Kelvin amenivunja mbavu,ameamua kiguu na njia bila vyatu🤣🤣🤣Wacha woga mwingi. Hongera Kwa Kazi nzuri hatimaye inspector amekuwa suspect ...afaa awekwe rumande!
Jamaniii mimi namtaka kunambi aje Kenya anioe awachekungaika huko jamani. Ama huyo nyuki maana nawapenda wote sana sana nyuki😅😅😅❤❤❤jamani mapenzi bwana
Safi sana Vitoria kwa ujasiri wa kaomba radhi kwa 🐝 nyuki bila shaka utakuwa mke mwema kwa kevin .na pindi nikiwa wana ndoa utajifunza mengi kwa mwenza wako.
Nimefurahi kumuona kelvin ametoka jela hapa ni kufunza usikate taa usiguziwe kitu na hujakifanya lk subra na maombi kwa mungu asiye na wake ana mungu ❤❤❤kazi nzuri 🇰🇪🇸🇦 tunawakubali saana 💪💪🌹🌹🌹🌹🌹
Mimi nashangaa hiki kipindi chote kelvin yupo cell,,yule babake hajahusishwa au kuongea chochote ilhali ana umaarufu😮😮,,apo natumahi ingeleta ladha zaidi
Huyu jamaa wa kumada anasonya kama dem 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huo mdomo ila ni mcute akishika pesa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂weeee acting inataka moyo adi ulie mm nikiekwa na vile napenda kucheka na kulia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jameni mm hapa network imeniangusha ,lakini Leo ishakubali Lakini mm niwamwisho duuuh Jameni kama umamutambuanga Kelivin kama mm nipatie like tukisonga Ii kesho yangu ni moto kama pasi🔥🔥🔥😊😊🔥
WATCH NEXT EPISODE czcams.com/video/a7h0JvtswiE/video.html
Kuowa tena 😅
Mimi wa kwanza
Move ikisha kelvin hujamuoa viki sishabik wako tena😂😂😂😂
Mmi wa kwanza
Nakusapoti sana
Huyu muuaji anajiamini ameact vizuri sana,,, kama unamwamini mpee Maua yake❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉
Amenimalixa walai 😅😅😅😅
Ameweza kabisa 😂😂
Thanks
Kbssss
Mnawokubali Kevin naombeni maua 🎉
🎉🎉🎉🎉
Wakwanza leo kama wamkubal kelvin gonga like
Mm 1
😅😅😅😅😅😅😅
Wakwanza kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮 likes zangu wadau
Japo kwa kuchelewa like zangu jamani from Congo Lubumbashi
Kelvin hii move mmeuwa nitam Kila cku🔥💯 good job
Asante
Daah Da vicky nakukubali kinoma unaubunifu mwingi wa kuigiza Nakupenda sana mwali.
Team nyuki like hapa watu wa maana kabisa 👊
Wa Kwanza mimi leo ❤❤❤😅😅😅
Masabiki wa DONTA TV mnipe like hata 10 please 🙏
Wapili jamani naomba likes hata kumi
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
❤❤
Wa kwanza like zangu please team strong hoyeeeeeeeeee 😂🇸🇦🇰🇪 Niko apa kuwakilisha🥰🥰🥰🥰🥰🙌🙌
Oyeeeee❤❤❤
Oyeeeeèee❤❤❤❤😂😂😂😂
Hoyeeeee na WiFi ya waiguru😂😂👌👌👌
Wakwanza leo nmewahi jameni team strong tujuene kwa like
Tupo dadaa❤❤
Tupo site
Nyuki namkubali kisi anampapaniya kelvin paka katoka jela big up saana 👍👍👍👍👍👍👍👍👍❤️❤️❤️
Nami nimewahii naomba like zangu
Mimi wakwanza naomba like jamen
Dahh mzee nimekubali amesimamia sheria vizuri natamani isichukue md mrefu kupata mwendelezo wa kila kipande
Mimi wa kwanza kutoka 🇰🇪 napenda donta tv weka like 2kisonga
Nani kamsikia nyuki akimsalimia afande gonga like hapa
Ety shikamooh afande
Wakwanza naomba like zangu🎉
Hakika hii movie nimetokea kuipenda na imenipa funzo kubwa kwangu kama naww umejinfunza kitu kwa movie hii gonga like apo
Kelvin amenivunja mbavu,ameamua kiguu na njia bila vyatu🤣🤣🤣Wacha woga mwingi.
