsíci +7

    Safi sana Vitoria kwa ujasiri wa kaomba radhi kwa 🐝 nyuki bila shaka utakuwa mke mwema kwa kevin .na pindi nikiwa wana ndoa utajifunza mengi kwa mwenza wako.

  • @user-bj5bq1cg6q
    @user-bj5bq1cg6q Před 4 měsíci +7

    Yaaani kelvin mpaka anafika nyumbani hakuvaa viato😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @brotherlaurent4gb
    @brotherlaurent4gb Před 4 měsíci +16

    Kazi nzur kabisa

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g Před 4 měsíci +11

    Sem kuwai leo right on time much love from kenya 🎉🎉

  • @AnastasiaRobati
    @AnastasiaRobati Před 4 měsíci +16

    Kaz nzur sana. like mbili2 guys

  • @user-vh7gw3we5z
    @user-vh7gw3we5z Před 4 měsíci +5

    kelvin ungetoa hii ngoma nzuri sana yaan nipenda san huu wimbo no ngetaman ata nipate audio jamn 🎉🎉🎉🎉

  • @hghh6056
    @hghh6056 Před 4 měsíci +3

    Nimefurahi kumuona kelvin ametoka jela hapa ni kufunza usikate taa usiguziwe kitu na hujakifanya lk subra na maombi kwa mungu asiye na wake ana mungu ❤❤❤kazi nzuri 🇰🇪🇸🇦 tunawakubali saana 💪💪🌹🌹🌹🌹🌹

  • @clariszawadi2010
    @clariszawadi2010 Před 4 měsíci +16

    Amazing 🥰🥰🥰

  • @user-oj7zw4fw8e
    @user-oj7zw4fw8e Před 4 měsíci +15

    Ndo naanzanayo wakwanza Mimi hapa likezenu zinahitajika

  • @Jackyflavour
    @Jackyflavour Před 4 měsíci +9

    Kesho yangu noma sana 😂😂😂

  • @Mercyline-rv9nd
    @Mercyline-rv9nd Před 4 měsíci +7

    Huyu afande anajua vizuri kuhusu hii kesi ya mauaji

  • @WinjoySonnie
    @WinjoySonnie Před 4 měsíci +1

    Dah.. movie nzuri hii..naomba mfuate ukweli kabisaa ❤❤❤ kelvin nyuki.. Vickie..alf mzee hongera

  • @Tumain-Kulubone
    @Tumain-Kulubone Před 4 měsíci +2

    Mimi huwa sipendi kuangalia bongo movie.. Ila nyie mmenishawishi.. Good Sana vijana

  • @wesleybravins2553
    @wesleybravins2553 Před 4 měsíci +2

    Mimi nashangaa hiki kipindi chote kelvin yupo cell,,yule babake hajahusishwa au kuongea chochote ilhali ana umaarufu😮😮,,apo natumahi ingeleta ladha zaidi

  • @HenryKadu
    @HenryKadu Před 2 měsíci +1

    Huyu mzee mkuu wa kituo nimemkubali vizur. Sana naomba apewe maua yake🎉🎉🎉🎉

  • @user-qv4kw4bq1s
    @user-qv4kw4bq1s Před 4 měsíci +9

    Wakwanza leo kutoka zanzibar naomben like zenu

  • @NoelinaIbrahimu
    @NoelinaIbrahimu Před 4 měsíci +10

    Kaka naipend kaziyak 2naomb uwe chap man 2naham 2jue nn kinatokea maana shelia msumeno.

  • @SadockManirakiza
    @SadockManirakiza Před 4 měsíci +3

    kelvin namkubali sana kbs amuowe viki niko nyuma yake amelelewa vizuli na kaka yake kbs

  • @yusufujkululinda4947
    @yusufujkululinda4947 Před 4 měsíci +1

    Kevin unanifurahisha sana movi zako nakupenda sana Mungu akuzidishie uzima

  • @valerianotamendi2156
    @valerianotamendi2156 Před 4 měsíci +2

    Jamn mdada mzur kwann mmempa jina la afande dudu 😂 sijapenda

  • @moreenfelluzy3243
    @moreenfelluzy3243 Před 4 měsíci +1

    Yaaan kesho yang ni nzul san kuliko hat jua kali aisee wangap wanainjoy jmn

  • @GraceKwayu-yo4zf
    @GraceKwayu-yo4zf Před 4 měsíci +1

    Asante Mungu Kelvin hajakutwa na hatia.......😂😂😂😂😂 Kelvin baru mpaka Nyumbani na viatu mkononi😂😂😂😂