Hongera Kwa Kazi nzuri hatimaye inspector amekuwa suspect ...afaa awekwe rumande!
ntavalia tu nje🤣🤣🤣
Natamani akamatwe hata leo. Mpuuzi huyu
😁😁
@tukqbisa 😂linavemgeni210
@@tulinavemgeni210 nje, ndie huyo kafika nyumbani 🤣
Kazi nzuri sema mnachelewa af mnaifanya fup san hebu tuongezeeni muda kidg angalau iwe ndefu kidg❤
Jamaniii mimi namtaka kunambi aje Kenya anioe awachekungaika huko jamani. Ama huyo nyuki maana nawapenda wote sana sana nyuki😅😅😅❤❤❤jamani mapenzi bwana
huhuhuhuhuhuhuuuuu nachekaa kama mazurii hahhaa
@nyukitvonline njoo haraka
Mm nimempenda Kelvin ❤❤❤
Asante sana kelvin kwa muendelezo wa movie hii ya kesho yangu hongereni sana nafurahikuona umekubaliana na maombi yetu shabiki zako
Nyinyi muombao like mwanzifanyaje ebu niambie team strong😂😂😂😂
Safi sana Vitoria kwa ujasiri wa kaomba radhi kwa 🐝 nyuki bila shaka utakuwa mke mwema kwa kevin .na pindi nikiwa wana ndoa utajifunza mengi kwa mwenza wako.
Yaaani kelvin mpaka anafika nyumbani hakuvaa viato😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kazi nzur kabisa
Sem kuwai leo right on time much love from kenya 🎉🎉
Kaz nzur sana. like mbili2 guys
kelvin ungetoa hii ngoma nzuri sana yaan nipenda san huu wimbo no ngetaman ata nipate audio jamn 🎉🎉🎉🎉
Mimi pia🎉🎉🎉
Nimefurahi kumuona kelvin ametoka jela hapa ni kufunza usikate taa usiguziwe kitu na hujakifanya lk subra na maombi kwa mungu asiye na wake ana mungu ❤❤❤kazi nzuri 🇰🇪🇸🇦 tunawakubali saana 💪💪🌹🌹🌹🌹🌹
Amazing 🥰🥰🥰
Ndo naanzanayo wakwanza Mimi hapa likezenu zinahitajika
Kesho yangu noma sana 😂😂😂
Huyu afande anajua vizuri kuhusu hii kesi ya mauaji
Dah.. movie nzuri hii..naomba mfuate ukweli kabisaa ❤❤❤ kelvin nyuki.. Vickie..alf mzee hongera
Mimi huwa sipendi kuangalia bongo movie.. Ila nyie mmenishawishi.. Good Sana vijana
Mimi nashangaa hiki kipindi chote kelvin yupo cell,,yule babake hajahusishwa au kuongea chochote ilhali ana umaarufu😮😮,,apo natumahi ingeleta ladha zaidi
Tungeona pia walikaaje huko rumande na kunambi.
Huyu mzee mkuu wa kituo nimemkubali vizur. Sana naomba apewe maua yake🎉🎉🎉🎉
Wakwanza leo kutoka zanzibar naomben like zenu
Kaka naipend kaziyak 2naomb uwe chap man 2naham 2jue nn kinatokea maana shelia msumeno.
Sawa Asante
kelvin namkubali sana kbs amuowe viki niko nyuma yake amelelewa vizuli na kaka yake kbs
Kevin unanifurahisha sana movi zako nakupenda sana Mungu akuzidishie uzima
Jamn mdada mzur kwann mmempa jina la afande dudu 😂 sijapenda
Yaaan kesho yang ni nzul san kuliko hat jua kali aisee wangap wanainjoy jmn
Asante Mungu Kelvin hajakutwa na hatia.......😂😂😂😂😂 Kelvin baru mpaka Nyumbani na viatu mkononi😂😂😂😂
Ukipenda like Kama huna mda acha
Mashallah leo watatu kelvin tafadhali nipe like na mm nimewahi mapema sana 😢😢❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
muwe lnatoa kila sku ila vick ndy anaharibu hii movie analia lia tu
Nakubali sana asante kwa kesho yangu nampenda Kelvin ❤️🥰🥰
Daah kelvin is best bongo movie
Nicejob
Yani Kelvin mpaka viatu ukafika navyo nyumbani vikiwa kwa mikono 😂😂 acha uoga kaka ,aisei mko vizur sana hongereni team donta TV nyote
Kesho yangu isiishe ❤❤❤tunaipenda sana kazi yenu 🎉❤❤ifike hata episode 50
Kevin kesho yangu nimuvikari sana ila muowe viki🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri kp na team naitazama filamu nkiwa Kenya nawapenda jamani❤❤❤❤❤❤❤
Kp tena😂😂😂
@@hadijasheky7966 😂😂😂😂😂banae huoni nimejisahau sana aky awa watu kazi zao nzuri kinoma
ninafuraha sana kwakumuona Kelvin yupo huru ongueira sana ka Kelvin kazi m'zuri 💪♥️😘
Huyu jamaa wa kumada anasonya kama dem 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂huo mdomo ila ni mcute akishika pesa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂weeee acting inataka moyo adi ulie mm nikiekwa na vile napenda kucheka na kulia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Timu Kelven Mpoooo😮😮😮😮😮
Tupooooo❤❤❤
Naomba like zangu kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 kumechafuka huko Kwa jem's
Nimechelewa kidogo sana lakini nimefika naombeni mnikumbuke kwa like
Aise leuo nimeuai jaman🎉🎉🎉
Hongera sana kaka nyuki wewe Ni mpambanaji sana hongera sana kaka kwa kupambana paka Kelvin akatoka hakika Kelvin mungu ameiona kesho yako
Wa kwanza leo nipeni like zangu
Much love from Kenya 🇰🇪❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😮😮😮
Sema nini waungwana tuko pamoja sana ila mnachelewesha sana kutoa mwendelezo
Very interesting story 🤝
Thanks
Mungu akubariki sana mr khan utafika mbali
Uyu brother amecheza kama jambazi namukubari sana anajuwa kucheza vizuri sana ❤😂😂
Jameni mm hapa network imeniangusha ,lakini Leo ishakubali Lakini mm niwamwisho duuuh Jameni kama umamutambuanga Kelivin kama mm nipatie like tukisonga Ii kesho yangu ni moto kama pasi🔥🔥🔥😊😊🔥
Nyenye wakuomba likes mko n shida gani
Tunatak tuuzee izo like ujui ziko na order
Nakubali sanaaa 💪 💪💪 sema unachelewa sanaa kutoa ep mpaka tunaanza kuisahau move 🙏🙏🙏
Daah Mmetisha saana nilikuw naisubilia kwa ham saan❤❤❤❤
Oya unajua isi ishie apa iwe kama jua kali hiiii
Wau imefikia patamu kelvine ashatolewa, haya twendelee sasa jamani movie ni nzuri sitamani iishe
Wakwanza jamani munipe like zangu
for suree natamn isiishe leo wala kesho coz inazidi kuw tam balaaa daah Mung azid kuwapeni nguv sana na kuwatunza
Mkuu wa polisi unanfurahisha sana kutokubali ombi la kisinja la kula rushwa pambania haki iwe haki
Wakenya tuko hapa tunawapenda sana🇰🇪🇮🇶
Mambo tayar wagwana njooni uku,🎉🎉
Hongera sana Donta tv na wanyaranda ni mashabiki wenu sana
Endeleeni na kazi njema❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Nmekua wa mwisho Leo 😂😂like zangu jameni
Kelven ooyee❤
Mnazingua saiv mnatuletea sini mbili t kipande kimeisha mnaboa sana
Wow that's amazing kazi safi kabisa
Kazi njema naisiyokua naupendeleo wakuchukua mahongo mzee wangu umenpendeza sana kutokua natamaa ya hongo, Acha kimrambe afande mbea
Good job
Nawakubali❤❤
🙌
Hii noma sana brother unajua sana
Kazi nzuri sana
Nakubali sana movie zenu, ila vick ana machoz ya karbu jaman
muoe tu maana anakupnda sana from Tanzania
Movie mzur sanaaaaa kiukweliii inamafunzo mazuriiii 😂😂😂😂😂 like hapaa cc
Nimekuwa wa kwanza like kwangu
Weee aki kesho yangu inaburudisha mno hongera sana👏👏
Khan ni mwigizani mkubwa sana namanisha stev kanumba karudi bongo
Nawakubali sana Toka Zambia tupeni kwa wakati
❤❤❤❤❤❤❤