  • @user-uc4lr2ht5v
    @user-uc4lr2ht5v Před 4 měsíci +2

    Ukipenda like Kama huna mda acha

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c Před 4 měsíci +8

    Mashallah leo watatu kelvin tafadhali nipe like na mm nimewahi mapema sana 😢😢❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @anthonymbusiro7768
    @anthonymbusiro7768 Před 4 měsíci +7

    muwe lnatoa kila sku ila vick ndy anaharibu hii movie analia lia tu

  • @malkialinah
    @malkialinah Před 4 měsíci +5

    Nakubali sana asante kwa kesho yangu nampenda Kelvin ❤️🥰🥰

  • @MkuyuMasanjo-ib6pn
    @MkuyuMasanjo-ib6pn Před 4 měsíci +6

    Daah kelvin is best bongo movie

  • @FAZUKAFILM
    @FAZUKAFILM Před 4 měsíci +14

    Nicejob

  • @Salmah9Lwambi
    @Salmah9Lwambi Před 4 měsíci +1

    Yani Kelvin mpaka viatu ukafika navyo nyumbani vikiwa kwa mikono 😂😂 acha uoga kaka ,aisei mko vizur sana hongereni team donta TV nyote

  • @YvonneWanyonyi-gh4pw
    @YvonneWanyonyi-gh4pw Před 4 měsíci +4

    Kesho yangu isiishe ❤❤❤tunaipenda sana kazi yenu 🎉❤❤ifike hata episode 50

  • @user-mj7ks1xo1u
    @user-mj7ks1xo1u Před 4 měsíci +5

    Kevin kesho yangu nimuvikari sana ila muowe viki🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Glorian-iv6xz
    @Glorian-iv6xz Před 4 měsíci +2

    Kazi nzuri kp na team naitazama filamu nkiwa Kenya nawapenda jamani❤❤❤❤❤❤❤

    • @hadijasheky7966
      @hadijasheky7966 Před 4 měsíci

      Kp tena😂😂😂

    • @Glorian-iv6xz
      @Glorian-iv6xz Před 4 měsíci

      @@hadijasheky7966 😂😂😂😂😂banae huoni nimejisahau sana aky awa watu kazi zao nzuri kinoma

  • @joanitainancioestevao3987
    @joanitainancioestevao3987 Před 4 měsíci +1

    ninafuraha sana kwakumuona Kelvin yupo huru ongueira sana ka Kelvin kazi m'zuri 💪♥️😘

  • @magdalenew.mwanyota5901
    @magdalenew.mwanyota5901 Před 4 měsíci +2

    Huyu jamaa wa kumada anasonya kama dem 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huo mdomo ila ni mcute akishika pesa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂weeee acting inataka moyo adi ulie mm nikiekwa na vile napenda kucheka na kulia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JASTINSEZA-kw5dp
    @JASTINSEZA-kw5dp Před 4 měsíci +4

    Timu Kelven Mpoooo😮😮😮😮😮

  • @colooboy
    @colooboy Před 4 měsíci +3

    Naomba like zangu kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kumechafuka huko Kwa jem's

  • @MarimGodifrey
    @MarimGodifrey Před 4 měsíci +4

    Nimechelewa kidogo sana lakini nimefika naombeni mnikumbuke kwa like

  • @AmusedBubbleTea-ic2mf
    @AmusedBubbleTea-ic2mf Před 4 měsíci +13

    Aise leuo nimeuai jaman🎉🎉🎉

  • @AlphonsinaSilayo-ff3pe
    @AlphonsinaSilayo-ff3pe Před 4 měsíci

    Hongera sana kaka nyuki wewe Ni mpambanaji sana hongera sana kaka kwa kupambana paka Kelvin akatoka hakika Kelvin mungu ameiona kesho yako

  • @BijouxBulose
    @BijouxBulose Před 4 měsíci +6

    Wa kwanza leo nipeni like zangu

  • @user-ic8mc3bd8l
    @user-ic8mc3bd8l Před 4 měsíci +1

    Much love from Kenya 🇰🇪❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😮😮😮

  • @user-xy8pz9tf6j
    @user-xy8pz9tf6j Před 4 měsíci +1

    Sema nini waungwana tuko pamoja sana ila mnachelewesha sana kutoa mwendelezo

  • @Divina-pr6vr
    @Divina-pr6vr Před 4 měsíci +7

    Very interesting story 🤝

  • @Joksmart
    @Joksmart Před 4 měsíci +3

    Mungu akubariki sana mr khan utafika mbali

  • @CizaFrancine-
    @CizaFrancine- Před 4 měsíci

    Uyu brother amecheza kama jambazi namukubari sana anajuwa kucheza vizuri sana ❤😂😂

  • @user-nl5yo8kw5y
    @user-nl5yo8kw5y Před 4 měsíci +1

    Jameni mm hapa network imeniangusha ,lakini Leo ishakubali Lakini mm niwamwisho duuuh Jameni kama umamutambuanga Kelivin kama mm nipatie like tukisonga Ii kesho yangu ni moto kama pasi🔥🔥🔥😊😊🔥

  • @user-dy6cz2xy2q
    @user-dy6cz2xy2q Před 4 měsíci +8

    Nyenye wakuomba likes mko n shida gani

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b Před 4 měsíci

    Nakubali sanaaa 💪 💪💪 sema unachelewa sanaa kutoa ep mpaka tunaanza kuisahau move 🙏🙏🙏

  • @NYENJENDEU
    @NYENJENDEU Před 4 měsíci +3

    Daah Mmetisha saana nilikuw naisubilia kwa ham saan❤❤❤❤

  • @Ramso_kingself
    @Ramso_kingself Před 4 měsíci +5

    Oya unajua isi ishie apa iwe kama jua kali hiiii

  • @user-jr8ju4jt2r
    @user-jr8ju4jt2r Před 4 měsíci

    Wau imefikia patamu kelvine ashatolewa, haya twendelee sasa jamani movie ni nzuri sitamani iishe

  • @user-bu4nt2nn6u
    @user-bu4nt2nn6u Před 4 měsíci +2

    Wakwanza jamani munipe like zangu

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 Před 4 měsíci +2

    for suree natamn isiishe leo wala kesho coz inazidi kuw tam balaaa daah Mung azid kuwapeni nguv sana na kuwatunza

  • @user-xo7ns7bc8c
    @user-xo7ns7bc8c Před 4 měsíci +1

    Mkuu wa polisi unanfurahisha sana kutokubali ombi la kisinja la kula rushwa pambania haki iwe haki

  • @MaryKijo
    @MaryKijo Před 4 měsíci +3

    Wakenya tuko hapa tunawapenda sana🇰🇪🇮🇶

  • @user-rz7kv9pn8m
    @user-rz7kv9pn8m Před 4 měsíci +4

    Mambo tayar wagwana njooni uku,🎉🎉

  • @user-qx4qi8vu4e
    @user-qx4qi8vu4e Před 4 měsíci

    Hongera sana Donta tv na wanyaranda ni mashabiki wenu sana
    Endeleeni na kazi njema❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @DorothyNashipei-he7ko
    @DorothyNashipei-he7ko Před 4 měsíci +2

    Nmekua wa mwisho Leo 😂😂like zangu jameni

  • @Ksambeyu-il7pg
    @Ksambeyu-il7pg Před 4 měsíci +3

    Kelven ooyee❤

  • @user-cr6vj7yu2b
    @user-cr6vj7yu2b Před 4 měsíci +1

    Mnazingua saiv mnatuletea sini mbili t kipande kimeisha mnaboa sana

  • @petersaitotilaizar9176
    @petersaitotilaizar9176 Před 4 měsíci +4

    Wow that's amazing kazi safi kabisa

  • @user-oz1bb8gc1c
    @user-oz1bb8gc1c Před 4 měsíci

    Kazi njema naisiyokua naupendeleo wakuchukua mahongo mzee wangu umenpendeza sana kutokua natamaa ya hongo, Acha kimrambe afande mbea

  • @RegnaSulu
    @RegnaSulu Před 4 měsíci +5

    Good job

  • @user-xe8uu9km6i
    @user-xe8uu9km6i Před 4 měsíci +15

    Nawakubali❤❤

  • @ShabaniAlly-tc3ft
    @ShabaniAlly-tc3ft Před 4 měsíci +2

    Hii noma sana brother unajua sana

  • @DoreenShirwazo
    @DoreenShirwazo Před 4 měsíci +2

    Kazi nzuri sana

  • @herieldauson5987
    @herieldauson5987 Před 4 měsíci

    Nakubali sana movie zenu, ila vick ana machoz ya karbu jaman

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ Před 4 měsíci +3

    muoe tu maana anakupnda sana from Tanzania

  • @ELIAMICHAEL46
    @ELIAMICHAEL46 Před 4 měsíci +2

    Movie mzur sanaaaaa kiukweliii inamafunzo mazuriiii 😂😂😂😂😂 like hapaa cc

  • @user-vl9ub2gt4n
    @user-vl9ub2gt4n Před 4 měsíci +4

    Nimekuwa wa kwanza like kwangu

  • @user-dg8kc9lw9s
    @user-dg8kc9lw9s Před 4 měsíci

    Weee aki kesho yangu inaburudisha mno hongera sana👏👏

  • @RaymonTz746
    @RaymonTz746 Před 4 měsíci +1

    Khan ni mwigizani mkubwa sana namanisha stev kanumba karudi bongo

  • @user-pl6wk1vg1x
    @user-pl6wk1vg1x Před 4 měsíci +3

    Nawakubali sana Toka Zambia tupeni kwa wakati

  • @ZenaMustapha-tj8yn
    @ZenaMustapha-tj8yn Před 4 měsíci +13

    ❤❤❤❤❤❤❤